Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Wachezaji Watano Wa Kuwapa Ubingwa Nigeria
    Africa | CAF

    Wachezaji Watano Wa Kuwapa Ubingwa Nigeria

    MhaririBy MhaririFebruary 11, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Golikipa wa Nigeria , Stanley Nwabali
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Wakihitaji kuchukua ubingwa wa 4 katika historia ya timu yao ya taifa hii leo Nigeria wako kibaruani katika fainali ya AFCON dhidi ya wenyeji wa michuano hii Ivory Coast moja kati ya mechi kubwa ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa sana Afrika.

    Wakati masaa yakiwa yamebakia kwa ajili ya kushuhudia kandanda hii kutoka kwa wababe hawa wa soka barani Afrika kumbuka kuwa michuano ya msimu huu yamekua ya kuvutia na yenye tofauti kubwa sana kutokana na kuwa wengi waliamini katika mataifa makubwa ingawa yapo ambayo hayakufanya vizuri msimu huu.

    Tumekuandalia hapa orodha ya wachezaji watano ambao wanaweza kuwapa ubingwa timu ya taifa ya Nigeria:

    Stanley Nwabali

    Ukiuzungumzia ukuta wa ulinzi wa Nigeria huwezi kuacha kumtaja golikipa Stanley Nwabali ambae amekua na kiwango bora katika michuano ya AFCON msimu huu ambapo ameruhusu bao 1 pekee katika michuano ya msimu huu. Anakitumikia kikosi cha Chippa United cha Afrika Kusini ambapo pia aliwaondoa kwa kuokoa penati zao.

    William Troost-Ekong

    Huyu ni kapteni wa timu ya taifa ya Nigeria ambae amekua na kiwango bora huku akivutia timu kadhaa za uarabuni zikimhitaji kwenda kucheza huko kutokana na kiwango bora alichokionesha msimu huu. Ni moja kati ya wachezaji amabao nao wanai ngia katika orodha hii ya wacheaji wa Nigeria wanaoweza kuwapa ubingwa Nigeria.

    Victor Osimhen

    Mchezaji bora wa bara la Afrika msimu huu ambaye katika michuano hii ana bao moja pekee amekua na mchango mkubwa kwa timu yake ya taifa akiwa na kasi na nguvu kubwa katika kushambulia jamboa ambalo linawapa nafasi wachezaji wengine kufunga. Bila shaka kwa sasa anachowaza ni namna gani ambavyo atachukua ubingwa nakuendelea kuweka rekodi zake binafsi na taifa lake kwa ujumla.

    Ademola Lookman

    Huyu ni mtu hatari kabisa wa kikosi cha Nigeria kwani amekua na kiwango bora katika michuano hii huku akifunga mabao kadhaa katika michuano ya msimu huu. Mpaka sasa ana mabao 3 akiwa na kasi na uwezo mkubwa wa kuchezea mpira.

    SOMA ZAIDI: Wachezaji Watano Muhimu Wa Kuwapa Ubingwa Ivory Coast

    afcon AFCON 2023 afcon leo Afcon today nigeria afcon
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.