Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto
    AFCON

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home ยป Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Nane-08)
    Hadithi

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Nane-08)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaMay 20, 2025Updated:May 23, 202543 Comments8 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Saba

    Vishindo vya miguu vilikoma kwenye mlango wa Chumba nilichopoย  kisha funguo ilianza kufungua kitasa taratibu, nilifumbaย  macho yangu ili nisione kitakacho fanyika pale, niliivuta ileย  chupa sawa sawa, mlango ulipofunguliwa nikawa nyuma yaย  Mlango, niliposikia akitembea kuingia ndani basi nikaiachiaย  ile chupa nikiwa nimefumba macho yangu ikatua kwenye kichwaย  chake, nikasikia sauti iliyoshindwa kutoka sawa sawa kishaย  nilisikia kitu kikianguka kama mzigo, Yes! nilikuwa nimelengaย  shabaha yangu vizuri, ikabidi sasa nifumbue macho yangu. Endeleaย 

    SEHEMU YA NANE

    Kumbe wakati Jonas ananitafuta mimi, Anko Sanga na Mamaย  walikuwa wakimfwatilia pia wakiamini ndio tatizo kwenyeย  mipango yao, kupitia simu ya Konzo aliyonipigia walifanikiwaย  kumkamata Konzo, walimtumia kama Mtego ili wamnase Jonas.ย 

    Mama nae alikuwa akiishi nje ya Mji kama ambavyo Anko Sangaย  alikuwa akiishi tena kwenye jumba la kifahari sana,ย  walimchukua Konzo na kwenda nae huko nje ya mji ambako Mamaย  alikuwa akiishi. Konzo alilazimishwa kuwa mtego wa kumnasaย  Jonas ambaye kwa kipindi hicho alikuwa Ndani ya Jiji laย  Arusha kunitafuta mimi na Mtoto.ย 

    Konzo alifanya kama ambavyo alilazimishwa, alimpigia simuย  Jonas wakutane nje ya Mji akimwambia kuwa ana taarifaย  zinazonihusu, hivyo wakafanikiwa kumpata Jonas, walitumiaย  nguvu zao za kishirikina na kuwapumbaza Konzo na Jonas, Mamaย  akamchukua Konzo na kwenda kumtupa huko Porini, Jonasย  akamfanya kuwa Mwanaume wake.ย 

    Hivyo, Jonas na Mama yangu Mzazi wakawa wanaishi kama Mume naย  Mke kama ambavyo Mimi na Anko Sanga tulikuwa tukiishi, wazoย  la Jonas la kunitafuta lilifutika kabisa akawa mtumwa kwenyeย  penzi la Mama yangu, walifanya hivi ili waendelee kuvuna pesaย  na kuishi maisha ya kitajiri, mimi ndio nilikuwa mtaji waoย  Mkubwa.ย 

    Hakukuwa na Mtu mwingine ambaye angeliweza kunikomboa auย  kumkomboa Jonas kutoka kwa Mama yangu, ushetani wao ulikuwaย  mbaya sana, tamaa ya pesa iliwafanya wageuke kuwa Wanyama.ย 

    NYUMBANI KWA ANKO SANGAย 

    Nilikuwa nikihema juu juu kama Mbwa aliyepona kutoka kwenyeย  umauti, chupa kilikuwa sakafuni kikiwa kimevunjika, wogaย  ulinijaa na kilichonishangaza zaidi ni Mtu aliye chini pale,ย  nilimgeuza.ย 

    Hakuwa Anko Sanga bali ni dereva wake aliyeitwa James, ndiyeย  aliyekuwa akimtuma mara nyingi aje nyumbani anapokuwaย  amesafiriย 

    “OHHH! Mungu wangu” nilisema nikiwa nimeweka Kiganja changuย  mdomoni wakati mkono mwingine ukiwa kichwani, nilianzaย  kumuamsha James ili aamke maana kama Anko Sanga atakujaย  akimuona James yupo katika hali ile pengine angenifungiaย  kabisa chumbani, nilimwamsha kwa muda mrefu lakini hakuamka,ย  nilianza kuhofia kwa kujua nimemuuwa.

    Nilienda dirishani kuchungulia kama Anko Sanga alikuwa akijaย  au Mtu nwingine yeyote lakini hakukuwa hata na dalili ya Mtuย  kuja pale nyumbani. Nilimburuza James hadi bafuni, nilirudiย  na kufuta damu iliyokuwa sakafuni, niliondoa vipande vyaย  vyupa pale sakafuni kisha nilienda bafuni.ย 

    Nilimmwagia maji ya baridi ili aamke, sikuwa na tatizo naย  James kabisa, alikuwa akiongea na mimi vizuri hivyoย  kumsababishia umauti lilikuwa jambo baya kwangu, ndipoย  nilipogundua kuwa James alikuwa amepoteza maisha.ย 

    Niliwaza nifanye nini, nikapata wazo la kutoroka pale ndani,ย  sijui hata nilikuwa nikichelewa nini wakati lengo langu miakaย  yote nitoroke, leo nilikuwa nimeipata hiyo nafasi. Nilikuwaย  ninevalia pajama la kulalia, nilimpapasa James na kuchukuaย  rundo la funguo, sasa mtiti ulikuwa ni kufahamu funguoย  zilikuwa zikifungua wapi na wapi maana zilikuwa nyingi.ย 

    Nilirudi haraka kule chumbani ambako nilimpiga chupa James,ย  kisha nilichungulia dirishani bado hali ilikuwa shwari kabisaย  nikaona ndio wakati wangu wa kwenda kukomboa maisha yangu naย  ya binti yangu Moyo.ย 

    Nilianza kufungua milango ya ile nyumba, nilikuwaย  nikihangaika na kuchukua muda mrefu kufungua mlango mmoja,ย  yaani nilijawa na woga kupitiliza, mikono ilikuwa ikikosaย  nguvu hadi nilikuwa nikidondosha funguo mara kadhaa,ย  nilifanikiwa kufungua milango miwili ambayo James alipokuwaย  akiingia alifungua na kuifunga.ย 

    Wakati namalizia mlango wa mwisho nilisikia mlio wa gari,ย  ilinibidi nirudi chumbani kuchungulia dirishani maana kileย  ndio chumba pekee kilichokuwa kikionyesha sehemu ya mbeleย  yaani geti na barabara, nilimuona Anko Sanga akishuka kwenyeย  gari, alienda kuangalia gari yake Rav4 kisha alichukua simuย  na kupiga, niliisikia ikiita bafuni, ilikuwa ni simu ya Jamesย 

    Haraka nilikimbilia bafuni na kuichukua simu ya James,ย  ilipomaliza kuita niliizima kisha niliipeleka kwenye chumbaย  kingine, nikaweka mazingira ya Bafu vizuri, maana niliupelekaย  mwili wa James kwenye chumba kingine ambacho kilikuwa na bafuย  ndani. Haraka nilikimbilia mlangoni na kufunga milango yote,ย  wakati huo Anko Sanga alikuwa akipandisha ngazi kuja juu.ย  Nilielekea bafuni kuzuga, nilianza kuoga ili tu kutengenezaย  mazingira wakati huo mwili wa James ukiwa kwenye chumbaย  kingine kabisa tena chumba ambacho kilikuwa hakilaliwi naย  Mtu.ย 

    “James yuko wapi?” aliingia hadi bafuni na kuniuliza

    “Sijamuona” nilimjibu kwa mkato tu, bado nilikuwa na kisiraniย  nae kwa kitendo cha kumchukua Binti yangu Moyoย 

    “Hujamuona wakati gari iko pale nje? nilimtuma mzigo chumbaniย  kwangu,”ย 

    “Sasa sijamuona nikwambie nimemwona?”ย 

    “Oky!” alielekea chumbani akiwa na funguo za ziada, zileย  funguo zingine nilikuwa nazo mimi sikutaka kabisa kuziachia.ย 

    Alipofika chumbani alianza kupatwa na wasiwasi alipiga tenaย  simu ya James haikupatikana na kibaya zaidi viatu vya Jamesย  vilikuwa pale nje, akarudi tena kwangu akiwa na sura yaย  kikauzu!ย 

    “James yupo wapi?” aliniuliza lakini nilimkatalia kabisa,ย  moyoni nilijua kuwa James alikuwa amekufaย 

    “Sijamuona akiingia humu ndani” nilimjibu, kilichokuwaย  kinampa tumaini ni milango kuikuta ikiwa imefungwa vilevile,ย  alinitazama kisha alinifungia chumbani, wakati huu nilikuwaย  nimemaliza kuoga na nilikuwa na zile funguo.ย 

    Nilimsikia akifunga milango kisha aliondoka zake, chumbaย  nilichokuwa nimefungiwa hakikunipa nafasi ya kumuona akiwaย  anatoka getini, ghafla akarudi na kufungua mlango, nilimuonaย  akivua nguo zake na kubakia kama alivyozaliwa nilijua tuย  alitaka penzi, nilimvulia nguo akanifanya hadi alipomalizaย  kisha aliondoka zake.ย 

    Nilirudi bafuni kuoga, kisha nilianza harakati za kutakaย  kutoroka pale ndani, nilichukua funguo mahali ambapo nilikuwaย  nimezificha kisha nilivaa nguo sikuhitaji hata begi loloteย  maana ile nafasi pekee niliitafuta kwa kitambo sana.ย 

    Nilifungua milango haraka haraka ili niweze kutoroka paleย  nyumbani kwa Anko Sanga, nilifanikiwa kufungua milango yoteย  hadi wa mwisho ambao ndio ulikuwa ukitazamana na geti kubwaย  la kutoka pale kwa Anko Sanga.ย 

    Niliitazama ile nyumba jinsi ilivyogeuka kuwa jela ya Matesoย  kwa zaidi ya Miaka mitatu, nilijikuta nikiangusha chozi.ย  Mateso niliyoyapata pale hayakupata kuelezeka kabisa, moyoย  wangu uliteketea kwa maumivu makali zaidi hata ya sindanoย  izamapo ndani ya jicho, nilipiga magoti nikiwa ninalia.ย 

    Katika hali isiyo ya kufikirika nilihisi kuguswa kwenye begaย  langu, hali ya kulia ilikata mara moja huku kiu ya kumjuaย aliyenishika bega alikuwa nani ilinijia, nilipogeukaย  nilikutana na sura kavu ya Anko Sanga ikiwa inanitazama,ย  wakati namtazama nilijisemea kuwa sitakiwi kuichezea ileย  nafasi, nilijifanya naendelea kujawa na woga huku nikimliaย  taiming jinsi ya kumkwepa pale ili niweze kutoroka!ย 

    Hesabu zangu zilienda sawa kabisa, alipokuwa akinisogeleaย  niliachia teke hadi kwenye zizi lake, akaanza kulalamika hukuย  akiwa amejishika, nilijua ile sehemu ingemsababishia maumivuย  ambayo yangenifanya nikimbie haraka kuelekea getini iliย  niweze kutoka nje kabisa ya ile nyumba.ย 

    Nilimtazama jinsi alivyokuwa akiugulia maumivu makali ambayoย  yalimpeleka hadi chini, akawa ana galagala chini huku akipigaย  ukunga wa maumivu. Nilimeza mate kisha nilitoka mbio kuelekeaย  getini, wakati niko bize pale kufungua geti nilihisi ubaridiย  sehemu ya shingo, ghafla maumivu makali yaliyoambata naย  kuishiwa nguvu yalianza, nilijikuta nikilegea.ย 

    Nilijitahidi kujishikiza kwenye lile geti ili nisidondoke,ย  giza zito liliyakumba macho yangu, nilianza kupoteza uwezo waย  kufikiria, nilijikuta hata uwezo wa kusikia ukipotea. Nguvuย  kidogo iliyobakia niliitumia kugeuka nyuma, kwa nuru kidogoย  ilibakia ndani ya macho yangu nilifanikiwa kumuona Mama yanguย  Mzazi, kabla sijapoteza ufahamu wangu nilifanikiwa kugunduaย  kuwa Mama yangu ndiye aliyesababisha niwe katika hali ile,ย  mkononi alishikilia kipande cha Mti, Palepale nilidondoka naย  kupoteza fahamu zangu!ย 

    Nikiwa kwenye giza zito ndani ya ufahamu wangu nilimkumbukaย  Mwanangu Moyo, sikujua Mtoto wangu alikuwa wapi licha ya Ankoย  Sanga kusema alikuwa kwa Mama yangu, nilihisi uwepo wa Jonasย  mbele ya Macho yangu, nilijikuta nikitabasamu!! Ubaridiย  ulinifanya nirudishe ufahamu wangu ulionitoroka kwa takribaniย  masaa matatu.ย 

    Niliiona Sura ya Anko Sanga na Mama yangu wakiwaย  wananitazama, sura zao zilijaa uzito wa hali ya juu, paleย  pale nikakumbuka kilichotokea masaa kadhaa yaliyopita,ย  nilijikusanya na kuketi, wakati nakaa vizuri nilihisi kugusaย  kitu na nilipogeuka niliuona mwili wa James pale Sakafuni.ย  Nilianza kufikiria nje ya Boxย 

    “Veronica huwezi kutoroka hapa, hilo kamwe haliwezi kutokea!ย  Wewe ni adhina muhimu sana kwetu istoshe tuna Mtoto wako,ย  nadhani huwezi kufanya upuuzi wowote ule kwani kwa kufanyaย  hivyo utamuacha Binti yako mikononi mwetu” Yalikuwa ni manenoย  makali ya Anko Sanga, maneno haya yaliibua hisia nzito sana,ย  yalinifanya nianze kutokwa na machozi.

    “Kwasababu ulitaka kutoroka hapa, nakupa adhabu ya kuishi naย  maiti ya James, nilijuwa uwepo wa jambo hili nilipoingiaย  bafuni na kuuona mwili wa James, hivyo niliweka mtegoย  makusudi ili nikunase” Aliongezaย 

    “Mama! Mama! Umenizaa wewe mwenyewe kweli? Unyama gani huuย  unanifanyia Veronica wako? Ulinizaa peke yangu na huna bintiย  mwingine” Nilisema nikiwa ninalia, nilikuwa nimejikunyata,ย  tatizo kwangu halikuwa Anko Sanga bali ni Mama yangu Mzazi,ย  nilijiuliza alikuwa ameingiwa na shetani gani hadi anifanyieย  yote yale?ย 

    “Nisingekuzaa nisingefanya hivi, kwani Wazazi wako wangepigaย  sana kelele…leo nimeamua kufanya kwasababu hakuna wa kupigaย  kelele”ย 

    Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA TISA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย 

    riwaya mpya riwaya za kusoma mtandaoni riwaya za kuvutia soma riwaya bure

    43 Comments

    1. Imma kigge on May 20, 2025 7:28 pm

      Riwaya tamu sana hii sema shida inatola Ep chache alafu Kwa kuchelewa

      Reply
      • Salha Salim on May 20, 2025 8:19 pm

        Riway nzuri San ila inachelewa kutok itoen kila siku jmn

        Reply
    2. Adam on May 20, 2025 8:22 pm

      Riwaya Ni Nzuri Mnoo Changamoto Unakuja kwa Kuchelewa saana

      Reply
    3. Mr. Lonely on May 20, 2025 9:04 pm

      Mmh jaman wamama wa hivo wapo sayari hii ya Dunia au??

      Reply
    4. Octavian on May 20, 2025 9:16 pm

      Tatizo ni nzul alafu saiv imekuwa fup admin

      Reply
      • Justin Peter on May 20, 2025 11:46 pm

        ๐Ÿ”ฅ

        Reply
    5. Shamsa on May 20, 2025 10:53 pm

      Request;mtume hata mbilii kwa siku tafadhalii

      Reply
    6. Maestro05 on May 20, 2025 11:38 pm

      Maestro05

      Imekuwa fupi Sana Admn saiv hta vibe la kusoma linakata kbs pia inachelewa kutoka

      Reply
    7. Mama nono on May 21, 2025 7:23 am

      Nzur sana jmn

      Reply
    8. G shirima on May 21, 2025 4:48 pm

      Ya 9 bila kuchelewa please

      Reply
    9. Cathbert on May 22, 2025 3:49 am

      Kazi mzuri

      Reply
    10. Destiny2785 on May 24, 2025 9:16 am

      Cool partnership https://shorturl.fm/a0B2m

      Reply
    11. Amanda2531 on May 24, 2025 1:56 pm

      Awesome https://shorturl.fm/5JO3e

      Reply
    12. Deborah976 on May 25, 2025 9:13 am

      https://shorturl.fm/N6nl1

      Reply
    13. Kristin258 on May 25, 2025 4:22 pm

      https://shorturl.fm/A5ni8

      Reply
    14. Campbell2157 on May 25, 2025 6:03 pm

      https://shorturl.fm/oYjg5

      Reply
    15. Edmund209 on May 25, 2025 9:56 pm

      https://shorturl.fm/m8ueY

      Reply
    16. Anne2255 on May 26, 2025 1:48 am

      https://shorturl.fm/m8ueY

      Reply
    17. Brooke1828 on May 26, 2025 8:05 am

      https://shorturl.fm/j3kEj

      Reply
    18. Britney3875 on May 27, 2025 5:55 am

      https://shorturl.fm/68Y8V

      Reply
    19. Nicholas2636 on May 27, 2025 6:38 am

      https://shorturl.fm/FIJkD

      Reply
    20. Adam3689 on May 27, 2025 10:03 am

      https://shorturl.fm/m8ueY

      Reply
    21. Elsie4340 on May 27, 2025 9:00 pm

      https://shorturl.fm/bODKa

      Reply
    22. Emilie3302 on May 27, 2025 11:33 pm

      https://shorturl.fm/A5ni8

      Reply
    23. Virginia2601 on May 28, 2025 7:16 am

      https://shorturl.fm/XIZGD

      Reply
    24. Geoff1568 on May 28, 2025 7:17 am

      https://shorturl.fm/A5ni8

      Reply
    25. Isaiah78 on May 29, 2025 3:45 am

      https://shorturl.fm/YvSxU

      Reply
    26. Isabella2566 on May 30, 2025 11:14 am

      https://shorturl.fm/5JO3e

      Reply
    27. Terry2387 on May 30, 2025 11:47 am

      https://shorturl.fm/YvSxU

      Reply
    28. Bonnie4039 on May 31, 2025 6:07 pm

      https://shorturl.fm/PFOiP

      Reply
    29. Esme4085 on June 1, 2025 3:14 am

      https://shorturl.fm/IPXDm

      Reply
    30. Leona961 on June 1, 2025 5:12 am

      https://shorturl.fm/ypgnt

      Reply
    31. Pedro2886 on June 2, 2025 10:51 am

      https://shorturl.fm/0EtO1

      Reply
    32. Bennett3135 on June 2, 2025 2:03 pm

      https://shorturl.fm/hQjgP

      Reply
    33. Hope2515 on June 2, 2025 2:39 pm

      https://shorturl.fm/DA3HU

      Reply
    34. โš™ Reminder; Operation 1,636827 bitcoin. Get > https://graph.org/Payout-from-Blockchaincom-06-26?hs=a751923c65985470c0cc49a517bc3dd3& โš™ on June 26, 2025 10:57 pm

      4ektdf

      Reply
    35. ๐Ÿ—ƒ SECURITY ALERT - Unauthorized transfer of 1.5 Bitcoin. Block? >> https://graph.org/COLLECT-BTC-07-23?hs=a751923c65985470c0cc49a517bc3dd3& ๐Ÿ—ƒ on August 12, 2025 1:51 am

      bn5jcl

      Reply
    36. ๐Ÿ”‘ ๐Ÿ’ธ Bitcoin Transaction - 0.55 BTC unclaimed. Click to withdraw > https://graph.org/TAKE-YOUR-BITCOIN-07-23?hs=a751923c65985470c0cc49a517bc3dd3& ๐Ÿ”‘ on August 27, 2025 6:53 am

      jdktpr

      Reply
    37. lowenplay-casino.de on November 1, 2025 6:49 am

      Well said. Similar thoughts on my blog – lowenplay-casino.de.

      Reply
    38. Bobby Dombeck on January 10, 2026 9:12 pm

      I really like your writing style, wonderful information, thanks for posting :D. “Your central self is totally untouched By grief, confusion, desperation.” by Vernon Howard.

      Reply
    39. stream college hoops free on January 13, 2026 5:17 pm

      I do agree with all of the ideas you have presented in your post. They are really convincing and will definitely work. Nonetheless, the posts are too quick for newbies. May you please extend them a little from subsequent time? Thank you for the post.

      Reply
    40. zabornatorilon on January 22, 2026 1:13 am

      Magnificent web site. A lot of helpful info here. I’m sending it to several pals ans also sharing in delicious. And naturally, thanks to your effort!

      Reply
    41. mitolyn official on January 25, 2026 1:11 am

      **mitolyn official**

      Mitolyn is a carefully developed, plant-based formula created to help support metabolic efficiency and encourage healthy, lasting weight management.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    AFCON
    Africa | CAF January 1, 2026

    Ratiba ya kusisimua ya 16 Bora yakamilika AFCON Morocco 2025

    Ratiba ya Hatua ya 16 Bora ya michuano ya TotalEnergies CAF AFCON Morocco 2025 imekamilika…

    Hapa MSUVA Pale MPENJA Ofa Kibao Kutoka LEONBET

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.