Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nini maana ya Player Specials Katika Betting?
    Chuo cha Kubeti

    Nini maana ya Player Specials Katika Betting?

    MhaririBy MhaririJanuary 25, 202438 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mfano wa Player special katika betting
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kama utakua ni miongoni mwa wale ambao hutazama masoko mbalimbali katika ubashiri na ambazo huwa na odds za juu basi lazima utakua umekutana na soko hili ambalo limeandikwa Player Specials.

    Mara zote option kama hii hutafutwa sana na wale watu ambao wanakua wamechambua takwimu mbalimbali ambazo anakua nazo mchezaji katika baadhi ya mechi ambazo anakua amezicheza na hapa utaangalia vitu vingi sana kwa mchezaji binafsi pekee.

    Katika soko hili utakutana na kuamua labda atapiga mashuti mangapi langoni au atapiga pasi ngapi katika mechi husika, lakini pia unaweza kuangalia atacheza rafu mara ngapi au kupata kadi katika mchezo huo husika nk.

    Hizo ndio miongoni mwa option ambazo utakutana nazo katika kutumia soko hili kwenye ubashiri wa mikeka yako haswa kama utachagua option hii ya Upekee wa mchezaji katika mchezo.

    Mfano: Mchezo kati ya Tanzania dhidi ya Morocco uamue kubashiri kuwa Aishi Manula ataokoa mashuti zaidi ya 4 katika mchezo huo na ikatokea akaokoa mashuti 5 basi umeshinda, kumbuka kuwa ikatokea hajaokoa shuti hata moja basi umepoteza mkeka wako.

    Wapo ambao huamua mara nyingi zaidi katika soko hili kuwapa mabeki kupiga pasi zaidi ya 20 au chini ya hapo kutoka katika kipindi husika cha mechi au kuwapa washambuliaji nafasi ya kupata shots on target hata zaidi ya 4 katika mechi husika.

    Unaweza kuamua kubashiri nani apate kadi ya kwanza katika mchezo na hata nani apige kona ywa kwanza au ya mwisho au hata ya 2 ya mchezo.

     

    SOMA ZAIDI: Nini maana ya Anytime Goalscorer katika betting?

     

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.