Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-02

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home ยป Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Kumi-10)
    Hadithi

    Mama Niachie Mume Wangu (Sehemu Ya Kumi-10)

    Kaka MkubwaBy Kaka MkubwaMay 22, 2025Updated:May 23, 202528 Comments9 Mins Read1K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Tisaย 

    Siku iliyofuata nilitakiwa kuelezea kilichoendelea baada yaย  kuhamishwa kwenye ile nyumba na kupelekwa nyumba nyingine,ย  niliketi kwenye kiti nikiwa nimezungukwa na wale Mawakiliย  akiwemo yule aliyeajiliwa na Mama Sofia ambaye alikuwaย  akimlea Mtoto wangu kwa sasa.ย 

    “Hujazungumzia Maisha ya Jonas akiwa kwenye mahusiano na Mamaย  yako?”ย 

    “Vipi kuhusu Anko wako! Alikufa au alikimbia?”ย 

    “Je, uliwezaje kutoka?” Endelea

    SEHEMU YA KUMI

    Yalikuwa ni maswali machache yaliyoelekezwa kwangu na waleย  Mawakili, nilivuta pumzi kisha niliendelea kuwasimulia jinsiย  ilivyokuwa.

    Nyumba ile ilikuwa nje ya Mji pia, ilikuwaย  tulivu na kulikuwa na mlinzi, Anko Sanga alikuwa haishi paleย  tofauti na ilivyokuwa mara ya kwanza nilikuwa nikiishi naeย  kule kwenye nyumba nyingine, alikuwa akija kutimiza haja zakeย  za kimapenzi kama kawaida kwani ndio ulikuwa msingi wao waย  kuendelea kuwa Matajiri.ย 

    Upande wa Jonas alikuwa akiishi na Mama, naye alikuwaย  akitumika lakini utofauti wa yeye na mimi ni kuwa yeyeย  alikuwa kama Msukule tu alifanya vitu kwa dawa alizowekewa naย  Mama na sio kwa moyo wake, mimi nilikuwa nikifanya kwaย  lazima.ย 

    Mlinzi wa pale Nyumbani alikuwa akizunguka huku na kule,ย  nyumba hii haikuwa ya ghorofa bali ilikuwa ya kawaida tuย  lakini ilitegemea pia nitoke kwa kutumia mlango, siku mojaย  nilimuita yule Mlinzi, hata yeye hakujua ni kwanini nilikuwaย  sitakiwi kutoka ndani, alipokuja tulianza kuongeaย 

    “Bosi amesema sipaswi kuongea na wewe, natakiwa nihakikisheย  hautoki” Alisemaย 

    “Sasa haujamuuliza kwanini?”ย 

    “Sijamuuliza”ย 

    “Unamzuia Mtu na hujui kwanini?”ย 

    “Natakiwa kuifanya kazi iliyonileta hapa”ย 

    “Sikia, Mimi ni Mke wake ndio maana hataki sababu amegunduaย  nina mwanaume mwingine” Nilianza kumuongopea ili kutengenezaย  ukaribu maana nilijua nikimwambia ukweli ataanza kuniogopa.ย 

    “Oohoo! Wanawake bwana. Sasa unamsaliti Mtu ana hela namnaย  hii?”ย 

    “Unafikiria pesa ndio kila kitu? hapana Mapenzi yana umuhimuย  Mkubwa kuliko hata hiyo pesa unayoiongelea”ย 

    “Ha!ha! usinichekeshe mie, ina maana wewe Mke wa tajiriย  unaweza ukatoka kimpenzi na mimi mlinzi eti kisa Mapenzi?”ย  aliongea akiwa anajipigia debe, sasa nilifanikiwa kuujuaย  udhahifu wake ulipo

    “Anhaa! kumbe kupitia huyu ninaweza kikatoka hapa nikiwa haiย  kabisa” Nilijisema nikiwa nimeangusha tabasamu, tulikuwaย  tukizungumza kupitia dirisha.ย 

    “Sasa kisichowezekana ni nini? Mnajidanganya wanaume kwaย  kuamini pesa ndio inafanya wanawake wakupendeni, au labdaย  uzuri wa sura ndio humvutia Mwanaume, si unaona kama mimiย  napenda mapenzi ya kweli tuu na sio pesa” Yule Mlinziย  alicheka cheka kama Zuzu vile, kwenye mpira wanasema kosaย  moja unaadhibiwa kwa kufungwa goli moja, sasa kosa mojaย  alilolifanya Anko Sanga ni kuweka yule mlinzi pasipoย  kumuelekeza mazingira yalivyo.ย 

    “Unaitwa nani?” nilimuulizaย 

    “Joji”ย 

    “Nashukuru kukufahamu Joji” nilisema kisha nilihakikishaย  namvuta kwangu ili anisaidie baada ya maongezi aliondoka naย  kurudi getini, haikuchelewa sana alikuja Mtu wa pikipikiย  akampatia mzigo Joji, Mzigo ulikuwa wangu.ย 

    nilipoufungua nilikuta picha za Mtoto wangu Moyo,ย  nilifarijika sana kwani nilimuomba Anko Sanga anisaidie hiloย  jambo ili niweze kumuona binti yangu japo kwa picha tuu.ย  Nilimuita Joji na kumuonyesha zile picha kwa kutumia dirishaย 

    “Hivi Joji si unifungulie tuongee vizuri?”ย 

    “Sina funguo za hapo Dada ningekufungulia angalau uote jua”ย 

    “Anhaa usijali” Nilianza kugundua baadhi ya vitu, na ndichoย  nilichokuwa nakihitaji.ย 

    Kilikuwa kipindi cha masika na mvua zilianza kunyesha, Jojiย  akakimbilia kwenye kibanda chake, nikasema nitahakikishaย  ananisaidia ili nitoke pale. Nilivua nguo zangu na tayariย  giza lilikuwa limeingia, nilimuona akiwa anapika kwenyeย  kibanda chake ambacho kilikuwa karibu na geti, nilichukuaย  sturi nikasimama nikiwa Uchi wa mnyama nikiwa nimewasha taa.ย 

    Nilikuwa karibu na dirisha, nilifungua pazia zote ili tuย  kumuonyesha Joji mwili wangu. Sikuuona uthamani wa mwiliย  wangu ikiwa Anko Sanga alikuwa akiutumia atakavyo. Nilikuwaย  nikijishikashika mwilini kama vile mnenguaji wa bendi fulaniย  kwenye kumbi za starehe.ย 

    Nilifanya hivyo kwa dakika kadhaa kisha nilishuka na kuzimaย  taa, nilipochungulia dirishani nilimuona Joji akikimbiaย  kukatiza mvua kurudi kwenye kibanda chake!

    “Mtego wa Mwanaume ni ngono” Nilisema nikiwa ninavalia nguoย  zangu, kwa ishara ile niliona ni kweli nilifanikiwa kumfanyaย  Joji kama toi la kuchezea Watoto, sikuwa na nguvu ya kusemaย  nipambane nae ili nitoke bali niliutumia udhaifu kutafutaย  njia ya kutoka pale ndani.ย 

    Asubuhi mapema Joji aligonga dirisha langu, niliposikia sautiย  yake nilienda dirishani.ย 

    “Umeamkaje Dada Vero?”ย 

    “Salama sijui wewe kipenzi” Nilivyomuita kipenzi ndio akawaย  anacheka chekaย 

    “Nimeamka poa nikasema nije kukujulia hali yako” “Anhaa! sasa Joji ninashida ya simu”ย 

    “Mbona mimi sina simu? boss amesema sitakiwi kuwa na simu”ย 

    “anhaa kumbe! huwagi na hamu ya kwenda kutafuta mabinti hukoย  nje au unaogopa kumsaliti Mkeo”ย 

    “Ha!ha!ha! sina Mke mimi, hata hivyo kutoka hapa hadi kwendaย  kwenye makazi ya Watu ni zaidi ya Kilomita 90”ย 

    “Unasemaje? kwani hapa ni wapi?” nilikumbuka hata nilipoletwaย  pale nilikuwa nimefungwa kitambaa usoni ili nisijue naendaย  wapiย 

    “Msituni karibu na mpaka wa Kenya” Kauli ya Joji ilinivunjaย  Moyo kabisa niliona ugumu ulio mbeleniย 

    “Mbona umeshtuka hivyo kwani hakukwambia?”ย 

    “Tuachane na hilo Joji, nataka nikaoge alafu nitakushtuaย  baadae” Joji aliondoka nami nilienda kuoga kisha nilipikaย  chakula, kilipokuwa tayari nilimpa Jojiย 

    “Ahsante sana, Boss ameniambia nisichukue kitu kutoka kwakoย  wala mimi kukupa chochote”ย 

    “Anhaa! sasa Joji, nimekaa huku kwa takribani wiki sasaย  natamani sana kuwa na mtu karibu nimevumilia nimeshindwa”ย  Nilianza kumtega makusudi kabla hajanijibu tulisikia honi yaย  gari, haraka Joji alikimbilia geti.ย 

    Alimfungulia geti Anko Sanga, hapana shaka alikuwa anatakaย  penzi maana ndicho ambacho huwa kinamleta, lakini alikuwa naย mizigo ya chakula. Joji alimsaidia kuingiza ndani, ikawa ndioย  mara ya kwanza kwa Joji kuingia ndani.ย 

    Nilimuonesha sura ya kikauzu ili asilete mazoea mbele ya Ankoย  Sanga, aliketi akaniambia kuwa Jonas ana hali mbayaย  amepelekwa hospitaliย 

    “Anaumwa nini?”ย 

    “Amepata ajali ya gari”ย 

    “Nilijua mnanitaka mimi tu, kumbe hata Jonas pia?”ย 

    “Nitolee upuuzi wako hapa, nimeamua tu kukupa taarifaย  vinginevyo usingejua chochote, heshimu hilo”ย 

    “Tafadhari naomba nimuone japo mara moja tu, najua haweziย  kupona hadi unakuja kuniambia hapa, ikishindikaana mimiย  kumuona basi hata binti yake amuone Baba yake japo kidogo,ย  amjue kama ndio Baba yake” Tulikuwa tukiongea chumbani wakatiย  huo Joji akiwa ameondoka.ย 

    Hakunijibu sababu hakupenda sana kujibu masuala mengiย  niliyomuuliza hasa yaliyohusu familia yangu. Badala yakeย  nilimuona akivua nguo zake na kupaka dude lake mafuta,ย  alilichezea hadi likasimama na jinsi lilivyo refu, alinifuataย  na kunilaza chali kisha aliniondoa chupi, Nilishazoea hayaย  maisha lakini kipaumbele changu kilikuwa ni kutoroka sikuย  moja.ย 

    Aliniingiza dude lake hadi lilipozama lote akawa ananifanya,ย  nikaanza kupiga kelele za mahaba ili tu Joji asikie kuwaย  nikilikuwa nikiliwa, lengo langu ni kumhamasisha ili nioneย  atatumia akili gani ya kiume kuingia ndani wakati ambao Ankoย  sanga atakuwa ameondoka.ย 

    Alinifanya kwa dakika 15 tu kisha alivalia suruali yake naย  kuwasha gari, akaondoka zake. Nikaenda dirishani kumuangaliaย  Joji akiwa anafunga geti, akaja hadi dirishani kuniita maanaย  alishaanza kupenda kupiga stori na mimi.ย 

    “Mbona unatabasamu hivyo jamni Joji”ย 

    “Hapana nimefurahishwa tuu”ย 

    “umefurahi na nini?”ย 

    “Kukuona tu Dada Vero”ย 

    “Njoo Basi ndani Joji ukate kiu yako

    “Kiu? yanini”ย 

    “Kuniona alafu nikupe kitu kitamu zaidi”ย 

    “Sasa nitaweza vipi kuingia ndani jamani wakati mlangoย  umefungwa na geti la nje pia?”ย 

    “We mwanaume Bwana unashindwa hata kutumia mawazo machacheย  uliyonayo, sio kila kizuri huliwa kwa sheria vingine huliwaย  kwa kuvunja sheria” Niliongea kwa kurembua sana, nililazimikaย  kufanya hivi sio kwa Mapenzi yangu bali nipate kutoka mleย  ndani.ย 

    Nilimuona Joji akiwaza jambo, nilimtazama kisha aliniambia “Ngoja nizunguke huku nyuma niangalie cha kufanya”ย 

    “Sawa mpenzi nakusubiria wewe tu” Kweli Joji alizunguka nyumaย  ya nyumba kisha nilimsikia akiniita kutokea chooni alinitakaย  nimfungulie mlango, nilikimbilia Chooni nilimuona akiwaย  anapenya kwenye dirisha dogo la juu kabisa mwa ile choo,ย  alikuwa akipita kwa kujilazimisha sana nilimuona jinsiย  alivyokuwa akiumia hadi akafanikiwa kuingia ndani tena kwaย  kuanguka, nilimsikia akilalamikaย 

    “Oooh! Mkonoooo”ย 

    “Pole jamani Kidume, pole sana” nilisema kisha tulielekeaย  chumbani, akaenda pale dirishani kuchunguliaย 

    “Anhaa! kumbe huwa unaniona kwa staili hii Dada Vero?”ย 

    “Ha!ha! Usiniite Dada, niite jina langu” Niliongea hukuย  nikimpiga busu, palepale nikaona jinsi dudu lakeย  lilivyosisimka, alikuwa akiniangalia kwa uchu sana, nilijuaย  tu alikuwa amekaa kitambo bila kufanya mapenzi.ย 

    Nilimvua shati kisha nilimwambia anisubiri kidogo nakuja,ย  alikubali nilitoka pale chumbani, nilienda hadi kwenye begiย  langu nikatoa Picha ya Mtoto wangu, nikaipeleka chooni, kishaย  nilichukua vidonge vya usingizi nikaviponda na kuvitia kwenyeย  juisi, nilikuwa nikivitumia vidonge hivi kwasababu nilikuwaย  nakosa usingizi kabisa. Niliogopa kutia vidonge vingiย  angeweza kushtuka hivyo nilimtilia kidogo tu, nilitakaย  kuondoka Siku hiyo maana nilijua kama nitamwambia Jojiย  ingechukua siku nyingine kutoka pale na sikuwa tayari kumpaย  Uchi wangu!

    “Samahani kwa kuchelewa” niliongea baada ya kuwa nimekwishaย  ingia chumbani, nilimuona akiwa ameshavua nguo zoteย  amejifunika taulo tu, yaani alikuwa amejiandaa kwa mchezo.ย 

    Nilimpa ile juisi kisha nilimwambia anywe apunguze presha,ย  kwa jinsi alivyo na papara aliinywa yote kisha nilimfuata naย  kuanza kumchezea, nilimchezea hadi nilipohakikisha ana anzaย  kulegea, hadi alipopitiwa na usingizi.ย 

    Haraka nilivalia nguo zangu, nikaenda chooni nikaichukua ileย  picha na kuiweka kwenye mfuko wa suruali niliyoivaa.ย  Nilipoangalia pale alipopitia Joji palikuwa juu sana nikaendaย  kuchukua Viti nikavibebanisha kisha nikapanda, wakatiย  nahangaika pale nilijikuta nikitereza kutoka juu ya kiti hadiย  nikaangukia chini kama mzigo, nikahisi maumivu ya mguu lakiniย  nikasema nitajitahidi hadi nitakapo fanikiwa kuondoka zangu,ย  nilifanya jaribio la kupanda tena juu ya vile viti.ย 

    Nilishika bomba la maji ambalo lilinisogeza hadi kwenye lileย  dirisha dogo nikapitisha kichwa changu, nilijikuta natokwa naย  machozi baada ya kupigwa na kaupepo, nilivuka nikajirushaย  hadi nje. Kwanza nilimshukuru Mungu kwa ile hatua niliyofikiaย  maana ndio ilikuwa nafasi pekee ya kutoka pale.ย 

    Japo nilikuwa na maumivu ya Mguu, ndipo niliposikia sauti yaย  Joji ikiniita, hata kabla sijapiga hatua nilisikia honi yaย  gari pale getini, ni wazi kuwa kulikuwa na gari iliyokuwaย  ikitaka kuingia, nilijua tu atakuwa ni Anko Sanga maanaย  alikuwa na machale sana.ย 

    Nilijibanza pale pale, Joji aliposikia ile honi akataka atokeย  haraka akafungue geti ili ionekane hakuniona nikiwaย  ninatoroka,ย 

    “Veronica najua unanisikia, usifanye jaribio la kuondokaย  tafadhari” Aliongea Joji akiwa anapanda atokee kwenye lileย  dirisha, nikasema liwalo na liwe pembeni kulikuwa na kipandeย  cha mti uliokauka niliuchukua na kukaa makini nikitazama paleย  ambapo angetokea, Honi ilipigwa zaidi ya mara saba hatimayeย  ukimya ulitawala.ย 

    Joji alipotokeza kichwa chake nilimpiga na kile kipande chaย  Mti, nilimpiga tena na tena akiwa hawezi hata kurudi nyuma,ย  nilihakikisha nampiga hadi azimie na ndicho kilichotokeaย  nilimpiga hadi nikamuaribu ile sura yake, damu zikawaย  zinamtoka kama bomba la maji lililo pasuka, kwakuwa ilikuwaย  ni nyuma ya nyumba hakukuwa na shida yoyote, nilimuacha akiwaย  juu ananing’inia.ย 

    Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA KUMI NA MOJA

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapaย 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896ย 

    riwaya mpya riwaya za kusisimua

    28 Comments

    1. Maestro05 on May 22, 2025 10:09 pm

      Story nzuri admn sema fupi Sana leo

      Reply
      • G shirima on May 23, 2025 1:04 am

        Leo fupi admin

        Reply
    2. David ben on May 22, 2025 10:52 pm

      Nzuri ila fupi Mwandishi

      Reply
    3. Rajy boy on May 22, 2025 11:47 pm

      Umetisha mwandishi

      Reply
    4. ๐Ÿ”Œ + 1.225024 BTC.GET - https://yandex.com/poll/T1TnDbUc4R9aLX7Nzhj1Cy?hs=01115e24ca87f3239a733200f9b63cf9& ๐Ÿ”Œ on May 25, 2025 6:13 am

      7pn83j

      Reply
    5. Edgar2048 on May 25, 2025 9:13 am

      https://shorturl.fm/XIZGD

      Reply
    6. Reagan2251 on May 25, 2025 4:21 pm

      https://shorturl.fm/oYjg5

      Reply
    7. Miriam361 on May 25, 2025 6:02 pm

      https://shorturl.fm/XIZGD

      Reply
    8. Bernice2672 on May 26, 2025 1:47 am

      https://shorturl.fm/j3kEj

      Reply
    9. Marco1557 on May 27, 2025 4:36 am

      https://shorturl.fm/bODKa

      Reply
    10. Arianna1229 on May 27, 2025 5:54 am

      https://shorturl.fm/a0B2m

      Reply
    11. Allen1371 on May 27, 2025 6:37 am

      https://shorturl.fm/TbTre

      Reply
    12. Alison4712 on May 27, 2025 8:59 pm

      https://shorturl.fm/TbTre

      Reply
    13. Ernest4336 on May 27, 2025 11:32 pm

      https://shorturl.fm/j3kEj

      Reply
    14. Lachlan3170 on May 28, 2025 7:15 am

      https://shorturl.fm/m8ueY

      Reply
    15. Bernice4211 on May 28, 2025 7:16 am

      https://shorturl.fm/oYjg5

      Reply
    16. Theresa3467 on May 29, 2025 2:20 am

      https://shorturl.fm/9fnIC

      Reply
    17. Ava2086 on May 29, 2025 3:44 am

      https://shorturl.fm/bODKa

      Reply
    18. Henry4177 on May 30, 2025 6:42 am

      https://shorturl.fm/N6nl1

      Reply
    19. Riley2644 on May 30, 2025 11:13 am

      https://shorturl.fm/YvSxU

      Reply
    20. Cedric4066 on May 30, 2025 11:46 am

      https://shorturl.fm/N6nl1

      Reply
    21. Aileen593 on May 31, 2025 6:06 pm

      https://shorturl.fm/0oNbA

      Reply
    22. Ryder2516 on June 1, 2025 3:13 am

      https://shorturl.fm/f4TEQ

      Reply
    23. Duane2254 on June 1, 2025 5:11 am

      https://shorturl.fm/0EtO1

      Reply
    24. Natalie1851 on June 1, 2025 8:31 pm

      https://shorturl.fm/retLL

      Reply
    25. Matthew2326 on June 2, 2025 10:50 am

      https://shorturl.fm/JtG9d

      Reply
    26. Gemma514 on June 2, 2025 11:12 am

      https://shorturl.fm/uyMvT

      Reply
    27. Parker660 on June 2, 2025 2:38 pm

      https://shorturl.fm/ypgnt

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 15, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-02

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-01

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.