Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » In the name of LOVE – 03
    Hadithi

    In the name of LOVE – 03

    Hamza NgondoBy Hamza NgondoSeptember 11, 2025Updated:September 14, 202577 Comments13 Mins Read2K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia sehemu ya pili ya In the name of LOVE

    “Sikumbuki chochote Clara, natamani nikumbuke ili nijuwe tunapoelekea” 

    “Hofu ondoa, Kila kitu kinahitaji muda kukifahamu. Jipe muda zaidi,  usikimbie sana Bali taratibu utakumbuka hatua kwa hatua J” ilikua ni  safari ya wastani wa saa nzima, Hadi tulipofika mtaani. 

    “Gari haiwezi kufika Hadi kule, hivyo tutatembea” alisema Clara, tuliacha  gari mahali Kisha tulishuka na kuanza kutembea. Tulikatisha maeneo  kadhaa, nilimwona Clara akinitazama sana ili kuona kama nilikua  nikiikumbuka mitaa hiyo, sikukumbuka kabisa.  Endelea

    SEHEMU YA TATU

    “Melisa anaishi hii nyumba, hata wewe uliishi hapa kabla ya Hadithi mpya  kuhusu Maisha Yako Jacob” tulisimama mbele ya nyumba Moja iliyopakwa  rangi nyekundu. Ilikua ni nyumba ya kawaida ya Mtaani, palionekana  kutulia sana. 

    “Unapakumbuka hapa?” aliniuliza, niliitazama sana nyumba ile lakini  sikuweza kukumbuka chochote kile, upepo Mdogo ulikua ukivuma 

    “Hapana” 

    “Mimi nilifika mara ya kwanza ilikua ni siku ile Mdogo wako Melisa  alipokuja mgahawani kukuita. Niliguswa na kutaka kujua kilitokea nini  ukawa Ndiyo mwanzo wa kuingia kwenye Maisha Yako” alisema Clara,  chozi likinitoka. Sikupakumbuka, nyumba yenyewe ilionekana kama yenye  kufanyiwa Ukarabati. Wakati tunaongea mara alikuja Mzee Mmoja, alikua  amevalia Msuli na tisheti, alikuja Moja kwa moja kwangu kama vile alikua  akinifahamu Hadi nilishtuka sana.

    “Wewe Kima umekuja kufanya nini hapa?” alipaza sauti huku  akininyooshea Kidole. Sikujua nimjibu nini nilibakia nikiwa ninamtazama  tu, mapigo ya Moyo yalianza kwenda Mbio, nilimtazama Clara Kisha  niliruhusu macho yangu kumtazama tena yule Mzee. 

    “Niliwaambia msije tena hapa, hii nyumba haiwahusu, siyo wewe wala huyo  Mshenzi mwenzako. Mama yenu alikimbia Urithi sasa unakuja hapa  kufanya nini tena” alizidi kuniporomoshea maneno makali yaliyoniumiza  sana japo nilikua sielewi alikua akimaanisha nini. 

    “Samahani Baba, Jacob hakumbuki chochote. Alipata ajali, nimemleta ili  amwone Mdogo wake Melisa” alidakia Clara, Yule Mzee akamtazama Clara  kwa hasira Kisha akasema 

    “Anhaa kumbe ni wewe Binti, nimekukumbuka. Wakati ule ulitaka usawa  kama huu lakini wakati huu huambulii kitu, uliweza wakati wa mazishi ya  Mama Yao tu. Jacob na Melisa niliwafukuza hapa, sasa mnakuja  kumwangalia Melisa gani? Muulize huyo Mbwa akwambie alipo mpeleka  Mdogo wake” nilishtuka na kushangaa sana, hata Clara aligeuka  kunitazama. Ilionesha Clara hakufahamu mengi baada ya Kifo Cha Mama

    “Huyu ni Nani?” nilimuuliza Clara, akamtazama yule Mzee Kisha  akarejesha macho kwangu.  

    “Huyu ni Mjomba wako, Kaka wa Mama Yako” 

    “Sema nilikua Kaka wa Mama yake. Kwanza msifanye mambo kua  magumu, hebu tokeni hapa haraka kabla sijapandisha mashetani ya Kwetu”  Yule Mzee akang’aka. Nilichukia sana, nikaondoka kwa hasira. 

    “Jacob, subiri” alisema Clara, nilitembea haraka Hadi kule tulikoacha gari.  Chozi lilikua linanibubujika. Hapakua na tumaini la kumpata Melisa kwa  haraka 

    “Jacob usitumie hasira tafadhali. Haya mambo yanahitaji Ujasiri” alisema.  

    “Ujasiri gani unaousema Clara, yule Mzee anatoa lugha Kali na matusi,  haonekani kua Mtu mzuri kwangu. Kama ni kweli yeye ni Kaka wa Mama  yangu basi hatukuwahi kuelewana naye, ningekua na kumbukumbu zake  sijui kama tungefika huku, ilianza kama ndoto lakini inaenda kua kweli  sasa, kumpata Melisa ni Mtihani, Mimi sijui nilikompeleka” nilisema kwa  kujihukumu, chozi likinibubujika nikiwa nimeegemea Bodi ya gari 

    “Jacob, pale ndipo nilipowaacha wewe na Mdogo wako baada ya Mazishi ya  Mama yenu. Sikurudi tena Hadi nilipokugonga na gari, sikujua kama 

    Mlifukuzwa Masikini” alisema Clara huku sura yake ilijaa majuto na  huzuni, nilipomtazama niligundua alikua kwenye maumivu sana ya kihisia. 

    “Haina maana tena Clara, sijui alipo. Sikumbuki tulienda wapi, Ina maana  sikua na rafiki, kwanini tusiende mgahawani uliposema kua nilikua nafanya  kazi?” Nilimuuliza, nikaona uso ang’avu kwa Clara kama Mtu  aliyekumbushwa alichokisahau. 

    “Ndiyo, tunaweza kupata fununu huko. Hebu twende” tuliingia kwenye  gari, safari ya Mgahawani ilianza kwa Kasi sana. Nilijilazimisha kukumbuka  nilipomwacha Melisa lakini ilikua ngumu niliishia kupata maumivu ya  Kichwa. Clara akajitahidi kunisihi sana kua nisitumie nguvu kubwa na  hasira kukumbuka 

    Tulikua kimya Hadi tunafika mgahawani, Clara akaniambia Mgahawa huo  ndipo tulipokutana Mimi na yeye, niliuangalia lakini sikupata  kumbukumbu yoyote ile, sikukumbuka kama niliwahi kufika hapo na  kufanya kazi. Ulikua ni Mgahawa wa Kisasa wenye hadhi ya juu sana 

    Tulishuka kwenye gari, Kisha tulielekea ndani ya Mgahawa. Mtu wa kwanza  kutuona alikua ni Mwanamke mmoja mwenye Sare za wafanyakazi wa  Mgahawa. Akatabasamu Kisha akaniita 

    “Jacob” 

    Nilimtazama kama Mtu aliyekua akilia, sikujua nitabasamu au nishangae.  “Nam‼” nikaitikia huku nikisukumwa na kiu ya kujua alipo Melisa kwanza. “Ulikua wapi?” aliponiuliza sikujua Cha kumjibu, nilimtazama Clara. 

    Mara akapita Mtu mwingine akiwa amevalia suti, akatabasamu na  kunikumbatia akionesha ni Mtu muhimu kwangu, nilianza kuhisi pengine  ndiye rafiki yangu ambaye angetupatia fununu na kujua mahali alipo  Melisa.  

    “Naomba tukae kwanza” alisema Clara, yule Mwanamke aliondoka zake.  Mimi, Clara na yule jamaa tukapata muda wa kuongea, akaanza kusema 

    “Jacob huonekani kua sawa, ni kama Mtu aliyehama sana kifikra, halafu  ulikua wapi siku zote hizo?” aliuliza yule Jamaa, hakujua chochote kile. 

    “Alipata ajali, amepoteza kumbukumbu. Yupo hapa kujikumbuka, kujua  mengi kuhusu Yeye” alijibua Clara, Hali hii ilimshangaza sana yule 

    Mwanaume. Akanitazama huku akiiuliza nafsi yake kama alichoambiwa  kilikua kweli.  

    “Ndiyo, sikukumbuki wewe. Sikumbuki chochote. Najiona kama Mtu mgeni  hapa Duniani, miezi mitatu iliyopita ilibadilisha Kila kitu” Nilisema, niliona  namna yule Mwanaume alivyosikitika 

    “Pole sana Jacob, angalau uko Mzima.” 

    “Asante, wewe ulikua rafiki yangu? Kama ni hivyo naomba unipe majibu ya  Maswali yangu tafadhali” nilisema huku nikilengwa na Mchozi.  

    “Hapana, Mimi nilikua meneja wako. Hata hivyo hapa ulishafukuzwa kazi,  rafiki Yako alikua Sudi” niliposikia kuhusu rafiki, nilishtuka nikajua sasa  huyo Sudi atakua na Majibu. 

    “Yupo wapi huyo Sudi?” niliuliza, akanitazama Kisha akasema. 

    “Bahati mbaya, Sudi alikimbia na hajulikani alipo. Chumbani kwake  ilikutwa maiti ikiwa na mikwaruzo shingoni, kwa mujibu wa Polisi ni kua  Maiti huyo alibakwa na Sudi Kisha kuuliwa” alisema, nilishusha pumzi  zangu, niliuwona Mlima mrefu sana Hadi kujitambua 

    “Sasa nataka kujua niliishi wapi?” 

    “Mara ya mwisho nilisikia ulikua ukiishi kwa Sudi.” 

    “Kwa Sudi?” 

    “Ndiyo, pole sana Jacob. Maiti ile ilikua ya Mdogo wako Melisa” Moyo  Wangu ulilipuka mithiri ya Volkano, kusikia Mdogo wangu Melisa ndiye  aliyebakwa na kuuawa kulifanya nishtuke sana, nilihema bila kujizuia,  nilihisi hata Presha yangu ilikua imepanda, koo langu lilikauka mate. 

    Taratibu chozi lilianza kunidondoka kwa Uchungu sana, japo sikukumbuka  hata sura ya Melisa lakini alikua Ndiyo tumaini pekee kwangu.  Kilichoniumiza zaidi ni kuona rafiki yangu mkubwa ndiye aliyekatisha uhai  wa mdogo wangu kwa kumbaka na kumwua. Nilihisi kufa-kufa, chozi  lilibubujika jingi kwa mfululizo. 

    Niligeuka kumtazama Clara, niliona naye alikua akidondosha chozi. Alikua  akiumizwa sana, alinifuta chozi kwa kutumia kitambaa Chake Kisha  akaniambia 

    “Pole sana Jacob, taswira imebadilika tena. Najiona ni mwenye hatia kuu,  siwezi kuukwepa huu msalaba. Kama siyo Mimi kukugonga na gari basi  hata mdogo wako Melisa asingelitendewa Unyama kama huu, hakustahili 

    kabisa” alisema huku akidondosha chozi pia, sikumtazama Clara kama  ambavyo yeye alikua akijiona. Kwangu alikua ni Mwanamke asiye na hatia,  sikuweza kumjibu chochote nikamuuliza yule jamaa 

    “Unapafahamu alipozikwa Mdogo wangu?” alinitazama, macho yake  yalitambua Uchungu ulio moyoni mwangu, akapepesa macho yake kidogo  halafu akaniambia 

    “Ndiyo, amezikwa Makaburi ya Kinondoni. Naweza kuwapa Mtu  akawapeleka huko, sisi tuliubeba Msiba wa Mdogo wako sababu hapakua  na Mtu mwingine aliyejitokeza. Tulimzika” aliongea maneno mengine  yaliyonipa Uchungu zaidi, niliona ni jinsi gani mdogo wangu alivyokosa  Mtu muhimu wa Kumzika. Nilijiuliza ni jinsi gani alinilaani bila kujua  mahali nilipo, sijui alitaja jina langu wakati anakufa au aliacha laana? 

    Nilimeza mate ya maumivu sana, nilipoteza Mtu pekee aliyeko upande  Wangu.  

    “Sawa, naomba nikalione Kaburi lake” nilimwambia. Yule Meneja  akanitazama tena, Kisha akatoa simu yake na kunionesha picha ya Melisa  Kisha akaniambia 

    “Huyo ndiye Melisa, Jacob. Unapaswa kukumbuka Kila kitu. Usiwe  mtumwa” Nilimtazama Melisa, akiwa anatabasamu. Picha hiyo nilipiga  nikiwa naye, tulionekana kua wenye furaha sana. Nilitabasamu kwa  maumivu makali sana ya Moyo Wangu. 

    Bahati mbaya sikuweza kukumbuka hata chembe ya Maisha tuliyoishi Mimi  na Mdogo wangu Melisa. Akili yangu ilitapatapa lakini sikuambulia  chochote, nilimrudishia ile simu Kisha akawa amemwita Mtu wa pale  Mgahawani ili atupeleke Kinondoni 

    Tuliondoka pale Hadi Makaburi ya Kinondoni kwa ajili ya kuzuru Kaburi la  Mdogo wangu. Clara alikua bega kwa bega na Mimi Hadi Kinondoni, yule  Mtu akatupeleka Moja kwa moja Hadi lilipo Kaburi 

    Lilionekana ni Kaburi lililofukiwa siku chache tu maana udongo wake Bado  ulikua mwepesi. Laiti kama ningelirudisha fahamu na kupona mapema,  pengine ningewahi kumwokoa Melisa Jamani. 

    Nilipiga goti nikiwa ninalia huku mwili ukinisisimka sana, Melisa aliondoka  bila kupenda. Sudi alikatisha uhai wake, niliambiwa kua nilikua na urafiki  wa kushibana sana na Sudi lakini ndiye aliyemuuwa Mdogo wangu Kisha  kukimbia.

    Nililia sana kama Mtoto mdogo, Clara alikua akinituliza Kila sekunde  iliyoondoka. Nilihisi Uchungu sana, ni Bora hata ningekufa kwenye ajali ili  nisijuwe chochote kile kilichoendelea Kwa Mdogo wangu Melisa 

    “Jacob, inatosha. Turudi nyumbani sasa, umelia sana leo imetosha,  hatuwezi kurudisha muda nyuma. Mpango wa Mungu umetimia” alisema  Clara huku akinivuta kwa kushirikiana na Mtu aliyetuonesha Kaburi la  Melisa. Waliniondoa kwa nguvu nikiwa ninalia, wakanirudisha kwenye gari 

    “Kaka Asante sana, hii hapa pesa itakusaidia kurudi Mgahawani, sisi  tunaelekea nyumbani” Clara aliongea, akampatia pesa yule Jamaa. 

    “Poleni sana, namwonea huruma sana Jacob. Ni Mtu mzuri sana pengine  hakustahili yote haya” yalimtoka yule Jamaa, akasinya ile pesa akaondoka  zake taratibu. Tuliondoka tukarejea nyumbani kwa Clara, sikua na mahali  

    pengine pa kwenda tena. Kila kitu kilikua kipya kwangu kama Mtoto  Mchanga.  

    ****** 

    Siku zilisonga mbele, taratibu ule Uchungu ulianza kuondoka. Clara  alihakikisha Kila baada ya Siku kadhaa naonana na Daktari wa akili ili  kuona namna ya kunisaidia kurejesha kumbukumbu zangu. Nilikua  nimetenganishwa na Jacob wa zamani, nilimfahamu Jacob wa sasa pekee. 

    Siku Moja Jioni, Clara aliniambia kua anahitaji kuongea na Mimi. Tulitoka  na kwenda nje ya Mji, mahali Fulani pazuri sana. Palikua na Mgahawa  mdogo lakini wenye hadhi ya juu, pesa haikua tatizo kwa Clara kwani alikua  na uwezo mkubwa kifedha, alikua akiendesha biashara zake kubwa 

    Tulipofika hapo, aliagiza chakula. Ilikua jioni imeingia, kagiza ka kuchombeza kalikua kanaingia taratibu, taa nzuri zilikua zimewashwa.  

    Mara zote alikua akinitazama sana usoni Hadi nilianza kujihisi aibu kidogo  lakini sikukubali kupotezwa. Baada ya kupiga mvinyo kidogo, alianza  kuniambia 

    “Jacob, ni Miezi sita sasa. Nimekuita hapa kwa ajili ya mambo mawili”  alisema kidogo Kisha aliachia tabasamu la kuniondoa shaka maana alihisi  jambo ndani yangu. Nilianza kuhisi pengine alihitaji kuniambia niondoke  kwake

    “Umekua familia yangu, sikuwahi kukueleza chochote kile kuhusu Familia  yangu” alisema Kisha alishusha pumzi kidogo halafu akaendelea “Mimi  Sina Baba wala Mama, Sina ndugu wa aina yoyote ile. Niliokotwa na  kulelewa kwenye vituo vya kulea Watoto Yatima, nilikulia huko na kusoma  Hadi nikawa mkubwa, Sina ndugu wa kulalamika kwake hivyo nayajua  Maumivu ya kuishi bila ndugu….Nisamehe kwa kua sababu ya wewe kuishi  Kama Mimi” alisema huku chozi likimdondoka 

    Alinishangaza kidogo, sikuwahi kufikiria kua Hana ndugu yeyote maana ni  jambo ambalo hakuwahi kunieleza kabisa. Iliniumiza sana “Clara usijali,  yaliyotokea yameshatokea. Hakuna tunachoweza kufanya kurejesha  chochote kile. Nilishakusamehe na Sina kinyongo kabisa halafu pole sana  kwa uliyoyapitia, sikuwahi kufikiria kabisa”  

    “Umenisamehe kutoka Moyoni Jacob?” 

    “Shaka ondoa Clara” 

    “Ahsante sana” 

    “Usijali karibu” nilimpa tabasamu la kumwakikishia kua nilimsamehe kwa  kila kitu.  

    “Jacob, siwezi kuendelea kuficha hili jambo. Limekua moyoni mwangu  tokea siku ya kwanza nilipokuona kule Mgahawani, najua hukumbuki  chochote kile. Naomba ujue Leo kua Nakupenda sana” Nilihisi mwili  ukizizima, kama taa za mwili Ndiyo zilishtuliwa na kuwashwa kwa mara ya  kwanza.  

    Nilimtazama Clara kama Mtu aliyepigwa na Bumbuwazi, neno nakupenda  lilipenya Hadi ndani ya Moyo Wangu. Nilihisi kua neno kama hili niliwahi  kuambiwa lakini sikukumbuka niliambiwa na Nani, wapi. Sikukwepesha  macho yangu, nilimtazama sana Clara bila kusema chochote kile 

    “Najua hukutegemea kama ningelisema hili lakini Jacob” akasema Kisha  akanishika kiganga Cha mkono Wangu na kuniambia 

    “Naomba uwe Mume wangu” alizidi kunisisimua mwili Wangu, nilimeza  funda zito la mate nilimtazama kwa Mshangao, sikujua nifurahi au niulize  maswali.  

    “Tafadhali Jacob” alisema Huku chozi likimbubujika, alionesha hisia zake  zilikua za kweli na zilitoka ndani ya Uvungu wa Moyo wake, siku zote alikua  mwema kwangu. Nilisimama pole pole huku nikimtazama, Uso wake  ulionesha Mashaka, naye alisimama

    Haraka nilizunguka na kumkumbatia kwa nguvu sana, nilihisi utulivu sana  moyoni mwangu. Nilihisi kupata furaha isiyoelezeka, japo sikuwahi kua na  hisia naye lakini maneno yake yaliibua hisia ya haraka sana.  

    “Jacob, nipo tayari kukupa Kila kitu changu ilimradi tu uwe Mume wangu.  Maisha bila Mtu wa kumpenda ni sawa na Bure” alisema akiwa amejilaza  kifuani. 

    “Clara….Nimehisi kupona ghafla kutoka kwenye Upweke, siku zote nilijihisi  kama Mtu nisiye na pakwenda, niliyepoteza Kila kitu. Lakini uwepo wako  mbele yangu ulikua na maana sana lakini Leo umekua na maana zaidi”  nilimsikia Clara akilia kwa furaha.  

    Ukurasa mpya wa Maisha yangu na Clara ulianza jioni ile, Kila kitu kuhusu  Mimi na yeye kilianza upya. Upendo, furaha tele vilitufuata Kila Kona,  hatimaye Clara alipata Ujauzito baada ya Miezi kadhaa kupita. Tulipanga  taratibu za ndoa, Kila kitu kilienda sawa 

    Tulifunga ndoa kubwa yenye gharama sana, ilikua ndoa haswa. Furaha yetu  ilikua kupata Mtoto ndani ya ndoa, hatimaye Mimi na Clara tulikua Mume  na Mke. Tuliendelea kulea Ujauzito Hadi pale alipojifungua Mtoto wa Kike,  tulimpa jina la Melisa ili kumuenzi Mdogo wangu Melisa 

    Kila nilipomtazama Mwanangu Melisa nilijiona nikiwa nimepata bahati ya  kuishi tena na Mdogo wangu.  

    “Hatimaye umempata Melisa wako Jacob” alisema Clara, alinifanya  nitabasamu sana.  

    “Asante kwa kunipa nafasi ya kuishi tena na Melisa Wangu” nilisema. Clara  alinitafutia Mwalimu na kunifundisha masuala ya Usimamizi wa Biashara,  alikua akinifundisha nyumbani, alitokea Moja ya vyuo Bora sana Nchini.  

    Nilipokea masomo Kila siku, aliniandaa kuja kusimamia Biashara zake  zote. Baada ya kuhitimu ulikua Ndiyo muda sahihi wa kuchukua umiliki na  Usimamizi wa Biashara zote kama Mume wake, Kila kitu kilienda sawa  nikawa ndiye Msimamizi Mkuu wa Biashara zote za Clara 

    Alikua na Makampuni zaidi ya Matatu Nchini. Nilifanya kazi kwa Bidii  sana, Siku zilienda, Miaka ikasonga mbele. 

    CHUKUA ZAWADI YAKO KUTOKA KWA ADMIN wa Kijiweni Kwa Kugusa HAPA

    Miaka mitano ilipita, Melisa alikua Mkubwa. Biashara ilikua kubwa zaidi,  tangu kunipa Usimamizi Kila kitu kilibadilika hata yeye mwenyewe Clara  aliona matunda ya kuniamini.  

    Siku Moja, mvua ilikua ikinyesha Mji mzima. Siku hiyo ilikua ni siku ya  Kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Mtoto wetu Melisa. Nilihitaji kumaliza  vikao mapema ili nirudi nyumbani kwa ajili ya Kusherehekea Siku hiyo  pamoja na Familia yangu.  

    Hadi mishale ya Saa 12 jioni nilikua Bado sijamaliza. Nikazungumza na  Melisa kupitia simu nilimwomba kua asherehekee na Mama yake kwani  nilibanwa sana na kazi, lakini yeye alikubali kunisubiria Hadi nitakaporudi 

    Kusema ukweli, Melisa alikua na Upendo sana na Mimi pengine kuliko hata  na Mama yake, siku zote alinisubiria Hadi niliporudi. 

    Basi, niliongeza Kasi ya kufanya kazi. Saa Moja Usiku, nilikua tayari kwa  ajili ya kurudi nyumbani, nikiwa ndani ya gari nilipiga simu kwa Clara,  nikazungumza na Melisa kwa njia ya video, alionekana ni mwenye furaha  sana kunisubiria. 

    Basi, niliendesha gari kwa mwendo wa kawaida sana maana mvua ilikua  ikinyesha tena haikua mvua ndogo ilikua kubwa sana. Nilipofika maeneo ya  Morocco, taa za upande wa gari zinazotoka Mjini zilikua zimeruhusu, Mimi  nilikua mbele zaidi, wakati tayari nimeshaingia katikati ya Barabara  palitokea gari Moja ndogo nyeusi iliyotokea Kinondoni na kuingia mazima  Barabarani. 

    Wakati natahamaki nikajikuta nimegongwa ubavuni, wenge zito  likaniandama. Nilipojiangalia vizuri nilikua nikitokwa na Damu nyingi  kichwani, nilihisi kupoteza uono mara ghafla hata fahamu zangu  ziliniondoka. 

    Nini Kitaendelea? Usikose sehemu ya NNE

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love 

    riwaya mpya riwaya za mapenzi soma riwaya bure

    77 Comments

    1. Khloe568 on September 11, 2025 2:10 pm

      https://shorturl.fm/xSZw0

      Reply
    2. Philip3438 on September 11, 2025 2:24 pm

      https://shorturl.fm/oIYMW

      Reply
    3. Gregory1549 on September 11, 2025 6:22 pm

      https://shorturl.fm/dAqa1

      Reply
    4. 🔨 ⚠️ Verification Required - 0.2 Bitcoin transfer blocked. Proceed here => https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& 🔨 on September 12, 2025 5:16 am

      sohg0k

      Reply
    5. 🔒 🚨 ATTENTION - You were sent 1.2 BTC! Tap to claim → https://graph.org/RECEIVE-BTC-07-23?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& 🔒 on September 12, 2025 5:16 am

      o5wgxp

      Reply
    6. Chuck3973 on September 12, 2025 7:35 am

      https://shorturl.fm/vrMtp

      Reply
    7. Cameron1658 on September 12, 2025 12:50 pm

      https://shorturl.fm/Hnju0

      Reply
    8. 🔑 📢 Alert: 0.95 BTC available for withdrawal. Continue → https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& 🔑 on September 12, 2025 1:17 pm

      qeabfx

      Reply
    9. Clarissa2321 on September 13, 2025 10:18 am

      https://shorturl.fm/5ScU4

      Reply
    10. Wayne268 on September 13, 2025 5:14 pm

      https://shorturl.fm/nIy8I

      Reply
      • Gidioni on September 16, 2025 7:23 pm

        Izo link mbona sielewi ni za nini

        Reply
    11. Francesco1898 on September 13, 2025 6:52 pm

      https://shorturl.fm/tGqZ9

      Reply
    12. Bob1999 on September 13, 2025 10:33 pm

      https://shorturl.fm/W2nd1

      Reply
    13. 📈 💲 Crypto Credit: 3.14 bitcoin added. Access here > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& 📈 on September 13, 2025 11:24 pm

      e1hysf

      Reply
    14. Robin4861 on September 14, 2025 7:52 am

      https://shorturl.fm/652t0

      Reply
    15. 📎 🔔 Notification - 0.95 BTC waiting for transfer. Proceed > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& 📎 on September 15, 2025 4:44 pm

      aoho4y

      Reply
    16. Yuster on September 16, 2025 10:15 pm

      Jacob kumbukumbu zitarudi au

      Reply
    17. ✉ Network - Transaction 0.3 BTC incomplete. Verify here › https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=0e943b8aa6142ede9038f04dd2badfec& ✉ on September 17, 2025 6:34 am

      gtkmrj

      Reply
    18. Scott3858 on September 18, 2025 7:32 am

      https://shorturl.fm/P8Vge

      Reply
    19. Bryce625 on September 18, 2025 2:07 pm

      https://shorturl.fm/Q9Bk7

      Reply
    20. Easton1761 on September 18, 2025 8:00 pm

      https://shorturl.fm/tnpBF

      Reply
    21. Cleo1950 on September 22, 2025 10:24 pm

      https://shorturl.fm/hscEs

      Reply
    22. Annie3129 on September 24, 2025 4:56 am

      https://shorturl.fm/XpYU3

      Reply
    23. Michelle755 on September 25, 2025 2:20 am

      https://shorturl.fm/0933z

      Reply
    24. Elaine928 on September 25, 2025 3:13 am

      https://shorturl.fm/Snr3a

      Reply
    25. Fallon2757 on September 25, 2025 7:41 pm

      https://shorturl.fm/RTNcy

      Reply
    26. Lynne2331 on September 26, 2025 9:35 pm

      https://shorturl.fm/ntF4x

      Reply
    27. Julie380 on September 26, 2025 9:44 pm

      https://shorturl.fm/ntF4x

      Reply
    28. Fiona4453 on October 3, 2025 2:49 am

      https://shorturl.fm/sVuQ7

      Reply
    29. Josiah2147 on October 4, 2025 4:15 am

      https://shorturl.fm/3HgBL

      Reply
    30. Samantha2418 on October 5, 2025 7:52 pm

      https://shorturl.fm/YHtwG

      Reply
    31. Susan2776 on October 7, 2025 5:20 pm

      https://shorturl.fm/eDiv9

      Reply
    32. Cheyenne4352 on October 8, 2025 8:53 am

      https://shorturl.fm/7Fdg3

      Reply
    33. Marvin1580 on October 9, 2025 8:47 am

      https://shorturl.fm/oaIwq

      Reply
    34. Brittany1681 on October 10, 2025 8:16 pm

      https://shorturl.fm/hNNXV

      Reply
    35. Wesley2866 on October 11, 2025 1:43 pm

      https://shorturl.fm/FoCMW

      Reply
    36. Lola2515 on October 12, 2025 8:29 pm

      https://shorturl.fm/6kPGS

      Reply
    37. Maxwell157 on October 12, 2025 10:29 pm

      https://shorturl.fm/fP4tV

      Reply
    38. Kimberly445 on October 13, 2025 11:00 am

      https://shorturl.fm/D6KhW

      Reply
    39. Elsa307 on October 13, 2025 7:51 pm

      https://shorturl.fm/yUFZy

      Reply
    40. Kyle823 on October 14, 2025 12:49 am

      https://shorturl.fm/4qoXD

      Reply
    41. mind vault on October 15, 2025 2:18 pm

      **mind vault**

      mind vault is a premium cognitive support formula created for adults 45+. It’s thoughtfully designed to help maintain clear thinking

      Reply
    42. Gwen2817 on October 20, 2025 12:52 pm

      https://shorturl.fm/wBKmP

      Reply
    43. Mark4955 on October 21, 2025 4:23 pm

      https://shorturl.fm/WZqcQ

      Reply
    44. prostadine on October 21, 2025 11:20 pm

      **prostadine**

      prostadine is a next-generation prostate support formula designed to help maintain, restore, and enhance optimal male prostate performance.

      Reply
    45. Ellen3545 on October 22, 2025 12:05 am

      https://shorturl.fm/IhFJg

      Reply
    46. sugarmute on October 23, 2025 7:07 am

      **sugarmute**

      sugarmute is a science-guided nutritional supplement created to help maintain balanced blood sugar while supporting steady energy and mental clarity.

      Reply
    47. Brock4682 on October 23, 2025 8:23 pm

      https://shorturl.fm/Ha8EC

      Reply
    48. Zachary1495 on October 23, 2025 9:54 pm

      https://shorturl.fm/U640d

      Reply
    49. glpro on October 23, 2025 10:57 pm

      **glpro**

      glpro is a natural dietary supplement designed to promote balanced blood sugar levels and curb sugar cravings.

      Reply
    50. Pedro3672 on October 24, 2025 7:05 am

      https://shorturl.fm/xwHN9

      Reply
    51. zencortex on October 24, 2025 10:26 am

      **zencortex**

      zencortex contains only the natural ingredients that are effective in supporting incredible hearing naturally.

      Reply
    52. mitolyn on October 24, 2025 11:13 am

      **mitolyn**

      mitolyn a nature-inspired supplement crafted to elevate metabolic activity and support sustainable weight management.

      Reply
    53. yusleep on October 24, 2025 1:09 pm

      **yusleep**

      yusleep is a gentle, nano-enhanced nightly blend designed to help you drift off quickly, stay asleep longer, and wake feeling clear.

      Reply
    54. prodentim on October 24, 2025 1:33 pm

      **prodentim**

      prodentim an advanced probiotic formulation designed to support exceptional oral hygiene while fortifying teeth and gums.

      Reply
    55. synaptigen on October 24, 2025 1:56 pm

      **synaptigen**

      synaptigen is a next-generation brain support supplement that blends natural nootropics, adaptogens

      Reply
    56. vitta burn on October 24, 2025 2:25 pm

      **vitta burn**

      vitta burn is a liquid dietary supplement formulated to support healthy weight reduction by increasing metabolic rate, reducing hunger, and promoting fat loss.

      Reply
    57. nitric boost on October 24, 2025 3:11 pm

      **nitric boost**

      nitric boost is a dietary formula crafted to enhance vitality and promote overall well-being.

      Reply
    58. glucore on October 24, 2025 4:20 pm

      **glucore**

      glucore is a nutritional supplement that is given to patients daily to assist in maintaining healthy blood sugar and metabolic rates.

      Reply
    59. wildgut on October 24, 2025 4:57 pm

      **wildgut**

      wildgutis a precision-crafted nutritional blend designed to nurture your dog’s digestive tract.

      Reply
    60. pinealxt on October 25, 2025 12:01 pm

      **pinealxt**

      pinealxt is a revolutionary supplement that promotes proper pineal gland function and energy levels to support healthy body function.

      Reply
    61. energeia on October 25, 2025 1:16 pm

      **energeia**

      energeia is the first and only recipe that targets the root cause of stubborn belly fat and Deadly visceral fat.

      Reply
    62. boostaro on October 25, 2025 1:19 pm

      **boostaro**

      boostaro is a specially crafted dietary supplement for men who want to elevate their overall health and vitality.

      Reply
    63. prostabliss on October 25, 2025 2:44 pm

      **prostabliss**

      prostabliss is a carefully developed dietary formula aimed at nurturing prostate vitality and improving urinary comfort.

      Reply
    64. potent stream on October 25, 2025 11:59 pm

      **potent stream**

      potent stream is engineered to promote prostate well-being by counteracting the residue that can build up from hard-water minerals within the urinary tract.

      Reply
    65. hepatoburn on October 26, 2025 8:36 am

      **hepatoburn**

      hepatoburn is a premium nutritional formula designed to enhance liver function, boost metabolism, and support natural fat breakdown.

      Reply
    66. breathe on October 26, 2025 11:34 am

      **breathe**

      breathe is a plant-powered tincture crafted to promote lung performance and enhance your breathing quality.

      Reply
    67. hepatoburn on October 26, 2025 3:20 pm

      **hepatoburn**

      hepatoburn is a potent, plant-based formula created to promote optimal liver performance and naturally stimulate fat-burning mechanisms.

      Reply
    68. cellufend on October 26, 2025 8:54 pm

      **cellufend**

      cellufend is a natural supplement developed to support balanced blood sugar levels through a blend of botanical extracts and essential nutrients.

      Reply
    69. prodentim on October 26, 2025 9:52 pm

      **prodentim**

      prodentim is a forward-thinking oral wellness blend crafted to nurture and maintain a balanced mouth microbiome.

      Reply
    70. neuro genica on October 27, 2025 12:14 am

      **neuro genica**

      neuro genica is a dietary supplement formulated to support nerve health and ease discomfort associated with neuropathy.

      Reply
    71. revitag on October 27, 2025 12:24 am

      **revitag**

      revitag is a daily skin-support formula created to promote a healthy complexion and visibly diminish the appearance of skin tags.

      Reply
    72. flowforce max on October 27, 2025 12:32 am

      **flowforce max**

      flowforce max delivers a forward-thinking, plant-focused way to support prostate health—while also helping maintain everyday energy, libido, and overall vitality.

      Reply
    73. Darwin746 on October 27, 2025 11:02 am

      https://shorturl.fm/I5nCn

      Reply
    74. sleep lean on October 27, 2025 10:12 pm

      **sleep lean**

      sleeplean is a US-trusted, naturally focused nighttime support formula that helps your body burn fat while you rest.

      Reply
    75. memorylift on October 29, 2025 3:44 am

      **memorylift**

      memorylift is an innovative dietary formula designed to naturally nurture brain wellness and sharpen cognitive performance.

      Reply
    76. Nathan4003 on October 29, 2025 7:03 am

      https://shorturl.fm/W3Gwn

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi October 1, 2025

    In the name of LOVE – 12

    Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE Moyo Wangu na…

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    In the name of LOVE – 09

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.