Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga Waliuhitaji Zaidi Ushindi Kuliko Kitu Chochote
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Yanga Waliuhitaji Zaidi Ushindi Kuliko Kitu Chochote

    MhaririBy MhaririFebruary 5, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mchezaji wa Yanga
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ukiutazama mchezo wa Yanga dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara ni wazi kuwa kwa namna ambavyo mchezo ulivyokua na jinsi ambavyo Yanga walikua wanacheza ni wazi kuwa walikua wanauhitaji zaidi ushindi katika mchezo huu ili kuweza kushusha presha kwa mashabiki baada ya sare dhidi ya Kagera Sugar.Goli la kwake Mudathir Yahya Abbas likiwapa Yanga alama 3 katika uwanja ambao amekua kisoka kuanzia akademi ya soka mpaka kucheza timu kubwa ya Azam Fc.

    Licha ya nafasi nyingi ambazo walizitengeneza na kuzikosa lakini hawakukata tamaa na kuonesha kuwa walikua na uhitaji mkubwa sana katika mchezo huu.

    Ukiwatazama namna ambavyo Dodoma walikua wanacheza walikuja na muundo mzuri wa kuzuia na kuwaheshimu wananchi  huku wakicheza kwa kushtukiza.

    Unaweza kusifu uwezo wa makocha wote lakini ni wazi lazima umsifie kocha wa klabu ya Yanga kwani Mabadiliko ambayo ameyafanya yameweza kumlipa na kumfanya aondoke na alama 3 katika dimba la Chamazi.

    Siku zote haijawahi kuwa rahisi mchezo unaowakutanisha Dodoma na Yanga licha ya kuwa wananchi wao wanaongoza kwa takwimu nzuri zaidi mbele ya walima zabibu wa Dodoma.

    Ushindi wa leo unawapa nafasi ya kupumua wachezaji wa Yanga na kushusha presha ya kupambania ubingwa wa ligi kuu kutokana na upinzani mkubwa uliopo kutoka kwa Azam Fc na Simba Sc.

    SOMA ZAIDI: Ligi Kuu Imerejea Marefa Kuweni Na Msimamo

    dodoma jiji fc yanga sc

    1 Comment

    1. mitolyn official on January 27, 2026 5:11 pm

      **mitolyn official**

      Mitolyn is a carefully developed, plant-based formula created to help support metabolic efficiency and encourage healthy, lasting weight management.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Stori Mpya January 31, 2026

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha Nne 2025, kiwango cha ufaulu chafikia asilimia 94.98 Baraza…

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.