Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya mpya
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Nane “Mama! Mama! Umenizaa wewe mwenyewe kweli? Unyama gani huu unanifanyia Veronica wako? Ulinizaa peke yangu na huna binti …
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Saba Vishindo vya miguu vilikoma kwenye mlango wa Chumba nilichopo kisha funguo ilianza kufungua kitasa taratibu, nilifumba macho yangu…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Nne “Lengo la kuja huku ni kumpa taarifa Mama lakini hatuwezi kuondoka bila yeye kiridhia, Veronica mpenzi tuvumilie tu …
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Pili Sasa wakati naendelea kumpotezea nilijikuta napeleka macho yangu nyuma ya gari yaani siti za nyuma kule, gari ilikuwa…
Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kwanza “Nitaongea na Mama yako” alisema kisha tuliendelea na safari ya kuelekea Kanisani, tulipofika nilimuacha akanipatia pesa kama Elfu…
Niliomba niletewe Binti yangu pale Gerezani, Mama Sofia alimleta Moyo. Nilimkumbatia Mwanangu hadi nikahisi faraja iliyo pitiliza. “Umeongea na Wakili vizuri?” aliniuliza Mama Sofia, nilimtazama na…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 09 Basi nilikata tamaa, chozi lilinibubujika. Nikajikuta nikipandwa na hasira sana, nikasema kwa mara ya mwisho kwa sauti kubwa ya hasira…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 08 Hakika nilikua katika nyakati ngumu zaidi kuwahi kupita kwenye maisha yangu. Hapakua na yeyote pembeni yangu, nilipoinua macho baada ya…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 07 Hatimaye Mama yangu aliungana na Zena na Caren kwenye makazi ya milele. Kilichokua kimebakia kwangu kilikua fumbo kubwa, hakuna aliyejua…
Ilipoishia Nyumba Juu Ya Kaburi 06 Nilikua nikihema, Wazazi wangu walikua wamesimama vile vile kama Watu wasiojitambua. Yule Bibi aliendelea kunisogelea huku mguu wake mmoja akiwa…


