Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-05

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tano-05)
    Hadithi

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tano-05)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaJune 1, 2025Updated:June 3, 202543 Comments7 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nne

    “Na siku zote Muuwaji hawezi kuishi, ndiyo maana nilikutoa  gerezani ili uje kuitafuta haki iliyoporwa na Faudhia”  Alikazia Mzee Shomari kisha alimruhusu Diana kuelekea ndani  ya Benki, mpango wa Mzee Shomari ulikuwa ni Kumuuwa Faudhia,  kisha kuiba pesa za kimarekani ambazo zilihifadhiwa ndani ya  Benki hiyo katika chemba ya siri, ilikuwa ni zaidi ya Dola  Bilioni 900 , alimtumia Chogo kama ngao ya kufanya mambo yake  huku akiweka ubia na rafiki yake wa zamani ambaye alikuwa  akiishi Uholanzi, ndiye aliyemtoa jela na kumfadhili pesa za  kufanya ugaidi Tanzania, hivyo Mzee Shomari alikuwa ndiye  Gaidi aliyekuwa akiratibu mipango yote, alikusanya vijana na  kuwapatia silaha nzito, akiwemo Diana na Martin Gimbo maarufu  kama Chogo 

    Jinsi alivyowapata Diana na Chogo utakuja kufahamu mbele,  hebu tosonge.. 

    Usiku ulikuwa umeingia, ndani ya Jiji la Arusha, Faudhia  alikuwa akimlaumu Mohd kwa kosa la Kumuuwa Mama yake na  Martin Gimbo.

    SEHEMU YA TANO

    “Hakukuwa na sababu ya kuuwa Watu wasio na hatia Mohd, umeuwa  Mwalimu, umeuwa Bibi na Mjukuu wake” Alisema Faudhia kwa  hasira sana 

    “Unanilaumu kwa kutekeleza mipango yangu ya kazi? Unanilaumu  kwa kusafiaha ushahidi wa mwote tulimopita? Faudhia wewe siyo  Mfanyakazi wa kanisa au msikiti, wewe ni askari wa siri wa  kitengo cha Usalama wa Taifa! Sisi tunauwa kwa ajili ya  Taifa” Alijitetea Mohd 

    “Unauwa kwa ajili ya usalama wa Taifa? Taifa lipi? Kuuwa Watu  wasio na hatia ndio majukumu ya Usalama wa Taifa? Pengine  umeelewa vibaya mafunzo uliyoyapata, siwezi kuendelea kufanya  kazi na wewe Mohd” Alisema Faudhia kisha alipiga simu kwa  Mzee Shayo akamwambia ambadilishie Mtu wa kufanya naye kazi 

    “Kwanini unataka abadilishwe?” Alihoji Mzee Shayo kwa njia ya  simu 

    “Sijisikii uhuru wa kuifanya kazi yangu” Alisema Faudhia huku  akiwa anamtazama Mohd ambaye alikuwa na hasira sana akiwa  ameketi kwenye kiti

    “Faudhia Mwanangu..” kabla hata hajamaliza alikatiswa na  Faudhia 

    “Baba nimesema nibadilishie huyu Mtu” Alisema kwa hasira na  sauti ya juu kuonesha msisitizo kuwa alikuwa akimaanisha  alichokisema na hakikuwa utani. 

    “Mpe simu Mohd,” mara moja Mohd alipewa simu na Faudhia,  kabla hajaongea na Mzee Shayo alimtazma sana kwa hasira  Faudhia. 

    “Natoa amri ya wewe kurudi Makao Makuu haraka sana” Alisema  Mzee Shayo 

    “Lakini Mkuu..” kabla Mohd hajamaliza kujitetea alikatishwa  na Mzee Shayo 

    “Hakuna cha Lakini Mohd, rudi Makao makuu” Alisistiza Mzee  Shayo, mara moja Mohd alimtupia simu Faudhia kisha alichukua  koti lake akatoka chumbani hapo lakini kwa bahati mbaya  alikuwa amesahau simu yake ambayo ilikuwa kwenye kochi,  kitendo cha Mohd kutoka ndani ya chumba hicho, simu yake  ilianza kuita, Faudhia alinyanyuka na kuangalia aliyekuwa  akipiga 

    Aliona namba imeandikwa Boss, alifikiria afanye kitu gani  aipokee au aiache iendelee kuita hadi ikate, aliichukua na  kuchungulia dirishani, alimuona Mohd akilielekea gari lake  kwa ajili ya kuondoka, aliona ni bora aipokee simu hiyo  sababu alimtilia sana Mashaka kuwa huenda akawa sio Mtu mzuri  kutokana na mauwaji ya Watu wasio na hatia ambayo alikuwa  akiyafanya. 

    “Mohd! Muuwe Faudhia sasa hivi kisha urudi hapa” Ilisikika  sauti ambayo Faudhia aliitambua, ilikuwa ni sauti ya kizee ya  Mzee Shomari, mara moja aligundua kuwa Mohd alikuwa ni askari  aliyekuwa akifanya kazi na magaidi, akatambuwa kuwa  kilichobakia kwake ni kifo pekee. Alipochungulia tena  alimuona Mohd akiwa anapiga hatua kurudi ndani baada ya  kugundua kuwa amesahau simu yake, Faudhia alimtazama vizuri  Mohd akiwa bado amesimama pale pale, Mohd alikifikia kitasa  cha mlango bila kujuwa kuwa Faudhia alikuwa amemshtukia kuwa  ni Mamluki anayekisaliti kitengo cha Usalama wa Taifa. 

    Alipofungua mlango alimkuta Faudhia akiwa amesimama, Unajuwa  Mohd alikuwa ni askari wa kitengo cha Usalama wa Taifa hivyo  alipoingia tu aligundua kuwa kuna jambo ambalo halikuwa sawa,  alimtazama sana Faudhia akiwa ameganda pale mlangoni,  walikutanisha macho yao ya Kijasusi huku kila mmoja akiwa  anamsoma mwenzake.

    Mara simu ya Mohd iliita tena na mpigaji alikuwa ni yule yule  Mzee Shomari, aliisikilizia kidogo kisha aliifuata simu  lakini kabla hajapokea Faudhia alimnyooshea Mohd Bastola 

    “Tulia hivyo hivyo Msaliti wewe, kumbe wewe ni mamluki  unayefanya kazi na Mzee Shomari? Nilikuwa nakutilia mashaka  sana Mohd” Alisema Faudhia, Mohd alikuwa amesimama huku simu  ikiendelea kuita mkononi mwake 

    “Isogeze hiyo simu kwangu” Alisema tena Faudhia huku  akihakikisha kuwa Mohd hachomoki wala hafanyi ujanja wa aina  yoyote ile. Mohd alimtazama Faudhia kisha alimsoma jinsi  alivyokuwa amesimama ila Faudhia alishtuka mapema kuwa Mohd  anamsoma kisha akamwambia. 

    “Ujanja wowote utakaoufanya Mohd napasua kichwa chako”  Alisema Faudhia, Mohd aliinama kidogo kisha aliiburuza simu  ikafika kwenye miguu ya Faudhia 

    “Umeanza kutumika upande huo kwa muda gani?” Aliuliza Faudhia  huku akizuga ili ainame aichukue simu 

    “Faudhia! Usifikiri kamwe naweza nikasema chochote au hii  siri ikafika makao makuu, katu kitengo hakita ifahamu hii  siri” Alisema Mohd kwa kujiamini kisha alishusha mikono yake  akamwambia Faudhia 

    “Si ulikuwa unataka kunitwanga risasi? Fanya hivyo kabla  sijakuwahi” Alisema maneno yaliyojaa ulaghai Mkubwa, ilikuwa  ngumu kwa Faudhia kumuuwa Mohd, alichotaka ni kufikisha  taarifa kwenye kitengo cha Usalama wa Taifa. 

    Mohd alianza kumsogelea Faudhia taratbu huku akizidi kuongea  maneno ambayo yalimchanganya Faudhia 

    “Wewe ndiyo sababu ya Mama yako kufa, hukustahili kubaki hai  kwa uchafu ambao ulikuwa ukimfanyia Mama yako, laiti kama  taarifa hizi zitavuja ndani ya kitengo basi hautokuwa na sifa  ya kuwa Undercover!! Mtu ambaye amemsaliti Mama yake kwa Baba  yake anaweza vipi kutunza siri za Nchi hii” Alisema Mohd huku  akizidi kusogea, Maneno ya Mohd yalimtia uchungu sana  Faudhia, ni kama alitoneshwa kidonda kilichoanza kukauka 

    “Acha Mohd! Achaaaaa” Alisema Faudhia kisha aliweka kidole  sehemu ya kufyatulia risasi ili ammalize Mohd, haraka Mohd  alimuwahi Fadhia na kuushika mkono ambao ulikuwa na Bastola,  Faudhia alipofyatua risasi zote zilipiga juu ya dali. Mohd  alimkunja Faudhia na kumpa mateke matatu ya Mbavu kabla ya  Faudhia kujikunjua

    Bastola ilikuwa chini, aliponyanyuka Faudhia alijikuta akiwa  mikono mitupu 

    “Nilikwambia hii siri haiwezi kufika kitengo cha Uslama wa  Taifa, kwakuwa nimepigiwa simu nirudi Makao makuu basi wewe  utaonekana umeuawa kwa kuvamiwa hapa Hotelini.” Alisema Mohd  huku akiwa anakunja Shati lake, alikuwa ni mwanaume mwenye  mazoezi na roho ya kikatili sana. 

    “Mradi wa kukutengeneza wewe uje kuwa Askari wa kitengo  unafia hapa rasmi” Alisema Mohd kisha alimfuata Faudhia  ambaye alikuwa amejiandaa kukabiliana naye, alirusha ngumi  mfululizo ambazo zote Faudhia alizikwepa lakini alifanya  ujanja wakati anamaliza kurusha ngumi ya mwisho alikunjua  Mguu wa kulia na kumpiga teke la tumbo Faudhia, alijikuta  akianguka chini kisha alijinyanyua na kupanga pambano upya. 

    Wote walikuwa na mafunzo ya Kijeshi hivyo kila mmoja alijuwa  namna ya kupambana, Faudhia alijibu mapigo kwa kumpa mateke  mawili yaliyofika hadi kwenye kifua cha Mohd, alisogezwa  pembeni karibu na mlango ambapo kochi lipo, aliangalia chini  kulikuwa na Bastola, pembeni kulikuwa na simu yake yenye siri  nzito, aliona ni bora afanye ujanja. 

    Aliokota mto wa kochi kisha alimtupia Faudhia usomi kisha  aliinama ili aichukue bastola lakini Faudhia alikuwa shapu,  kabla hajaokota Bastola alipigwa teke la Mgongo kisha Faudhia  akaipiga teke ile simu na Bastola vikaingia uvunguni mwa  Kochi, alimlazimisha Mohd apambane kwanza. 

    Mohd aliinuka na kunvaa Faudhia, aliambulia kutupwa chini  kutokana na namna Faudhia alivyo Shapu. Kabla hajakaa sawa  alipokea ngumi la shingo ambalo lilimsogeza kwenye kochi,  kabla hajatulia tena Faudhia alimpelekea Mohd teke ambalo  Mohd alilidaka kisha alitumia nguvu kubwa alimsukuma Faudhia  ambaye aliangukia kwenye meza 

    “Assssh” aligumia Faudhia kutokana na maumivu ya kujigonga  kwenye meza, Mohd hakutaka kusubiri alimrushia ngumi  mfululizo, ngumi ambazo zilimpekeka Fuadhia ukutani, bahati  mbaya ngumi nyingi zilimpata na kumfanya aumie usoni 

    Mohd alimpiga Faudhia mateke mfululizo eneo la mbavu huku  akimwambia 

    “Unakufa leo” Alisema huku akiwa anamuangalia Faudhia akiwa  anaanguka chini.

    Nini Kitaendelea USIKOSE SEHEMU YA SITA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    Riwaya Nyumba Ya Majini Kijiweni riwaya za kusoma mtandaoni soma riwaya bure

    43 Comments

    1. David ben on June 1, 2025 5:52 pm

      Mbona fupi sana jamani

      Reply
    2. Joy on June 1, 2025 5:57 pm

      Imeishia patamuu

      Reply
    3. Daudi Antony kilyenyi on June 1, 2025 5:58 pm

      mbna fupi hvo mzee

      Reply
    4. Jackson Wasokye Ramazani on June 1, 2025 6:02 pm

      Bado mda huko adm, rusha sehemu ya sita. Hii tamu sana kabisa.

      Reply
    5. Cathbert on June 1, 2025 6:21 pm

      Good 👍👍

      Reply
    6. Adam on June 1, 2025 8:15 pm

      Admn Ahsante Kwa Story Nzuri Saanaa Hii

      Reply
    7. Salma Ibrahim on June 1, 2025 9:08 pm

      Fupi inakera

      Reply
    8. Lus twaxie on June 1, 2025 11:14 pm

      Fupi innboa sana jmn ….kama utaki acha tu kutuma

      Reply
    9. KingzJeelay on June 2, 2025 1:34 am

      Admin hapa umezingua….
      Stori ni fupi mnooooo 😯😯😯

      Reply
    10. Diana on June 2, 2025 11:08 am

      Admini hauna vitabu tununue tu

      Reply
    11. 📒 Reminder- + 1.425308 bitcoin. Receive >> https://yandex.com/poll/DCTzwgNQnzCykVhgbhD581?hs=c68e35f9f994198fbd7c29c235410dbc& 📒 on June 3, 2025 11:04 am

      8qqlk0

      Reply
    12. 🗝 + 1.194462 BTC.GET - https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=c68e35f9f994198fbd7c29c235410dbc& 🗝 on June 4, 2025 2:27 pm

      3z4675

      Reply
    13. 🗑 Notification- Operation 1,853725 BTC. Receive => https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=c68e35f9f994198fbd7c29c235410dbc& 🗑 on June 5, 2025 6:26 pm

      urf8ny

      Reply
    14. Athena2309 on July 9, 2025 12:26 am

      Refer and earn up to 50% commission—join now! https://shorturl.fm/LD4EP

      Reply
    15. Carter1653 on July 9, 2025 1:34 am

      Sign up for our affiliate program and watch your earnings grow! https://shorturl.fm/hVUt9

      Reply
    16. King4621 on July 9, 2025 4:00 am

      Get paid for every click—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/wkOvk

      Reply
    17. Juan3953 on July 9, 2025 11:15 am

      Start earning every time someone clicks—join now! https://shorturl.fm/r9gQ0

      Reply
    18. Keegan2784 on July 10, 2025 6:42 am

      Refer friends, collect commissions—sign up now! https://shorturl.fm/dKZXV

      Reply
    19. Kayla3413 on July 10, 2025 9:17 am

      Start earning on autopilot—become our affiliate partner! https://shorturl.fm/FwOUa

      Reply
    20. Karina2318 on July 10, 2025 5:59 pm

      Start earning on every sale—become our affiliate partner today! https://shorturl.fm/7eK8l

      Reply
    21. Bob967 on July 10, 2025 8:04 pm

      Start earning instantly—become our affiliate and earn on every sale! https://shorturl.fm/7tecn

      Reply
    22. Eva3683 on July 10, 2025 8:05 pm

      Monetize your audience—become an affiliate partner now! https://shorturl.fm/EdNuf

      Reply
    23. Samuel2002 on July 11, 2025 8:34 am

      Start earning instantly—become our affiliate and earn on every sale! https://shorturl.fm/qIouK

      Reply
    24. Olivia3960 on July 11, 2025 5:52 pm

      Turn your traffic into cash—join our affiliate program! https://shorturl.fm/pAhIv

      Reply
    25. Kate2235 on July 11, 2025 9:46 pm

      Share our products, reap the rewards—apply to our affiliate program! https://shorturl.fm/4VErE

      Reply
    26. Maria2651 on July 13, 2025 12:53 am

      Promote our brand and watch your income grow—join today! https://shorturl.fm/2bjz5

      Reply
    27. Garrett2047 on July 13, 2025 5:32 am

      Your influence, your income—join our affiliate network today! https://shorturl.fm/5vTvR

      Reply
    28. Geoff559 on July 13, 2025 8:08 am

      Promote our products—get paid for every sale you generate! https://shorturl.fm/EIoSC

      Reply
    29. Stella3776 on July 13, 2025 12:12 pm

      Share your link, earn rewards—sign up for our affiliate program! https://shorturl.fm/rTVOB

      Reply
    30. Dana1296 on July 13, 2025 5:55 pm

      Partner with us and enjoy recurring commission payouts! https://shorturl.fm/4hQXh

      Reply
    31. Miriam3773 on July 14, 2025 4:56 am

      Join our affiliate community and maximize your profits! https://shorturl.fm/jhxIx

      Reply
    32. Annie4970 on July 14, 2025 5:12 am

      Promote our products—get paid for every sale you generate! https://shorturl.fm/fY5RA

      Reply
    33. Samantha3431 on July 14, 2025 8:16 pm

      Earn up to 40% commission per sale—join our affiliate program now! https://shorturl.fm/odhz7

      Reply
    34. Theo1355 on July 14, 2025 9:58 pm

      Your audience, your profits—become an affiliate today! https://shorturl.fm/vdDGD

      Reply
    35. Josiah3170 on July 15, 2025 3:10 pm

      Join our affiliate program and start earning commissions today—sign up now! https://shorturl.fm/azBnr

      Reply
    36. Tristan4428 on July 15, 2025 5:20 pm

      Maximize your earnings with top-tier offers—apply now! https://shorturl.fm/HVuQA

      Reply
    37. Marvin645 on July 16, 2025 5:52 pm

      Partner with us for high-paying affiliate deals—join now! https://shorturl.fm/em2On

      Reply
    38. Leanne3106 on July 16, 2025 6:04 pm

      Promote our products—get paid for every sale you generate! https://shorturl.fm/jZ0wF

      Reply
    39. Charlie2879 on July 17, 2025 2:28 pm

      Turn your traffic into cash—join our affiliate program! https://shorturl.fm/pA6ys

      Reply
    40. Jasper300 on July 18, 2025 12:57 pm

      Sign up now and access top-converting affiliate offers! https://shorturl.fm/yHxMH

      Reply
    41. Iris4692 on July 18, 2025 2:13 pm

      Partner with us and enjoy recurring commission payouts! https://shorturl.fm/pyrDj

      Reply
    42. Jeremy1713 on July 18, 2025 3:16 pm

      Partner with us for high-paying affiliate deals—join now! https://shorturl.fm/cSrVg

      Reply
    43. Willow4887 on July 18, 2025 9:31 pm

      Boost your earnings effortlessly—become our affiliate! https://shorturl.fm/oQv8z

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 17, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-05

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nne Wakiwa wanaendelea kujibizana, walianza kusikia sauti ya Bi.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-02

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.