Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: Stori Mpya
Ilipoishia “Aaaah Zola” ilisikika sauti upande wa Mzee Dawson, ikionesha alikuwa akijigeuza. “Hebu fanya taratibu tuonane ana kwa ana Mzee Dawson, nahisi kuchanganikiwa sasa” Zola alikata…
Ilipoishia “Unatakiwa kuwa makini sana sababu kwa namna alivyo huyo Mtu si rahisi akamuamini Mtu kwa Mara ya kwanza, unapaswa pia kujuwa kuwa ukibainika basi kila…
Ilipoishia “Kuna kundi linaitwa MAFIA GANG, ni kundi maalum kwa ajili ya Ugaidi…Mkuu wa kundi hili anaitwa John Brain ni mzungu anayeishi Uskochi, Kazi yake ni…
Robert akiwa kwenye gari lake alianza kulia, akashindwa hata kuendesha akaamua kusimama kando ya Barabara akiwa anabubujikwa na machozi. Machozi yakawa yanamtiririka Robert huku akizidi kulia…
Ilipoishia “Joshua naomba tuonane kwenye mgahawa muda huu” Alisema Noela kisha alikata simu, Desmond alishusha pumzi zake baada ya kujiridhisha kuwa Noela hajagundua lolote maana kama …
Ilipoishia “muda siyo mrefu sana alikuja na gari akasema umemuagiza na alikuwa akijuwa hadi lilipokaa nikamiami, ina maana hukumtuna Mtu?” aliuliza Mama Noela kwa mshangao, Noela…
Ilipoishia “Basi twende nikusindikize” Alisema Mwanaume huyo, Lucia aliingia kwenye gari, safari ilianza kuelekea nyumbani kwao Noela, wakiwa Barabarani mwanaume huyo alionekana kumtongoza Lucia lakini Lucia…
Ilipoishia “Kumbukumbu ya Desmond iliishia hapo, alitikisa kichwa chake kisha alielekea ofisini kwa Daktari wa Hospitali, Daktari alipomuona Desmond alijuwa nini kimemleta, Desmond alianza kumshambulia Daktari…
Ilipoishia “Lucia alimpatia Noela bahasha hiyo yenye taarifa muhimu za kesi, Desmond aliona makabidhiano hayo ya Bahasha kisha wawili hao waliagana kila mmoja akashika barabara yake. …
Kwako Kocha Miguel Gamondi, Kwa heshima na taadhima, napenda kutumia fursa hii kukuandikia barua hii ambayo nina Imani kuwa utapata wasaa wa kuisoma ingawa safari yako…






