Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Ngumu Ya Yanga Mwezi February
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Ratiba Ngumu Ya Yanga Mwezi February

    MhaririBy MhaririFebruary 1, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya kusimama kwa takribani siku 40 kupisha mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) yanayoendelea nchini Ivory Coast Ligi Kuu ya NBC inarejea tena Februari 2 kwa ratiba ya mchezo mmoja utakaopigwa saa 10:00 alasiri kwenye uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera kati ya Kagera Sugar dhidi ya Yanga.

    Tuitazame hapa ratiba ngumu ya klabu ya Yanga katika Ligi kuu wakianza kesho dhidi ya Kagera Sugar.

    Ratiba ya Yanga ligi kuu

    02/02/2024 = Kagera Sugar vs Yanga Sc  

    05/02/2024= Yanga Sc vs Dodoma Jiji

    08/02/2024 = Yanga Sc vs Mashujaa Fc

    11/02/2024= Tanzania Prisons vs Yanga 

    17/02/2024= KMV vs Yanga Sc

    23-25 /02/2024 = Yanga Sc vs CR Belouizdad 

    Katika michuano ya mataifa barani Afrika wachezaji wanaotoka ligi kuu waliobakia kwenye mashindano hayo hadi sasa ni Henock Inonga wa timu ya Simba Pamoja na Djigui Diarra wa Yanga hivyo kuruhusu ligi hiyo kuendelea kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu.

    Mpaka sasa katika msimamo wa ligi kuu anayeoongoza ni Azam Fc akiwa na alama 31 katika mechi 13 alizocheza akifuatiwa na Yanga mwenye alama 30 katika mechi 11 alizocheza huku Simba akiwa na michezo 10 na alama 23 pekee. Chini ya msimamo yupo Mtibwa mwenye alama 8 juu yake akiwa Mashujaa mwenye alama 9.

    SOMA ZAIDI: Ule muda wa kufanya maajabu Ligi Kuu umerejea.

    habari za yanga yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.