Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Piliย
Sasa wakati naendelea kumpotezea nilijikuta napeleka machoย yangu nyuma ya gari yaani siti za nyuma kule, gari ilikuwa naย siti nne tu, nikawa nimeliona begi lake ambalo halikufungwaย vizuri, ile shuka ya damu ilikuwa kwenye begi lake na kwaย vyovyote alifanya kuwa siri ndio maana nilipomuuliza hakutakaย kunijibu ipasavyo.ย
Nilishtuka sana, lile shuka lilikuwa na damu zilizotokaย kwenye bikra yangu .
SEHEMU YA TATU
“Mungu wangu. Hili shuka analipeleka wapi?” nilijiuliza, kiuย ya kutaka kuonana na Mama nimueleze mchezo Mchafu wa Ankoย Sanga ilinijaa na vile sikutaka kabisa kumsemesha pale kwenyeย gari.ย
Nikajifanya kupotezea kuwa sijaona kitu, safari hii ilikuwaย fupi maana aliendesha kwa spidi huku akiniuliza maswali yaย hapa na pale, aliuliza kama nina Boyfriend, nikampotezea,ย aliuliza kuhusu masuala ya nchuo sikumjibu kitu.ย
Ugumu wa safari hii ulikuwa na maumivu ya moyo wangu,ย tulipofika nilianza kulia baada ya kumuona Mama aliyekuwaย amesimama mlangoni baada ya kusikia mlio wa gari,ย nilikurupuka na kwenda kumkumbatia huku nikilia na choziย likimiminika kwenye manega yake.ย
Mjomba alikuwamo kwenye gari mpaka kufikia muda ule, Mamaย alinikumbatia pia na kuniambiaย
“Ndio ukubwa huo Veronica usilie” alisema, nilishtuka kishaย nilijitoa kidogo na kumtazama huku chozi likiendeleaย kunimwagika kwenye mboni za macho yanguย
“Ndio ukubwa? unamaanisha nini Mama?” nilihoji, nikachukuaย kitambaa kutoka kwenye mfuko wa suruali yangu na kujifutaย machoziย
Mama alikuwa akiniangalia tu bila kunijibu swali languย
“Mama! ina maana unajua kinachoniliza?” nilimuuliza swaliย lingine, akasema tuingie ndani, wakati tunaingia ndani Mjombaย akawa ameshuka akafunga mlango na kuingia ndani pia.ย
Baada ya kuketi nilijiuliza maswali mengi kuwa Mama anajuaย kila kitu ina maana alikuwa akiijua hii safari ya Mlimaย Kilimanjaro? na kama alikuwa akijua kulikuwa na jambo ganiย hapa nyuma yake? wakati naendelea kutafakari niliisikia sautiย ya Mamaย
“Veronica, hongera na pole kwa kilichotokea” alisema,ย aliongea nusu nusu na kunifanya nizidi kuingiwa na wasiwasi
“Mama umeshiriki kwenye unyama alionifanyia Anko Sanga?”ย alikaa kimya akinitazamaย
“Sidhani kama ni kweli umenizaa, sijui kama huyu kweli niย Kaka yako wa damu! Mama wewe wakupanga hili jambo kweli?”ย Nilisema kwa hasira na hisia nzito huku moyo ukizidi kuniumaย
“Veronica!! Kwasasa bado mdogo huwezi kuelewa hili jamboย lakini ndio uhalisia huo, nilijua hatma ya safari hii na Ankoย wako Sanga”ย
“Mama na Kaka yako ni mashetani wakubwa, wakati nikiwa naย tumaini la kupata faraja kutoka kwako kumbe nawe umechangiaย kuniumiza?”ย
“Veronica….msikilize Mama yako” Anko Sanga akadakia, kamaย vile aliupuliza moto uliokuwa ukiwakaย
“Wewe ndio mshenzi kabisa, hufai kuitwa Anko, fedhuli mkubwaย wewe” nilisema na kuangusha kilio, waliponisemeshaย nilikimbilia chumbani kwangu na kujifungia.ย
Mama alirudi Sebleni baada ya kuja kunigongea mlango bilaย mafanikio, Anko Sanga akatoa ile shuka na kumuonyesha Mama,ย kisha Mama akamwambia aipeleke Kwa Mganga wao!ย
“Jambo hili lapaswa kuendelea kuwa siri hivyo zungumza naย Mwanao vizuri” Alisema Anko Sanga akiwa anairudisha ile Shukaย kwenye begiย
“Hilo ni jambo langu, nenda sasa” Aliongea Mama, Anko Sangaย akaondoka Mchana uleule.ย
Majira ya Usiku nikiwa nimejifungia mle chumbani, hasiraย zikiwa zinapoa taratibu maana hakukuwa tena na Mtu waย kuzipandisha, nilichukua simu na kuwasha tochi kishaย nikaziangalia sehemu zangu za siri maana ile damu na maumivuย sikupata nafasi ya kujiangalia vizuri.ย
Niliona pakiwa pamekaa vizuri tuu, hata yale maumivu yalikuwaย yamepoa kabisa nikawa najisikia vizuri, japo Mama yanguย alifanya kitendo cha Kinyama vile nilijikuta nikiingiwa naย huruma hasa yale Maneno makali niliyoyazungumza mbele yake.ย
Nikawa natafakari jinsi ya kumuomba msamaha wakati huo nikiwaย nasikiliza nyimbo ya Kayumba inayoitwa Mama, ikanifanyaย nifikirie jinsi Mama alivyonilea nikiwa mdogo kabisa, Babaย alitukimbia akanilea kwa shida hakukata tamaa.
Jinsi alivyonipigania hadi nikafika chuo ilikuwa ni namna yaย kipekee sana, nilijikuta nikijilaumu kwa kumtolea lugha zaย matusi, Punde nikasikia sauti ya Mtu akiwa analia kwa nje,ย nilipoitafakari nikagundua kuwa inatokea sebleni na ilikuwaย ni sauti ya Mama!ย
“Mama analia? itakuwa nimemkosea sana Mama yangu” nilisema naย moyo wangu. Nilijikuta nikizidi kuumia kwenye nafsi yangu,ย ikanipasa nifungue mlango na kuelekea sebleni.ย
Mama alikuwa akilia huku akiwa amejiinamia, alilia sana naย kunifanya nikubali makosa yangu.ย
“Mama naomba unisamehe” Nilimwambia Mama baada ya kumsogelea “Veronica umenisemea maneno mabaya sana, nimeumia mno”ย
“Ndio maana naomba msamaha Mama, nimetambua makosa yangu naย sina budi kuomba radhi kwa maneno yangu makali niliyoyasemaย mchana” Baada ya kumuomba radhi, alinisamehe na Maishaย yakaendelea nikiwa nimeshatolewa usichana wangu na Ako Sangaย ambae ni Kaka wa Mama yangu Mzazi.ย
Sikutaka tena kumuuliza kuhusu lile shuka ambalo lilikuwa naย damu yangu ya Bikra, nilionelea nikae kimya kwa kuhofiaย kumkwaza tena Mama, sikumuona wala kumsikia tena Anko Sanga.ย
Baada ya mwezi mmoja likizo ilikuwa imeisha nilitakiwa kurudiย chuo kuendelea na Masomo, Mama aliniita usiku wa kuamkiaย safari.ย
“Veronica nenda kasome, Nakupigania sawa?”ย
“Mh! Mama unanipigia kila siku hilo nalijua”ย
“Ni kweli lakini nitahakikisha maisha yanabadirika,ย namshukuru Mungu kunijalia Mtoto kama wewe” Alisema Mama,ย nikakumbuka alikua akinipigia simu mara nyingi nikiwa chuoย akinitaka sana nijitunze, nijiepushe na masuala ya Wanaume.ย
“Sawa Mama siwezi kukuangusha kwenye kila jambo”ย
Niliondoka Alfajiri na kurudi Dar kwa ajili ya kuendelea naย Masomo yangu huku kichwani nikifikiria jinsi nilivyomsalitiย Jonas, Konzo alikuwa wa kwanza kunipa taarifa kuwa Jonasย alianzisha mahusiano mengine na Mwanafunzi mwingine aliyeitwaย Agatha.
“Siamini kama Jonas anaweza kutembea na Agatha kwa jinsiย anavyokupenda lakini nimethibitisha kwa macho yangu mawili”ย alisema na kuniaminisha kwa kauli yake, sasa nilipofikiriaย kumfuata Jonas moyo ulisita kwani nami nilikuwa msaliti kwakeย japo nilikuwa nimebakwa na Anko Sanga.ย
“Naanzaje kumlaumu Jonas?” nilijiuliza nikiwa peke yanguย baada ya kuachana na Konzo, ilikuwa ni siku ya pili baada yaย kurejea Dar.ย
“Mimi mwenyewe nimemsaliti na kutolewa bikira yangu”ย Niliachana na wazo la kumuuliza Jonas japo hata mimi nilionaย amebadirika huku kisingizio kikiwa ni kutompa penzi.ย
“Jonas nipo tayari kukupa penzi” nilimwambia nilipokutanaย nae, alishangaa kwasababu sikuwahi kumwambia vileย
“Uko serious?”ย
“Ndio, Jonas sitaki nikupoteze” nilisema tukiwa tumekaaย chumbani kwetu, ilikuwa ni kawaida kwa Wanaume kuingia vyumbaย vya Wanawake na wanawake kuingia kwa Wanaume. Konzo naย marafiki wengine walitupisha kwakuwa nilishawaambia kuwa ninaย hamu na Jonasย
“Nafurahi kusikia hivyo Kipenzi, jinsi nilivyokuwaย nakuhangaikia kila siku” alisema akiwa ananiingia maungoni,ย hisia zilipanda lakini wazo la kuwa Nilikuwa nimekeketwaย likaja ghafla, nikaogopa kuumbuka pale.ย
“Jonas subiria kidogo” nilisema kwa tabu alikuwa tayariย ameanza kunyonya chuchu zangu! Mhemko ulikuwa umepanda sanaย
“Nisubirie nini mpenzi jamani” Jonas alionekana kuzidiwa naย kunihitaji sana wakati ule, alikuwa ameshavua shati lake naย kulitupa chini. Maziwa yangu yakiwa yametolewa kwenye sidiriaย
“Subiria kwanza una Condom?” nilimuuliza kimtego ili tuย kuahirisha zoezi, nilikuwa nikimpenda sana Jonas naย nilihitaji aje kuwa Mume wangu siku za usoni.ย
“Aaah! unaona unavyoboa Veronica? ulivyonipigia nilikwambiaย nakuja na Condom, hatuwezi kufanya sex bila kinga” akasemaย huku akiendelea kuninyonya na kunifanya nipandwe na mzuka waย ajabu!ย
“Subiria kidogo, Jonas hapa hatuwezi kuwa huru. Kachukueย Chumba Lodge tulale wote”ย
“Veronica bhana, nilijua tu utanizungusha zungusha”
“Siwezi kukuzungusha My love, napenda tuwe huru zaidi” “Lini twende Lodge?”ย
“Tutaongea kwenye simu” Nilisema, Jonas hakukaa aliondokaย zake na nilijua tu nimemkwaza.ย
“Nimeshindwa kufanya nae”ย
“Veronica una shida gani kwani? si ulisema una hamu naye sanaย sasa kilichokufanya usikate kiu leo ni nini?” Alisema Konzoย kwa kunilaumu sana, alijua tayari nimetolewa usichana wanguย na Jonasย
“Sio hivyo tatizo naona aibu Konzo, unajua mimi ni Bikra”ย
“Sasa utaona aibu hadi lini Veronica? Jonas akikosa kwakoย ataenda kusex na mwingine”ย
“Najua. Unanishauri nifanye nini?”ย
“Sex nae”ย
“Naogopa, naona aibu”ย
“Nina wazo, hiyo siku tumia kilevi ili kuikata aibu” “Unamaanisha Pombe?”ย
“Ndio, hiyo ndio njia pekee. Unatakiwa ujifunze pombe”ย Alinipa wazo la kutumia kilevi ili nisex na Jonas, wakatiย nalifikiria hilo nikapata wazo lingine.ย
“Utanifundisha basi Konzo maana sijawahi kuitumia”ย nilimueleza kwakuwa alikuwa akitumia Pombe hivyo anifundishe,ย Sasa wazo lililonijia ni kwamba nikishaijua vizuri hiyo pombeย nimshawishi na Jonas tulewe kwanza ndipo tusex kwa kuaminiย Mtu akilewa anakuwa hana muda na kuangalia au kuchunguzaย vitu. Nikajisemea kuwa hawezi kugundua kuwa nimekeketwaย
Basi, Konzo alianza kunifunisha pombe. Alinipeleka kwenyeย kumbi za starehe nyakati za usiku na kuanza kunifundishaย taratibu, alianza na bia zenye kilevi asilimia ndogo kishaย aliniingiza kwenye pombe kali kama Konyagi ili nilewe haraka.ย
“Sitaitumia kwa Maisha yangu yote nitaiacha baada tu ya kusexย na Jonas”
“Hayo ni maamuzi yako Mwaya, ukiipenda endelea nayo maanaย mwenzio naipiga kama sina akili nzuri na wala haiingiliiย maisha yangu ya Chuo”ย
Nilipanga iwe hivyo yaani nikishasex na Jonas niiache, basiย nilianza kuizoea nikawa napiga mpaka chupa tatu, kichwaย kikawa kigumu kuelewa nikaanza kupiga Konyagi hapo ndipoย nilianza kujihisi nimelewa.ย
Nilipoona nipo sawa kukutana na Jonas kimwili nilimtafutaย maana mawasiliano yetu hayakuwa mazuri. Alinishutumuย simpendi, nina mwanaume mwingine kwasababu tu sikumpaย alichotaka.ย
“Ukinizingua leo ndio umejiharibia mwenyewe nitakaa mbali naย wewe” Alisema, nilimpa uhakika kuwa siku hiyo ni lazima nimpeย penziย
“Kumbe unakunywa pombe Veronica?” alishangaa nikiwa nakataย maji kama kambale kwenye topeย
“Ndio nakunywa!”ย
“Humtaki tena Yesu? ulisema huwezi kunywa kwakuwa una imaniย kubwa sana…nakushangaa leo” alisema huku nae akipigiliaย unywaji, ni kweli niliwahi kumkatalia kuwa situmii Pombeย kwani yeye alikuwa akitumia.ย
Alishawahi kuniwekea mtego wa pombe ili nisex naeย niliposhtuka niliondoka zangu!ย
“Jonas mimi nakunywa pombe vizuri tu, Nimetokea Arusha watuย wengi kule wanatumia Pombe”ย
“Mh! Haya” Tuligida unywaji siku hiyo tukiwa Baa, tulikulaย nyama choma na chips mayai. Kama unavyojua Jonas alitokeaย kwenye familia bora yenye uwezo kifedha.ย
Tulipiga mtungi hadi nilihisi nazima, tuliondoka pale Usikuย tukiwa tumelewa hadi Lodge, ile akili ya kuwa nilikuwaย nimekeketwa iliondoka kabisa maana pombe niliyokunywaย ilikimbilia huku Chini, Jonas nae alikuwa na Mzuka wa ajabuย sana wala hakuchelewesha.ย
Mapenzi ya pombe yakaanza bila hata kuchojoana vizuri,ย tukafanya mapenzi. Japo nilikuwa nimekeketwa lakini nilisikiaย raha sana siku hiyo. Niliukatikia Mjegeje wa Jonas kama Mkunaย nazi vile na uliniingia sawa sawa, alinisugua hadi nikaombaย msamaha siku hiyo.
Tulipomaliza tulijitupa na kulala, asubuhi mapema nikawa waย kwanza kuamka. Kichwa kilikuwa kinanipiga, shuka ilikuaย imeloa damu kidogo! Sikuwa na maumivu popote pale,ย nilimuamsha Jonasย
“Siamini kama tumelala pamoja Veronica?” alisema akiwaย anajinyoosha, kila nilipomtazama nilihisi bado nina aibu nae,ย akataka anifanye cha asubuhi.ย
“Hapana Jonas, nimechoka sana jana umenifanya mpaka basi” “Ha!ha!ha!”ย
“Usicheke kweli umenifanya sana hadi damu imetoka”ย
“Yaani! ndio nimeamini kuwa ulikuwa bikra, nafurahi kuwaย Mwanaume wako wa kwanza” alisema, nilimtazama hukuย nikijiambia kuwa yeye ni wapili, wakwanza alikuwa Anko Sangaย ambaye sikupendelea sana kukumbuka kilichotokea kule Mlimaย Kilimanjaro.ย
Angalau moyo ulikuwa umetulia, Jonas hakufanikiwa kugunduaย kuwa nilikuwa nimekeketwa kwasababu tulisex tukiwa chakali (ย Tumelewa Pombe )ย
**********ย
“Ungeniambia hamjafanya leo ningeshangaa sana, naย kusingelikuwa na njia nyingine” Konzo alisema baada yaย kumsimulia kuwa Nilifanya mapenzi na Jonasย
“Kusema ukweli nimefurahi sana leo huwezi amini Konzo,ย nimefanya mapenzi kwa mara ya kwanza”ย
“Ndio ishakuwa hiyo hairudi nyuma, akitaka unampa atakavyo”ย
Tulicheka kwa pamoja kuashiria tulikuwa tumefurahi wote kwaย kilichotokea. Nikawa nahisi raha ile ya kusex na Jonas hataย nikiwa darasani nililoa kila nilipomtazama, naye alihisiย hilo.ย
Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA NNE
JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย
Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA
Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA
Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย


22 Comments
Yeaaah aweeeeeh
Kwa Kweli Story Inaonesha Ni Nzuri
Uncle kama uncle ๐๐
Mmmmh haya bana uncle nimshua
Duh anko ni noma sana
Oooooh
Ila Anko Sanga Siyo Mtu Ngoja nisubiri Hii story
Ataliii
Mmh me kazi kuwekea bundle tu
Mmmmh haya bana uncle nimshua
Iko vizur sana hiii simulizi nimeipenda
Mambo ya utamu
Cool partnership https://shorturl.fm/a0B2m
Very good partnership https://shorturl.fm/9fnIC
https://shorturl.fm/oYjg5
https://shorturl.fm/a0B2m
https://shorturl.fm/N6nl1
https://shorturl.fm/TbTre
https://shorturl.fm/9fnIC
https://shorturl.fm/a0B2m
https://shorturl.fm/m8ueY
https://shorturl.fm/FIJkD