Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Ratiba Kamili Ya AFCON Hatua Ya 16 Bora
    Africa | CAF

    Ratiba Kamili Ya AFCON Hatua Ya 16 Bora

    MhaririBy MhaririJanuary 25, 20243 Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Ratiba ya 16 bora
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Baada ya hatua ya makundi kukamilika ni wazi sasa ile hatua ya 16 bora katika michuano ya mataifa barani Afrika  (AFCON) inatarajiwa kuanza na yapo maswali kadhaa kutoka kwa wadau kuhusu nani anakutana na nani na tarehe ngapi lakini hapa tumekuwekea ratiba kamili ya michuano hii na tarehe ambazo watakutana.

    Jan 27
    Angola vs Namibia
    Nigeria  vs Cameroon

    Jan 28
    Equatorial Guinea vs Guinea
    Egypt  vs DR Congo

    Jan 29
    Cape Verde  vs Mauritania
    Senegal  vs Côte d’Ivoire

    Jan 30
    Morocco  vs South Africa
    Mali  vs Burkina Faso

    Baada ya kurudi kama Best Looser Mwenyeji anapata nafasi ya kurekebisha makosa yake ambapo anakutana na Senegal. Mechi gani hapo imekuvutia zaidi katika hatua hii ya 16 bora kwenye AFCON?  Lakini pia moja kati ya mechi ya kutazamwa pia ni ya Nigeria dhidi ya Cameroon lakini pia balaa waliloanza nalo katika hatua ya makundi nchi ya Cape Verde wataendelea nalo mbele ya Mauritania ambao ndio mara yao ya kwanza kufika hatua hii?

    Ratiba ya 16 bora

     

    SOMA ZAIDI: Taifa Stars Ilikosa Kujiamini Hakukua Na Mipango Sahihi

    afcon AFCON 2023 ratiba ya afcon

    3 Comments

    1. Pingback: Yanga Walikua Sahihi Kumpiga Kitanzi Ibrahim Bacca - Kijiweni

    2. Pingback: Ukiitaja AFCON Usisahau Kuhusu Ligi Kuu Ya NBC - Kijiweni

    3. Pingback: Mchezaji Huyu Yanga Kutinga Robo Fainali AFCON - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.