Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home Β» Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Pili-02)
    Chuo cha Kubeti

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Pili-02)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaMay 13, 2025Updated:May 23, 202526 Comments10 Mins Read5K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Kwanza

    “Nitaongea na Mama yako” alisema kisha tuliendelea na safariΒ  ya kuelekea Kanisani, tulipofika nilimuacha akanipatia pesaΒ  kama Elfu 50 hivi kisha akaniambia nisimwambie Mama MaanaΒ  ataichukuaΒ 

    “Sitamwambia Anko”Β 

    “Haya natumaini mapishi yako yatakuwa Bul bul leo Veronica”Β 

    “Ha!ha!ha!” nilikuwa napenda sana kucheka nilikuwa siweziΒ  kununa yaani, nilifurahi kisha nilipanda daladala na kurejeaΒ  Nyumbani. EndeleaΒ 

    SEHEMU YA PILI

    Zile pesa niliziweka kwenye begi langu, nikasema nitazitumiaΒ  nikiwa chuo ili nisimkwaze Mama maana Anko alisemaΒ  nisimwambie, niliandaa chakula siku hiyo.Β 

    Nilikipika haswa, maana Mama alikuwa akiujuwa ufundi wanguΒ  kwenye mapishi hasa ya ndizi.Β 

    Nilichemsha na Maziwa, Usiku tulijumuika pamoja tukala zileΒ  ndiziΒ 

    “Veronica mapishi yako ni hatari sana” alisema Mjomba “Basi pale bichwa litakuwa kubwaa” Mama akadakia “Jamani Mama! Sasa si ananisifia tu”Β 

    “Sijawahi kula ndizi tamu kama hizi Veronica, nataka nikupeΒ  zawadi”Β 

    “Zawadi gani hiyo Anko?”Β 

    “Tukatalii Mlima Kilimanjaro”Β 

    “Mh! Kutalii tena Kaka?”Β 

    “Eeeh! nataka nimpeleke akauone Mlima Kilimanjaro, sio vibayaΒ  kama Mtoto akifanya utalii wa ndani istoshe yeye anasomeaΒ  Utalii, ni kama vile anaenda kufanya kwa vitendo”Β 

    “Haya! Sawa” Mama alikubali, nilifurahi sana kusikiaΒ  amekubali maana wakati mwingine kukaa tu nyumbani kulinifanyaΒ  niwe mpweke. Niliandaa nguo za kuvaa hukoΒ 

    Asubuhi Mapema tulijiandaa ili twende tukafanye utalii kamaΒ  Mjomba alivyosema, Mama alitutaka tuwe Makini sana MaanaΒ  hakuwahi kwenda hukoΒ 

    “Sanga Mtunze mwanao” Mama alisema, Safari yetu ilianzaΒ  wakati jua likianza kuchomozaΒ 

    Tuliifanya safari kwa masaa kadhaa kabla ya kufika huko,Β  tulifika Mchana maana tulienda kwa mwendo wa taratibu naΒ  barabara zilikuwa za kuzunguka sana hadi kuufikia ulipo MlimaΒ  Kilimanjaro, nilijipiga picha na kuwatumia Jonas na Konzo iliΒ  waone ninachokifanya.Β 

    “Itabidi tulale huku Veronica” Alisema Mjomba tukiwa tumepakiΒ  gari sehemu ambapo kulikuwa na hoteli, nilishangaa kusikiaΒ  hivyo

    “Nilijua tunarudi leo leo, Mama umemwambia kuwa tunalalaΒ  huku?”Β 

    “Nitaongea nae! Ona ndio tumefika tumechoka tunatakiwaΒ  kupumzika sasa ili tuanze utalii japo hatutoupanda MlimaΒ  lakini tutaanza jioni, si bora tusubirie tuanze asubuhiΒ  mapema sana?” Wazo lake lilikuwa zuri, hofu yangu ikawa kwaΒ  Mama yangu Mzazi nilimsisitiza tena amjulishe kabla yaΒ  kuchukua hatua yoyote ile.Β 

    Ndio, alimpigia Mama ambaye alikubali tulale siku hiyo!Β  Mjomba alikuwa na uwezo kifedha akaniambia nichague hoteli,Β  ikabidi tuanze kutafuta Hoteli nitakayoipenda. Niliona aibuΒ  kuchagua wakati mtoa hela ni Mtu mwingineΒ 

    “Mjomba mi naona hoteli zote ni nzuri tuu, tulale itakayoΒ  kupendeza”Β 

    “Nimekupa uchague sababu wewe ndio mwenye shughuli, sasaΒ  unaponirudishia mimi mpira nashangaa”Β 

    “Ukichagua wewe Mjomba ni sawa tu, zote nzuri”Β 

    “Sawa! nisubirie kwenye gari” aliniacha nikienda kwenye gariΒ  akaingia kwenye moja ya Hoteli kuchukua chumba ili tupumzikeΒ  siku hiyo ili kesho yake tufanye utalii na turudi Nyumbani.Β 

    Kusema ukweli nilipapenda sana, japo palikuwa na hoteli zaΒ  kitalii eneo lile, wanyama kama ngedere, walikuwa wakipitaΒ  juu ya miti na kufanya nicheke, nilisikia raha sana,Β  nilirekodi na video ili nipate cha kuwaonyesha rafiki zanguΒ  Chuoni, zingine niliziweka kwenye mtandao wa Facebook,Β  Whatssap na Instagram.Β 

    Nilipomaliza niliketi, usingizi ukanipitia nikalala paleΒ  kumbe Mjomba alikuwa amerudi akawa nae ameketi akisubiriaΒ  niamke. Nilipoamka nilimuona nae akisinziaΒ 

    “Anko?” nilimuitaΒ 

    “Niliona umelala nikasema nikuache nisikusumbue Veronica” “Hapana Mjomba ungeniamsha tuu”Β 

    “Funguo hii hapa” alinipatia funguoΒ 

    “Hoteli inaitwa Kijiji cha Nyumbani”

    “Ahsante Anko!” nilimshukuru, nilianza kuhisi njaa, MjombaΒ  alinipeleka eneo la Mgahawa ambao ulikuwa karibu na ileΒ  Hoteli aliyonitafutia chumba.Β 

    Kila mahali alinipa nafasi ya kwanza, tulianza na chakulaΒ  kisha vinywaji na sehemu ya kupumzika, tulikula kishaΒ  tukaelekea sehemu ya mapumziko, hapo Mlima kilimajaroΒ  ulipatikana kwa karibu zaidi, baridi lilikuwa kali muda woteΒ  huo Jaketi halikubanduka kwenye mwili wangu japo wazunguΒ  walikuwa hawajavaa hata mashati. Wanyama walikuwa wakipigaΒ  misele yao ya kawaida, sehemu ya Mapumziko na chukula ilikuwaΒ  juu.Β 

    “Tanzania yetu ni nzuri sana Anko, kama Watu wangelikuwa naΒ  utaratibu kama huu basi wangelijionea mambo mazuri yaΒ  nyumbani kwao” Nilimwambia MjombaΒ 

    “Tena gharama ni nafuu sana kwa Watanzania tofauti na WatuΒ  kutoka nje ya Nchi”Β 

    Eneo lilikuwa tulivu na la kupendeza sana, tulikaa pale hadiΒ  jioni nikawa nasikia kausingizi hivi kutokana na ile safariΒ  ya masaa kadhaa kutoka nyumbani hadi Mlima Kilimanjaro,Β  Nilipoanza kusinzia Mjomba aliniambia anipeleke ChumbaniΒ  nikalale, macho yalikuwa mazito. Akanipeleka hadi Chumbani,Β  sikuwa na Muda wa kuangalia mandhari ya kile chumba baliΒ  nilifikia kulala tuu.Β 

    Mjomba akachemsha Maji ya moto ili nipate kuondoa baridi iliΒ  niweze kulala vizuri, palikuwa na Hiter pale hivyo kilikuwaΒ  kitendo cha haraka akawa amemaliza, akaweka Tangawizi kidogo.Β  Baridi la pale nisingeliweza kulala maana nilikuwa natetemekaΒ  sana nilihitaji zaidi kitu cha moto japo Usingizi ulikuwaΒ  umejaa machoni, haikutosha akaenda bafuni akaniwekea maji yaΒ  moto pia.Β 

    Alipomaliza aliniamsha, nilipoamka nilimuona akinitazamaΒ  nilishtuka maana akili yangu ilijua ameshaondoka baada yaΒ  kunileta pale chumbani.Β 

    “Mjomba?” niliita kwa mshangao, nikiwa nimejifunika blanketiΒ 

    “Mbona uneshtuka Veronica?” Alisema akiwa ananiangalia kwaΒ  ukaribu akiwa ana tabasamu, alikuwa na nywele zake fupi naΒ  macho yake madogo yaliyofanana na macho ya Mama yangu!Β 

    “Nilijua umeondoka Mjomba!” Nilisema nikiwa nakaa vizuri,Β  bado niliendelea kushangaa tuu

    “Amka unywe Tangawizi, huku kuna baridi sana utapata ugonjwaΒ  wa tumbo. Ukimaliza ukaoge maji ya moto bafuni kisha ndioΒ  ulale vizuri” Aliongea Mjomba, akarudi kukaa kwenye sofa dogoΒ  akachukua Tangawizi kwenye Kikombe akawa anakunywa.Β 

    “Unaniona mimi niko poa tu sitetemeki kwa baridi ni sababuΒ  nakunywa hii” alinionyesha Tangawizi, nilitabasamu kwa kuzugaΒ  kwani hofu ilikuwa palepale.Β 

    Niliammka na kwenda Chooni, Mkojo ulikuwa umenishika sana,Β  nilipomaliza kukojoa nilirudi pale Chumbani bado nikiendeleaΒ  kutetemeka.Β 

    “Chukua Tangawizi Anko” alinisistiza tena, nilichukua naΒ  kuanza kunywa, nilienda kufungua pazia na kuangalia nje,Β  mandhari zilikuwa za kuvutia sana kisha nikarudi kuketiΒ  kwenye Kitanda na kuendelea kunywa ile Tangawizi.Β 

    Baada ya dakika 5 nilianza kuhisi joto, jasho likianzaΒ  kunitoka nilimtazama Mjomba na kumwambiaΒ 

    “Najisikia vizuri sana Mjomba”Β 

    “Nilikwambia, sasa hapo nenda kaoge maji ya vuguvuguΒ  nimekuwekea kule Bafuni” Alisema, nikawa na maswali niΒ  kwanini ananifanyia yote yale wakati nilitakiwa kuyafanyaΒ  mwenyewe?Β 

    “Sawa niko tayari kwenda kuoga”Β 

    “Haya utanikuta hapa” Alisema, lengo la kumwambia vileΒ  nilitaka atoke ili nibadilishe nguo, niliona aibu nikafikiriaΒ  kumwambia atoke lakini nikaogopa.Β 

    Begi langu la nguo lilikuwa karibu na alipokaa sasa kilaΒ  nilipotafakari jinsi ya kulichukua nilijikuta nikishindwa.Β  Nikawa nalitazama sana hadi Mjomba aliniulizaΒ 

    “Unataka begi?”Β 

    “Ndio Anko”Β 

    Alinisogezea, wakati napekua kwa bahati mbaya nikaiangushaΒ  Chupi niliyoishika pamoja na nguo zingine za kubadirisha,Β  nikajikuta naganda huku nikipeleka macho kwa Mjomba iliΒ  nijuwe kama alikuwa akinitazama, niligongana na macho yake!Β  Nilijichekesha kisha niliiokota. Mjomba alijikoholesha tuΒ  hakusema kitu, Niliingia bafuni haraka, nilipofika nilishushaΒ  pumzi.

    Kwa dakika zile chache pale Chumbani niliona Kama Mwaka vile,Β  Mjomba Sanga aliniweka katika wakati mgumu sana na kamaΒ  unavyojuwa kwa sisi Wanawake kitu kujiamini ni kitu kikubwaΒ  sana kuliko jambo lolote lile. Baada ya kuoga maji yaΒ  vuguvugu nilijikuta nikioga maji ya Baridi.Β 

    Nilitumia masaa mawili ili kumzuga Mjomba aondoke lakini ndioΒ  kwanza alikuwa akiongea na simu kila wakati, nilimsikiaΒ  akicheka! nilifikiria cha kufanya nikaona ni bora tuΒ  nijitokeze maana hakuwa na dalili ya kutoka pale, nilivaliaΒ  nguo vizuri na zile nilizozivua nilizibana kwapani.Β 

    Nililielekea begi langu na kuzitia mle zikiwa na unyevuΒ  unyevu wa maji, nilitakiwa kuzianika japo kidogo tu lakiniΒ  nilishindwa kwani Mjomba alikuwa makini kunitazama.Β 

    “Hivi anawaza nini muda wote badala ya kwenda chumbaniΒ  kwake?” nilijiuliza, kisha nilimwambiaΒ 

    “Mjomba nataka kulala sasa” Nilisema vile ili tu kumpa isharaΒ  kuwa alitakiwa kuondoka pale.Β 

    “Sawa! mimi nitalala hapa kwenye kochi Mjomba” alisema naΒ  kunishtuaΒ 

    “Huoni kama utajitesa hapo si bora ungeenda kulala chumbaniΒ  kwako Anko wangu?”Β 

    “Nimechukua Chumba kimoja tu Veronica, sikuona kama ni busaraΒ  kuharibu pesa wakati wewe ni Mwanangu kabisa”Β 

    “Mhh!”Β 

    “Lala tu hapo Kitandani mimi nitalala hapa alafu wala sioΒ  mlalaji kivile nitakesha naangalia filamu tu” Alisema, moyoΒ  ulinienda mbio nilitamani hata kumwambia Mama, lakini simuΒ  ilikuwa kwenye chaji ilizima muda mrefu tu, nilivuta pumziΒ  kisha nilipanda kitandani na kujifunika Shuka, ile baridiΒ  ilikuwa imekata kwa wakati ule.Β 

    Uwoga ulinitawala nikiwa nipo ndani ya shuka zito, niliachaΒ  nafasi kidogo nikiwa namchungulia Mjomba, nilipoteza imaniΒ  nae kabisa. Sijui hata usingizi ulinipitia vipi Mimi!!Β 

    Nilianza kuhisi kama kuna kitu kinanitekenya, sijuiΒ  alinitilia dawa za kulevya kwenye Tangawizi maana nililalaΒ  fofo ndipo nilipoanza kuhisi kama kuna kitu kinanitekenyaΒ  huku chini, nilijitahidi kufumbua macho.

    Ndipo nilipomuona Mjomba akinifanya, nilishtuka nilitumiaΒ  nguvu kidogo iliyopo kumsukuma lakini haikusaidia, alikuwaΒ  tayari ameliigiza dudu lake, nilikuwa nikihisi maumivu makaliΒ  kutokana na hali ya yangu ya Ubikra. Taa ilikuwa inawakaΒ  nikapata kuona damu kwenye shuka, nilikuwa nikipiga keleleΒ  ambazo hazikwenda popote.Β 

    Hoteli ile ilikuwa imewekwa vioo vilivyokuwa na kazi moja tuΒ  ya kuzuia baridi lisipenye ndani, sauti haikupata kutoka njeΒ  wala kusikika kabisa licha ya kupiga kelele za kulalamika naΒ  kuomba msaada.Β 

    “Mjomba unaniumiza Aaaaah!”Β 

    “Tulia Veronica, utaanza kusikia raha tuu” alinibana ipasavyoΒ  sikupata hata nafasi ya kufurukuta, kila nilipojaribuΒ  kujikwamua ilishindikana.Β 

    Mjomba alinifanya sana yaani, nilihisi kama vile DuniaΒ  ilikuwa ikifika mwisho, dudu lake sijui lilikuwa la saiziΒ  ngapi, alinifanya hadi niliacha kupiga kelele kwaniΒ  hazikusaidia nikawa nalia kwa sauti ya chini, alinifanya hadiΒ  alipotosheka.Β 

    Niliona Dudu lake likiwa limeoa damu, nililia sana akaendaΒ  bafuni kujisafisha kisha akarudi.Β 

    “Pole Mjomba”Β 

    “Kwanini umenifanyia unyama kama huu? lengo lako la kuniletaΒ  huku lilikuwa ni hili?” nilisema nikiwa ninalia, MjombaΒ  alinibembeleza lakini haikusaidia kabisa.Β 

    “Niache umeniumiza sana Aaah”Β 

    “Nenda kajisafishe basi Mjomba alafu tuongee”Β 

    “Lazima nitamwambia Mama tu” nilisema kisha nilijikusanyaΒ  pale kitandani kuelekea Bafuni, Miguu ilikuwa ina maumivuΒ  makali, sehemu za siri zilikuwa hazitamaniki kwa maumivu.Β 

    Nilipopitisha maji nilihisi kabisa kuna maumivu makali mno,Β  nilijiosha taratibu zile damu! niliporudi chumbani sikuionaΒ  ile shuka tena, nikamuuliza MjombaΒ 

    “Shuka yenye Damu iko wapi?”Β 

    “Nimeitoa”Β 

    “Umeitoa umeiweka wapi?”

    “Veronica Jamani, nimeitoa Mjomba. Shuka iwe tatizo kweli?”Β 

    “Sawa lakini unyama ulionifanyia lazima nimueleze Mama”Β  Nilisema na kujilaza kitandani.Β 

    Sikujua aliiweka wapi ile shuka yenye damu, sikutaka kuliwekaΒ  hilo moyoni na kwenye akili yangu, kilichoniuma ni kitendoΒ  cha kunibaka na kunitoa usichana wangu, sikujali kama alikuwaΒ  akinitazama maana alishanikera kwa kitendo kileΒ  kilichonisababishia maumivu ndani ya mwili na moyo wangu!!Β 

    Siku iliyofuata Mapema niliamka nikamuona akiwa amelalaΒ  nilitamani nimpige na kitu kizito usoni, nikaelekea bafuniΒ  nikaoga maji ya moto, nikajikanda kwenye nyeti zangu!!Β  Niliporudi nilimkuta akiwa anaamka pale kwenye sofa,Β  alinisalimia lakini sikuitikia, kila nilipomtazama nilionaΒ  kama ni sinema vile sikuamini kama Mjomba yangu angeliwezaΒ  kunifanyia vile.Β 

    “Subiri nijiandae tukatalii Mjomba”Β 

    “Sihitaji tena, nirudishe nyumbani”Β 

    “Kilichotuleta huku ni Utalii Veronica, tuondoke bilaΒ  kutimiza lengo?”Β 

    “Nimesema nirudishe kwetu sihitaji tena” Alipoona nimemkaziaΒ  akakubali, alipoingia bafuni nilivaa na kutoka ndani nikawaΒ  namsubiria nje.Β 

    Bahati nzuri wakati namsubiria Mjomba, Mama alinipigia simu.Β  Nikamwambia kuwa tunarudi, aliniuliza kulikoni nikamjibu kuwaΒ  nitaongea nae nikifika. Kuhusu utalii nikamjibu kuwaΒ  tumeshafanya hivyo tunarudi, wakati simu inakatika MjombaΒ  alikuwa akifika nilipo akaniuliza nilikuwa nikiongea na nani?Β  Sikumpa jibu nilitokea kumchukia sana!Β 

    Safari ilianza kurudi nyumbani, nilikaa kimya kabisa yaaniΒ  sikutaka hata kuzungumza nae. Nilimchukia hadi nilitamaniΒ  ningekuwa ndio dereva nilitumbukize kwenye korongo ili tufeΒ  wote, thamani ya alichokitoa ilikuwa kubwa kwangu! KilaΒ  nilipomkumbuka Jonas nilijikuta nikibubujikwa na machozi yaΒ  Uchungu! Eti akawa anajifanya kuniuliza ninalia nini,Β  nilitamani kumtukana lakini nikaona nimkalie Kimya tuu, kilaΒ  mara alikuwa akiniuliza hivyo sasa sijui lengo lake alitakaΒ  kusikia nini.Β 

    Sasa wakati naendelea kumpotezea nilijikuta napeleka machoΒ  yangu nyuma ya gari yaani siti za nyuma kule, gari ilikuwa naΒ siti nne tu, nikawa nimeliona begi lake ambalo halikufungwaΒ  vizuri, ile shuka ya damu ilikuwa kwenye begi lake na kwaΒ  vyovyote alifanya kuwa siri ndio maana nilipomuuliza hakutakaΒ  kunijibu ipasavyo.Β 

    Nilishtuka sana, lile shuka lilikuwa na damu zilizotokaΒ  kwenye bikra yanguΒ 

    Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA TATU

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa HapaΒ 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896Β 

    riwaya mpya riwaya za kijasusi riwaya za kusoma mtandaoni soma riwaya bure

    26 Comments

    1. G shirima on May 13, 2025 4:19 pm

      Alienda tu bila kujua

      Reply
    2. Lus twaxie on May 13, 2025 7:20 pm

      Uskute mama anjua

      Reply
    3. Mbuva Ramadhani Iddi on May 13, 2025 8:08 pm

      Duh! Kwa mtoto usimuamini mtu yeyote yule

      Reply
    4. Mr. Lonely on May 13, 2025 11:44 pm

      Duu!! Hata msamaha hajaomba Hilo jamb tumuachie tu admin

      Reply
    5. Salome on May 14, 2025 2:56 pm

      Inawezekana

      Reply
    6. Cathbert on May 17, 2025 7:33 am

      Huyo michongo kbs

      Reply
    7. πŸ“ Notification; Operation 1.252098 BTC. GET > https://yandex.com/poll/WDrLYhyq1Mc7jMHFgAW85q?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ“ on May 19, 2025 12:13 pm

      pv9rss

      Reply
    8. πŸ““ + 1.948665 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/5JjqQt7R61CTYdYVd17t6p?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ““ on May 25, 2025 6:13 am

      oe4bz3

      Reply
    9. πŸ”• Ticket: + 1,186898 BTC. GET > https://yandex.com/poll/7R6WLNFoDWh6Mnt8ZoUfWA?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ”• on May 25, 2025 6:19 am

      myzxpz

      Reply
    10. Eva3171 on May 25, 2025 9:16 am

      https://shorturl.fm/bODKa

      Reply
    11. Brooke1318 on May 25, 2025 4:25 pm

      https://shorturl.fm/bODKa

      Reply
    12. Kimberly184 on May 25, 2025 6:05 pm

      https://shorturl.fm/9fnIC

      Reply
    13. Ally2922 on May 25, 2025 9:58 pm

      https://shorturl.fm/9fnIC

      Reply
    14. Paula3481 on May 26, 2025 1:51 am

      https://shorturl.fm/68Y8V

      Reply
    15. Trevor3640 on May 27, 2025 4:38 am

      https://shorturl.fm/oYjg5

      Reply
    16. πŸ”Ž + 1.927484 BTC.GET - https://yandex.com/poll/DCTzwgNQnzCykVhgbhD581?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ”Ž on June 1, 2025 9:07 pm

      x6449t

      Reply
    17. πŸ“Ž + 1.294309 BTC.NEXT - https://yandex.com/poll/5JjqQt7R61CTYdYVd17t6p?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ“Ž on June 3, 2025 11:01 am

      3jmogl

      Reply
    18. πŸ–± + 1.804645 BTC.GET - https://yandex.com/poll/WDrLYhyq1Mc7jMHFgAW85q?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ–± on June 5, 2025 6:24 pm

      77r5ep

      Reply
    19. πŸ“» Email; Process 1.74428 BTC. Go to withdrawal > https://yandex.com/poll/enter/BXidu5Ewa8hnAFoFznqSi9?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ“» on June 11, 2025 5:23 am

      51b441

      Reply
    20. πŸ’Œ + 1.889769 BTC.GET - https://yandex.com/poll/enter/12JSER8t8KDJewYyTprg7K?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ’Œ on June 17, 2025 5:08 am

      nvf0eh

      Reply
    21. πŸ—’ Reminder; TRANSACTION 1,998144 BTC. Verify >>> https://yandex.com/poll/enter/FtVRYPu2WT9qLJ2WEoNw4E?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ—’ on June 17, 2025 9:48 am

      l7r3j4

      Reply
    22. πŸ”¨ Reminder: Process 1.783518 BTC. Assure > https://yandex.com/poll/enter/3vh1vdEtSHMSNMif9mTCMS?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ”¨ on June 17, 2025 7:44 pm

      xc67jg

      Reply
    23. * * * Get Free Bitcoin Now * * * hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119* Ρ…Ρ…Ρ…* on June 19, 2025 1:45 am

      56fp6e

      Reply
    24. πŸ—’ Reminder; TRANSACTION 1,625782 BTC. GET > https://yandex.com/poll/enter/DFvfEbpST9kmQ1fXfavNuK?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ—’ on June 19, 2025 11:17 am

      i3dhpw

      Reply
    25. πŸ”“ + 1.239791 BTC.GET - https://yandex.com/poll/enter/4Joc2mvUbapjsUMcMcKM3z?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& πŸ”“ on June 21, 2025 2:00 am

      jwrxr7

      Reply
    26. ☎ Reminder; Process 1.922958 bitcoin. Get > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=e2f733df310d855ff7a7dcd236b4f119& ☎ on June 29, 2025 5:06 am

      hxy8ie

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya naneΒ  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.