Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Ilipoishia “Mithiri ya Umeme uwashwapo, ndivyo fahamu za Benjamin zilivyorudi huku mapigo ya Moyo wake yakiwa yanaenda mbio sana, zaidi ya siku nzima alikua kwenye Usingizi…
Ilipoishia “Gari ndogo iliyombeba Muhonzi iliwasili ndani ya godauni moja, akashuhswa na kuburuzwa hadi ndani ya Chumba kimoja kilicho kitupu, akamwagiwa Maji ili azinduke. Maji yalimzindua…
Wakati huu ambapo kuna maendeleo ya Sayansi na Teknolojia kumekuwa na upatikanaji wa habari mbalimbali kwa urahisi na uharaka sana na kumepelekea kuwa na uhuru zaidi…
Ilipoishia “Madam tumeshafika” ilikua ni sauti iliyomzindua Elizabeth ķutoka katika fikra nzito ya namna alivyokutana na Mke wa Rais hadi kupanga njama za wizi ndani ya…
Anaandika mwana mitandao maarufu Tanzania anayefahamika kama Ujugu Hapa Nataka twende taratibu ili tuelewane. Mdogo mdogo mpaka mwisho. Kama unajijua una mihemko, usisome hili andiko, HALIKUHUSU!…
Moja ya njia bora ya kutaka mafanikio ni kukubali kukuwa, kukubali kubadilika na kuongeza juhudi na wakati mwingine kukubali kuiga mazuri yaliyofanywa na wengine waliyojuu yako…
Ilipoishia “Muhonzi, kuna dili lakini ni dili la kifo, narudi Dar Mchana wa leo” alisema Elizabeth kwa kujiamini kabisa mara baada ya simu kupokelewa, kisha akaikata…
Ni safari ya zaidi ya miaka 30, ni safari ambayo wengi waliitamani, mapinduzi makubwa ya kisoka nchini yameanza kuja, uongozi mzuri wa vilabu ushindani wa vilabu…
Ilipoishia “Alinivuta haraka sana kama vile Mtu aliyekua akijua anachokifanya, akili haikutaka kuendelea kufikiria, macho yalikataa kumtazama yule Mtu, sikujua alikua ni Askari au alikua ni…
Anaandika mwana mitandao maarufu Tanzania anayefahamika kama Ujugu Hapa Nataka leo tuongee soka kiufundi, story za porojo zikae pembeni. Unapotaka kuona uwezo wa mchezaji, Kabla ya…