Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Kamili Ya Robo Fainali AFCON 2023/2024
    Africa | CAF

    Ratiba Kamili Ya Robo Fainali AFCON 2023/2024

    MhaririBy MhaririJanuary 31, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ratiba ya robo fainali AFCON
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya hatua ya 16 bora michuano ya kombe la mataifa barani Afrika kukamilika ni rasmi sasa presha na joto linazidi kupanda zaidi la michuano hii mikubwa zaidi barani Afrika kwa ngazi ya timu za taifa ambapo tunaangalia ratiba ya robo fainali ya michuano hii. Ukiachilia mbali matokeo ya kushangaza lakini pia kuenguliwa katika michuano hii kwa mataifa bora barani Afrika kisoka na timu za taifa ambazo hazikutarajiwa pia ni moja ya ishara ya kukua kwa soka Afrika.

    Ratiba kamili ya michuano hii ya AFCON katika hatua ya robo fainali iko hivi:

    02/02/2024

    • Nigeria vs Angola
    • Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo) vs Guinea

    03/02/2024

    • Mali vs Ivory Coast
    • Cape Verde vs Afrika Kusini

    DONDOO:

    Kutolewa kwa Morocco na timu ya taifa ya Afrika Kusini maana ake ni kwamba wanajiunga na mabingwa watetezi Senegal, Tunisia, Algeria, Cameroon na Burkina Faso kama timu  zinazoorodheshwa katika nafasi 10 za juu barani Afrika kwa viwango vya FIFA ambazo zimefungasha virago mapema katika michuano ya msimu huu nchini Ivory Coast.

    Kumbuka kuwa AFCON ya mwaka huu ni moja ya michuano ambayo imeingia katika historia kubwa zaidi katika historia ya mashindano hayo kutokana na zawadi ambazo zimeandaliwa kwani mabingwa watapokea kitita cha dola milioni 7 ambalo ni ongezeko la asilimia 40 kutoka kwa toleo la awali jambo ambalo mpaka sasa limetufanya tuone michuano ya kuvutia na yenye ushindani mkubwa zaidi kutoka kwa mataifa ambayo hayakutarajiwa kufanya vyema.

    SOMA ZAIDI: Waliotegemewa wameduwazwa na wasiotegemewa AFCON 2023

     

     

     

    AFCON 2023

    1 Comment

    1. Pingback: Walioleta VAR AFCON Wana Nafasi Yao Moyoni Mwangu - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.