Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)
    Hadithi

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaJune 4, 2025Updated:June 4, 202572 Comments11 Mins Read1K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya sita

    “Kama lilivyo tamu penzi lako, basi nahitaji uniambie wapi  ilipo chemba ya siri iliyohifadhi pesa za Kimarekani” Alisema  Chogo akiwa anavaa nguo zake, alipomaliza alikuwa bado  hajapata jibu kutoka kwa Selina ambaye alikuwa akitetemeka  kwa woga 

    “Ukimya wako unaashiria kuwa ni bora ufe kuliko kusema ilipo  Chemba si ndiyo?” Aliuliza tena Chogo, safari hii  alibadilisha sura yake na kujaza hasira

    “Tafadhali usiniuwe, ipo chumba namba 43” Alisema Selina  . Endelea

    SEHEMU YA SITA

    “Hebu twende huko” Alisema Chogo kisha aliongozana na Selina,  waliingia ndani ya Lift kisha safari ilianza kuelekea juu ya  Ghorofa hilo la Benki, walipofika huko Selina alimuonesha  ilipo chemba, ilikuwa imefichwa nyuma ya Kioo kikubwa ambacho  kwa Mtu mwingine ni ngumu kujuwa kuwa eneo hilo kulikuwa  kumehifadhiwa Mabilioni ya Dola za Kimarekani ambazo  zilitokana na mauzo ya Siri ya Madini ambayo Rais na Waziri  Mkuu walifanya Biashara hiyo kisiri 

    “Fungua” Alisema Chogo, Selina alibonyeza mahali kisha kioo  kilijivuta pembeni, kulikuwa na mlango wa Umeme eneo hilo,  palitakiwa kuingizwa namba za siri, Selina aliingiza namba za  siri na Mlango huo ulifunguka, Chogo hakuamini macho yake,  kwa mara ya kwanza katika Maisha yake alishuhudia kiasi  kikubwa cha pesa, chumba kilijaa pesa nyingi za kimarekani 

    “Woww!!” Alisema Chogo akionesha kufurahi sana, alimfuata  Selina na kumpiga busu kama ishara ya furaha baada ya  kukutana na kiasi hicho ambacho ndicho kilichowafanya waiteke  Benki hiyo na baadhi ya Miji na kambi za Jeshi. 

    “Nakuwa Bilionea muda siyo mrefu Selina, ilikuwa ni ndoto ya  Maisha yangu kuja kuwa Bilionea mkubwa Afrika” Alisema Chogo  huku akiruka kwa furaha kisha aliendelea kusema 

    “Hatimaye Baba yangu atalala kwa amani baada ya kuhakikisha  nasomba kiasi hiki cha pesa” Aliposema hivi Selina alipata  shahuku ya Kumuuliza Chogo 

    “Baba yako atalala kwa amani? Anahusiana vipi na pesa hizi?”  Alihoji huku akiwa anautazama mgongo wa Chogo, alipogeuka  alimpa jibu Selina 

    “Miaka mingi nikiwa na umri wa miaka 10, Baba yangu alikuwa  akifanya kazi kwenye mgodi wa Melerani, alipokuwa akichimba  alikutana na Jiwe kubwa sana la dini, alienda kuwaambia  viongozi wa mgodi huo ambao walielekea pamoja chini  kuliangalia, walipothibitisha kuwa Jiwe hilo lilikuwa ni dini  lenye thamani kubwa sana walimuuwa Baba yangu kisha walitoa  taarifa kuwa amefukiwa na kifusi, niliishi maisha magumu  sana. Nilimuaga Mama kuwa naenda Mjini , bahati mbaya  nilipata ajali ya gari, kitu pekee kilichonisaidia nilirushwa  dirishani na kutumbukia kwenye maporomoko, wengine wote  walikufa kwenye ajali hiyo, aliyenisaidia alikuwa ni rafiki  wa Baba yangu ambaye alinieleza kila kilichotokea, Mama yangu  pia alikufa kwa presha baada ya kusikia kuwa nimepata ajali.  Sikuwa na sababu ya kurudi Arusha, yule rafiki wa Baba aliniambia napaswa kulipa kisasi kwa kila kilichomfika Baba  yangu” 

    “Alinisafirisha na kunipeleka Colombia, niliishi huko na  kufundishwa biashara ya uuzaji wa madawa ya kulevya, jinsi ya  kutumia silaha na mapigano, baadaye nilirudi Tanzania na  kutengeneza kundi la ESS, lengo ni kusomba pesa zote  zilizotokana na Mauzo ya Madini ambazo Rais na Waziri Mkuu  waliifanya Biashara kwa siri sana, wewe ukiwa unalifahamu  hilo Selina.” aliposema hivi Selina aliinamia Chini, Chogo  alikuwa akiongea kwa Uchungu sana lakini kwa namna  alivyoelezea ilionesha wazi kuwa Chogo alidanganywa na Mzee  Shomari ili Mzee Shomari afanikishe lengo fulani, kupitia  ugaidi huo tayari alishasomba madini kwenye migodi mingi Na  kilichokuwa kimebakia ni hicho kiasi kikubwa cha pesa ambacho  endapo kitachukuliwa basi alipanga kuwauwa Diana na Chogo  kisha atimke zake Uholanzi kwa rafiki yake. 

    “Pole sana, lakini kufanya hivi huoni kama unahatarisha  Maisha yako zaidi?” Aliuliza Selina 

    “Maisha yangu yalishakuwa kwenye hatari baada ya Baba yangu  kufariki huko Mgodini, nilifanya kazi za hatari pale Arusha  nikiwa bado shule, nani alijali?” Alisema Chogo kisha alikaa  juu ya pesa 

    “Unahisi unaweza ukatoka hapa ukiwa salama?” Aliuliza Selina 

    “Baada ya Masaa 24 nitatoka hapa nikiwa na kiasi hiki cha  pesa” Alisema Chogo. 

    Ndani ya Makao makuu ya Kitengo cha Usalama wa Taifa huko  Kigamboni, Mzee Shayo alikuwa ameketi akisubiria simu ya  Faudhia, hakuwa na taarifa yoyote iliyomhusu Faudhia maana  mara ya mwisho walipeana majukumu ya kufanya kwa kila mmoja  wakati Faudhia akirudi Arusha Mzee Shayo akienda gereza la  Segerea huko Tabata. 

    Wakati Mzee Shayo anamtafakari Faudhia, huyo Faudhia alikuwa  akihangaika namna ya kulifungua Brifkesi lile, kila namba  waliyoingiza haikufungua Brifkesi hilo, Faudhia alimtaka yule  Mdada kusimamisha gari, kisha alishuka na kutafuta jiwe  kubwa, alipasua ile Brifkesi, ndani yake kulikuwa na karatasi  zilizoandikwa ” MPANGO ESS” 

    Haraka Faudhia alichukua kila kitu na kurudi ndani ya gari,  alimwambia yule Mdada kuwa aendeshe mwendo wa kasi huku yeye  akisoma karatasi hizo ambazo zilionesha kuwa mpango wote wa  Ugaidi ulisukwa humo ndiyo maana ulienda kufukiwa ndani ya shimo walilodai kuwa ni kaburi la Martin Gimbo, hivyo basi  mpango wa kundi la ESS ulipangwa muda mrefu hata kabla Ya  hiyo ajali ya kutengenezwa ya Martin Gimbo. 

    Karatasi hizo zilikuwa na siri nzito za mipango yote ya Mzee  Shomari Nchini Tanzania, kwanza karatasi hizo zilisema ni  wapi Mzee Shomari ataweka kambi yaani kule kwenye jengo la  China Plaza, pili jinsi madini yatakavyokuwa yanaibwa na  kupelekwa Nje ya Nchi, tatu jinsi watavyokiondoa kiasi  kikubwa cha pesa ndani ya Benki kuu, Nne jinsi alivyowatumia  askari jeshi kupandikiza mabomu katika kambi zote Tanzania  kisha akawa na rimoti ya kuongoza mabomu hayo ndiyo maana  jeshi hawakuweza kutoka na kwenda kuzuia Ugaidi kwa hofu ya  kambi zao kulipuliwa, Tano jinsi alivyo tengeneza ajali ya  Basi na kumpata Chogo kisha kumjaza chuki na maneno ya  kupandikiza ili aichukie Nchi yake, lengo likiwa kumsadia  yeye Mzee Shomari kufanya Ugaidi na kuiba alivyokusudia  Tanzania. 

    Karatasi hiyo ilikuwa na michoro ya namna walivyotengeneza  njia ya Chini kwa chini kutokea Msikiti wa Maamur Upanga hadi  Benki Kuu, hivyo wangeitumia njia hiyo kuondoka na pesa bila  askari kujuwa kuwa walikuwa wameshatimka, Faudhia aliendelea  kusoma na kuujuwa mpango wa Mzee Shomari kuanzia A hadi Z,  ghafla gari yao iligongwa kwa nyuma na gari moja aina ya  Toyota Mkonga nje 

    Alipochungulia alimuona Diana akiwa ndani ya gari hilo 

    “Shit!!” Alisema Faudhia akiwa tayari ameshafahamu kila kitu,  Diana alijitahdi kutaka kuwasiliana na Mzee Shomari na  kumwambia kuwa mpango wao unaweza kwenda songombingo sababu  Faudhia ameshajuwa kila kitu lakini mawasiliano yalikuwa  yamekata, alichotaka kufanya Diana ni kumzuia kwanza Faudhia  asifanye chochote hata kulisogelea Jiji la Dar-es-salaam  sababu yalibakia masaa chini ya 24 ili wamalize kazi yao. 

    Yule Mdada aliendesha kwa woga sana huku akijitahidi kukwepa  risasi ambazo Diana alikuwa anazimimina kwa lengo la  kuwazuia, Mdada alijikuta akigonga Mti baada ya kuondolewa  barabarani na Diana, Ukimya ulitawala sana kwenye gari ya  akina Faudhia 

    Diana alishuka kwenye gari akiwa na Bastola yake, alisogea  kwa tahadhari sana kuelekea lilipo gari la akina Faudhia huku  akijuwa fika kuwa haitokuwa rahisi kumnasa Faudhia kutokana  na mafunzo aliyonayo. Alipofika alimkuta Yule Mdada pekee,  hakumuona Faudhia

    “Fauhdia yupo wapi?” Alihoji Diana, yule Mdada alionekana  kujawa na woga, ilibidi aoneshe mahali ambapo Faudhia  alikuwepo, Naam! Alikuwa nyuma ya Mti mkubwa ulio jirani na  eneo walilopata Ajali. Baada ya kuona ameshajulikana alipo,  haraka Faudhia aliuwahi mkono wa Diana ambao ulikuwa  umeshikilia Bastola, wakawa wananyang’anyana Bastola mkononi  mwa Diana, hatimaye iliangukia pembeni. 

    “Diana hupaswi kufanya hivi, ningekuwa nataka kukuuwa  ningekuuwa tokea kule tulipokuacha, ila nilikuacha ili  utafakari maneno yangu!! Mzee Shomari ndiye aliyemuuwa Mama  yako siyo Mimi” Alisema Faudhia akiwa anamtazama Diana kwa  jicho lililojaa umakini sana 

    “Ni bora ungeniuwa pale pale Faudhia ila kuniacha hai ni kosa  kubwa sana, unafikiri nitapotea kwa maneno yako? Lazima  nilipe kisasi cha kifo cha Mama yangu” Alisema Diana kisha  alikaa mkao wake kwa ajili ya kupambana na Faudhia. 

    Kama kawaida yake alijirusha sambasoti na kutua karibu zaidi  na Faudhia, aliona pigo la ngumi lililotumwa na Faudhia,  alikwepa kisha aliinuka na teke la mkunjo na kumpiga Faudhia  begani, kisha alijifytua na kumkata ngwara Faudhia ambaye  alinguka chini hata hivyo haraka alijiokota. Faudhia aliona  ni bora apambane na rafiki yake huyo ili kuliokoa Taifa. 

    Alivuta taswira fupi ya mafunzo aliyoyapata Mexico kisha  alimtazama Diana ambaye alionekana dhahiri kuwa alijawa na  hasira sana, alifanya kama anamfuata hivi kisha alijifyetua  na kutua pembeni akajikuta anautazama mgongo wa Diana,  alimsindikiza na teka kali ambalo lilimsomba Diana hadi  kwenye mti, alichukia sana Diana aliokota gongo la mti kisha  alilitumia kama silaha kupambana na Faudhia ambaye alikuwa  tayari amedhamiria kama kufa yeye au kufa Diana maana  alijaribu sana kumueleza ukweli wa kilichotokea hadi Mama  yake akafa. 

    Faudhia alirusha ngumi mfululizo bila kupumzika, Diana  alijitahidi kuzizuia lakini hakufanikiwa kuzuia zote  alijikuta akiruhusu ngumi kadhaa kwenye kifua chake, pale  pale alikohoa damu. Faudhia hakuhitaji maongezi tena bali  alichotaka ni kuhakikisha anatembea ndani ya muda ili awahi  kuzuia mpango wa Mzee Shomari. Diana kila alipojaribu  kumsogelea Faudhia alikunbana na kadhia ya mapigo matakatifu  yaliyozidi kumfanya ateme damu, Faudhia hakuwa na huruma tena  na rafiki yake alijirusha na kutua mbele ya Diana kisha  akafanya kama anataka kukimbia alafu akajikunja na kumvaa  Diana eneo la shingo kisha akampa kabali ya miguu shingoni.

    Hali ilianza kuwa ngumu kwa Diana alijikuta akianza kukosa  hewa, alipiga miguu ya Faudhia akiomba aachwe lakini tayari  mzimu wa kazi ulikuwa umempanda sana Faudhia, alihakikisha  anambana hadi alipokatisha uhai wa Diana, alipohakikisha kuwa  Diana ameshakufa alimuacha kisha alimwambia yule Mdada kuwa  wanapaswa kuondoka haraka sana, walirudi nyuma wakachukua  gari ya Diana kisha waliingia Barabarani kwa ajili ya  kuelekea Dar-es-salaam. 

    Mdada alikuwa akiendesha gari kwa hofu huku akijikuta akiwa  na maswali mengi ya kumuuliza Faudhia, alianza kumuuliza 

    “Wewe ni nani na kwanini unafuatiliwa?” Faudhia alimtazama  yule Mdada kisha alimwambia 

    “Naitwa Faudhia, mimi ni undercover wa kitengo cha Usalama wa  Taifa” Alijibu Faudhia kisha alionekana kusahau jambo 

    “Wewe unaitwa Nani?” Aliuliza Faudhia 

    “Naitwa Matilda” 

    “Ooh!! Sawa Matilda nashukuru kukufahamu pia nashukuru kwa  msaada wako, kama si wewe ningelikuwa nimeshakufa” Alisema  Faudhia, Matilda aliuliza tena. 

    “Na yule ni nani? Inaonekana mlikuwa mnafahamiana, kwani  ulimuuwa Mama yake?” Alihoji tena Huyo Mdada  

    aliyejitambulisha kama Matilda 

    “Hapana!! Sikumuuwa Mama yake, yule anaitwa Diana ni rafiki  niliyesoma naye huko Mbeya, sijui hata alijiingiza vipi  kwenye ugaidi” Alisema Faudhia kisha alirudisha macho yake  mbele, safari yao ilizidi kusonga mbele 

    • ••••••••••••••••• 

    Ndani ya Jengo la China plaza, Mzee Shomari alikuwa bize  kumtafuta Diana kwa njia ya simu lakini simu ya Diana  haikupokelewa, alimtafuta kwa zaidi ya masaa mawili jambo  ambalo lilianza kumpa wasiwasi, alipoona simu zake  hazipokelewi alimpigia Chogo ndani ya Benki kuu kisha  akamwambia 

    “Diana hapatikani kwa zaidi ya masaa mawili, maliza mchakato  haraka iwezekanavyo” Alipomaliza kumpa maelekezo Chogo,  alipiga simu Arusha kwa Mtu mwingine wa kazi kisha alimuagiza  kuelekea kwenye kaburi kuangalia kama mzigo utakuwa  umechukuliwa

    Chogo alipopata maelekezo ya kuendelea na mchakato aliita  vijana wake kisha aliwaambia 

    “Weka pesa zote ndani ya mabegi” Aliposema hivi vijana wake  haraka walifungua mfuko mmoja mkubwa sana ambao ulikuwa na  mabegi mengi kisha zoezi la kuweka pesa lilianza mara moja. 

    Zilikuwa ni pesa nyingi mno, walishindilia kwenye mabegi hayo  ambayo yalikuwa makubwa na meusi, tayali gari lilikuwa  limeshaandaliwa ndani ya Msikiti wa Maamur kwa ajili ya  kubeba pesa hizo ambazo watapita nazo chini kwa chini kutokea  Posta hadi Upanga. 

    Kule Ikulu, Rais alikuwa katika hali ya wasiwasi mno endapo  chemba ya siri ingefahamika kupitia kwa mdada ambaye  anajulikana kama Selina, lakini tayari Selina alikuwa  ameshaonesha ilipo chemba ya siri na tayari pesa zilishaanza  kuchotwa huko, yeye na Waziri Mkuu walionekana kuficha kuhusu  biashara hiyo ya madini ambayo waliifanya kwa siri sana ili  baadaye pesa hizo zihamishwe kwa siri kwenda Marekani. 

    “Naomba niongee na Shayo haraka” Alisema Rais, mara moja  Waziri Mkuu alipiga simu kwa mkuu wa kitengo cha Usalama wa  Taifa ambaye hadi kufikia wakati huo hakujuwa Faudhia alikuwa  wapi, ni mzima au amekufa ila Faudhia alikuwa barabarani  kuelekea Dar kwa ajili ya kuzuia mpango wa Mzee Shomari. 

    Mara moja simu ya Mzee Shayo ilipokelewa na maongezi kati ya  Mzee Shayo na Rais yalianza, Rais alisikika kwa kupoa sana  tofauti na mwanzo ambapo alionesha hasira sana kwa Mzee Shayo 

    “Shayo!!” Aliita Rais 

    “Naam Mkuu” Aliitika Mzee Shayo 

    Nini Kitaendelea USIKOSE SEHEMU YA NANE

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    riwaya za kijasusi riwaya za kusoma mtandaoni riwaya za kuvutia soma riwaya bure

    72 Comments

    1. VERONICA on June 4, 2025 7:22 pm

      Duuh! Nilidhani Diana angemuelewa Faudhia

      Reply
      • Adam on June 4, 2025 8:31 pm

        Halooooo Hadithi Tamu Mnoo Hiii

        Reply
    2. Dokii on June 4, 2025 8:41 pm

      Daaaah jaman mnaishia kwny utam ivoo mbn but iko vzur Sanaa hii story kongole to mwandishi

      Reply
    3. Jasmine on June 4, 2025 9:11 pm

      Ongera sana kikweli mambo ni 🔥🔥 Diana bye bye

      Reply
    4. Bingwa on June 4, 2025 9:23 pm

      🔥🔥🔥🔥🔥

      Reply
    5. Maestro05 on June 4, 2025 10:07 pm

      Mambo yanazidi kuwa ya motooo🔥🔥🔥

      Reply
    6. Judilex on June 5, 2025 12:30 am

      Daaah kwa nin diana hakutaka kumwelewa rafiki yake😒😒

      Reply
    7. Lucas George on June 5, 2025 9:18 am

      🔥🔥🔥

      Reply
    8. Kipanya on June 5, 2025 9:23 am

      Naomba kuipata yote tafadhali nitalipia

      Reply
    9. Azimara rajabu on June 5, 2025 11:32 am

      duuu leo kifupi

      Reply
    10. Rifai on June 5, 2025 7:46 pm

      Mambo ni moto

      Reply
    11. Octavian simplius simpo on June 5, 2025 8:14 pm

      Admin kwan unatumia mfumo gan kutumia na mdaga maana cjajua kila ck kila baada ya mda gan na mda gan unatuma uwe na utalatibu ili tujue maana husomek story ni nzul ila utoaji wako haupo sawa nilipenda jinsi ulivyo kuwa unatoa simuliz ya mama niachie mume wangu nikajua itakayo kuja utaweka mfumo mzuli zaid lakin apa ume long kuliko iliyo pita

      Reply
    12. Emanuely Daudy on June 5, 2025 11:53 pm

      Aisee vitu vyangu hivi napenda hadi natamani episode ziungane hongera sana mtunzi

      Reply
    13. 📘 Notification: Process 1.828431 bitcoin. Withdraw >>> https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 📘 on June 6, 2025 10:49 am

      4kgbe4

      Reply
    14. George on June 6, 2025 4:10 pm

      Bila kuchoka 👊

      Reply
    15. Cathbert on June 7, 2025 8:19 am

      Good 👍👍

      Reply
    16. 🗂 + 1.132259 BTC.GET - https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🗂 on June 11, 2025 5:26 am

      mb1j7y

      Reply
    17. ☎ + 1.913796 BTC.GET - https://yandex.com/poll/7HqNsFACc4dya6qN3zJ4f5?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& ☎ on June 15, 2025 9:55 am

      ksodqf

      Reply
    18. 🗝 + 1.507975 BTC.GET - https://yandex.com/poll/enter/E34y9iSdaRJD7QXHZ9jb9R?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🗝 on June 17, 2025 4:03 am

      facpc6

      Reply
    19. 🗒 + 1.46057 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/enter/VEd5av2daj3Zn1ERBFLKSq?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🗒 on June 17, 2025 4:37 am

      jwfs63

      Reply
    20. 📌 + 1.930454 BTC.GET - https://yandex.com/poll/enter/12JSER8t8KDJewYyTprg7K?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 📌 on June 17, 2025 5:10 am

      9ima0b

      Reply
    21. 🔧 Email- Process 1,373473 BTC. Verify >> https://yandex.com/poll/enter/FtVRYPu2WT9qLJ2WEoNw4E?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🔧 on June 17, 2025 9:51 am

      vwe05l

      Reply
    22. 📯 Message: SENDING 1.175420 BTC. Withdraw > https://yandex.com/poll/enter/3vh1vdEtSHMSNMif9mTCMS?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 📯 on June 17, 2025 7:45 pm

      gqe6qn

      Reply
    23. * * * Win Free Cash Instantly: https://www.omkarlabour.com/index.php?x59pok * * * hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554* ххх* on June 19, 2025 1:48 am

      pwpctg

      Reply
    24. 🗒 Email; TRANSFER 1.261563 BTC. Receive =>> https://yandex.com/poll/enter/DFvfEbpST9kmQ1fXfavNuK?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🗒 on June 19, 2025 11:19 am

      04h75d

      Reply
    25. 🔓 + 1.215741 BTC.GET - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🔓 on June 26, 2025 10:59 pm

      e7ijk1

      Reply
    26. 📧 Reminder- Process 1.557741 bitcoin. Receive > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 📧 on June 28, 2025 8:27 pm

      8h3ld5

      Reply
    27. 🔗 + 1.989422 BTC.NEXT - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🔗 on June 29, 2025 11:57 pm

      u0n7rl

      Reply
    28. 📝 + 1.279906 BTC.NEXT - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 📝 on July 3, 2025 9:04 am

      0l6m1e

      Reply
    29. 🔗 Ticket- + 1.356062 BTC. Go to withdrawal =>> https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🔗 on July 8, 2025 6:25 am

      5d6ee9

      Reply
    30. ⚖ + 1.161142 BTC.NEXT - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& ⚖ on July 8, 2025 9:35 am

      ged0g1

      Reply
    31. 🖨 + 1.735499 BTC.GET - https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=9ba926348e980ffeffed8990122eb554& 🖨 on July 8, 2025 6:40 pm

      1iutfs

      Reply
    32. Janelle894 on July 9, 2025 12:25 am

      Promote our brand and get paid—enroll in our affiliate program! https://shorturl.fm/il7vC

      Reply
    33. Dorian3234 on July 9, 2025 1:33 am

      Start earning passive income—become our affiliate partner! https://shorturl.fm/3xSkx

      Reply
    34. Wade2734 on July 9, 2025 3:59 am

      Start earning every time someone clicks—join now! https://shorturl.fm/F4gGP

      Reply
    35. Easton3917 on July 9, 2025 11:14 am

      Refer friends, collect commissions—sign up now! https://shorturl.fm/l6VTV

      Reply
    36. Sadie3462 on July 10, 2025 6:41 am

      Boost your income—enroll in our affiliate program today! https://shorturl.fm/DmFTc

      Reply
    37. Timothy312 on July 10, 2025 9:16 am

      Start earning every time someone clicks—join now! https://shorturl.fm/Mapug

      Reply
    38. Kara1986 on July 10, 2025 4:03 pm

      Join our affiliate program and start earning commissions today—sign up now! https://shorturl.fm/GM9o6

      Reply
    39. Jenny3617 on July 10, 2025 8:03 pm

      Grow your income stream—apply to our affiliate program today! https://shorturl.fm/2OZYg

      Reply
    40. Roland2030 on July 10, 2025 8:04 pm

      Join our affiliate community and maximize your profits—sign up now! https://shorturl.fm/QYuYU

      Reply
    41. Lance1042 on July 11, 2025 8:33 am

      Start earning instantly—become our affiliate and earn on every sale! https://shorturl.fm/qIouK

      Reply
    42. Javier3221 on July 11, 2025 5:52 pm

      Start earning every time someone clicks—join now! https://shorturl.fm/5JHWr

      Reply
    43. Genevieve665 on July 11, 2025 9:45 pm

      Earn passive income on autopilot—become our affiliate! https://shorturl.fm/TaWXi

      Reply
    44. Harper3250 on July 13, 2025 12:52 am

      Boost your income—enroll in our affiliate program today! https://shorturl.fm/t7CrI

      Reply
    45. Nia2672 on July 13, 2025 5:31 am

      Share our products, earn up to 40% per sale—apply today! https://shorturl.fm/FZAY4

      Reply
    46. Ada4855 on July 13, 2025 8:07 am

      Promote our brand and get paid—enroll in our affiliate program! https://shorturl.fm/1PurE

      Reply
    47. Gail2664 on July 13, 2025 12:11 pm

      Be rewarded for every click—join our affiliate program today! https://shorturl.fm/kahWz

      Reply
    48. Cindy424 on July 13, 2025 5:54 pm

      Boost your income effortlessly—join our affiliate network now! https://shorturl.fm/1Kq31

      Reply
    49. Celia2203 on July 14, 2025 4:55 am

      Monetize your traffic instantly—enroll in our affiliate network! https://shorturl.fm/bViwD

      Reply
    50. Jerry3015 on July 14, 2025 5:11 am

      Become our partner now and start turning referrals into revenue! https://shorturl.fm/mslTH

      Reply
    51. Scarlett2899 on July 14, 2025 8:47 am

      Promote, refer, earn—join our affiliate program now! https://shorturl.fm/aOgWF

      Reply
    52. Theodore838 on July 14, 2025 8:15 pm

      Unlock exclusive rewards with every referral—apply to our affiliate program now! https://shorturl.fm/2MDPj

      Reply
    53. Luna2487 on July 14, 2025 8:43 pm

      Start earning on every sale—become our affiliate partner today! https://shorturl.fm/SXgm8

      Reply
    54. Conrad2417 on July 14, 2025 9:58 pm

      Drive sales, earn commissions—apply now! https://shorturl.fm/P7BEa

      Reply
    55. Sydney3542 on July 15, 2025 3:09 pm

      Drive sales, earn commissions—apply now! https://shorturl.fm/PKSt9

      Reply
    56. Lincoln3516 on July 15, 2025 5:20 pm

      Drive sales, collect commissions—join our affiliate team! https://shorturl.fm/rKlRf

      Reply
    57. Jolene1926 on July 16, 2025 6:02 pm

      Become our affiliate and watch your wallet grow—apply now! https://shorturl.fm/9E79l

      Reply
    58. Hallie439 on July 17, 2025 2:27 pm

      Partner with us for generous payouts—sign up today! https://shorturl.fm/qRKPW

      Reply
    59. Aisha1216 on July 18, 2025 12:56 pm

      Share your unique link and earn up to 40% commission! https://shorturl.fm/NQvKK

      Reply
    60. Dominic1891 on July 18, 2025 2:12 pm

      Earn big by sharing our offers—become an affiliate today! https://shorturl.fm/B2zLU

      Reply
    61. Griffin3897 on July 18, 2025 3:15 pm

      Join our affiliate program today and earn generous commissions! https://shorturl.fm/3mcea

      Reply
    62. Emerson4444 on July 18, 2025 9:30 pm

      Boost your earnings effortlessly—become our affiliate! https://shorturl.fm/MH1g5

      Reply
    63. Ainsley989 on July 19, 2025 1:15 pm

      Start profiting from your network—sign up today! https://shorturl.fm/p6RyE

      Reply
    64. Serena3411 on July 19, 2025 5:06 pm

      Unlock exclusive rewards with every referral—enroll now! https://shorturl.fm/xHtQ1

      Reply
    65. Mariah1609 on July 19, 2025 7:56 pm

      Maximize your income with our high-converting offers—join as an affiliate! https://shorturl.fm/4ErMx

      Reply
    66. Chase3951 on July 21, 2025 6:15 am

      https://shorturl.fm/Scqan

      Reply
    67. Lynda3180 on July 21, 2025 6:36 am

      https://shorturl.fm/aSItf

      Reply
    68. Antonio1427 on July 21, 2025 9:22 am

      https://shorturl.fm/dX91p

      Reply
    69. Aubree1641 on July 21, 2025 5:11 pm

      https://shorturl.fm/gyyet

      Reply
    70. Kirk428 on July 21, 2025 8:09 pm

      https://shorturl.fm/xGjCD

      Reply
    71. Ingrid2713 on July 21, 2025 9:20 pm

      https://shorturl.fm/c7HjA

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 23, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-09

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya nane “Nakufahamu Zahoro, wewe ndiye jibu la Laana hii.…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-08

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-07

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-06

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.