Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Browsing: riwaya za kijasusi
Ilipoishia “Kuna kundi linaitwa MAFIA GANG, ni kundi maalum kwa ajili ya Ugaidi…Mkuu wa kundi hili anaitwa John Brain ni mzungu anayeishi Uskochi, Kazi yake ni…
Robert akiwa kwenye gari lake alianza kulia, akashindwa hata kuendesha akaamua kusimama kando ya Barabara akiwa anabubujikwa na machozi. Machozi yakawa yanamtiririka Robert huku akizidi kulia…
Ilipoishia jana ” Mkononi Mzee huyo alikua ameshikilia Bastola nyeusi ndogo, hapa Daudi akashindwa kufasili kwa haraka haraka ni kwanini alikua na Bastola ambayo haikuonekana kutumika.…
UTANGULIZI Ulikua ni Usiku mwingi, mvua kubwa ilikua ikinyesha ikisindikizwa na radi za hapa na pale,ndani ya kasri moja la kitajiri palionekana kua kimya sana huku…