Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Barua Kwako Feisal “FEITOTO” Kutoka Kwa Shabiki Wako
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Barua Kwako Feisal “FEITOTO” Kutoka Kwa Shabiki Wako

    MhaririBy MhaririFebruary 26, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Feitoto
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Natumai barua hii inakukuta ukiwa mzima na mwenye afya njema kabisa Feitoto. Napenda kukupongeza kwa ujasiri wako na maamuzi magumu uliyowahi kuchukua ambayo mpaka sasa naweza kusema bado yaliacha vidonda kwa baadhi ya mashabiki wako. Inaeleweka kuwa maisha ya mpira wa miguu yanaweza kuwa na changamoto nyingi, lakini uamuzi wako yalionesha ukomavu na uwezo wako wa kufanya maamuzi sahihi kwa mustakabali wako.

    Mimi kama shabiki wako naamini kuwa kila hatua unayochukua katika kazi yako ina umuhimu wake, na naweza kutambua juhudi zako na mchango wako kwa klabu yako ya Azam FC. Kuwa na ujasiri wa kufuata njia yako mwenyewe ni jambo la kuthamini, na naamini utaendelea kuonyesha uwezo wako uliokithiri.

    Achan ana haya yanayoendelea mtandaoni kukuhusu kwamba haukua na baraka kutoka kwa mashabiki wa mitaa ya Twiga na Jangwani kutokana na jinsi ulivyoondoka katika klabu hiyo na jinsi ambavyo mafanikio waliyoyapata baaada ya kuondoka kwako, lakini pia na kelele zilivyokuwa nyingi mpaka usajili wako ndani ya Azam Fc.

    Niko nyuma yako Feitoto kama shabiki wako lakini kumbuka kuwa siku zote mheshimu mkubwa wako hata ukiwa umemzidi utajiri kiasi gani usijrudia tena ile kauli ya kuwa huyu na yule mara hivi na vilena na nakutakia mafanikio makubwa katika safari yako. Tunategemea kuona mafanikio yako uwanjani na kwa kila jambo jipya unalolenga kufanya. Endelea kuwa na bidii, kujituma, na kuwa mfano kwa wachezaji wenzako.

    Natatarajia kukuona ukiendelea kung’ara na kufanikiwa katika kila hatua ya maisha yako ya mpira wa miguu.

     

    SOMA ZAIDI: Barua Nzito Ya Shabiki Wa Simba Kwenda Kwa Yanga

    Feisal Salum Feitoto
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.