Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Wachambuzi Wanamuingiza Feitoto Kwenye Chuki
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Wachambuzi Wanamuingiza Feitoto Kwenye Chuki

    MhaririBy MhaririJune 3, 2024Updated:June 3, 202411 Comments2 Mins Read766 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Feitoto
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Lipo jambo hapa ambalo lazima tulizungumze, kuhusu mchezaji FEISAL SALUM na watu wa Yanga SC naamini wapo baadhi ya Wachambuzi wanamuingiza kwenye chuki bila ya yeye mwenyewe kujua.

    Kwanza, YANGA ni taasisi ambayo ni kubwa nchini lakini siyo tu hapa nje ya mipaka yetu kwaiyo siyo rahisi kwa mtu mmoja kuweza kushindana na kundi la watu wote hao.

    Kuondoka sehemu huwa haikatazwi lakini ukiendelea kutoa viashiria itaonekana ni kama una chuki na watu hao. Yanga SC ilivyomsajili Fei kutoka Singida hakuwa mchezaji maarufu lakini ukubwa wa Yanga ukampa jina mchezaji huyu na alipendwa sana ndani ya Klabu pale.

    Hili la baadhi ya Wachambuzi kukaa kando yake na kuzitumia kalamu zao kama kumtengenezea mafuta na maji siyo kitu kizuri, wapo wenye uelewa kuwa hii ni kawaida lakini wapo wengi akili zao wanazijua mwenyewe, mimi nafikiri wengemuacha Feisal Salum acheze mpira bila ya kumtengenezea chuki kama hizo.

    Yuko wapi BERNARD MORRISON ambaye naye alitengenezewa mambo kama hayo baadae ni kama ameuzika mpira wake. Kalamu zinaweza zikawa zinaandika lakini bila ya kutambua zinabomoa kwa kiasi kikubwa sana.

    Ushauri wangu kwa FEISAL SALUM Ligi zimemalizika ni muda sasa wa yeye kujitenga na hao ambao ni kama wameamua kuzicheza vita zao na Yanga kupitia mgongo wake kwani asipokuwa makini watamuingiza katika maisha magumu ya soka. TANZANIA yetu wote hii kwaiyo tunatakiwa kuwa makini sana.

    SOMA ZAIDI: Azam vs Yanga Tutegemee Fainali Ya Namna Hii Hapa

    azam vs yanga feitoto yanga wachezaji yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.