Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025
    Stori Mpya

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    MhaririBy MhaririJanuary 31, 2026Updated:January 31, 20262 Comments2 Mins Read2K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha Nne 2025, kiwango cha ufaulu chafikia asilimia 94.98

    Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) wa mwaka 2025, mtihani ambao ulianza rasmi Novemba 17, 2025.

    Matokeo hayo yametangazwa siku ya Jumamosi, Januari 31, 2026, na Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said Mohammed.

    👉 Angalia matokeo ya Kidato cha Nne hapa

    Jumla ya watahiniwa 569,883 kutoka shule 5,864 zilizosajiliwa walifanya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) 2025, huku watahiniwa binafsi 25,927 wakisajiliwa katika vituo 813.

    Katika taarifa iliyotolewa Novemba 16, 2025, Katibu Mtendaji wa NECTA, Profesa Said Mohammed, alisema idadi ya watahiniwa imeongezeka kwa asilimia 7.67 ikilinganishwa na mwaka 2024.

    Kati ya watahiniwa 569,914 wa shule waliosajiliwa, 266,024 walikuwa wavulana sawa na asilimia 47, huku 303,859 wakiwa wasichana, sawa na asilimia 53.

    Mahudhurio ya mtihani yalifikia asilimia 97.5, sawa na watahiniwa 555,606.

    👉 Angalia matokeo ya Kidato cha Nne hapa

    Takwimu zinaonesha kuwa kiwango cha ufaulu kwa ujumla kimeongezeka kwa asilimia 2.61, kufikia asilimia 94.98, ambapo watahiniwa 526,620 walipata Daraja la Kwanza hadi la Nne (Divisheni I–IV).

    Idadi ya watahiniwa waliopata madaraja ya juu (Divisheni I–III) pia imeongezeka hadi 255,404, sawa na asilimia 46.1 ya watahiniwa wote waliofanya mtihani.

    SOMA RIWAYA ZA KIJIWENI Kwa Kugusa Hapa 

    matokeo form four matokeo ya kidato cha nne necta 2025

    2 Comments

    1. Pouni on January 31, 2026 12:59 pm

      Good

      Reply
    2. Pouni on January 31, 2026 1:15 pm

      Good necta

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Stori Mpya January 31, 2026

    Matokeo Ya Kidato Cha Nne 2025

    NECTA yatangaza matokeo ya Kidato cha Nne 2025, kiwango cha ufaulu chafikia asilimia 94.98 Baraza…

    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.