Browsing: riwaya mpya

NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati ya Watoto wanne, ni Mtoto wa  kike wa pekee katika Familia…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Saida, wewe ulishakufa baada ya kuokolewa Msituni. Roho Yako iliondoka  Usiku ule ambao ulitoroshwa kule kwenye ile nyumba Msituni. Kuishi  kwako Hadi sasa ni kibali…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  Niliitazama tena ile Pete huku chozi lilikaribia kunitoka, sikujua ni kwanini  nilipaswa kuivaa ile Pete, ni Mikoba gani ambayo nilipaswa kukabidhiwa?  Nilijiuliza yote huku nafsi…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Nani ananiita?” niliuliza kwa Ujasiri sana japo kwa ndani nilikua mwoga  lakini sikuruhusu yule Mtu anielewe, nilimkazia macho yangu huku  nikichezesha Mguu mmoja.  “Bosi”  “Bosi?” …

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Ina maana Salehe yupo na ananifuatilia?” nilijiuliza. Nilishagundua pale  hapakua salama kwangu, nikageuka ili niondoke lakini ghafla mlango  ulijifunga wenyewe. Pakawa na kigiza Fulani hivi …

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini  alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara  alisimama yule Kichaa Kisha…

Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

Ilipoishia  “Saida Amka ule chakula, Amka Mwanangu. Amkaaa usilaleee” Mara ghafla  nikajikuta nikizinduka kutoka kwenye Yale mawazo. Nilijikuta nipo pale  pale kitandani nikiwa Nimekaa, nilikumbuka ni…

Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE Moyo Wangu na akili yangu vilikua tayari kusikia chochote kile hata kama  kitaniumiza kiasi…

Ilipoishia sehemu ya Kumi ya In the name of LOVE Nilimvuta na kumkumbatia huku nikikisikia kilio chake kwa karibu zaidi.  Nililengwa na Mchozi lakini sikutaka utoke,…

Ilipoishia sehemu ya tisa ya In the name of LOVE “Kumbe haikua inshu kubwa sana Mpenzi, Presha ilipanda kidogo. Ah!  Mama yangu naye akalikuza sana” alisema…