Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: soma riwaya bure
NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!! Mimi ni Mtoto wa kwanza kati ya Watoto wanne, ni Mtoto wa kike wa pekee katika Familia…
Ilipoishia Kwanza nilijiuliza ni Nani anayeweza kuja kwetu, kama Mama Amida tayari tulishazungumza. Nilimeza funda zito la mate Kisha nilitembea taratibu kuelekea Mlangoni bila hata kutoa…
Ilipoishia Niliitazama tena ile Pete huku chozi lilikaribia kunitoka, sikujua ni kwanini nilipaswa kuivaa ile Pete, ni Mikoba gani ambayo nilipaswa kukabidhiwa? Nilijiuliza yote huku nafsi…
Ilipoishia “Saida, si unaona? Yule siyo Kichaa na ukitaka kuamini jiulize kwanini alienda kituo Cha Polisi?” aliniuliza Veronica akiwa amenishika bega, mara alisimama yule Kichaa Kisha…
Ilipoishia sehemu ya tano ya In the name of LOVE Upepo ulikua ukisukuma nywele zake, nilipata shahuku ya kutaka kuongea naye. Nilielekea mlangoni nikafungua mlango taratibu,…
Ilipoishia sehemu ya tatu ya In the name of LOVE Basi, niliendesha gari kwa mwendo wa kawaida sana maana mvua ilikua ikinyesha tena haikua mvua ndogo…
Ilipoishia sehemu ya pili ya In the name of LOVE “Sikumbuki chochote Clara, natamani nikumbuke ili nijuwe tunapoelekea” “Hofu ondoa, Kila kitu kinahitaji muda kukifahamu. Jipe…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 06 Walipofika shangwe liliibuka kwa Wananchi waliamini kua kumwaga Damu kutawasaidia Mji wao kuendelea kua na nguvu zaidi. Miongoni mwa Walioletwa …
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 05 Lakini walijua wazi… safari ya kuelekea Patiosa haikuwa tena ya kutafuta msaada. Ilikuwa safari ya maisha au kifo. Kutupwa kwa…
Ilipoishia Kimya (Nzena-Kijiji Kilicholaaniwa) – 03 “Kumwambia Ukweli Zahoro kua Adui Kimya ni wewe, kilicho mbele ni kumpata Binti yetu Moana Kisha kutafuta njia ya kuelekea…






