Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Kaka Mkubwa
Ilipoishia “Hapo hapo akapiga simu moja kule Mbudya kua ameshammaliza Rais Mbelwa, mwili wake ukavutwa hadi eneo la chini ambako alikua akitesa na Kuuwa Watu, huku…
Ilipoishia “Popo walianza kuruka ruka walipokua wanazidi kwenda mbele ndani ya Pango hilo lenye ukubwa wa kutosha, walifika mahali Zandawe alisimama kisha yule sokwe akasugua kucha…
Ilipoishia ” Kwa kujiamini akasimama na kumvuta Bligedia kwa mbwembwe kisha akampa neno kwa sauti ya kuchombeza “Tuma Askari hapo sasa hivi” alisema kisha aliachia tabasamu,…
Ilipoishia “Mithiri ya Umeme uwashwapo, ndivyo fahamu za Benjamin zilivyorudi huku mapigo ya Moyo wake yakiwa yanaenda mbio sana, zaidi ya siku nzima alikua kwenye Usingizi…
Ilipoishia “Gari ndogo iliyombeba Muhonzi iliwasili ndani ya godauni moja, akashuhswa na kuburuzwa hadi ndani ya Chumba kimoja kilicho kitupu, akamwagiwa Maji ili azinduke. Maji yalimzindua…
Ilipoishia “Madam tumeshafika” ilikua ni sauti iliyomzindua Elizabeth ķutoka katika fikra nzito ya namna alivyokutana na Mke wa Rais hadi kupanga njama za wizi ndani ya…
Ilipoishia “Muhonzi, kuna dili lakini ni dili la kifo, narudi Dar Mchana wa leo” alisema Elizabeth kwa kujiamini kabisa mara baada ya simu kupokelewa, kisha akaikata…
Ilipoishia “Alinivuta haraka sana kama vile Mtu aliyekua akijua anachokifanya, akili haikutaka kuendelea kufikiria, macho yalikataa kumtazama yule Mtu, sikujua alikua ni Askari au alikua ni…
Ilipoishia “Abee” kwa kisauti chake kama Wema Sepetu aliitikia Elizabeth, ukimwona unaweza fikiria ni Msichana dhaifu sana lakini alikua na wasifu mkubwa na wa kutisha, akiwa…
Ilipoishia “Miili ya Wanakijiji ilisambaa kila kona ya Kijiji, haikuchukua hata dakika mbili zile Helkopta zilianza kudunguliwa moja baada ya nyingine, pakawa kimya kabisa, halafu sauti…