Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Viongozi Simba Wanajiroga Wenyewe Na Kujitega Mtego Mbaya
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Viongozi Simba Wanajiroga Wenyewe Na Kujitega Mtego Mbaya

    MhaririBy MhaririApril 29, 2024Updated:April 29, 202420 Comments2 Mins Read905 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Viongozi wa Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Viongozi wa Simba wanajiroga wenyewe na kujitega kwenye mtego mbaya kwa mashabiki wao kwani ukitazama tu mtiririko wa namna ambavyo kumekua na mabadiliko ya makocha ndani ya klabu hiyo inaonesha kuwa kuna shida mahali ambayo inawafanya mashabiki kutokua na imani na viongozi wao.

    Kama ulikua hufahamu ni kuwa Simba wameendelea kuachana na makocha wao kwa kipindi cha miaka 3 mfululizo na katika miaka hiyo 3 imekua katika mtiririko huu hapa :

     

    Novemba 2021 – Mei 2022

    Pablo Franco

     

    Juni 2022 – Septemba 2022

    Zoran Mac

     

    Septemba 2022 – Januari 2023

    Juma Mgunda

     

    Januari 2023 – Novemba 2023

    Roberto ‘Robertinho’ Olivieira

     

    Novemba 2023 – Aprili 2024

    Abdelhak Benchikha

     

    Hii inashiria kwamba kuna shida ndani ya uongozi wa Simba na shida kubwa kuna presha ya kutaka kuendelea kupata mafanikio ambayo waliyapata kwa kipindi cha misimu minne mfululizo lakini hadi sasa kumekuwa na kuyumba kwa mafanikio hayo ambayo yanapelekea hata makocha kufukuzwa au makocha kuvunja mkataba na klabu hiyo

    Lakini pia ukitazama ishu ya kuondoka kwa Benchikha si ishu ya mojakwa moja ya matatizo ya kifamilia bali inaonyesha ni makubwa wanayaoyataka Simba lakini hayaendani na uwekezaji waliouweka kwa msimu huu,ikiwemo wachezaji ambao walikuwepo Simba kwa sasa ilikuwa inamuonyesha kocha anawakati mgumu zaidi kufikia kile Simba sc wanachokitaka na ukizingatia hali ya muendelezo wa matokeo yaliyopo licha ya kubeba kombe la Muungano.

    Uongozi wa Simba unapaswa kufahamu kuwa mpira kuna kipindi unaweza ukapitia kwenye wakati mgumu na kwenda nje kabisa ya malengo yao lakini nafasi ipo kwao kujipanga vizuri na kila mmoja atimize majukumu yake bila kuingilia majukumu ya mtu mwingine anaye husika katika usajili wamuache afanye usajili ulio sahihi kwa tafsiri ya kocha ndiye awe na jukumu hilo kwa kushirikiana na skauti aliyekuwepo klabuni hapo .

    Pia watafute kocha mkuu mapema kabla msimu haujaisha ili apate nafasi ya kuchunguza timu na kuanza kusuka timu ambayo italeta ushindani mkubwa zaidi kwenye mashindano yote ikiwemo ile ya kimataifa.

    Maswali ya kujiuliza ni kuwa:

    1.Je wanaohusika kufukuza na kuajiri makocha simba kwenye misimu yote hiyo si ndiyo hao hao viongozi wapo je wao hawana matatizo? Mbona hawawajibiki.

    2.Kama kubadili makocha kuna tija mbona kuleta mataji ya ubingwa hatuyaaoni.?

    SOMA ZAIDI: Waraka Mzito Wa Hamisi Kigwangalla Kuhusu “Kuinunua Simba”

    viongozi wa simba
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.