Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)
    Hadithi

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaJune 6, 2025Updated:June 9, 202564 Comments12 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya saba 

    “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja  Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama wa  Taifa ambaye hadi kufikia wakati huo hakujuwa Faudhia alikuwa  wapi, ni mzima au amekufa ila Faudhia alikuwa barabarani  kuelekea Dar kwa ajili ya kuzuia mpango wa Mzee Shomari. 

    Mara moja simu ya Mzee Shayo ilipokelewa na maongezi kati ya  Mzee Shayo na Rais yalianza, Rais alisikika kwa kupoa sana  tofauti na mwanzo ambapo alionesha hasira sana kwa Mzee Shayo 

    “Shayo!!” Aliita Rais 

    “Naam Mkuu” Aliitika Mzee Shayo . ENDELEA 

    SEHEMU YA NANE 

    “Wewe ni Mtu pekee ambaye unaweza ukadhibiti kila kitu na  kuleta sifa kwa Taifa hili, ruhusu Vijana wako waishambulie  Benki sasa hivi” Alisema Rais kisha mwisho alisema kwa kukaza  sauti tofauti na mwanzo alivyoanza. 

    “Mkuu, ndani ya Benki kuna Raia wasio na hatia, shambulio  lolote lile tutakalo lifanya litasababisha madhara makubwa  sana. Hiyo siyo suluhu ya jambo hili Mkuu, busara ni  kuhakikisha Mateka wote wanatoka salama” Alijibu Mzee Shayo 

    “Mimi ndiye Rais wa Nchi hii nataka uamrishe walengaji wako  waishambulie Benki haraka iwezekanavyo” Alisema tena Rais kwa  sauti ya kufoka huku akijuwa fika kuwa Mzee Shayo hawezi  kukubaliana na wazo hilo.

      

    “Hilo haliwezekani Mkuu, tuvute subra kwa masaa kadhaa  nitakuja na mpango wa nini tufanye” Alisema tena Mzee Shayo 

    “Shayo! Narudia tena Mimi ndiye Rais wa hii Nchi, hakuna Rais  mwingine wala amiri jeshi Mkuu. Kama utashindwa kufanya hivyo  nitatengua uteuzi wako haraka sana” Alisema Rais kwa sauti  ile ile ya kufoka 

    “Mkuu siwezi kutoa amri hiyo kwa vijana wangu, hii kazi  inahitaji…” 

    “Shayo siwezi kukubembeleza” Alisema Rais kisha simu  ilikatika, Mzee Shayo alibakia akiwa njia panda, alijaribu  tena kuipiga simu ya Faudhia lakini haikuita kabisa,  alijiuliza kama Faudhia atakuwa ameshakufa basi hakutokuwa na  jambo lolote la kuzuia amri ya Rais huyo, alichoka na  kujitupa Kitini huku akitafakari afanye kitu gani. 

    Mwendo wa Bakora huko Bagamoyo Road, Matilda aliendesha gari  kama dereva wa mshindano ya Formula one, ilikuwa ni safari  yenye matumaini, Bado Mzee Shayo aliendelea kumtafuta Faudhia  huku Mzee Shomari akipewa taarifa kuwa Diana alikuwa  ameshauawa na mzigo ulikuwa umechukuliwa, taarifa hiyo ilimpa  wazimu sana Mzee Shomari, alimpigia tena Chogo na kumwambia  kuwa wana chini ya masaa mawili kuhakikisha wanachomoka ndani  ya Benki hiyo haraka sana, wakati huo huo baada ya kumaliza  kuongea na Chogo alipiga simu na kuagiza Helkopta isogee  lilipo jengo la China plaza ili aweze kuondoka baada ya  kuhakikisha akina Chogo wanatoka salama. 

    Akiwa ofisini Mzee Shayo, ilikuwa ni baada ya saa moja kupita  aliingia Mwanaume mmoja aliyejulikana kama Samuel Dinonga,  alikuwa ni Mkuu wa jeshi la polisi, iliwapasa kumpa salamu  aliyostahili kisha Dinonga alimueleza Mzee Shayo kuwa yeye  ndiye aliyepewa jukumu la kuongoza idara ya Usalama wa Taifa  kwa wakati huo, Mzee Shayo alipaswa kukiacha kitengo haraka  sana. Yalikuwa ndiyo maamuzi ya Rais, hakukuwa na namna, Mzee  Shayo aliacha kila kitu na kuondoka ofisini hapo. 

    Lengo la Rais lilikuwa ni kuishanbulia Benki hiyo bila kujali  kuwa kulikuwa na Gavana na Mke wake pia kilikuwa na  wafanykazi wa Benki na wateja wa Benki hiyo ambao hawakuwa na  hatia yoyote ile, muda huo alilielekea gari lake ili aweze  kutimka eneo hilo la Makao makuu ya Kitengo cha Usalama wa  Taifa, alipofika ndani ya gari simu yake iliita. 

    Aliitilia mashaka kidogo simu hiyo sababu ilipigwa kwa namba  ambayo hakuifahamu kabisa, alisubiria kidogo kisha aliipokea 

    “Hello!” Alisema Mzee Shayo kwa umakini wa hali ya juu sana.

    “Baba!!” Alisikia sauti ya Faudhia ikimuita, hakuamini  masikio yake ni kama vile alisikia kitu kisichomuingia  akilini 

    “Faudhia uko wapi?” Alihoji Mzee Shayo 

    “Nipo Barabarani nakuja huko Baba, naomba unisikilize kwa  makini sana” Alisema Faudhia 

    “Ndio ndio” 

    “Ndani ya jengo la China plaza ndimo alipo Mkuu wa kikosi  hicho, si mwingine ni Mzee Shomari! Chukua askari nenda  kamdhibiti haraka sana mimi muda siyo mrefu nitakuwa Dar”  Alisema Faudhia kwa umakini sana 

    “Kwasasa mimi siyo Mkuu wa Kitengo Faudhia, sina mamlaka ya  kuamrisha askari wa kitengo tena” Alisema Mzee Shayo 

    “Oooh! Shit, basi jitahidi uwende mwenyewe maana ndani ya  hicho kitengo kuna Watu wanafanya kazi ya kukwamisha juhudi”  Alisema Faudhia 

    “Sawa ngoja nisogee huko” alisema Mzee Shayo kisha simu  ilikatika, aliangalia kwenye gari yake aliona silaha aina ya  Bastola, hakujuwa uzito wa ulinzi wa huko ndani ya jengo la  china plaza ila aliamini Bastola hiyo itamsaidia, aliondoa  gari kitengo na kuelekea China plaza. 

    Mkuu mpya wa kitengo Bwana Dinonga alifuata maagizo ya Rais  wa Nchi, ilikuwa ni lazima aunganishe jeshi la polisi na  askari wa kitengo ambao walikuwa eneo la tukio kuifanya kazi  kwa pamoja. Aliondoa idadi kubwa ya Askari pale makao makuu  kwa ajili ya kuelekea Benki ili kuishambulia benki hiyo,  lengo likiwa kuuwa kila aliye ndani ya jengo hilo ili siri ya  pesa zile iendelee kubakia wakiamini kuwa Chemba haikuweza  kuonekana wakati chemba ya siri ilikuwa imeshafunguliwa. 

    Upande wa pili, Helkopta iliyoitwa kwa ajili ya kumchukua  Mzee Shomari ilikuwa ikijongea taratibu kuelekea hapo, Mzee  Shayo naye akiwa ndani ya gari lake alikuwa akifikiria ni  jinsi gani ataweza kukabiliana na Magaidi hao ndani ya jengo  la China plaza, safari ya kutoka Kigamboni hadi Mjini ilikuwa  fupi tu ukizingatia hakukuwa na shughuli zozote zilizokuwa  zikifanyika ndani ya Jiji hili la kibiashara, muda huo  Faudhia alikuwa akiingia Dar, mwendo wao haukuwa wa kawaida,  walipofika Tegeta Matilda alimwambia Faudhia kuwa anahisi  kizunguzungu kutokana na spidi ya gari aliyokuwa nayo,  ilimlazimu Faudhia amwambia Matilda kuwa asimamishe gari 

      

    haraka, Basi Matilda alifanya hivyo wakiwa maeneo ya kwa  Ndevu – Tegeta 

    “Pole sana, Asante pia” Alisema Faudhia, Matilda alishindwa  hata kumjibu Faudhia alipoteza fahamu akiwa ameshikilia  usukani. Faudhia alishuka na kuielekea pikipiki iliyokuwa  imesimama kando ya Barabara, aliiwasha na kuondoka eneo hilo. 

    Ukimya ulikuwa mkubwa sana alipofika maeneo ya Mnazi mmoja,  alilazimika kushuka na kutembea kwa mguu kuelekea China  plaza, japo alikuwa Mzee lakini hakusahau mbinu zake  zilizompa umaarufu miaka ya 90, Mzee Shayo alikuwa ni zaidi  ya komando wa vita, alisogea kwa kasi ya ajabu kwa kutumia  njia za ndani kama anaelekea Shimoni kariakoo, alijuwa fika  kuwa kama ni kweli magaidi hapo ndipo walipoweka kambi yao  basi ulinzi wake utakuwa mkubwa sana. Alikuwa ndani ya suti  ya kijivu iliyomkaa vizuri, alivua koti akabakiwa na shati  jeupe litakaloweza kumpa urahisi wa kuifanya kazi yake.  Alikuwa akitembea huku akiangalia saa yake aliyoweka muda  maalum wa kufika eneo husika kabla kitengo cha Usalama wa  Taifa hakijashambulia Benki na kuuwa Watu wasio na hatia,  alikuwa na nusu saa tuu iliyobakia, muda huu alikuwa  ameshazunguka hadi Msimbazi polisi, alikuwa sasa eneo la  Msikiti wa Shekh Idrisa, alikuwa makini kuliko wakati wowote  katika Maisha yake, alijuwa hiyo ndiyo nafasi pekee na  pengine ingelikuwa kazi yake ya mwisho kutokana na umri wake  na pia kuondolewa kwake kwenye kitengo na Rais. 

    Kwa mbali asikia sauti ya Helkopta ambayo ilikuwa ikielekea  China plaza kwa ajili ya kumchukua Mzee Shomari, muda huo  Faudhia alikuwa ameshafika upanga kwenye msikiti wa Maamur  ili kuingia kwenye hiyo chemba itakayotumika kutorosha pesa  kutoka Benki kuu. Alipofika hapo aliona Watu watatu wenye  asili ya kiarabu wakiwa wamekaa kwa nje, aliwatazama kwa  jicho la kijasusi aligundua Watu hao ambao ni wanaume  walikuwa na silaha walizozificha kwenye viuno vyao, Faudhia  alifikiria atumie njia gani kufika pale, alifikiria kwa zaidi  ya dakika mbili huku ile presha kuwa muda unaisha ilizidi  kumjaa aliona ni bora aamuwe kufanya kitu kimoja. 

    Alisogea hadi kwenye ukuta kimya kimya pasipo wale Wanaume  kushtuka huku wanaume hao wakionekana kusoma vitabu ya dini,  alijuwa ulikuwa mtego ili watu wasishtuke chochote, aliona  pia baadhi ya Watu wakitoka na kuingia Msikitini hapo,  ilikuwa ngumu kwake kujuwa kuwa Watu hao walikuwa wema au  maadui. Pembezoni aliona nguo zilizokuwa zinetundikwa na  zilikuwa ni za kiume, haraka Faudhia alizichukua na kuzivaa.

    Alihakikisha anaonekana kama Mwanaume, na kweli alifanikiwa  kwenye hilo, alivuta pumzi zake ili kujiondoa wasiwasi kisha  aliitoa bastola aliyoichukua baada ya kumuuwa Diana,  aliangalia Bastola hiyo yenye risasi tatu pekee aliona  isingeliweza kumfaa ila ingelimsaidia kwa kiasi fulani,  aliiweka sawa Bastola yake kisha aliingia barabara ya lami  akawa anasogea, Wale Wanaume walipomuona Faudhia walionekana  kumkagua kwa kutumia macho yao yaliyojaa wizi huku  wakijifanya wengine kusoma na mwingine kuchezea tasbihi.  Walipeana isharaka kisha mmoja akaingia ndani wawili  wakabakia pale, Faudhia alisogea hadi lango la Msikiti.  Mwanaume mmoja aliyekaa alimsalia Faudhia kwa Salam ya  Kiislam 

    “Asalaam Alaykum?” Alisalimia huku akimtazama Faudhia ambaye  alikuwa amevalia kiremba na kuificha sura yake kwa kuangalia  pembeni, yule Mwanaume alimsalimia tena Faudhia 

    “Asalam Alaykum Shekh” Alisalimia bila wasiwasi, Faudhia  alihema sana akijuwa kuwa jamaa huyu alikuwa ameshamshtukia,  kisha Mwanaume huyo aliinuka na kumsogelea Faudhia ambaye  hakutaka kuonesha sura yake. 

    Sura ya Mwanaume huyo ilianza kubadilika na kuwa ya hasira,  alikuwa tayari ameshamtilia Mashaka Faudhia. Alizidi kusogea  kisha alimuuliza Faudhia 

    “Wewe ni nani?” Aliuliza kwa rafudhi ambayo ilionesha wazi  kuwa Mwanaume huyo alijifunza kiswahili siku si nyingi,  mapigo ya moyo ya Faudhia yalizidi kwenda mbio. Yule Mwanaume  akawa anasogea kuitazama sura ya Faudhia, endapo atagundua  kuwa Faudhia si Mwanaume itakuwa shida kwa Faudhia 

    Yule Mwanaume alisogeza mkono ili amshike Faudhia amgeuze,  Faudhia alifumba macho yake kuwa asingeliweza kufurukuta  hapo, ghafla kabla hata hajamgusa Faudhia liliingia gari la  kubebea maiti lililoleta maiti kwa ajili ya kuswaliwa.  Purukushani za watu zikawa nyingi na kwakuwa walisimama  katikati ya lango iliwapasa kulipisha gari hilo, Faudhia  alibakia upande wa kulia na yule Mwanaume alirudi upande wa  kushoto kisha gari ikapita katikati yao. Fumba na kufumbua  Macho yule Mwanaume aligundua kuwa Faudhia ameshatoweka pale,  haraka alipiga simu kwa wenzake kuwa eneo hilo si salama  tena, aliwavuka Watu na kuelekea kwenye mlango wa kuzidi  kuzama ndani ya Msikiti huo. 

    Naam!! Sasa, Mzee Shayo alikuwa ameshafika chini ya Jengo la  China plaza, jengo hilo lilikuwa refu lenye vioo, Mzee Shayo  alipochungulia kwa mbele aliona kuna Watu waliokuwa 

    wamesimama pembezoni, alijuwa tu Watu hao siyo watu salama  kwake, muda huo Helkopta ilikuwa hewani juu ya Ghorofa hilo,  alijuwa ndiyo wakati sahihi wa kuanza kukiwasha ili kuzuia  Mzee huyo asitoweke eneo la tukio. Haraka alisogea mbele ya  jengo, alimvizia mlinzi wakwanza kisha alimnyonga kwa kutumia  kamba ya kiatu chake, alimvuta hadi mahali ambako kulikuwa na  jenereta kubwa la kuzalisha umeme, huyu wa pili alikuwa  amempa mgongo Mzee Shayo hivyo ilikuwa ni rahisi kumalizana  naye, alimpiga kiwiko eneo la shingo, alifanya kimya kimya  kisha alimvuta na kumsogeza pembeni, alihakikisha anawasachi  na kuchukua silaha zao. Alikuwa ni Mtu makini sana ambaye  aliijuwa thamani ya kazi aliyokuwa akiifanya, alisogea hadi  mlango wa kuingilia, jengo lilikuwa kimya sana na hakukuwa na  dalili kuwa Kulikuwa na mitembeo ya Mtu zaidi ya sauti ya  Helkopta iliyokuwa juu ya Jengo, humo ndani Mzee Shomari  alidhamiria kuhakikisha kuwa anachukua kila kitu kabla ya  kutimka, alichotaka ni kuhakikisha Chogo anatoroka na pesa  hizo ndani ya benki kwanza kabla yeye hajaondoka sababu  alishajuwa ni wapi watakutana kwa ajili ya kugawana kiasi  hicho 

    Alimpigia Chogo na kumwambia kuwa ni muda wa kuondoka, upande  huo wa Benki tayari Chogo alikuwa na kiasi hicho cha pesa  ndani ya mabegi kilichobakia kilikuwa ni kuondoka tuu,  aliwaambia vijana wake kuwa 

    “Tunaenda kuwa Mamilionea leo” Alisema Chogo kwa tabasamu,  aliamuru waifuate Chemba kwa ajili ya kuondoka, tayari  alikuwa ameshawaweka vijana huko wakawa wanachimba na  kuunganisha chemba hiyo ambayo hadi kufikia muda huo ilikuwa  tayari kilichobakia kilikuwa wao kuondoka tuu. Alipofika  kwenye Korido alikumbuka kuna kitu amesahau kisha aliwaambia  vijana wake kuwa wamsumbirie kwenye chemba, Chogo alienda  kwenye Chumba ambacho alimuacha Selina. Huwezi amini Chogo  alikuwa ameshampenda Selina, alipofika alimtazama Selina  ambaye alikuwa analia akiwa amekaa juu ya meza, chogo alijawa  na huruma huku simu yake ikiwa inazidi kuita, alikuwa ni Mzee  Shomari ndiye aliyekuwa akimpigia simu. 

    Upande mwingine ndani ya Msikitini, Mtafutano ulikuwa mkubwa  mno, Faudhia aliijuwa ramani ya ilipo chemba hiyo ya  utoroshwaji wa pesa ndani ya Benki, alijificha mahali ambapo  aliamini ingelikuwa rahisi kuwaona Wanaume hao, wanaume  walipofika ndani waliufunga mlango huo ili kisisikike  chochote kutokea humo na kwenda kule Msikitini ambako  kulikuwa na harakati za kuanza ibada ya kuisalia Maiti. 

    Walifunga viwanbo vya kuzuia sauti kwenye Bastola zao ili  kuhakikisha hakuna kitakachosikika ili wasije haribu mpango wao. Faudhia alikuwa kwenye moja ya vyumba ambavyo vilikuwa  ndani ya Eneo hilo, wale wanaume waligawana Majukumu ya  kumsaka Faudhia. 

    Chumba alichojificha Faudhia kilikuwa kina dirisha la Kioo  hivyo ilimpa urahisi wa kuona na kuonwa pia endapo adui yake  atatazama kwenye kioo, mlango ulitekenywa huku Faudhia akiwa  amjibanza ukutani, bastola yake ilikuwa kiunoni sababu  aliamini matumizi ya Bastola yangelimfanya agundulike. Wale  magaidi waliambiana kuwa wanapaswa kuingia kwa pamoja kwenye  vyumba na kutoka pamoja hivyo endapo mmoja hatotoka basi  chumba hicho ndicho ambacho adui yao atakuwa yumo. 

    Wakati kitasa kinatekenywa, Faudhia aliona Upanga kwenye kona  ya Chumba hicho, aliuchukua taratibu bila kupiga kelele ya  aina yoyote ile, alijiweka sana huku kioo kikiwa ndio msaada  pekee kwake, yule Mwanaume alivyotokeza kichwa alikutana na  upanga ambao ulizama kichwani, haraka Faudhia alimvuta  Mwanaume huyo ndani kisha alichukua Bastola ya Mwanaume huyo  alafu akasikia sauti ya kwanza ikisema 

    “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine  ikisema 

    “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo  Faudhia aliposhtuka kuwa anapaswa kuwa nje ya chumba haraka  sana ili awawahi Wanaume hao, alifanya hivyo upesi sana huku  akiwa ameelekeza Bastola yake mbele mahali ambako sauti hizo  zilitoka, wale wanaume hawakuisikia sauti ya tatu ya mwenzao  ndipo walipotoka nje haraka ila walikuwa wamechelewa,  walikutana na mishale ya risasi kutoka kwa Faudhia, Msichana  kutoka Mbeya, aliwamaliza kimya kimya bila kusikika popote  sababu bastola ilikuwa na kiwambo cha kuzuia sauti . 

    Nini Kitaendelea USIKOSE SEHEMU YA TISA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    riwaya mpya Riwaya ya Goryanah riwaya za kijasusi riwaya za kusoma mtandaoni soma riwaya bure

    64 Comments

    1. Joyx Son on June 6, 2025 3:53 pm

      Thanks alot kijiwen
      But mnafanya niunge megabyte zangu always ili tyu kupata hii zaid ya story
      Kubali Sanaa faudhia people ya green city

      Reply
    2. bayser on June 6, 2025 4:25 pm

      hatarii
      hizi ndio tunataka sio za kichawi usiku hatulali

      Reply
    3. Bad hunter on June 6, 2025 6:38 pm

      Hatar sqna kiongozi

      Reply
      • Bingwa on June 7, 2025 9:09 pm

        Hiii story ni ya 🔥🔥🔥 admin upo vzr

        Reply
    4. Alex on June 6, 2025 7:48 pm

      Iko pw ila inachelewa sana kupostiwa tupia inayofuata

      Reply
      • Godrizen on June 12, 2025 12:13 pm

        Ni bongo la story hongera mtunzi

        Reply
    5. Adam on June 6, 2025 8:24 pm

      Story Nzuri Saana Ila Tunaomba Jaman Mnazichelewesha Saana Ni Inasisimua Saana Hiii

      Reply
    6. Yamungu.E.Dawson on June 6, 2025 11:05 pm

      Daaah!! nzuri saaana, sehemu ya 9 tafadhari naisubiria kwa hamu.

      Reply
    7. 📈 Notification- TRANSFER 1,664974 BTC. Withdraw >>> https://yandex.com/poll/5JjqQt7R61CTYdYVd17t6p?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 📈 on June 7, 2025 5:13 am

      f8qmc5

      Reply
    8. Cathbert on June 7, 2025 8:39 am

      Good 👍👍

      Reply
    9. Rifai on June 9, 2025 12:25 pm

      Tunaomba mwendelezo😔😚

      Reply
    10. 🗂 + 1.731042 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/enter/Riq9cmR97ue9Qcm8p2ERZ6?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 🗂 on June 19, 2025 3:29 am

      i2ibrt

      Reply
    11. 📧 Email- TRANSFER 1,450822 bitcoin. Receive =>> https://yandex.com/poll/enter/4Joc2mvUbapjsUMcMcKM3z?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 📧 on June 21, 2025 2:06 am

      88r844

      Reply
    12. * * * Snag Your Free Gift: http://fiestadehalloween.xyz/index.php?aapakx * * * hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f* ххх* on June 28, 2025 10:04 am

      2cdqd2

      Reply
    13. 🔗 + 1.846383 BTC.GET - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 🔗 on June 29, 2025 4:10 pm

      zidi5a

      Reply
    14. 📧 Message: TRANSFER 1.155643 BTC. Continue >> https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 📧 on June 30, 2025 7:18 am

      b2md7t

      Reply
    15. 🔈 Email- TRANSFER 1.476824 BTC. Go to withdrawal >> https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 🔈 on July 4, 2025 8:17 am

      zpwxyv

      Reply
    16. 📀 Ticket- Operation 1,212052 BTC. Assure > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=bac62aedd0772e8da1c8374dc3ec040f& 📀 on July 7, 2025 7:38 am

      zgyir4

      Reply
    17. Camden858 on July 9, 2025 12:25 am

      Join our affiliate program and watch your earnings skyrocket—sign up now! https://shorturl.fm/ASXri

      Reply
    18. Trinity1653 on July 9, 2025 1:33 am

      Start earning passive income—become our affiliate partner! https://shorturl.fm/3xSkx

      Reply
    19. Neal4114 on July 9, 2025 3:59 am

      Partner with us and enjoy high payouts—apply now! https://shorturl.fm/M7fzJ

      Reply
    20. Laura2452 on July 10, 2025 6:40 am

      Sign up now and access top-converting affiliate offers! https://shorturl.fm/KVOHm

      Reply
    21. Clark4308 on July 10, 2025 9:16 am

      Get paid for every click—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/PKn0l

      Reply
    22. Cyrus2430 on July 10, 2025 4:03 pm

      Apply now and receive dedicated support for affiliates! https://shorturl.fm/BhbNM

      Reply
    23. Holly2859 on July 10, 2025 5:59 pm

      Share your unique link and earn up to 40% commission! https://shorturl.fm/5KwNJ

      Reply
    24. Sebastian4277 on July 10, 2025 8:03 pm

      Start profiting from your traffic—sign up today! https://shorturl.fm/5nKz1

      Reply
    25. Nadia2236 on July 10, 2025 8:03 pm

      Drive sales and watch your affiliate earnings soar! https://shorturl.fm/ckmN7

      Reply
    26. Jennifer2949 on July 11, 2025 8:33 am

      Share our products, reap the rewards—apply to our affiliate program! https://shorturl.fm/xRiqZ

      Reply
    27. Timothy2180 on July 11, 2025 5:49 pm

      Start profiting from your traffic—sign up today! https://shorturl.fm/lLD8I

      Reply
    28. Bryce529 on July 11, 2025 9:45 pm

      Refer and earn up to 50% commission—join now! https://shorturl.fm/4opcq

      Reply
    29. Martin2014 on July 11, 2025 11:31 pm

      Drive sales and watch your affiliate earnings soar! https://shorturl.fm/GieJx

      Reply
    30. Lance840 on July 13, 2025 12:52 am

      Join our affiliate family and watch your profits soar—sign up today! https://shorturl.fm/BYYVK

      Reply
    31. Edgar1297 on July 13, 2025 5:30 am

      Partner with us and enjoy recurring commission payouts! https://shorturl.fm/z7JVD

      Reply
    32. Wade1982 on July 13, 2025 8:07 am

      Become our affiliate—tap into unlimited earning potential! https://shorturl.fm/eQ29X

      Reply
    33. Alexia4653 on July 13, 2025 12:11 pm

      Join forces with us and profit from every click! https://shorturl.fm/K1HN2

      Reply
    34. Tony988 on July 13, 2025 5:53 pm

      Partner with us and enjoy recurring commission payouts! https://shorturl.fm/9NjiH

      Reply
    35. Tom33 on July 14, 2025 4:55 am

      Join our affiliate community and start earning instantly! https://shorturl.fm/mdgUe

      Reply
    36. Lynne2934 on July 14, 2025 5:11 am

      Boost your income—enroll in our affiliate program today! https://shorturl.fm/L2va1

      Reply
    37. Brynn573 on July 14, 2025 8:46 am

      Invite your network, boost your income—sign up for our affiliate program now! https://shorturl.fm/iSDeA

      Reply
    38. Walter2074 on July 14, 2025 8:15 pm

      Join our affiliate community and maximize your profits—sign up now! https://shorturl.fm/CGHjR

      Reply
    39. Eric3087 on July 14, 2025 8:42 pm

      Drive sales and watch your affiliate earnings soar! https://shorturl.fm/ruwJK

      Reply
    40. Graham4761 on July 14, 2025 9:57 pm

      Drive sales, earn commissions—apply now! https://shorturl.fm/P7BEa

      Reply
    41. Samantha4184 on July 15, 2025 3:09 pm

      Become our affiliate and watch your wallet grow—apply now! https://shorturl.fm/N68W4

      Reply
    42. Dave3282 on July 15, 2025 4:13 pm

      Boost your earnings effortlessly—become our affiliate! https://shorturl.fm/jxNmL

      Reply
    43. Camila3858 on July 15, 2025 5:19 pm

      Grow your income stream—apply to our affiliate program today! https://shorturl.fm/qOEpp

      Reply
    44. Brianna2612 on July 16, 2025 6:02 pm

      Get paid for every referral—enroll in our affiliate program! https://shorturl.fm/9ykVO

      Reply
    45. Cole3347 on July 16, 2025 8:09 pm

      Share our products, reap the rewards—apply to our affiliate program! https://shorturl.fm/5maVg

      Reply
    46. Gloria3892 on July 17, 2025 2:26 pm

      Refer customers, collect commissions—join our affiliate program! https://shorturl.fm/twGgO

      Reply
    47. Thomas1119 on July 18, 2025 12:56 pm

      Earn passive income this month—become an affiliate partner and get paid! https://shorturl.fm/ApyN2

      Reply
    48. Jolie694 on July 18, 2025 2:11 pm

      Unlock exclusive rewards with every referral—enroll now! https://shorturl.fm/Jzpl1

      Reply
    49. Addison2407 on July 18, 2025 3:15 pm

      Promote our products and earn real money—apply today! https://shorturl.fm/aXXsL

      Reply
    50. Lee6 on July 18, 2025 9:29 pm

      Drive sales, earn commissions—apply now! https://shorturl.fm/FSczc

      Reply
    51. Kason617 on July 19, 2025 1:14 pm

      Boost your profits with our affiliate program—apply today! https://shorturl.fm/sc09x

      Reply
    52. Patrick4911 on July 19, 2025 5:05 pm

      Become our partner and turn referrals into revenue—join now! https://shorturl.fm/wOZh7

      Reply
    53. Miriam3084 on July 19, 2025 7:55 pm

      Start profiting from your traffic—sign up today! https://shorturl.fm/QRDG6

      Reply
    54. Sierra1483 on July 19, 2025 11:55 pm

      Sign up for our affiliate program and watch your earnings grow! https://shorturl.fm/3BsqR

      Reply
    55. Cameron4312 on July 21, 2025 6:15 am

      https://shorturl.fm/OIxJs

      Reply
    56. Dakota4810 on July 21, 2025 6:35 am

      https://shorturl.fm/E2DLN

      Reply
    57. Robert2463 on July 21, 2025 9:21 am

      https://shorturl.fm/jVRoM

      Reply
    58. Aubrey3605 on July 21, 2025 5:11 pm

      https://shorturl.fm/sVqfg

      Reply
    59. Junior212 on July 21, 2025 8:08 pm

      https://shorturl.fm/bmpbe

      Reply
    60. Josh4964 on July 21, 2025 9:20 pm

      https://shorturl.fm/oAcDQ

      Reply
    61. Landon890 on July 22, 2025 12:20 pm

      https://shorturl.fm/RV4vH

      Reply
    62. Millie211 on July 23, 2025 2:55 pm

      https://shorturl.fm/r9O4W

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.