Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Stars Yamtema Sopu Na Metacha Kikosi Cha Mwisho AFCON
    Africa | CAF

    Stars Yamtema Sopu Na Metacha Kikosi Cha Mwisho AFCON

    MhaririBy MhaririJanuary 7, 2024No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hii ni orodha ya mwisho ya wachezaji 27 watakaovaa uzi wa Tanzania (Stars) kwenye mashindano ya AFCON imetoka huku baadhi ya wachezaji ambao walikuwemo kwenye orodha ya awali wakiwa wamekatwa. Katika orodha hii mpya ya mwisho wachezaji waliokatwa ni :

    1.Abdul Sopu
    2.Metacha Mnata
    3.Khelfin Hamdoon
    4.Twariq Abdillahi

    Majina ya wanaoenda Ivory Coast kuiwakilisha Taifa Stars ni:
    1. Kwesi Kawawa
    2. Beno Kakolanya
    3. Aish Manula
    4. Haji Mnoga
    5. Mudathir Yahya
    6. Ibrahim Hamad
    7. Dickson Job
    8. Feisal Salum
    9. Himid Mao
    10. Morice Abraham
    11. Cyprian Kachwele
    12. Mbwana Samatta
    13. Tarryn Allarakhia
    14. Saimon Msuva
    15. Bakari Nondo
    16. Mohamed Hussein
    17. Lusajo Mwaikenda
    18. Sospeter Bajana
    19. Mzamiru Yassin
    20. Novatus Dismas
    21. Charles M’mombwa
    22. Kibu Denis
    23. Ben Starkie
    24. Abdi Banda
    25. Abdulmalik Zakaria
    26. Miano Danilo
    27. Mohamed Sagaf

    Kikosi cha Taifa Stars.
    Orodha ya mwisho ya wachezaji 27 watakaovaa uzi wa Tanzania kwenye mashindano ya AFCON

    Endelea kufuatilia zaidi kuhusu taarifa za AFCON kwa ujumla kwa kugusa hapa.

    afcon AFCON 2023 taifa stars
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.