Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Yanga Dhidi Ya Mashujaa Tusitarajie Mechi Ngumu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Yanga Dhidi Ya Mashujaa Tusitarajie Mechi Ngumu

    MhaririBy MhaririFebruary 8, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Yanga vs Mashujaa
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni mchezo mwingine muhimu kwa Yanga kuvuna alama 3 lakini haitakuwa rahisi kwao kwa sababu Mashujaa pia wanahitaji alama 3 ili kutoka chini ya Msimamo wa ligi kuu ya Nbc kwani Mashujaa wataingia na script ya Kagera Sugar na Dodoma jinsi ambavyo walikabiliana na Yanga, tutegemee na wao wakikaa nyuma kulinda zaidi huku wakitumia ile mipira ya kushtukiza zaidi yaani counter attacks.

    Yanga wataingia kama timu ya kwanza kutokana na ubora wao hivyo wanapewa nafasi kubwa ya kuvuna alama lakini ugumu ninaouona ni jinsi gani Yanga wataweza kuifungua Mashujaa kwani tumeona dhidi ya Dodoma walivyopata tabu kuwafungua na hapa ndio msingi kamili wa kauli yangu kwanini hautakua mchezo mgumu.

    Ukiwaacha yanga wakushambulie kwa muda mrefu basi tambua kuwa unawapa nafasi ya wao kupanga mipango yao ya jinsi ambavyo wanaweza kukufunga na hapa ndipo ambapo mchezo utakua mwepesi na rahisi zaidi kwa wananchi kwani timu kadhaa zilizokaa nyuma nyingi zimeshindwa kulinda na kukutana na kipigo cha dakika za jioni dhidi ya Yanga mfano hai unaweza kuona namna ambavyo Namungo ilivyokua lakini pia na Dodoma Jiji.

    Kukosekana kwa Aziz ki kunaweza kukawa sababu ya Yanga kupata tabu sana kufunga mabao kama ilivyokuwa awali, hivyo leo nategemea kuwaona Maxi Nzegeli, Pacome, Guede na wengine kuonyesha ubora wao wa kufunga mabao na tusubirie kuona jinsi gani ambavyo makocha wat imu zote mbili jinsi ambavyo wameviandaa vikosi vyao ili kuibuka na ushindi wa mchezo huu muhimu kwa timu zote mbili.

    SOMA ZAIDI: Simba Wasijiamini Kwa Ushindi Wa Tabora, Azam Ni Bora Sana

    mashujaafc yanga

    1 Comment

    1. Pingback: Simba Wamefikiria Kuhusu Mapato Au Alama 3 CCM Kirumba? - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.