Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya mpya
NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!! Mimi ni Mtoto wa kwanza kati ya Watoto wanne, ni Mtoto wa kike wa pekee katika Familia…
Ilipoishia “Saida, wewe ulishakufa baada ya kuokolewa Msituni. Roho Yako iliondoka Usiku ule ambao ulitoroshwa kule kwenye ile nyumba Msituni. Kuishi kwako Hadi sasa ni kibali…
Ilipoishia Niliitazama tena ile Pete huku chozi lilikaribia kunitoka, sikujua ni kwanini nilipaswa kuivaa ile Pete, ni Mikoba gani ambayo nilipaswa kukabidhiwa? Nilijiuliza yote huku nafsi…
Ilipoishia “Nani ananiita?” niliuliza kwa Ujasiri sana japo kwa ndani nilikua mwoga lakini sikuruhusu yule Mtu anielewe, nilimkazia macho yangu huku nikichezesha Mguu mmoja. “Bosi” “Bosi?” …
Ilipoishia “Ina maana Salehe yupo na ananifuatilia?” nilijiuliza. Nilishagundua pale hapakua salama kwangu, nikageuka ili niondoke lakini ghafla mlango ulijifunga wenyewe. Pakawa na kigiza Fulani hivi …
Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara alisimama yule Kichaa Kisha…
Ilipoishia “Saida Amka ule chakula, Amka Mwanangu. Amkaaa usilaleee” Mara ghafla nikajikuta nikizinduka kutoka kwenye Yale mawazo. Nilijikuta nipo pale pale kitandani nikiwa Nimekaa, nilikumbuka ni…
Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE Moyo Wangu na akili yangu vilikua tayari kusikia chochote kile hata kama kitaniumiza kiasi…
Ilipoishia sehemu ya Kumi ya In the name of LOVE Nilimvuta na kumkumbatia huku nikikisikia kilio chake kwa karibu zaidi. Nililengwa na Mchozi lakini sikutaka utoke,…
Ilipoishia sehemu ya tisa ya In the name of LOVE “Kumbe haikua inshu kubwa sana Mpenzi, Presha ilipanda kidogo. Ah! Mama yangu naye akalikuza sana” alisema…





