Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Tukiwa shule tulifundishwa nidhamu,nidhamu hiyo ilijumlisha na kuomba ruhusa maalum kwa mwalimu wa darasa endapo una tatizo lolote ambalo linakutaka wewe uende nyumbani,kama mwalimu wa darasa…
Ilipoishia “Abee” kwa kisauti chake kama Wema Sepetu aliitikia Elizabeth, ukimwona unaweza fikiria ni Msichana dhaifu sana lakini alikua na wasifu mkubwa na wa kutisha, akiwa…
Ilipoishia “Miili ya Wanakijiji ilisambaa kila kona ya Kijiji, haikuchukua hata dakika mbili zile Helkopta zilianza kudunguliwa moja baada ya nyingine, pakawa kimya kabisa, halafu sauti…
Hii ni ratiba kamili ya mechi za awali za Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo kwa Tanzania Bara wawakilishi wake ni Azam Fc na Yanga huku Tanzania…
Ilipoishia “Mkuu tunafyeka wote kisha kikosi kazi nacho kinafyekwa na kikosi maalum” alisema Balozi, haraka Rais bila kujiuliza mara mbili alinyanyua simu yake na kumpigia IGP…
Kifo kipo katika miguu tunatembea nacho,Siyo kwamba tunatembea nacho tu katika miguu tu pengine tunasafiri nacho katika vyombo vya majini,angani na barabarani. Hadithi inapokuwa tamu kwenye…
Mwaka 2018 nikiwa nimetulia zangu napekua mambo Google kama ilivyo desturi yangu kufanya hivyo huku nikiwa nimeweka Earphone zangu masikioni kusikiliza redio ambapo kipindi cha michezo…
Ilipoishia “Siku nyingine sitofikiria mara mbili nini cha kukufanya, ulistahili zaidi ya hapa” alisema kisha aligeuka aondoke lakini akapata hisia fulani iliyomwongoza kugeuka na kumtazama Mzee…
Ilipoishia “Huko nje vikosi viliwasili ili kumnasa Elizabeth, Rais aliagiza ni lazima anaswe au auawe. Namna vikosi vilivyojikusanya kwa ajili ya Msichana mdogo ilileta taswira halisi…
Ilipoishia “Masaa manne umeyamaliza kwa kukoroma, Mwanaume halali Benjamin. Bado tupo Msitu wa Umauti” alinikumbusha Elizabeth akiwa ananitoa dripu ambayo ilikua imeshamaliza kazi ya kuniongezea damu.…