Ilipoishia Mama Niachie Mume Wangu Sehemu Ya Tisa
Siku iliyofuata nilitakiwa kuelezea kilichoendelea baada ya kuhamishwa kwenye ile nyumba na kupelekwa nyumba nyingine, niliketi kwenye kiti nikiwa nimezungukwa na wale Mawakili akiwemo yule aliyeajiliwa na Mama Sofia ambaye alikuwa akimlea Mtoto wangu kwa sasa.
“Hujazungumzia Maisha ya Jonas akiwa kwenye mahusiano na Mama yako?”
“Vipi kuhusu Anko wako! Alikufa au alikimbia?”
“Je, uliwezaje kutoka?” Endelea
SEHEMU YA KUMI
Yalikuwa ni maswali machache yaliyoelekezwa kwangu na wale Mawakili, nilivuta pumzi kisha niliendelea kuwasimulia jinsi ilivyokuwa.
Nyumba ile ilikuwa nje ya Mji pia, ilikuwa tulivu na kulikuwa na mlinzi, Anko Sanga alikuwa haishi pale tofauti na ilivyokuwa mara ya kwanza nilikuwa nikiishi nae kule kwenye nyumba nyingine, alikuwa akija kutimiza haja zake za kimapenzi kama kawaida kwani ndio ulikuwa msingi wao wa kuendelea kuwa Matajiri.
Upande wa Jonas alikuwa akiishi na Mama, naye alikuwa akitumika lakini utofauti wa yeye na mimi ni kuwa yeye alikuwa kama Msukule tu alifanya vitu kwa dawa alizowekewa na Mama na sio kwa moyo wake, mimi nilikuwa nikifanya kwa lazima.
Mlinzi wa pale Nyumbani alikuwa akizunguka huku na kule, nyumba hii haikuwa ya ghorofa bali ilikuwa ya kawaida tu lakini ilitegemea pia nitoke kwa kutumia mlango, siku moja nilimuita yule Mlinzi, hata yeye hakujua ni kwanini nilikuwa sitakiwi kutoka ndani, alipokuja tulianza kuongea
“Bosi amesema sipaswi kuongea na wewe, natakiwa nihakikishe hautoki” Alisema
“Sasa haujamuuliza kwanini?”
“Sijamuuliza”
“Unamzuia Mtu na hujui kwanini?”
“Natakiwa kuifanya kazi iliyonileta hapa”
“Sikia, Mimi ni Mke wake ndio maana hataki sababu amegundua nina mwanaume mwingine” Nilianza kumuongopea ili kutengeneza ukaribu maana nilijua nikimwambia ukweli ataanza kuniogopa.
“Oohoo! Wanawake bwana. Sasa unamsaliti Mtu ana hela namna hii?”
“Unafikiria pesa ndio kila kitu? hapana Mapenzi yana umuhimu Mkubwa kuliko hata hiyo pesa unayoiongelea”
“Ha!ha! usinichekeshe mie, ina maana wewe Mke wa tajiri unaweza ukatoka kimpenzi na mimi mlinzi eti kisa Mapenzi?” aliongea akiwa anajipigia debe, sasa nilifanikiwa kuujua udhahifu wake ulipo
“Anhaa! kumbe kupitia huyu ninaweza kikatoka hapa nikiwa hai kabisa” Nilijisema nikiwa nimeangusha tabasamu, tulikuwa tukizungumza kupitia dirisha.
“Sasa kisichowezekana ni nini? Mnajidanganya wanaume kwa kuamini pesa ndio inafanya wanawake wakupendeni, au labda uzuri wa sura ndio humvutia Mwanaume, si unaona kama mimi napenda mapenzi ya kweli tuu na sio pesa” Yule Mlinzi alicheka cheka kama Zuzu vile, kwenye mpira wanasema kosa moja unaadhibiwa kwa kufungwa goli moja, sasa kosa moja alilolifanya Anko Sanga ni kuweka yule mlinzi pasipo kumuelekeza mazingira yalivyo.
“Unaitwa nani?” nilimuuliza
“Joji”
“Nashukuru kukufahamu Joji” nilisema kisha nilihakikisha namvuta kwangu ili anisaidie baada ya maongezi aliondoka na kurudi getini, haikuchelewa sana alikuja Mtu wa pikipiki akampatia mzigo Joji, Mzigo ulikuwa wangu.
nilipoufungua nilikuta picha za Mtoto wangu Moyo, nilifarijika sana kwani nilimuomba Anko Sanga anisaidie hilo jambo ili niweze kumuona binti yangu japo kwa picha tuu. Nilimuita Joji na kumuonyesha zile picha kwa kutumia dirisha
“Hivi Joji si unifungulie tuongee vizuri?”
“Sina funguo za hapo Dada ningekufungulia angalau uote jua”
“Anhaa usijali” Nilianza kugundua baadhi ya vitu, na ndicho nilichokuwa nakihitaji.
Kilikuwa kipindi cha masika na mvua zilianza kunyesha, Joji akakimbilia kwenye kibanda chake, nikasema nitahakikisha ananisaidia ili nitoke pale. Nilivua nguo zangu na tayari giza lilikuwa limeingia, nilimuona akiwa anapika kwenye kibanda chake ambacho kilikuwa karibu na geti, nilichukua sturi nikasimama nikiwa Uchi wa mnyama nikiwa nimewasha taa.
Nilikuwa karibu na dirisha, nilifungua pazia zote ili tu kumuonyesha Joji mwili wangu. Sikuuona uthamani wa mwili wangu ikiwa Anko Sanga alikuwa akiutumia atakavyo. Nilikuwa nikijishikashika mwilini kama vile mnenguaji wa bendi fulani kwenye kumbi za starehe.
Nilifanya hivyo kwa dakika kadhaa kisha nilishuka na kuzima taa, nilipochungulia dirishani nilimuona Joji akikimbia kukatiza mvua kurudi kwenye kibanda chake!
“Mtego wa Mwanaume ni ngono” Nilisema nikiwa ninavalia nguo zangu, kwa ishara ile niliona ni kweli nilifanikiwa kumfanya Joji kama toi la kuchezea Watoto, sikuwa na nguvu ya kusema nipambane nae ili nitoke bali niliutumia udhaifu kutafuta njia ya kutoka pale ndani.
Asubuhi mapema Joji aligonga dirisha langu, niliposikia sauti yake nilienda dirishani.
“Umeamkaje Dada Vero?”
“Salama sijui wewe kipenzi” Nilivyomuita kipenzi ndio akawa anacheka cheka
“Nimeamka poa nikasema nije kukujulia hali yako” “Anhaa! sasa Joji ninashida ya simu”
“Mbona mimi sina simu? boss amesema sitakiwi kuwa na simu”
“anhaa kumbe! huwagi na hamu ya kwenda kutafuta mabinti huko nje au unaogopa kumsaliti Mkeo”
“Ha!ha!ha! sina Mke mimi, hata hivyo kutoka hapa hadi kwenda kwenye makazi ya Watu ni zaidi ya Kilomita 90”
“Unasemaje? kwani hapa ni wapi?” nilikumbuka hata nilipoletwa pale nilikuwa nimefungwa kitambaa usoni ili nisijue naenda wapi
“Msituni karibu na mpaka wa Kenya” Kauli ya Joji ilinivunja Moyo kabisa niliona ugumu ulio mbeleni
“Mbona umeshtuka hivyo kwani hakukwambia?”
“Tuachane na hilo Joji, nataka nikaoge alafu nitakushtua baadae” Joji aliondoka nami nilienda kuoga kisha nilipika chakula, kilipokuwa tayari nilimpa Joji
“Ahsante sana, Boss ameniambia nisichukue kitu kutoka kwako wala mimi kukupa chochote”
“Anhaa! sasa Joji, nimekaa huku kwa takribani wiki sasa natamani sana kuwa na mtu karibu nimevumilia nimeshindwa” Nilianza kumtega makusudi kabla hajanijibu tulisikia honi ya gari, haraka Joji alikimbilia geti.
Alimfungulia geti Anko Sanga, hapana shaka alikuwa anataka penzi maana ndicho ambacho huwa kinamleta, lakini alikuwa na mizigo ya chakula. Joji alimsaidia kuingiza ndani, ikawa ndio mara ya kwanza kwa Joji kuingia ndani.
Nilimuonesha sura ya kikauzu ili asilete mazoea mbele ya Anko Sanga, aliketi akaniambia kuwa Jonas ana hali mbaya amepelekwa hospitali
“Anaumwa nini?”
“Amepata ajali ya gari”
“Nilijua mnanitaka mimi tu, kumbe hata Jonas pia?”
“Nitolee upuuzi wako hapa, nimeamua tu kukupa taarifa vinginevyo usingejua chochote, heshimu hilo”
“Tafadhari naomba nimuone japo mara moja tu, najua hawezi kupona hadi unakuja kuniambia hapa, ikishindikaana mimi kumuona basi hata binti yake amuone Baba yake japo kidogo, amjue kama ndio Baba yake” Tulikuwa tukiongea chumbani wakati huo Joji akiwa ameondoka.
Hakunijibu sababu hakupenda sana kujibu masuala mengi niliyomuuliza hasa yaliyohusu familia yangu. Badala yake nilimuona akivua nguo zake na kupaka dude lake mafuta, alilichezea hadi likasimama na jinsi lilivyo refu, alinifuata na kunilaza chali kisha aliniondoa chupi, Nilishazoea haya maisha lakini kipaumbele changu kilikuwa ni kutoroka siku moja.
Aliniingiza dude lake hadi lilipozama lote akawa ananifanya, nikaanza kupiga kelele za mahaba ili tu Joji asikie kuwa nikilikuwa nikiliwa, lengo langu ni kumhamasisha ili nione atatumia akili gani ya kiume kuingia ndani wakati ambao Anko sanga atakuwa ameondoka.
Alinifanya kwa dakika 15 tu kisha alivalia suruali yake na kuwasha gari, akaondoka zake. Nikaenda dirishani kumuangalia Joji akiwa anafunga geti, akaja hadi dirishani kuniita maana alishaanza kupenda kupiga stori na mimi.
“Mbona unatabasamu hivyo jamni Joji”
“Hapana nimefurahishwa tuu”
“umefurahi na nini?”
“Kukuona tu Dada Vero”
“Njoo Basi ndani Joji ukate kiu yako
“Kiu? yanini”
“Kuniona alafu nikupe kitu kitamu zaidi”
“Sasa nitaweza vipi kuingia ndani jamani wakati mlango umefungwa na geti la nje pia?”
“We mwanaume Bwana unashindwa hata kutumia mawazo machache uliyonayo, sio kila kizuri huliwa kwa sheria vingine huliwa kwa kuvunja sheria” Niliongea kwa kurembua sana, nililazimika kufanya hivi sio kwa Mapenzi yangu bali nipate kutoka mle ndani.
Nilimuona Joji akiwaza jambo, nilimtazama kisha aliniambia “Ngoja nizunguke huku nyuma niangalie cha kufanya”
“Sawa mpenzi nakusubiria wewe tu” Kweli Joji alizunguka nyuma ya nyumba kisha nilimsikia akiniita kutokea chooni alinitaka nimfungulie mlango, nilikimbilia Chooni nilimuona akiwa anapenya kwenye dirisha dogo la juu kabisa mwa ile choo, alikuwa akipita kwa kujilazimisha sana nilimuona jinsi alivyokuwa akiumia hadi akafanikiwa kuingia ndani tena kwa kuanguka, nilimsikia akilalamika
“Oooh! Mkonoooo”
“Pole jamani Kidume, pole sana” nilisema kisha tulielekea chumbani, akaenda pale dirishani kuchungulia
“Anhaa! kumbe huwa unaniona kwa staili hii Dada Vero?”
“Ha!ha! Usiniite Dada, niite jina langu” Niliongea huku nikimpiga busu, palepale nikaona jinsi dudu lake lilivyosisimka, alikuwa akiniangalia kwa uchu sana, nilijua tu alikuwa amekaa kitambo bila kufanya mapenzi.
Nilimvua shati kisha nilimwambia anisubiri kidogo nakuja, alikubali nilitoka pale chumbani, nilienda hadi kwenye begi langu nikatoa Picha ya Mtoto wangu, nikaipeleka chooni, kisha nilichukua vidonge vya usingizi nikaviponda na kuvitia kwenye juisi, nilikuwa nikivitumia vidonge hivi kwasababu nilikuwa nakosa usingizi kabisa. Niliogopa kutia vidonge vingi angeweza kushtuka hivyo nilimtilia kidogo tu, nilitaka kuondoka Siku hiyo maana nilijua kama nitamwambia Joji ingechukua siku nyingine kutoka pale na sikuwa tayari kumpa Uchi wangu!
“Samahani kwa kuchelewa” niliongea baada ya kuwa nimekwisha ingia chumbani, nilimuona akiwa ameshavua nguo zote amejifunika taulo tu, yaani alikuwa amejiandaa kwa mchezo.
Nilimpa ile juisi kisha nilimwambia anywe apunguze presha, kwa jinsi alivyo na papara aliinywa yote kisha nilimfuata na kuanza kumchezea, nilimchezea hadi nilipohakikisha ana anza kulegea, hadi alipopitiwa na usingizi.
Haraka nilivalia nguo zangu, nikaenda chooni nikaichukua ile picha na kuiweka kwenye mfuko wa suruali niliyoivaa. Nilipoangalia pale alipopitia Joji palikuwa juu sana nikaenda kuchukua Viti nikavibebanisha kisha nikapanda, wakati nahangaika pale nilijikuta nikitereza kutoka juu ya kiti hadi nikaangukia chini kama mzigo, nikahisi maumivu ya mguu lakini nikasema nitajitahidi hadi nitakapo fanikiwa kuondoka zangu, nilifanya jaribio la kupanda tena juu ya vile viti.
Nilishika bomba la maji ambalo lilinisogeza hadi kwenye lile dirisha dogo nikapitisha kichwa changu, nilijikuta natokwa na machozi baada ya kupigwa na kaupepo, nilivuka nikajirusha hadi nje. Kwanza nilimshukuru Mungu kwa ile hatua niliyofikia maana ndio ilikuwa nafasi pekee ya kutoka pale.
Japo nilikuwa na maumivu ya Mguu, ndipo niliposikia sauti ya Joji ikiniita, hata kabla sijapiga hatua nilisikia honi ya gari pale getini, ni wazi kuwa kulikuwa na gari iliyokuwa ikitaka kuingia, nilijua tu atakuwa ni Anko Sanga maana alikuwa na machale sana.
Nilijibanza pale pale, Joji aliposikia ile honi akataka atoke haraka akafungue geti ili ionekane hakuniona nikiwa ninatoroka,
“Veronica najua unanisikia, usifanye jaribio la kuondoka tafadhari” Aliongea Joji akiwa anapanda atokee kwenye lile dirisha, nikasema liwalo na liwe pembeni kulikuwa na kipande cha mti uliokauka niliuchukua na kukaa makini nikitazama pale ambapo angetokea, Honi ilipigwa zaidi ya mara saba hatimaye ukimya ulitawala.
Joji alipotokeza kichwa chake nilimpiga na kile kipande cha Mti, nilimpiga tena na tena akiwa hawezi hata kurudi nyuma, nilihakikisha nampiga hadi azimie na ndicho kilichotokea nilimpiga hadi nikamuaribu ile sura yake, damu zikawa zinamtoka kama bomba la maji lililo pasuka, kwakuwa ilikuwa ni nyuma ya nyumba hakukuwa na shida yoyote, nilimuacha akiwa juu ananing’inia.
Nini Kitaendelea? Usikose SEHEMU YA KUMI NA MOJA
JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa
Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA
Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA
Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896
5 Comments
Story nzuri admn sema fupi Sana leo
Leo fupi admin
Nzuri ila fupi Mwandishi
Umetisha mwandishi
7pn83j