Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kijasusi
Ilipoishia “Inawezekanaje Zola?” “Hiyo ndio hali halisi ndio maana nimekuita hapa ili tuzungumze, nahisia mbaya juu ya Mkuu wa Nchi lakini sitaki kujiaminisha chochote” “Unataka kusema…
Ilipoishia “Fuata maelekezo yangu, kuwa makini hao Watu wana akili ya ziada sana wakati mwingine Watu hawaamini kama Huyo Mzungu ni Binadamu, wana akili iliyozidi…unaweza kuwa…
Ilipoishia “Aaaah Zola” ilisikika sauti upande wa Mzee Dawson, ikionesha alikuwa akijigeuza. “Hebu fanya taratibu tuonane ana kwa ana Mzee Dawson, nahisi kuchanganikiwa sasa” Zola alikata…
Ilipoishia “Unatakiwa kuwa makini sana sababu kwa namna alivyo huyo Mtu si rahisi akamuamini Mtu kwa Mara ya kwanza, unapaswa pia kujuwa kuwa ukibainika basi kila…
Ilipoishia “Kuna kundi linaitwa MAFIA GANG, ni kundi maalum kwa ajili ya Ugaidi…Mkuu wa kundi hili anaitwa John Brain ni mzungu anayeishi Uskochi, Kazi yake ni…
Robert akiwa kwenye gari lake alianza kulia, akashindwa hata kuendesha akaamua kusimama kando ya Barabara akiwa anabubujikwa na machozi. Machozi yakawa yanamtiririka Robert huku akizidi kulia…
Ilipoishia jana ” Mkononi Mzee huyo alikua ameshikilia Bastola nyeusi ndogo, hapa Daudi akashindwa kufasili kwa haraka haraka ni kwanini alikua na Bastola ambayo haikuonekana kutumika.…
UTANGULIZI Ulikua ni Usiku mwingi, mvua kubwa ilikua ikinyesha ikisindikizwa na radi za hapa na pale,ndani ya kasri moja la kitajiri palionekana kua kimya sana huku…