Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » MO Dewji Rudi Tena Kazini Uwape Furaha Wanasimba
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    MO Dewji Rudi Tena Kazini Uwape Furaha Wanasimba

    MhaririBy MhaririApril 8, 2024Updated:April 11, 20243 Comments2 Mins Read7K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    MO Dewji
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Tajiri, kijana wako niliendelea kusubiri ile Suuu lakini mpaka sasa bado hujasema lolote, Tajiri mimi bado nasubiri. Najua moyo wako ulivyo na mapenzi mema na Simba SC basi tupe hii Boss. Mohamed Dewji nakiri wazi uliamua kwa dhati kutuonyesha tukiamua inawezekana, uliifanya Simba SC kuwa tishio Afrika na kucheza Robo Fainali nne Ligi ya Mabingwa huku moja ikiwa ni kombe la Shirikisho na juzi kati hapo imecheza tena ya tano lakini hadithi ni ileile tu. Tajiri Mohamed Dewji, kilio cha wanasimba ni kuwavusha kwenda Nusu fainali, rudi tena kazini wape furaha ya namna hiyo, njoo tena utoe darasa la kwenda hatua hiyo pengine tutafika. Ukweli wa wazi wewe ndiye mtu uliyethubutu kwa dhati kuwaonyesha matajiri wengine inawezekana wakiamua. Hapa naandika kama mdau wa soka lakini mtu ambaye nakubali sana kazi zako, njoo tena na tena tuelekeze tunafuzu vipi hiyo Nusu mbona ni kama manyanyaso yamezidi. Itazame Al Ahly na Mamelodi Sundowns kwanini waonekane ni kikwazo, KWANINI ionekane haiwezekani, njoo tena Tajiri tunakusubiri. Simba SC imeweka alama Afrika hilo halina ubishi, hakuna atakaye toka na kulikataa hili sidhani hayupo huyo mtu. Mo Dewji imeiweka ramani ya mpira wetu katika Chapa ya Moto naamini ipo siku tutafika tu. Naiweka chini KALAMU yangu nasubiri kuona au kusikia tena SUUUU imebeba nini Tajiri. Unatamani Tajiri MO DEWJI Afanye kitu gani ili kuhakikisha Simba inarudi ile ambayo tumeizoea? Acha comment yako hapa chini

    mo dewji simba simba vs azam
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.