Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kwanza
“Nitaongea na Mama yako” alisema kisha tuliendelea na safariΒ ya kuelekea Kanisani, tulipofika nilimuacha akanipatia pesaΒ kama Elfu 50 hivi kisha akaniambia nisimwambie Mama MaanaΒ ataichukuaΒ
“Sitamwambia Anko”Β
“Haya natumaini mapishi yako yatakuwa Bul bul leo Veronica”Β
“Ha!ha!ha!” nilikuwa napenda sana kucheka nilikuwa siweziΒ kununa yaani, nilifurahi kisha nilipanda daladala na kurejeaΒ Nyumbani. EndeleaΒ
SEHEMU YA PILI
Zile pesa niliziweka kwenye begi langu, nikasema nitazitumiaΒ nikiwa chuo ili nisimkwaze Mama maana Anko alisemaΒ nisimwambie, niliandaa chakula siku hiyo.Β
Nilikipika haswa, maana Mama alikuwa akiujuwa ufundi wanguΒ kwenye mapishi hasa ya ndizi.Β
Nilichemsha na Maziwa, Usiku tulijumuika pamoja tukala zileΒ ndiziΒ
“Veronica mapishi yako ni hatari sana” alisema Mjomba “Basi pale bichwa litakuwa kubwaa” Mama akadakia “Jamani Mama! Sasa si ananisifia tu”Β
“Sijawahi kula ndizi tamu kama hizi Veronica, nataka nikupeΒ zawadi”Β
“Zawadi gani hiyo Anko?”Β
“Tukatalii Mlima Kilimanjaro”Β
“Mh! Kutalii tena Kaka?”Β
“Eeeh! nataka nimpeleke akauone Mlima Kilimanjaro, sio vibayaΒ kama Mtoto akifanya utalii wa ndani istoshe yeye anasomeaΒ Utalii, ni kama vile anaenda kufanya kwa vitendo”Β
“Haya! Sawa” Mama alikubali, nilifurahi sana kusikiaΒ amekubali maana wakati mwingine kukaa tu nyumbani kulinifanyaΒ niwe mpweke. Niliandaa nguo za kuvaa hukoΒ
Asubuhi Mapema tulijiandaa ili twende tukafanye utalii kamaΒ Mjomba alivyosema, Mama alitutaka tuwe Makini sana MaanaΒ hakuwahi kwenda hukoΒ
“Sanga Mtunze mwanao” Mama alisema, Safari yetu ilianzaΒ wakati jua likianza kuchomozaΒ
Tuliifanya safari kwa masaa kadhaa kabla ya kufika huko,Β tulifika Mchana maana tulienda kwa mwendo wa taratibu naΒ barabara zilikuwa za kuzunguka sana hadi kuufikia ulipo MlimaΒ Kilimanjaro, nilijipiga picha na kuwatumia Jonas na Konzo iliΒ waone ninachokifanya.Β
“Itabidi tulale huku Veronica” Alisema Mjomba tukiwa tumepakiΒ gari sehemu ambapo kulikuwa na hoteli, nilishangaa kusikiaΒ hivyo
“Nilijua tunarudi leo leo, Mama umemwambia kuwa tunalalaΒ huku?”Β
“Nitaongea nae! Ona ndio tumefika tumechoka tunatakiwaΒ kupumzika sasa ili tuanze utalii japo hatutoupanda MlimaΒ lakini tutaanza jioni, si bora tusubirie tuanze asubuhiΒ mapema sana?” Wazo lake lilikuwa zuri, hofu yangu ikawa kwaΒ Mama yangu Mzazi nilimsisitiza tena amjulishe kabla yaΒ kuchukua hatua yoyote ile.Β
Ndio, alimpigia Mama ambaye alikubali tulale siku hiyo!Β Mjomba alikuwa na uwezo kifedha akaniambia nichague hoteli,Β ikabidi tuanze kutafuta Hoteli nitakayoipenda. Niliona aibuΒ kuchagua wakati mtoa hela ni Mtu mwingineΒ
“Mjomba mi naona hoteli zote ni nzuri tuu, tulale itakayoΒ kupendeza”Β
“Nimekupa uchague sababu wewe ndio mwenye shughuli, sasaΒ unaponirudishia mimi mpira nashangaa”Β
“Ukichagua wewe Mjomba ni sawa tu, zote nzuri”Β
“Sawa! nisubirie kwenye gari” aliniacha nikienda kwenye gariΒ akaingia kwenye moja ya Hoteli kuchukua chumba ili tupumzikeΒ siku hiyo ili kesho yake tufanye utalii na turudi Nyumbani.Β
Kusema ukweli nilipapenda sana, japo palikuwa na hoteli zaΒ kitalii eneo lile, wanyama kama ngedere, walikuwa wakipitaΒ juu ya miti na kufanya nicheke, nilisikia raha sana,Β nilirekodi na video ili nipate cha kuwaonyesha rafiki zanguΒ Chuoni, zingine niliziweka kwenye mtandao wa Facebook,Β Whatssap na Instagram.Β
Nilipomaliza niliketi, usingizi ukanipitia nikalala paleΒ kumbe Mjomba alikuwa amerudi akawa nae ameketi akisubiriaΒ niamke. Nilipoamka nilimuona nae akisinziaΒ
“Anko?” nilimuitaΒ
“Niliona umelala nikasema nikuache nisikusumbue Veronica” “Hapana Mjomba ungeniamsha tuu”Β
“Funguo hii hapa” alinipatia funguoΒ
“Hoteli inaitwa Kijiji cha Nyumbani”
“Ahsante Anko!” nilimshukuru, nilianza kuhisi njaa, MjombaΒ alinipeleka eneo la Mgahawa ambao ulikuwa karibu na ileΒ Hoteli aliyonitafutia chumba.Β
Kila mahali alinipa nafasi ya kwanza, tulianza na chakulaΒ kisha vinywaji na sehemu ya kupumzika, tulikula kishaΒ tukaelekea sehemu ya mapumziko, hapo Mlima kilimajaroΒ ulipatikana kwa karibu zaidi, baridi lilikuwa kali muda woteΒ huo Jaketi halikubanduka kwenye mwili wangu japo wazunguΒ walikuwa hawajavaa hata mashati. Wanyama walikuwa wakipigaΒ misele yao ya kawaida, sehemu ya Mapumziko na chukula ilikuwaΒ juu.Β
“Tanzania yetu ni nzuri sana Anko, kama Watu wangelikuwa naΒ utaratibu kama huu basi wangelijionea mambo mazuri yaΒ nyumbani kwao” Nilimwambia MjombaΒ
“Tena gharama ni nafuu sana kwa Watanzania tofauti na WatuΒ kutoka nje ya Nchi”Β
Eneo lilikuwa tulivu na la kupendeza sana, tulikaa pale hadiΒ jioni nikawa nasikia kausingizi hivi kutokana na ile safariΒ ya masaa kadhaa kutoka nyumbani hadi Mlima Kilimanjaro,Β Nilipoanza kusinzia Mjomba aliniambia anipeleke ChumbaniΒ nikalale, macho yalikuwa mazito. Akanipeleka hadi Chumbani,Β sikuwa na Muda wa kuangalia mandhari ya kile chumba baliΒ nilifikia kulala tuu.Β
Mjomba akachemsha Maji ya moto ili nipate kuondoa baridi iliΒ niweze kulala vizuri, palikuwa na Hiter pale hivyo kilikuwaΒ kitendo cha haraka akawa amemaliza, akaweka Tangawizi kidogo.Β Baridi la pale nisingeliweza kulala maana nilikuwa natetemekaΒ sana nilihitaji zaidi kitu cha moto japo Usingizi ulikuwaΒ umejaa machoni, haikutosha akaenda bafuni akaniwekea maji yaΒ moto pia.Β
Alipomaliza aliniamsha, nilipoamka nilimuona akinitazamaΒ nilishtuka maana akili yangu ilijua ameshaondoka baada yaΒ kunileta pale chumbani.Β
“Mjomba?” niliita kwa mshangao, nikiwa nimejifunika blanketiΒ
“Mbona uneshtuka Veronica?” Alisema akiwa ananiangalia kwaΒ ukaribu akiwa ana tabasamu, alikuwa na nywele zake fupi naΒ macho yake madogo yaliyofanana na macho ya Mama yangu!Β
“Nilijua umeondoka Mjomba!” Nilisema nikiwa nakaa vizuri,Β bado niliendelea kushangaa tuu
“Amka unywe Tangawizi, huku kuna baridi sana utapata ugonjwaΒ wa tumbo. Ukimaliza ukaoge maji ya moto bafuni kisha ndioΒ ulale vizuri” Aliongea Mjomba, akarudi kukaa kwenye sofa dogoΒ akachukua Tangawizi kwenye Kikombe akawa anakunywa.Β
“Unaniona mimi niko poa tu sitetemeki kwa baridi ni sababuΒ nakunywa hii” alinionyesha Tangawizi, nilitabasamu kwa kuzugaΒ kwani hofu ilikuwa palepale.Β
Niliammka na kwenda Chooni, Mkojo ulikuwa umenishika sana,Β nilipomaliza kukojoa nilirudi pale Chumbani bado nikiendeleaΒ kutetemeka.Β
“Chukua Tangawizi Anko” alinisistiza tena, nilichukua naΒ kuanza kunywa, nilienda kufungua pazia na kuangalia nje,Β mandhari zilikuwa za kuvutia sana kisha nikarudi kuketiΒ kwenye Kitanda na kuendelea kunywa ile Tangawizi.Β
Baada ya dakika 5 nilianza kuhisi joto, jasho likianzaΒ kunitoka nilimtazama Mjomba na kumwambiaΒ
“Najisikia vizuri sana Mjomba”Β
“Nilikwambia, sasa hapo nenda kaoge maji ya vuguvuguΒ nimekuwekea kule Bafuni” Alisema, nikawa na maswali niΒ kwanini ananifanyia yote yale wakati nilitakiwa kuyafanyaΒ mwenyewe?Β
“Sawa niko tayari kwenda kuoga”Β
“Haya utanikuta hapa” Alisema, lengo la kumwambia vileΒ nilitaka atoke ili nibadilishe nguo, niliona aibu nikafikiriaΒ kumwambia atoke lakini nikaogopa.Β
Begi langu la nguo lilikuwa karibu na alipokaa sasa kilaΒ nilipotafakari jinsi ya kulichukua nilijikuta nikishindwa.Β Nikawa nalitazama sana hadi Mjomba aliniulizaΒ
“Unataka begi?”Β
“Ndio Anko”Β
Alinisogezea, wakati napekua kwa bahati mbaya nikaiangushaΒ Chupi niliyoishika pamoja na nguo zingine za kubadirisha,Β nikajikuta naganda huku nikipeleka macho kwa Mjomba iliΒ nijuwe kama alikuwa akinitazama, niligongana na macho yake!Β Nilijichekesha kisha niliiokota. Mjomba alijikoholesha tuΒ hakusema kitu, Niliingia bafuni haraka, nilipofika nilishushaΒ pumzi.
Kwa dakika zile chache pale Chumbani niliona Kama Mwaka vile,Β Mjomba Sanga aliniweka katika wakati mgumu sana na kamaΒ unavyojuwa kwa sisi Wanawake kitu kujiamini ni kitu kikubwaΒ sana kuliko jambo lolote lile. Baada ya kuoga maji yaΒ vuguvugu nilijikuta nikioga maji ya Baridi.Β
Nilitumia masaa mawili ili kumzuga Mjomba aondoke lakini ndioΒ kwanza alikuwa akiongea na simu kila wakati, nilimsikiaΒ akicheka! nilifikiria cha kufanya nikaona ni bora tuΒ nijitokeze maana hakuwa na dalili ya kutoka pale, nilivaliaΒ nguo vizuri na zile nilizozivua nilizibana kwapani.Β
Nililielekea begi langu na kuzitia mle zikiwa na unyevuΒ unyevu wa maji, nilitakiwa kuzianika japo kidogo tu lakiniΒ nilishindwa kwani Mjomba alikuwa makini kunitazama.Β
“Hivi anawaza nini muda wote badala ya kwenda chumbaniΒ kwake?” nilijiuliza, kisha nilimwambiaΒ
“Mjomba nataka kulala sasa” Nilisema vile ili tu kumpa isharaΒ kuwa alitakiwa kuondoka pale.Β
“Sawa! mimi nitalala hapa kwenye kochi Mjomba” alisema naΒ kunishtuaΒ
“Huoni kama utajitesa hapo si bora ungeenda kulala chumbaniΒ kwako Anko wangu?”Β
“Nimechukua Chumba kimoja tu Veronica, sikuona kama ni busaraΒ kuharibu pesa wakati wewe ni Mwanangu kabisa”Β
“Mhh!”Β
“Lala tu hapo Kitandani mimi nitalala hapa alafu wala sioΒ mlalaji kivile nitakesha naangalia filamu tu” Alisema, moyoΒ ulinienda mbio nilitamani hata kumwambia Mama, lakini simuΒ ilikuwa kwenye chaji ilizima muda mrefu tu, nilivuta pumziΒ kisha nilipanda kitandani na kujifunika Shuka, ile baridiΒ ilikuwa imekata kwa wakati ule.Β
Uwoga ulinitawala nikiwa nipo ndani ya shuka zito, niliachaΒ nafasi kidogo nikiwa namchungulia Mjomba, nilipoteza imaniΒ nae kabisa. Sijui hata usingizi ulinipitia vipi Mimi!!Β
Nilianza kuhisi kama kuna kitu kinanitekenya, sijuiΒ alinitilia dawa za kulevya kwenye Tangawizi maana nililalaΒ fofo ndipo nilipoanza kuhisi kama kuna kitu kinanitekenyaΒ huku chini, nilijitahidi kufumbua macho.
Ndipo nilipomuona Mjomba akinifanya, nilishtuka nilitumiaΒ nguvu kidogo iliyopo kumsukuma lakini haikusaidia, alikuwaΒ tayari ameliigiza dudu lake, nilikuwa nikihisi maumivu makaliΒ kutokana na hali ya yangu ya Ubikra. Taa ilikuwa inawakaΒ nikapata kuona damu kwenye shuka, nilikuwa nikipiga keleleΒ ambazo hazikwenda popote.Β
Hoteli ile ilikuwa imewekwa vioo vilivyokuwa na kazi moja tuΒ ya kuzuia baridi lisipenye ndani, sauti haikupata kutoka njeΒ wala kusikika kabisa licha ya kupiga kelele za kulalamika naΒ kuomba msaada.Β
“Mjomba unaniumiza Aaaaah!”Β
“Tulia Veronica, utaanza kusikia raha tuu” alinibana ipasavyoΒ sikupata hata nafasi ya kufurukuta, kila nilipojaribuΒ kujikwamua ilishindikana.Β
Mjomba alinifanya sana yaani, nilihisi kama vile DuniaΒ ilikuwa ikifika mwisho, dudu lake sijui lilikuwa la saiziΒ ngapi, alinifanya hadi niliacha kupiga kelele kwaniΒ hazikusaidia nikawa nalia kwa sauti ya chini, alinifanya hadiΒ alipotosheka.Β
Niliona Dudu lake likiwa limeoa damu, nililia sana akaendaΒ bafuni kujisafisha kisha akarudi.Β
“Pole Mjomba”Β
“Kwanini umenifanyia unyama kama huu? lengo lako la kuniletaΒ huku lilikuwa ni hili?” nilisema nikiwa ninalia, MjombaΒ alinibembeleza lakini haikusaidia kabisa.Β
“Niache umeniumiza sana Aaah”Β
“Nenda kajisafishe basi Mjomba alafu tuongee”Β
“Lazima nitamwambia Mama tu” nilisema kisha nilijikusanyaΒ pale kitandani kuelekea Bafuni, Miguu ilikuwa ina maumivuΒ makali, sehemu za siri zilikuwa hazitamaniki kwa maumivu.Β
Nilipopitisha maji nilihisi kabisa kuna maumivu makali mno,Β nilijiosha taratibu zile damu! niliporudi chumbani sikuionaΒ ile shuka tena, nikamuuliza MjombaΒ
“Shuka yenye Damu iko wapi?”Β
“Nimeitoa”Β
“Umeitoa umeiweka wapi?”
“Veronica Jamani, nimeitoa Mjomba. Shuka iwe tatizo kweli?”Β
“Sawa lakini unyama ulionifanyia lazima nimueleze Mama”Β Nilisema na kujilaza kitandani.Β
Sikujua aliiweka wapi ile shuka yenye damu, sikutaka kuliwekaΒ hilo moyoni na kwenye akili yangu, kilichoniuma ni kitendoΒ cha kunibaka na kunitoa usichana wangu, sikujali kama alikuwaΒ akinitazama maana alishanikera kwa kitendo kileΒ kilichonisababishia maumivu ndani ya mwili na moyo wangu!!Β
Siku iliyofuata Mapema niliamka nikamuona akiwa amelalaΒ nilitamani nimpige na kitu kizito usoni, nikaelekea bafuniΒ nikaoga maji ya moto, nikajikanda kwenye nyeti zangu!!Β Niliporudi nilimkuta akiwa anaamka pale kwenye sofa,Β alinisalimia lakini sikuitikia, kila nilipomtazama nilionaΒ kama ni sinema vile sikuamini kama Mjomba yangu angeliwezaΒ kunifanyia vile.Β
“Subiri nijiandae tukatalii Mjomba”Β
“Sihitaji tena, nirudishe nyumbani”Β
“Kilichotuleta huku ni Utalii Veronica, tuondoke bilaΒ kutimiza lengo?”Β
“Nimesema nirudishe kwetu sihitaji tena” Alipoona nimemkaziaΒ akakubali, alipoingia bafuni nilivaa na kutoka ndani nikawaΒ namsubiria nje.Β
Bahati nzuri wakati namsubiria Mjomba, Mama alinipigia simu.Β Nikamwambia kuwa tunarudi, aliniuliza kulikoni nikamjibu kuwaΒ nitaongea nae nikifika. Kuhusu utalii nikamjibu kuwaΒ tumeshafanya hivyo tunarudi, wakati simu inakatika MjombaΒ alikuwa akifika nilipo akaniuliza nilikuwa nikiongea na nani?Β Sikumpa jibu nilitokea kumchukia sana!Β
Safari ilianza kurudi nyumbani, nilikaa kimya kabisa yaaniΒ sikutaka hata kuzungumza nae. Nilimchukia hadi nilitamaniΒ ningekuwa ndio dereva nilitumbukize kwenye korongo ili tufeΒ wote, thamani ya alichokitoa ilikuwa kubwa kwangu! KilaΒ nilipomkumbuka Jonas nilijikuta nikibubujikwa na machozi yaΒ Uchungu! Eti akawa anajifanya kuniuliza ninalia nini,Β nilitamani kumtukana lakini nikaona nimkalie Kimya tuu, kilaΒ mara alikuwa akiniuliza hivyo sasa sijui lengo lake alitakaΒ kusikia nini.Β
Sasa wakati naendelea kumpotezea nilijikuta napeleka machoΒ yangu nyuma ya gari yaani siti za nyuma kule, gari ilikuwa naΒ siti nne tu, nikawa nimeliona begi lake ambalo halikufungwaΒ vizuri, ile shuka ya damu ilikuwa kwenye begi lake na kwaΒ vyovyote alifanya kuwa siri ndio maana nilipomuuliza hakutakaΒ kunijibu ipasavyo.Β
Nilishtuka sana, lile shuka lilikuwa na damu zilizotokaΒ kwenye bikra yanguΒ
Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA TATU
JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa HapaΒ
Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA
Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA
Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896Β
26 Comments
Alienda tu bila kujua
Uskute mama anjua
Duh! Kwa mtoto usimuamini mtu yeyote yule
Duu!! Hata msamaha hajaomba Hilo jamb tumuachie tu admin
Inawezekana
Huyo michongo kbs
pv9rss
oe4bz3
myzxpz
https://shorturl.fm/bODKa
https://shorturl.fm/bODKa
https://shorturl.fm/9fnIC
https://shorturl.fm/9fnIC
https://shorturl.fm/68Y8V
https://shorturl.fm/oYjg5
x6449t
3jmogl
77r5ep
51b441
nvf0eh
l7r3j4
xc67jg
56fp6e
i3dhpw
jwrxr7
hxy8ie