Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » KOCHA MASHUJAA AKIRI MAMBO NI MAGUMU , MBINU ZIMEJULIKANA
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    KOCHA MASHUJAA AKIRI MAMBO NI MAGUMU , MBINU ZIMEJULIKANA

    MhaririBy MhaririDecember 4, 2023No Comments1 Min Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    KOCHA MASHUJAA AKIRI MAMBO NI MAGUMU , MBINU ZIMEJULIKANA

    Kocha Mkuu wa kikosi cha Mashujaa kutoka Kigoma Abdallah Mohammed almaarufu kama Baresi amekiri kuwa kwa sasa kikosi chao kinapitia wakati mgumu na wana hali mbaya sana.

    Baresi amezungumza hayo baada ya kupokea kichapo cha tano mfululizo kwa kuchapwa na KMC mabao 3:2 mchezo uliokuwa wa kuvutia uliochezwa katika uwanja wa Uhuru.

    Kocha huyo anasema kuwa kwa hivi sasa tayari wapinzani wao washajua mbinu na njia zake hivyo kuyatumia madhaifu hayo kuwafunga.

    Tulianza vizuri tumeonyesha ushindani wa kutosha sasa tunapitia mambo magumu ambayo ni muda wa kurekebisha kabla ya kurudi tulikotoka tunarudi tumekaribiswa sasa ni wakati wa kupambana”

    Klabu ya Mashujaa haijaonja ushindi tangu ilipoifunga Ihefu kwenye mechi ya ligi kuu bara iliyopigwa Septemba 16 jambo ambalo limewafanya mpaka sasa kuwa katika nafasi mbaya kwenye msimamo wa ligi kuu bara.

    kochamashujaa mashujaafc mashujaakigoma
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.