Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)
    Hadithi

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaJune 9, 2025Updated:July 11, 2025110 Comments14 Mins Read9K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane 

    “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba kingine  ikisema 

    “Safi” wakimaanisha kuwa vyumba vyao vipo salama hapo ndipo  Faudhia aliposhtuka kuwa anapaswa kuwa nje ya chumba haraka  sana ili awawahi Wanaume hao, alifanya hivyo upesi sana huku  akiwa ameelekeza Bastola yake mbele mahali ambako sauti hizo  zilitoka, wale wanaume hawakuisikia sauti ya tatu ya mwenzao  ndipo walipotoka nje haraka ila walikuwa wamechelewa,  walikutana na mishale ya risasi kutoka kwa Faudhia, Msichana  kutoka Mbeya, aliwamaliza kimya kimya bila kusikika popote  sababu bastola ilikuwa na kiwambo cha kuzuia sauti . ENDELEA 

    SEHEMU YA NANE

    Aliikumbuka vyema ile ramani, ramani ilisema kuwa kwenye  kordo hiyo mbele kwenye ukuta ndipo ulipo mlango wa kuelekea  ilipo chemba, alipoangalia ukuta huo aliona kulikuwa na  picha, aliifuata na kuifunua aliona kuna mlango mdogo wa siri  ambao ulifunikwa na picha hiyo kubwa yenye Msaafu, hapo  aligundua kuwa mpango huo wa kuiba pesa haukuwa rahisi kiasi  hicho. 

    Ndani ya China Plaza, Mzee Shayo alizidi kuzama ndani kwa  kutumia ngazi, jengo lilikuwa refu kiasi chake na haikuwa  salama sana kwake kutumia Lifti. Alisogea taratibu tena kwa  umakini wa hali ya juu huku akitambuwa fika kuwa uzembe wa  aina yoyote utaondoa Maisha yake sababu watu hao ni hatari  sana.

    Kabla hajafika Floo ya tatu alimuona Mlinzi wa kwanza ndani  ya jengo, alikuwa ametulizana akivuta sigara, alisogea kwa  umakini sana hadi alipomfikia, alimgusa bega la kulia  alipogeuka alimpa ngumi nzito eneo la pua, alimtuliza kwa  kumzimisha kisha alisonga mbele. 

    Alikagua kila mahali, sehemu zingine alikuta familia  zilizokuwa zimejificha kwa woga aliwaambia muda wa ukombozi  umefika, alihakikisha anamfikia Mzee Shomari kwa mara ya pili  baada ya miaka mingi kupita, akiwa ameshafika floo za juu  kabisa alisikia sauti ya Mtoto akiwa analia, sauti hiyo  ilimkumbusha mbali sana alipokuwa mdogo wakati Nyumba yao  ilipokuwa inawaka moto na kuwateketeza Wazazi wake wote  wawili, wazo hilo lilimtoa kwenye lengo lililo mbele yake ile  anatahamaki alimuona adui mbele yake, alimchapa risasi,  kelele za Risasi ziliposikika ziliamsha hali za maadui zake  na kujuwa kuwa eneo hilo halikuwa salama. 

    Yees!! Chogo alimfuata Selina na kumwambia 

    “Pole sana kwa kila kilichotokea hapa, haikuwa nia yangu  kukufanyia vile bali upendo ulioniingia ghafla, natamani  kukuona ukitabasamu tena katika Maisha yako japo najuwa  itakuwa ngumu sana” Maneno ya Chogo yaliamsha mchozi na kilio  kwa Selina, alimwambia Chogo 

    “Wewe siyo Binadamu, huna utu, hufai hata kusamehewa” Alisema  kwa hasira sana 

    “Selina! Nakupenda sana, nahisi upendo wako kwenye damu  yangu, nazisikia punzi zako kwenye masikio yangu, kilio chako  ni huzuni kwangu! Unapaswa kupumzika” Alisema Chogo kisha  aliachia tabasamu lililomshangaza Selina, Chogo alipiga hatua  kadhaa ili kuondoka kisha alimgeukia Selina na Kumwambia  tutaonana siku moja, Chogo alifyatua risasi na kumuuwa Selina  akiwa juu ya Meza, haraka alikimbilia kwenye chemba ya siri  ambayo aliwaambia vijana wake atawakuta huko kisha safari yao  kuelekea Upanga ilianza. 

    Ndani ya Chemba hiyo, Faudhia alikuwa akisogea kuelekea Benki  kuu wakati huo Chogo na vijana wake walikuwa wakielekea alipo  faudhia ambako ndiko iliko njia ya kuchomoka kwenye chemba  hiyo yenye giza. 

    Chogo na vijana wake walikuwa na shahuku ya kuwa Mamilionea,  Faudhia alikuwa na shahuku ya kuhitimisha ugaidi huo. Muda  huo Mkuu mpya wa Kitengo cha Usalama wa Taifa alikuwa  akiwasiliana na Rais, kilichosubiriwa ni amri ya Rais  kuhakikisha wanaishambulia benki hiyo mara moja. Punde waliwaona Mateka waliokuwa ndani ya Benki hiyo wakikimbia  hovyo kuelekea nje, ilibidi wapeane taarifa kuwa wanapaswa  kwanza kuwa watulivu huku wakiwa makini na Mateka hao kuwa  huwenda wakawa wamechanganika na Magaidi. 

    Iliwabidi wawahoji Mateka hao, walisema kile walichokiona  lakini kilichowaduwaza Askari ni namna mateka hao walivyosema  kuwa Watekaji walikuwa wameshaondoka, iliwalazimu kuingia  dani ya benki hiyo kwa utulivu na umakini wa hali ya juu  sana, walichunguza kila kona walikuta mwili wa Selina,  walimkuta Gavana akiwa hoi sana baada ya kuvuja kwa damu  nyingi, Mke wa Gavana alikuwa akilia sana kwa kuhisi Mume  wake angelikufa. 

    Mkuu mpya wa kitengo cha Usalama wa Taifa alimwambia Rais  kuwa Huyo Selina ameshauawa, pesa zote zilikuwa zimeshaondoka  ndani ya Benki hiyo na haikujulikana magaidi walikuwa  wameondoka vipi eneo hilo kwani hata dalili tu kuwa  walichimba mahali haikuonekana, iliwapa maswali ya kujibu  Askari wa Kitengo na wale wa kawaida, walihangaika kujuwa  Magaidi hao waliondoka vipi ndani ya Benki hiyo, kumbe  walichofanya Magaidi hao ni kupita juu ya Siling Board na  kutokea chumba kingine ambacho kilikuwa cha siri sana ndani  ya benki hiyo kisha walichimba huko na kutengeneza njia hivyo  ukiingia kwa kawaida tu huwezi kuona japo alama kuwa  walichimba wapi, Naam!! Huyo ndiye Mzee Shomari aliyekuwa  akiratibu yote hayo na kusuka mipango ya hatari sana. 

    “Mkuu hakuna mahali ambapo panaonesha hawa jamaa wametoka,  pengine wapo humu ndani wamecheza mchezo ili kuvuruga akili  zetu” alisema Mkuu mpya wa kitengo akiwa anazungumza na Rais 

    “Inawezekana vipi Dinonga? Hicho ni kiasi kikubwa sana cha  pesa, hakikisha hawaondoki” Alisema Rais kwa sauti  iliyoashiria kuwa alikuwa amepagawa. 

    Msako uliendelea ndani ya Benki kuu huku taarifa za habari  zikiendelea kuripoti tukio la kuwa huru kwa mateka waliokuwa  ndani ya Benki hiyo. 

    Mzee Shayo akiwa amejibanza kwenye kona huku tayari akiwa  ameshaamsha akili za maadui zake ndani ya jengo la China  plaza, alijikuta akiwa anahema juu juu huku akili na moyo  wake ukizidi kumwambia kuwa kazi hiyo ni hatari sana. Mlango  ambao wale maadui walikuwa wakitokea ndiyo sehemu ambayo Mzee  Shomari alikuwemo. 

    Mzee Shayo alifumba macho yake na kuibusu Bastola aliyoishika  mkononi, zaidi ya Wanaume sita walikuwa wakisogea mahali ambapo Mzee Shayo alikuwa amejificha tena wlaikuwa makini  sana baada ya kutambuwa kuwa Mtu huyo alikuwa hatari sana  kwao. 

    Mzee Shayo aliutumia ufundi wake kwa kusoma milio ya hatua ya  maadui hao kisha akatambuwa namna walivyokuwa wamejipanga,  alihesabu 1,2,3,4,5,6 kisha alijitoa mafichoni kama chui  mwenye hasira 

    Alifanya kama vila anakatisha kwenye korido kutoka ukuta  mmoja hadi mwingine huku akiwa amefumba macho yake, hisia  pekee ndizo zilizokuwa zikimuongoza, alifyetua risasi sita  ambazo aliamini zilikuwa ndiyo misumali ya kuwamaliza Maadui  hao, sauti za kuanguka zilisikika, Ndiyo!! Mzee Shayo  alifanikiwa kuwamaliza maadui hao sita kwa kutumia hisia zake  kali za Kijeshi. Alipofika ukuta mwingine alijipa muda wa  kuendelea kusikiliza tena lakini hakukuwa na sauti ya hatua  hata moja iliyokuwa ikisikika. 

    Aliweka vizuri bastola yake kisha alichomoka kwa makini sana,  alisogea taratibu akiwa anaegemea ukuta huku Bastola yake  ikielekeza kwenye ule mlango ambao wale maadui walikuwa  wametokea, alipiga hatua 10 za Kijasusi hadi alipofika,  mlango ulikuwa wazi na hakukuonekana kuwa na dalili za kuwa  na Mtu kwenye chumba hicho, aliona chupa za vinywaji na  Michoro baadhi ya tukio walilokuwa wakilifanya 

    Aliona ni bora azidi kupandisha juu ambako kulikuwa na hiyo  Helkopta ili kama Mzee Shomari anatoroka aweze kumnasa. 

    Tuachane na Mzee Shayo, sasa turudi ndani ya Chemba ya  kusafirishia pesa, Chogo na Watu wake walizidi kuchanja  mbunga bila kujuwa kuwa Faudhia alikuwa akienda upande wao,  walipofika katikati ya safari yao Chogo aliwaambia vijana  wake watulie, alihisi ujio mbele yao, ni kweli Faudhia  alikuwa mbele yao, naye alihisi ujio wa Watu. Mkononi alikuwa  na Bastola huku Bastola nyingine akiwa ameiweka kiunoni,  alijiweka sawa huku Chogo na Watu wake wakijiweka sawa ili  kukabiliana na hatari iliyo mbele yao, eneo ambalo  liliwatenganisha Faudhia na Timu ya Chogo ni sehemu yenye  kona, Faudhia alizima tochi yake ili kuwe giza, upande wa  pili Chogo naye aliwaambia vijana wake wazime tochi zao.  Walivalia miwani ambazo ziliwasaidia kuona kwenye giza,  walikuwa wamejipanga huku kila mmoja akiwa na Begi moja lenye  pesa 

    Chogo alituma Watu wawili wasogee mbele zaidi kuangalia  kulikuwa na nini, Faudhia alishashtuka aliweka sawa Bastola  yake ili awashambulie, walipojitokeza japo kulikuwa na giza 

    Faudhia aliweza kucheza na hisia kama alivyofanya Mzee  Shomari na ndiyo yalikuwa mafunzo ya kupambana na adui pale  ambapo unahisi kwa macho ya kawaida huwezi kufanya hivyo,  alisikiliza hatua za Wanaume hao wawili akajuwa namna walivyo  kaa, wanaume hao walikuwa na AK47 mikononi mwao hivyo Faudhia  alipaswa kuwa makini zaidi, alifumba macho na kuinyanyua  bastola yake hadi usawa ambao aliona unafaa. 

    Aliendelea kusikiliza hatua zao kisha alifyatua risasi mbili  kwa kutumia Bastola yake ambayo ilifungwa kiwambo, risasi  hizo zilifika kwenye paji la uso la kila mmoja, japo sauti ya  risasi haikutoka lakini sauti ya kuanguka kwao iliwashtua  Akina Chogo ambao haraka walianza kurusha risasi mbele,  Faudhia alijificha mahali huku ule mwanga wa zile risasi  ukimfanya aone watu aliowauwa kuwa walikuwa wamevalia miwani  za kuona wakati wa giza, baadaye risasi hizo zilikoma. 

    Hakuna risasi iliyomfikia Faudhia kwenye mwili wake kwasababu  alikaa kwenye kona, alipoona ukimya umetawala alipiga  mahesabu ya kuichukua miwani, alitoa bastola zake mbili kisha  aliziweka sawa, alijichomoa na kuanza kurusha risasi kwa  lengo la kuwazuga huku haraka akichomoka na kufika zilipo  zile maiti mbili, alisogea kwa mmoja na kumvua ile miwani ila  bahati mbaya alipigwa risasi ya Bega, alijibu mapigo huku  akiokota AK47 kisha alirudi kujificha, alikuwa na maumivu  makali ya bega. 

    Alichana kilemba kisha alijifunga kwenye bega kwa usaidizi wa  meno yake, alivalia miwani akawa anaona kama kwenye mwanga  vile, kisha aliiweka sawa AK47 kwa ajili ya majibizano ambayo  yalianza kuwashtua polisi walio ndani ya Benki huku  wakijiuliza risasi hizo zilikuwa zikitokea wapi, Chogo na  timu yake walijipanga vizuri, walikuwa kama Watu 11  waliobakia 

    Faudhia alianza kutoka pale huku akisogea kwa tahadhari  kubwa, alikuwa na ujuzi wa kulenga hivyo ilikuwa kazi rahisi  sana kwake kukabiliana na Wanaume hao, alipochungulia aliona  miguu yao ikisogea, alilenga miguu ya Watu wawili akafyatua  risasi, walipoanguka aliwamaliza moja kwa moja na kufanya  idadi yao kupungua, Alizidi kuwamaliza kwa kuwavizia hadi  alipofanikiwa kuwabakiza maadui wanne tu, chogo akawaambia 

    “Turudi ndani ya Benki” Alisema kisha waliokota mabegi  machache huku mengine yakiwa chini, waliona hawataweza  kukabiliana na Hatari hiyo huku wakishindwa kujuwa kuwa Mtu  huyo alikuwa peke yake au kilikuwa kikundi cha Watu.

    “Benki itakuwa imeshavamiwa na askari” Alisema mmoja wa  vijana wake 

    “Sasa tufanye nini, tusogee tukafe?, turudi ndani ya Benki”  Alisistiza Chogo, wakiwa wanarudi, Faudhia aliwatungua wawili  kati yao na kuwabakisha wawili ambao ni Chogo na mwenzake  mmoja, chini huko hakukuwa na mtandao labda angewasiliana na  Mzee Shomari na kumuomba msaada hata hivyo Mzee Shomari  mwenyewe alikuwa akijivuta na mguu wake mbovu kuifuata ilipo  Helkopta ili aweze kukimbia baada ya kuona Mambo hayapo sawa. 

    Mzee Shayo alikuwa nyuma yake akiwa anakuja kwa kasi  kuhakikisha Mzee Shomari hachomoki, ilikuwa ni wahi nikuwahi,  kama siyo Mguu mbovu wa Mzee Shomari basi angelikuwa  ameshaifikia Helkopta, alifanikiwa kuufungua mlango wa mwisho  kisha Mtu mmoja alishuka kutoka kwenye Helkopta ili ampe  msaada Mzee Shomari, ghafla jamaa huyo alipigwa risasi ya  kichwa na Mzee Shayo ambaye alikuwa ameshafika eneo la  Mlango, kuona hivyo Mzee Shomari aligeuka akamwambia Mzee  Shayo 

    “Ni bora uniache niondoke vinginevyo nitabonyeza hii rimoti  kwa ajili ya kutegua mabomu yote yaliyopo kwenye makambi ya  Jeshi Nchi nzima” Alisema Mzee Shomari, maneno yake yalileta  uzito kwa Mzee Shayo alifikiria afanye nini huku Mzee Shomari  akiwa anataka kubonyeza Kitufe 

    “Sawa!! Nakuacha uwende” Alisema Mzee Shayo huku akiweka  silaha yake chini, Mzee Shomari alicheka sana kwa kuamini  kila jambo linaenda kuwa sawa, alimwambia Mzee Shayo 

    “Itupe hiyo Bastola” Alisema kwa mkwara, Mzee Shayo aliiokota  na kuitupa chini ya ghorofa hilo, hapo Mzee Shomari aliamini  kuwa yupo salama kumbe nyuma ya Mgongo wa Mzee Shayo kulikuwa  na Bastola aliyoificha, Mzee Shomari alipogeuka ili apande  Helkopta alipigwa risasi nyingi mgongoni, hakuamini macho  yake, alitamani kubonyeza kitufe ili afe na Askari wengi  lakini nguvu ya kufanya hivyo ilimuisha hatimaye alianguka  chini, haraka Mzee Shayo alifyetua risasi kwa dereva wa  Helkopta ambaye alitaka kutoweka eneo hilo, alimpiga risasi  ya shingo na kusababisha Helkopta kuruka bila uelekeo maalum  hatimaye ilienda kuripuka kwenye kituo cha Mabasi ya mwendo  kasi eneo la Gerezani. 

    Alishusha pumzi zake kisha alipiga magoti, kazi ilikuwa ngumu  sana kwake, alijikuta akicheka kwa maumivu makali ndani ya  nafsi yake, ngoma ilikuwa ngumu upande wa Faudhia ndani ya  Chemba ya pesa, Chogo alikuwa akirudi ndani ya Benki wakati  huo Faudhia akiwafuata kwa nyuma kuhakikisha hakuna atakayetoka salama eneo hilo, majibizano ya risasi  yaliendelea ndani ya chemba hiyo, polisi walio juu  walifanikiwa kufahamu kuwa risasi hizo zilikuwa zikifyatuliwa  chini kabisa ya Ardhi hivyo waligundua huenda Magaidi wapo  chini wanajibizana na askari wengine. 

    Mkuu mpya wa Idara ya Usalama wa Taifa alimpa taarifa Mkuu wa  Nchi kwa kile kichokuwa kikiendelea huko Chini, Rais  alimwambia asikilizie ni jambo gani lilikuwa huko chini. 

    Akina Chogo walijitahidi kukimbia kurudi ndani ya Benki  lakini Faudhia alikuwa makini kuwawinda, alimpiga risasi mtu  wa Chogo, iliamsha hasira sana kwa Chogo, alisimama kisha  aliokota AK47 kisha alianza kumimina risasi nyingi mfululizo  upande wa Faudhia, alifanikiwa kumfanya Faudhia alale chini  huku akijificha kwenye moja ya maiti, alipomimina risasi kwa  hasira hadi alipozimaliza, Faudhia alipojuwa kuwa alikuwa  amemaliza Risasi alisimama akiwa na bastola yake, alipiga  risasi moja mguuni kwa Chogo, alipiga nyingine kwenye bega la  chogo kisha alitaka kumaliza mchezo lakini Bastola yake  iliisha Risasi. 

    Chogo alichomoka kama Mzimu, Faudhia hakuamini kuwa Mtu  aliyempiga risasi alikuwa akija kama Duma kwenye mbuga ya  wanyama, alimfika Faudhia eneo la tumbo na kuumtupa pembeni,  wote walikuwa na mawani maalum za kuona kwenye giza. 

    Chogo alikuwa kama amepagawa hivi hakutegemea kama  angelikutana na upinzani wakati wa kupata kiasi hicho cha  pesa, alimvaa Faudhia na kuanza kumpa mvua ya ngumi ambazo  zilimrudisha tena Faudhia Chini, kabla hajakaa sawa  alishindiliwa na teke tumboni zaidi ya mara tatu haidi  alitema damu. 

    “Nani amekutuma?” Aliuliza Chogo akiwa kama kichaa, alishusha  ngumi nyingine nzito kwa Faudhia na kumfanya azidi kutema  damu na kuishiwa nguvu, kisha alimuacha akiwa anahema juu juu  kama Mgonjwa wa presha, aliokota jiwe zito ili amshindilie  Faudhia lakini alisita kufanya hivyo kisha akamwambia 

    “Nakuacha ufe taratibu” Chogo alilitupa jiwe hilo pembeni  kisha aliokota mabegi mawili yenye pesa na kuanza kuyaburuza  ili atoke nayo nje ya chemba. Japo Faudhia alikuwa katika  hali mbaya sana lakini alifikiria kama jamaa huyo  angeliondoka ndani ya Chemba hiyo ingekuwa kazi yote  aliyoifanya ni sawa na bure tuu. 

    Alijivuta kwa kazi sana ili aokote AK47 ambayo ilikuwa kando  yake, Chogo alikuwa akizidi kusepa huku akiikaribia ile kona ambayo kama atazama hapo basi Faudhia atamkosa Chogo na jinsi  alivyo na hali mbaya asingeliweza kunyanyuka na kumfukuzia,  alifanikiwa kuikota kisha aliiweka sawa, alihema kwa nguvu  kisha alivuta hisia zake, akafyatua Risasi kuelekea kwa  Chogo, alikuwa na hisia kali sana na kufanikiwa kumpiga Chogo  kwenye kichwa, Chogo alienda Chini. 

    Hali ya Faudhia haikuwa nzuri alikuwa akivuja damu nyingi  ndani ya Chemba hiyo yenye giza, aliona kama angeliendelea  kubakia hapo basi angelikufa kwa kukosa hewa na kuvuja damu  nyingi, Alijivuta kuelekea Benki ambayo ilikuwa na Askari na  hakukuwa na taarifa yoyote kuwa kulikuwa na Askari wa siri wa  kitengo aliyekuwa akifanya operesheni ndani ya Chemba hiyo,  Askari walikuwa tayari wamefanikiwa kuona mahali walipopita  akina Chogo yaani pale kwenye dali kabla ya kutokea kwenye  chumba cha siri ambacho walichimba hiyo chemba. 

    Walianza kuhisi ujio wa Mtu kwenye Siling Board, Mkuu wa  kitengo alitoa maelekezo wafyatue risasi, Ooooh!! Risasi  zilifyetuliwa za kutosha hadi pale alipowaambia waache  kufanya hivyo, ukimya ulitawala kwa sekunde kadhaa kisha  waliona eneo hilo likibomoka, mwili wa Mtu ulianguka hadi  chini ya Sakafu, ulikuwa ni mwili wa Faudhia. 

    Alikuwa akitema damu nyingi sana, muda huo huo aliingia Mzee  Shayo, alipoangalia vizuri alimuona Faudhia, alimuona  Msichana aliyemkuza kama Mtoto wake akiwa amelala chini ya  sakafu akiwa anatokwa na damu nyingi huku akiwa na matundu  mengi ya risasi 

    “Faudhiaaaaa!!!” Aliita Mzee Shayo kwa uchungu wa hali ya juu  sana, alimkimbilia Faudhia 

    “Faudhia! Faudhia Mwanangu!! Huyu ni Askari wa kitengo na  ndiye aliyekuwa akifanya operesheni hii kwa siri, mmeniulia  mwanangu” Alilia Mzee Shayo wakati Faudhia akiwa anahema kwa  shida sana, alifanikiwa kumuita Mzee Shayo 

    “Ba….baaaa” Aliita na kukata kauli yake, Faudhia alifia  mikononi mwa Mzee Shayo, alilia sana Mzee Shayo, tena kwa  Uchungu mkubwa sana. 

    “Nimekuponza Mwanangu!! Faudhiaaa, Faudhiaaaa”” alilia kwa  Uchungu, Mwili wa Faudhia ulichukuliwa kupelekwa Hospitali  kwa ajili ya Uchunguzi, Baadaye Mzee Shayo alitoa taarifa kwa  makambi ya Jeshi kuwa Mabomu yaliyotegwa humo yaliweza  kuzuiliwa, Jeshi lilitoka na kuhakikisha linakomboa Miji  iliyokuwa chini ya Kundi la ESS. 

    BAADA YA WIKI MOJA.

    Ndani ya Ndege ya Shirkika la Emirates, Mzee Shayo alikuwa  anasafiri kuelekea mapunzikoni baada ya kumfyeka Mzee Shomari  na kundi lake, mkononi alikuwa na picha ya Faudhia, aliibusu  kisha aliiweka Mfukoni. Aliitoa simu moja ambayo aliichukua  kutoka kwa Mzee Shomari, alitafakari jambo lililomshangaza  sana. 

    Ndani ya simu ya gaidi Mzee Shomari kulikuwa na namba ya Rais  wa Nchi, na namba hiyo ilionekana kuwasiliana na Mzee Shomari  siku ya tukio tena kwa muda mrefu, aliwaza Rais alikuwa  akiongea nini na Mzee huyo? Alivuta punzi kisha alisema 

    “Sitostaafu, nitahakikisha nagundua siri ambayo Rais  anaificha” Aliiweka simu hiyo ndani ya Mfuko kisha aliendelea  na safari yake ya kuelekea Brazil kupumzika. 

    MWISHO.

    IFUATE RIWAYA YA AINA GANI? MAPENZI , UJASUSI , UCHAWI au MAISHA?  COMMENTS ZIKIFIKA 100 Naachia Kesho MAPEMA SANA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

     

    riwaya mpya riwaya za kijasusi riwaya za kusisimua soma riwaya bure

    110 Comments

    1. Warda on June 9, 2025 4:06 pm

      Uchawi

      Reply
      • Gidioni shirima on June 16, 2025 9:32 pm

        No zombie

        Reply
    2. Sal on June 9, 2025 9:07 pm

      Mapenzi

      Reply
      • Hassanain on June 11, 2025 8:01 pm

        Ujasusi

        Reply
    3. Rifai on June 9, 2025 9:11 pm

      Mapenzi

      Reply
      • Abel on June 9, 2025 11:23 pm

        Raisi alijua njama hii, Nani alimpa taarifa ya chemba ya kutunzia pesa benk kuu kuwa Ni Selina anajua?

        Reply
    4. Lus twaxie on June 9, 2025 9:34 pm

      Admin nijibu txt yangu whatsap

      Reply
    5. Anneth on June 9, 2025 9:45 pm

      Ujasusi

      Reply
    6. BENEDICT on June 9, 2025 10:17 pm

      Mapenzi

      Reply
    7. Noush on June 9, 2025 10:43 pm

      Mapenzi

      Reply
    8. Matola on June 9, 2025 10:44 pm

      Ujasusi

      Reply
    9. Josephat on June 9, 2025 11:13 pm

      Uchawi kdg tuweweseke ucku

      Reply
    10. Neema on June 9, 2025 11:23 pm

      Ujasusi

      Reply
      • Azrieli Emmanuel on June 9, 2025 11:56 pm

        ujasusi

        Reply
      • Merman on June 10, 2025 10:52 am

        Mapenzi

        Reply
        • Julia on June 10, 2025 12:39 pm

          mapenzi

          Reply
    11. triple h on June 9, 2025 11:31 pm

      Mapenziii

      Reply
    12. Sulee on June 10, 2025 12:09 am

      Uchawi

      Reply
    13. Bplm1664 on June 10, 2025 10:05 am

      Dah Faudhia kakufaaa

      Reply
    14. The Duzzle on June 10, 2025 10:58 am

      Mapenzi

      Reply
    15. Macmillan Peam on June 10, 2025 11:25 am

      Ujasusi! Ila io kama ingeendelea ingekuwa safi sana ili tujue siri baina ya Rais na Mzee Shomari.

      Reply
      • Gervase on June 11, 2025 8:05 am

        Mapenzi

        Reply
    16. SAID S KITOI on June 10, 2025 12:56 pm

      Mapenzi

      Reply
    17. KingBam on June 10, 2025 2:51 pm

      UJASUSI IS ALWAYS THE BEST ASEEE….
      BRING BACK 🔙 AGAIN LAKINI IWE MICH BETTER THAN THAT 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

      Reply
    18. Cathbert on June 10, 2025 3:58 pm

      Lete kama hy mkuu

      Reply
    19. Ahyen tony on June 10, 2025 6:57 pm

      Sema kaka mkubwa anazingua katueka sana

      Reply
      • Kidundakhaji on June 11, 2025 8:54 am

        Nimeumua kwa nin fauthia amefariki dahh

        Reply
    20. Yamungu.E.Dawson on June 12, 2025 7:53 am

      Daaah!! Kazi nzuri sana admin stay blessed, i love your work.

      Reply
    21. Godrizen on June 12, 2025 1:02 pm

      Ujasusii

      Reply
    22. Joshua kijida on June 17, 2025 3:49 pm

      Mapenzi

      Reply
    23. 📉 + 1.147857 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/enter/Riq9cmR97ue9Qcm8p2ERZ6?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📉 on June 19, 2025 3:30 am

      c1guw5

      Reply
    24. 📃 Message; TRANSFER 1,283575 BTC. Assure => https://yandex.com/poll/enter/4Joc2mvUbapjsUMcMcKM3z?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📃 on June 21, 2025 2:06 am

      tjv19x

      Reply
    25. * * * Unlock Free Spins Today: http://fiestadehalloween.xyz/index.php?3qskcb * * * hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f* ххх* on June 28, 2025 10:05 am

      hodz1j

      Reply
    26. 📣 Email: TRANSFER 1.381476 BTC. Next > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📣 on June 29, 2025 5:07 am

      9t2qsx

      Reply
    27. 📈 Notification; SENDING 1,487986 BTC. Receive => https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📈 on June 29, 2025 4:11 pm

      sw7lxr

      Reply
    28. 📪 Notification; TRANSFER 1,372247 bitcoin. Next => https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📪 on July 4, 2025 8:17 am

      z9jm2h

      Reply
    29. dympjmmpjz on July 5, 2025 7:53 pm

      lfswrxiwxftdopvtodpzkjkrnmfoji

      Reply
    30. usmmvxvszq on July 5, 2025 7:53 pm

      lkyztduwjxyplpizxknwuutimrfliw

      Reply
    31. 📩 Email; Process 1,295112 bitcoin. Assure > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📩 on July 7, 2025 7:38 am

      2asjbu

      Reply
    32. Miley4157 on July 9, 2025 12:25 am

      Apply now and unlock exclusive affiliate rewards! https://shorturl.fm/DK3fr

      Reply
    33. Krista2964 on July 9, 2025 1:33 am

      Join our affiliate community and earn more—register now! https://shorturl.fm/sA4fO

      Reply
    34. Monica23 on July 9, 2025 3:58 am

      Your network, your earnings—apply to our affiliate program now! https://shorturl.fm/ZWode

      Reply
    35. Isabel1819 on July 9, 2025 11:13 am

      Drive sales, collect commissions—join our affiliate team! https://shorturl.fm/IfhrA

      Reply
    36. Ellie3104 on July 9, 2025 9:19 pm

      Get started instantly—earn on every referral you make! https://shorturl.fm/gMbFS

      Reply
    37. 📉 Reminder; + 1.333366 BTC. Continue >> https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=62b1e792143eb7521bcb5f0e47a1ca9f& 📉 on July 10, 2025 3:43 am

      b6ubhd

      Reply
    38. Deirdre850 on July 10, 2025 6:40 am

      Join our affiliate program and start earning commissions today—sign up now! https://shorturl.fm/r8NGd

      Reply
    39. Freya3420 on July 10, 2025 4:02 pm

      Monetize your audience with our high-converting offers—apply today! https://shorturl.fm/Ga0o8

      Reply
    40. Ainsley3240 on July 10, 2025 5:59 pm

      Boost your income effortlessly—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/Csvlf

      Reply
    41. Kaleb4718 on July 10, 2025 8:02 pm

      Drive sales and watch your affiliate earnings soar! https://shorturl.fm/0zj8I

      Reply
    42. Beryl2997 on July 10, 2025 8:03 pm

      Monetize your audience—become an affiliate partner now! https://shorturl.fm/EdNuf

      Reply
    43. fwftriyjnh on July 11, 2025 2:24 am

      kzjjwneonffwpeqpklsxuowdwqzesl

      Reply
    44. eiokspxffj on July 11, 2025 4:48 am

      seuhsuflqlloqrroqjxwuleqertuqq

      Reply
    45. Gerald1046 on July 11, 2025 8:32 am

      Become our affiliate—tap into unlimited earning potential! https://shorturl.fm/0ORw3

      Reply
    46. Leona1488 on July 11, 2025 5:51 pm

      Turn referrals into revenue—sign up for our affiliate program today! https://shorturl.fm/IKbcP

      Reply
    47. Amber1351 on July 11, 2025 9:44 pm

      Monetize your audience—become an affiliate partner now! https://shorturl.fm/vzZrz

      Reply
    48. Raymond2516 on July 13, 2025 12:51 am

      Share your unique link and cash in—join now! https://shorturl.fm/P3BQS

      Reply
    49. Allan203 on July 13, 2025 8:07 am

      Drive sales, collect commissions—join our affiliate team! https://shorturl.fm/pnMG8

      Reply
    50. Gerard498 on July 13, 2025 12:10 pm

      Join our affiliate program today and earn generous commissions! https://shorturl.fm/dUhWm

      Reply
    51. Brendan2670 on July 13, 2025 5:53 pm

      Monetize your influence—become an affiliate today! https://shorturl.fm/BDX73

      Reply
    52. Adrian778 on July 14, 2025 4:54 am

      Share our link, earn real money—signup for our affiliate program! https://shorturl.fm/vwymY

      Reply
    53. Harry1687 on July 14, 2025 5:10 am

      Unlock exclusive rewards with every referral—apply to our affiliate program now! https://shorturl.fm/qxT3D

      Reply
    54. Millie2843 on July 14, 2025 8:46 am

      Share our products, earn up to 40% per sale—apply today! https://shorturl.fm/y7PGQ

      Reply
    55. Seth2735 on July 14, 2025 8:14 pm

      Sign up now and access top-converting affiliate offers! https://shorturl.fm/PugT5

      Reply
    56. Kirsten1615 on July 14, 2025 8:42 pm

      Join our affiliate community and maximize your profits—sign up now! https://shorturl.fm/CGHjR

      Reply
    57. Aaliyah4107 on July 15, 2025 3:08 pm

      Join our affiliate program and start earning commissions today—sign up now! https://shorturl.fm/azBnr

      Reply
    58. Lorraine363 on July 15, 2025 5:19 pm

      Join our affiliate family and watch your profits soar—sign up today! https://shorturl.fm/AxFCn

      Reply
    59. Svensk reggae on July 16, 2025 3:18 pm

      I always used to read paragraph in news papers but now as I am a user
      of net so from now I am using net for content, thanks to web.

      Reply
    60. Marcel3671 on July 16, 2025 5:51 pm

      Promote our brand and watch your income grow—join today! https://shorturl.fm/oi2D5

      Reply
    61. Elizabeth11 on July 16, 2025 6:01 pm

      Become our partner and turn referrals into revenue—join now! https://shorturl.fm/6hSqY

      Reply
    62. Guillermo3629 on July 17, 2025 2:26 pm

      Partner with us for high-paying affiliate deals—join now! https://shorturl.fm/euMqn

      Reply
    63. Brennan4341 on July 18, 2025 12:55 pm

      Partner with us and enjoy high payouts—apply now! https://shorturl.fm/iwnVy

      Reply
    64. Clyde525 on July 18, 2025 2:11 pm

      Earn big by sharing our offers—become an affiliate today! https://shorturl.fm/B2zLU

      Reply
    65. Jessie4883 on July 18, 2025 3:14 pm

      Unlock exclusive rewards with every referral—enroll now! https://shorturl.fm/Jzpl1

      Reply
    66. Alexandra854 on July 18, 2025 9:29 pm

      Promote our brand and watch your income grow—join today! https://shorturl.fm/e4JMq

      Reply
    67. Emory1421 on July 19, 2025 1:14 pm

      Boost your profits with our affiliate program—apply today! https://shorturl.fm/sc09x

      Reply
    68. Bridget4245 on July 19, 2025 5:05 pm

      Boost your income effortlessly—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/m2tJf

      Reply
    69. Sally2198 on July 19, 2025 7:55 pm

      Boost your income effortlessly—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/m2tJf

      Reply
    70. Giovanni4413 on July 21, 2025 6:14 am

      https://shorturl.fm/wCSxF

      Reply
    71. Mitchell693 on July 21, 2025 6:35 am

      https://shorturl.fm/OIxJs

      Reply
    72. Scarlett4495 on July 21, 2025 9:21 am

      https://shorturl.fm/bNIFR

      Reply
    73. Leila1881 on July 21, 2025 5:11 pm

      https://shorturl.fm/lH9Fv

      Reply
    74. Phoebe2851 on July 21, 2025 6:49 pm

      https://shorturl.fm/plSeC

      Reply
    75. Bianca25 on July 21, 2025 8:08 pm

      https://shorturl.fm/92g2o

      Reply
    76. Makayla1788 on July 21, 2025 9:20 pm

      https://shorturl.fm/X1zkp

      Reply
    77. Addison3063 on July 22, 2025 1:47 am

      https://shorturl.fm/Xj33W

      Reply
    78. Hudson3945 on July 22, 2025 9:09 pm

      https://shorturl.fm/2gAda

      Reply
    79. Channing4860 on July 22, 2025 10:17 pm

      https://shorturl.fm/iqm1h

      Reply
    80. Mary3853 on July 23, 2025 4:40 am

      https://shorturl.fm/6ajQh

      Reply
    81. Michael4139 on July 23, 2025 2:55 pm

      https://shorturl.fm/z33uV

      Reply
    82. Teresa723 on July 24, 2025 1:51 pm

      https://shorturl.fm/mh658

      Reply
    83. Amelie534 on July 24, 2025 7:54 pm

      https://shorturl.fm/b4Zk5

      Reply
    84. Bailey2532 on July 24, 2025 10:49 pm

      https://shorturl.fm/yWTva

      Reply
    85. Davis4906 on July 24, 2025 11:10 pm

      https://shorturl.fm/bZJt4

      Reply
    86. Rodney4540 on July 25, 2025 4:22 am

      https://shorturl.fm/yFR05

      Reply
    87. Christine2438 on July 25, 2025 12:56 pm

      https://shorturl.fm/E6dz8

      Reply
    88. Elinor2822 on July 25, 2025 3:15 pm

      https://shorturl.fm/cqK1o

      Reply
    89. Natasha3603 on July 25, 2025 4:08 pm

      https://shorturl.fm/KyP1o

      Reply
    90. Garrett4482 on July 26, 2025 5:18 am

      https://shorturl.fm/sYo2L

      Reply
    91. Ronald4112 on July 26, 2025 11:50 pm

      https://shorturl.fm/kWb2t

      Reply
    92. Bobby2219 on July 27, 2025 1:45 am

      https://shorturl.fm/yefgV

      Reply
    93. Frances2078 on July 27, 2025 8:37 pm

      https://shorturl.fm/uckyF

      Reply
    94. Daria1995 on July 28, 2025 1:35 am

      https://shorturl.fm/EEaNw

      Reply
    95. Kaylee4515 on July 28, 2025 10:03 am

      https://shorturl.fm/kQx6B

      Reply
    96. Anastasia64 on July 28, 2025 11:06 am

      https://shorturl.fm/zmBSz

      Reply
    97. Patrick931 on July 28, 2025 12:17 pm

      https://shorturl.fm/yqT0J

      Reply
    98. Randall522 on July 28, 2025 12:55 pm

      https://shorturl.fm/UiwF5

      Reply
    99. Giselle292 on July 28, 2025 10:05 pm

      https://shorturl.fm/a6U5u

      Reply
    100. Kai3752 on July 29, 2025 4:46 am

      https://shorturl.fm/IxnCz

      Reply
    101. Herbert3581 on July 29, 2025 6:19 am

      https://shorturl.fm/riNDj

      Reply
    102. Irene2128 on July 29, 2025 11:44 am

      https://shorturl.fm/N4Ezl

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.