Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Mchezaji Gani Wa Timu Unayoshabikia Akiondoka Ni Fresh Tu?
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Mchezaji Gani Wa Timu Unayoshabikia Akiondoka Ni Fresh Tu?

    MhaririBy MhaririMay 8, 2024Updated:May 8, 202425 Comments2 Mins Read833 Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Mchezaji wa klabu ya Simba Clatous Chama
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Tuko katika kipindi ambacho ligi mbalimbali duniani zinaelekea ukingoni huku zipo ligi ambazo mabingwa tayari wamekwishajulikana lakini zipo ligi ambazo mabingwa bado hawajajulikana na ndio kipindi ambacho mchezaji au wachezaji hujituma kuhakikisha kuwa wanaipa mafanikio klabu ambayo wanaichezea.

    Hivi sasa tupo ukingoni kabisa mwa ligi lakini pia ndio kipindi ambacho timu zinafikiria namna ya kuboresha vikosi vyao kulekea msimu mpya unaofata katika kuhakikisha kuwa wanatekeleza malengo yao ambayo unaweza kukuta katika msimu husika wameshindwa kuyatekeleza au wameyatekeleza lakini wanataka kuboresha zaidi.

    Hiki ndio kipindi ambacho pia kumekua na tetesi nyingi sana kuhusiana na mchezaji au wachezaji ambao wanakua wamemaliza mikataba yao au inakaribia kuisha lakini pia ndio kipindi ambacho kumekua na tetesi kuhusiana na klabu ambazo zimekua zikiwahitaji wachezaji flani huku kukiwa na taarifa mchezaji huyu anaenda timu gani.

    Swali langu ni dogo sana kwako mwana KIJIWENI kutokana na tetesi ambazo umekua ukizisikia lakini pia kuhusu mchezaji ambae yupo katika timu ambayo wewe unaishabikia unadhani kwenye timu yako mchezaji gani akiondoka kwako fresh tu na wala haina shida na akiondoka katika timu yako akaenda kwenye timu ambayo huikubali yaani huishabikii bado utaendelea kumsapoti mchezaji huyo?

    Lakini pia ukipata nafasi ya kuongea na uongozi wa timu yako utatamani nani asajiliwe?

    Unapenda SIMULIZI? Gusa Hapa Sasa Kusoma KOTI JEUSI   

    mchezaji wa simba usajili mpya azam usajili mpya yanga usajili wa chama yanga
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.