Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Nigeria vs Angola Tunasuka Hivi Mkeka
    Odds za Moto

    Nigeria vs Angola Tunasuka Hivi Mkeka

    MhaririBy MhaririFebruary 2, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Nigeria vs Angola
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Utamu wa michuano ya mataifa barani Afrika unarejea tena hii leo katika dimba la Felix Houphouet-Boigny mchezo wa robo fainali kati ya Nigeria dhidi ya Angola kumtafuta mshindi wa kwenda hatua ya nusu fainali ya AFCON.

    TAKWIMU:

    Angola walifuzu katika hatua hii baada ya kumfunga Namibia mabao 3:0 huku Nigeria wao ni kawaida kufika hatua hii kwani katika michezo 10 ya 16 bora katika michuano ya AFCON wameshinda michezo 9 na wamefuzu kwa kumfunga Cameroon bao 2:0.

    Hapa anatafutwa atakayeingia hatua ya Nusu fainali ingawa Angola hajawahi kufuzu hatua ya nusu fainali kabisa na mara ya mwisho kufika robo fainali ilikua mwaka 2010 ambapo walitolewa na Ghana katika michuano hii.

    Kumbuka kuwa mshindi wa mechi hii anakutana na Afrika Kusini au Cape Verde katika hatua ya nusu fainali wiki ijayo.

    • Hii ni mara yao ya 12 kukutana ambapo Nigeria ameshinda mara 3 huku Angola akishinda mara 2 na zinazobakia zote ni sare.
    • Nigeria katika michezo yao 6 ya mwisho ukijumlisha na zile mechi za kirafiki hawajafikisha mabao 3.
    • Angola hawajafungwa katika mechi 8 za mashindano wakishinda mara 4.
    • Nigeria wamefunga katika mechi 11 kati ya 12 za AFCON zilizopita.
    • Angola huu ni moja kati yam waka waliokua na mafanikio makubwa sana kuanzia hatua ya makundi ya michuano hii ya AFCON.

    TUNABETIJE?

    Ukiachiilia mbali vimbwanga ambavyo vimekua vikijitokeza katika michuano hii ya AFCON katika mchezo huu ni bora kutumia kampuni yako ya kubashiri na kuchagua soko la To Qualify na ukachagua mmoja kati ya Nigeria vs Angola kwamba nani anafuzu nusu fainali.

    Kumekua na kutolewa kwa kadi sana kuanzia hatua ya makundi katika michuano hii nadhani sasa ni wakati wa kubashiri kadi ambapo unaweka kuwe na kadi chini ya 6 kipindi cha kwanza 1st Half Under 5.5 Bookings

    SOMA ZAIDI: Ukibeti Hivi Robo Fainali AFCON Una Uhakika Wa Kushinda

    afcon AFCON 2023

    1 Comment

    1. Pingback: DR Congo vs Guinea AFCON Tunabeti Hivi - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.