Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kwa Matukio Haya TFF Na Bodi Ya Ligi Mjitafakari
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kwa Matukio Haya TFF Na Bodi Ya Ligi Mjitafakari

    MhaririBy MhaririMarch 16, 20243 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    TFF na Bodi Ya Ligi
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Mamlaka zinazohusika na usimamizi wa usalama viwanjani nadhani zina kitu cha kutolea maelezo au kujifunza kutokana na uzembe kama huu ambao umekua ukijitokeza mara nyingi katika baadhi ya mechi, ikiwezekana watu wawajibike au kuwajibishwa kwa uzembe kazini. TFF na Bodi ya Ligi Kuu, Afisa Usalama wa viwanja wa TFF ambaye amepata kozi nyingi za CAF & FIFA wanaweza kuelezeaje hili.

    Mpira ni sayansi wenzetu wanawekeza kwa kuwanunua wachezaji wenye uwezo mkubwa wachezaji ambao wataweza kuwapa matokeo muda wowote lakini sisi kama watanzania tumekua tukiamini katika masuala ya Imani za kishirikina michezoni na mpaka karne hii bado utakuta ipo timu inaamini katika ushirikina zaidi kuliko wachezaji wao, inasikitika.

    Sipendezwi na tabia hizi ambazo tumekua tukizionesha huku tunajiandaa kwa ajili ya michuano ya AFCON tusijeendekeza na kupata aibu kubwa zaidi na kinachonisikitisha zaidi kwani walizni huwa wako wapi? ndo uingie uwanjani tena mchezo unaendelea halafu langoni kwa Golikipa, hapo ungeaminika vipi kama haukwenda kumdhuru mchezaji, tungeamini vipi hicho ulichokibeba kilikuwa ni kitu cha kawaida.

    Naamini hili limeoneka Shabiki aliyevalia jezi ya Simba SC aliivua wakati akiruka toka jukwaani akienda kufukia vitu golini Kwa Golikipa wa Mashujaa FC, tunaamini vitendo hivi havikubali na kama vikiachwa vitaleta madhara zaidi. Kwaiyo tunaamini mmeviona na hatua Kali zichukuliwe.

    Hii siyo tu Kwa Klabu ya Simba SC na nyingine yoyote ikitokea imefanya vitendo hivyo hatua Kali zichukuliwe Kwa kuulinda mpira wetu na vitendo kama hivi. Jamani tupunguze ULOZI zaidi tuwekeze kwenye kusajili wachezaji wazuri.

    SOMA ZAIDI: Mnamchanganya Dickson Job, Tungeamua Kunyamaza Tu

    bingwa wa ligi kuu ligi kuu ligi kuu tanzania bara
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.