Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Usipompenda Karia Basi Uuchukie Na Mpira Wa Bongo
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Usipompenda Karia Basi Uuchukie Na Mpira Wa Bongo

    MhaririBy MhaririMarch 4, 20242 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Rais wa TFF Wallace Karia
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Shirikisho la soka la Tanzania kutokana na sababu za waamuzi na mambo mengine mengi ambayo siwezi yasema yote lakini mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Karia amefanya na ziada kwenye mpira wetu. Amevunja rekodi nyingi kwenye tasnia ya mpira ambazo hazitaki maelezo mengi kuyataja.

    Kwakuwa amefanya na ziada basi na wadau wa mpira tumtendee na yeye cha ziada. Tumpe muda zaidi aweze kuikamilisha ndoto yake ya kuiandaa AFCON 2027. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Karia ndo Rais bora zaid wa TFF kuwahi kutokea, ubora unapimwa na mafanikio, hakuna Rais wa TFF anayefikia mafanikio ya Karia.

    Kuanzia thamani ya ligi kwasasa, mafanikio ya Vilabu na Timu za Taifa katika mashindano mbalimbali, hapa nazungumzia timu za Taifa zote, vijana, wanawake, walemavu na hii Taifa Stars, Ushabiki wa soka katika nchi umekua sana, thamani na maslahi ya wachezaji hasa wazawa ambao walikuwa hawana thamanI, miundombinu kama viwanja na kadhalika.

    Mapungufu hayakosekani, lakini huyu mzee ana mazuri mengi kuliko mapungufu, apewe maua yake kwa jinsi ambavyo tumeona mabadiliko makubwa ambayo ameyafanya licha ya kwamba kuna muda kunakua na changamoto lakini ni vyema tukachukua kuwa njia mojawapo ya kujifunza kwa wakati mwingine haswa pale atakapochaguliwa Rais mwingine wa TFF.

    SOMA ZAIDI: Kama Ni Ufalme Wa Mbinguni, Chama Ameubeba Wa Duniani

     

    ligi kuu bara ligi kuu tanzania bara Rais wa TFF

    2 Comments

    1. binance signup bonus on January 30, 2026 10:42 am

      Your point of view caught my eye and was very interesting. Thanks. I have a question for you. https://accounts.binance.com/register-person?ref=IXBIAFVY

      Reply
    2. binance code on February 1, 2026 1:43 am

      Your article helped me a lot, is there any more related content? Thanks!

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua
    Hadithi February 23, 2026

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Ilipoishia  Kwanza nilijiuliza ni Nani anayeweza kuja kwetu, kama Mama Amida tayari  tulishazungumza. Nilimeza funda…

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (07)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.