Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Ngumu Ya Yanga Mwezi February
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Ratiba Ngumu Ya Yanga Mwezi February

    MhaririBy MhaririFebruary 1, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya kusimama kwa takribani siku 40 kupisha mashindano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) yanayoendelea nchini Ivory Coast Ligi Kuu ya NBC inarejea tena Februari 2 kwa ratiba ya mchezo mmoja utakaopigwa saa 10:00 alasiri kwenye uwanja wa Kaitaba mkoani Kagera kati ya Kagera Sugar dhidi ya Yanga.

    Tuitazame hapa ratiba ngumu ya klabu ya Yanga katika Ligi kuu wakianza kesho dhidi ya Kagera Sugar.

    Ratiba ya Yanga ligi kuu

    02/02/2024 = Kagera Sugar vs Yanga Sc  

    05/02/2024= Yanga Sc vs Dodoma Jiji

    08/02/2024 = Yanga Sc vs Mashujaa Fc

    11/02/2024= Tanzania Prisons vs Yanga 

    17/02/2024= KMV vs Yanga Sc

    23-25 /02/2024 = Yanga Sc vs CR Belouizdad 

    Katika michuano ya mataifa barani Afrika wachezaji wanaotoka ligi kuu waliobakia kwenye mashindano hayo hadi sasa ni Henock Inonga wa timu ya Simba Pamoja na Djigui Diarra wa Yanga hivyo kuruhusu ligi hiyo kuendelea kwa mujibu wa kanuni za ligi kuu.

    Mpaka sasa katika msimamo wa ligi kuu anayeoongoza ni Azam Fc akiwa na alama 31 katika mechi 13 alizocheza akifuatiwa na Yanga mwenye alama 30 katika mechi 11 alizocheza huku Simba akiwa na michezo 10 na alama 23 pekee. Chini ya msimamo yupo Mtibwa mwenye alama 8 juu yake akiwa Mashujaa mwenye alama 9.

    SOMA ZAIDI: Ule muda wa kufanya maajabu Ligi Kuu umerejea.

    habari za yanga yanga sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.