Mvua kubwa ilikua ikinyesha, baridi Kali lilikua limekivamia Kijiji Cha Nzena.  Giza nalo tayari lilikua limeshatua, palikua Kimya. Pazia la chumbani kwa Zahoro lilifunuliwa, Mzee Miroshi alikua amesimama akimtazama Zahoro aliyekua  Usingizini. 

Mwanga hafifu wa kibatari ulikua ukiendelea kukifanya chumba Kiwe na Nuru  kidogo, Mzee Miroshi aliingia chumbani Kisha aliketi juu ya kitandan Cha Kamba  alicholala Mwanaye 

Aliutazama uso wa mwanawe kwa muda mrefu, kana kwamba alikuwa akijifunza  kitu kutoka katika kila mstari wa uso wake. Pumzi yake ilikuwa nzito, macho yake  yakionesha huzuni iliyojificha kwa miaka mingi. 

“Zahoro…” aliita kwa sauti ya chini sana, karibu kama mnong’ono, lakini kijana  huyo hakuamka. Mvua iliendelea kupiga dari ya nyasi kwa nguvu, kila tone  likiambatana na sauti kama ya dondosha ya mshituko. 

Mzee Miroshi alinyosha mkono wake polepole, akaushika mkono wa Zahoro.  Mikono ya kijana huyo ilikuwa baridi—baridi isiyo ya kawaida, kana kwamba  mwili wake haukuwa na uhai. 

“Samahani, mwanangu,” alizungumza tena kwa sauti ya chini, “lakini kuna jambo  lazima lifanyike kabla ya alfajiri.” 

Ghafla, nje ya chumba, paka mweusi alilia kwa sauti ya kutisha. Mbwa wa jirani  wakaanza kubweka kwa hofu. Ndani ya chumba, mwanga wa kibatari ulianza 

kuyumba-yumba, kana kwamba ulikuwa ukipigana na upepo wenye nguvu isiyo onekana. 

Mzee Miroshi alisimama, akafungua mfuko mdogo wa ngozi alioubeba tangu  asubuhi. Ndani yake kulikuwa na kitu kilichofunikwa kwa vitambaa vitakatifu vya  miaka mingi. Alikitoa kwa hofu na kumtazama mwanawe kwa mara ya mwisho  kabla ya kuanza kulia kimya kimya. 

Kimya cha kijiji kilikatizwa na mlio wa radi kali—na hapo ndipo kila kitu kilianza  kubadilika… 

Radi ilipopiga, mwanga wake uliangaza kwa sekunde chache chumba cha Zahoro,  na kwa mara ya kwanza, Mzee Miroshi aliona kivuli kikisimama pembeni ya  mlango wa chumba hicho. Moyo wake uliruka. Hakuweza kusogea. Kivuli hicho  hakikusogea pia, kilionekana tu kama kimya kilicho hai—kikitazama. 

Alifumba macho, akavuta pumzi ndefu, kisha akakifunika tena kile kitu alichokitoa  kwenye mfuko wake wa ngozi. Alijua hakikuwa wakati wa kukikabidhi bado, japo  ndicho kitu pekee kinachoweza kumlinda Zahoro na kuvunja kile alichoamini  kuwa ni laana ya Bi. Lugumi. 

“Usiingilie muda,” sauti ya kike ilisikika ikinong’ona karibu na sikio lake.  Aligeuka kwa haraka, lakini hakuona mtu. Jasho lilianza kumtoka. Alijua alikuwa  amechelewa. Alijua macho ya kale yanamtazama, yakihoji, yakimlaumu. 

Zahoro alianza kuhema kwa nguvu, uso wake ukionekana kuteseka na ndoto nzito.  Alipiga kelele moja, kisha akanyamaza tena ghafla—kimya kama kifo. Mzee  Miroshi alinyanyuka haraka na kumtikisa, “Zahoro! Mwanangu, amka!  Usimruhusu akuone!”

Lakini Razaro hakuamka. Badala yake, midomo yake ilianza kunong’ona maneno  yasiyoeleweka—lugha ya kale, isiyo ya kawaida. Mwanga wa kibatari ukazima  ghafla. Giza likatawala. 

Ndani ya giza hilo, sauti ya mtoto ikasikika kutoka kona ya chumba. “Mbona mmechelewa tena…?” 

Sauti hiyo ilimfanya Mzee Miroshi asimame barabara, uso wake ukiwa mweupe  kama karatasi. Alijua sauti hiyo. Ilikuwa ya Masumbuko—mtoto wa kwanza wa  kijiji aliyechukuliwa miaka mingi iliyopita, usiku kama huo. 

Papo hapo, Zahoro alishtuka kutoka Usingizini na kugundua ilikua ni ndoto mbaya  iliyomshtua. Jasho lilikua likimtoka, ndevu nyingi zilikua zimemwota. Umri wake  haukua ule wa awali, Miaka Thelathini ilikua imepita tayari 

Alikua ndani ya pango, Miaka yote hakufanikiwa kutoka ndani ya Kijiji Cha  Nzena, Kijiji kilicholaaniwa. Aliishikilia Sehemu ya kifua ambayo moyo hukaa  hapo, alihisi mapigo yasiyo ya kawaida. Aliitazama Kando yake, palikua na  Mwanamke aliyelala pamoja na Mtoto wa Miaka mitano. 

Taratibu Zahoro alinyanyuka. Alishafikisha Miaka 52, alikua Mwanaume  aliyekamilika lakini aliyechoka Maisha ya kutisha. Alisogea taratibu Hadi nje ya  Pango, akasimama juu ya Mlima na kulitazama jua likiwa linazama.  

Macho yake yalikua mazito sana, yalijaa uzito usio wa kawaida. Alijilazimisha  kulitazama jua Kisha akauliza 

“Kanakwamba unanitazama na huwezi kunisaidia?” jua liliendelea na safari yake  kama vile halikusikia swali lililoulizwa, Zahoro alikohoa kidogo kabla ya kuisikia  sauti nyuma yake 

“Hujachoka?” ilikua ni sauti ya Kike, nyuma yake alisimama Mwanamke  aliyemtazama Zahoro kwa jicho kavu. Zahoro alipogeuka akasema

“Anna, aliyechoka ni yule aliyepata. Nafikiria kuhusu Binti yetu Moana, bahati  mbaya kwake hajawahi kumwona Binadamu tofauti na Mimi na wewe” alisema  kwa huzuni sana Zahoro. 

“Mh! Nani angefika Kuzimu Baba Moana, tumesubiria sababu ya kurudi Duniani  kwa Miaka yote Hadi tumepata Mtoto huku. Wote wamekufa, ni sisi pekee Ndiyo  tunaishi huku” alisema Kisha akamsogelea karibu Zahoro. 

“Tuna Kila sababu ya kufanya safari kutoka hapa. Tukatafute Sehemu nyingine ya  Kuzimu, pengine Kuna Mji mwingine uliopotea kama Kijiji Cha Nzena” alisema  Zahoro. 

“Sawa, lakini sasa Adui yetu ni Kimya. Ni ngumu sana kupambana na Adui  anayewinda Sauti Zahoro, lakini kuendelea kuishi pangoni hakutasaidia, ni Bora  tufanye safari kama ulivyosema”Alisema Anna. Taratibu aliondoka na kurejea  pangoni. 

Razaro hakuacha kulisindikiza jua likizama mbele ya macho yake, Kisha Nuru ya  Giza iliingia, alitembea Kurudi ndani ya Pango. 

*** 

Siku iliyofuata, Zahoro, Mtoto Moana pamoja na Anna. Walikua tayari kwa ajili ya  kuondoka ndani ya Pango ili kutafuta Makazi mengine. Ilikua ni huzuni kuondoka  ndani ya Pango Hilo salama ambalo waliishi kwa Miaka Thelathini. 

“Baba, tunaenda wapi?” aliuliza Moana, alikua amevalia nguo chakavu. Zahoro alichuchumaa na kumwambia Moana kwa sauti ya utaratibu sana. 

“Tunaenda kuishi Sehemu nyingine salama zaidi. Usijali” Moana aliachia  tabasamu, sura yake ya mviringo na macho ya kudumbukia ndani vilimfanya  aonekane ni Mtoto mzuri sana, bila kujalisha wanaishi Maisha gani alikubaliana na  Hali halisi licha ya kuisikia TU Hadithi ya Dunia ilivyo. 

Walibeba chakula kidogo walichobakiwa nacho, mizizi na baadhi ya mabaki ya  nyama. Kisha Zahoro akamfunga kitambaa usoni Moana, halafu wao wakajiweka  sawa kwa kulegeza vitambaa kichwani.

Adui Yao Mpya alikua ni KIMYA. Yeye ni Adui waliyemwogopa sana kuliko sauti  ya Bibi Lugumi. Waligeuka kulitazama Pango kwa huzuni sana, waliishi hapo kwa  usalama kwa Miaka Mingi.  

Taratibu Anna alimtazama Zahoro, ulikua ni wakati wao wa kuondoka. Walianza  safari taratibu, kwa utulivu wa Hali ya Juu sana. Walishuka kutoka Kilimani Kisha  waliupa mgongo. 

Taratibu wakaingia Msituni huku lengo lao likiwa ni kuelekea Mtoni, wasafiri  kupitia Maji ya Mto huo.  

Msitu ulikua kimya na wenye kutisha sana, palikua na kinvuli Kila walipopita  kutokana na Kua na miti mingi mikubwa. Majani mengi yaliyooza yalikua aridhini,  hapakua na njia rasmi isipokua vichochoro. 

Anna alikua amembeba Moana Mgongoni, Zahoro alikua ameshikilia kifurushi  Cha chakula. Mioyoni Yao ilizungumza zaidi, huku lugha pekee waliyokua  wakiitumia ilikua ni ishara. 

Zahoro alikua ndiye kiongozi wa msafara, alihakikisha anafanya awezalo waufikie  Upande wa Pili wa Mto. Wakiamini pengine wangeliweza kupata msaada huko,  anga lilikua la kahawia, huku jua Kali likiendelea kuwaka. 

Hapakua na sauti yoyote iliyosikika, hapakua na Ndege wala wadudu waliopiga  kelele. Ghafla Zahoro alisimama, akatoa ishara kwa Anna kusimama pia 

Sauti ya ajabu ilianza kusikika kama kuna kitu kikubwa kinakaribia kutokea juu.  Zahoro, aliyekuwa ni mtu wa tahadhari, hakutaka kugeuka haraka. Badala yake,  alivuta hisia zake kwa umakini zaidi. Taratibu, aligeuka na kutazama juu— palikuwa na nyoka mkubwa mweusi aliyekuwa akishuka kwa taratibu, kwa mtindo  wa kuvizia. 

JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

51 Comments

  1. I’m no longer positive where you are getting your info, however good topic.
    I needs to spend some time finding out much more or working
    out more. Thank you for fantastic information I was looking for this information for my mission.

    My web page … black pass

  2. Wonderful beat ! I wish to apprentice while you amend your site, how could i subscribe for a blog site?
    The account helped me a acceptable deal. I have been tiny bit familiar of
    this your broadcast offered brilliant clear
    concept

    My page: blackpass

  3. Please let me know if you’re looking for a article author for your blog.

    You have some really great articles and I think I would be a good asset.
    If you ever want to take some of the load off, I’d really like to write some articles for your blog in exchange for a link back to mine.
    Please shoot me an e-mail if interested. Regards!

    Also visit my web page :: prozone cc

  4. My spouse and I stumbled over here from a different web address and
    thought I might check things out. I like what I see so now i am
    following you. Look forward to finding out about
    your web page for a second time.

  5. My partner and I absolutely love your blog and find most of your post’s
    to be what precisely I’m looking for. can you offer guest writers
    to write content for you personally? I wouldn’t mind producing
    a post or elaborating on a few of the subjects you write regarding here.
    Again, awesome web log!

    My web blog – briansclub

  6. After I originally left a comment I appear to have clicked the
    -Notify me when new comments are added- checkbox and from now on every time a comment is added I receive four emails
    with the exact same comment. Is there a means you are able to remove me from that service?
    Thanks!

    Here is my webpage … savastan

  7. Today, while I was at work, my sister stole my apple ipad
    and tested to see if it can survive a 30 foot drop,
    just so she can be a youtube sensation. My iPad is now broken and she has 83 views.
    I know this is totally off topic but I had to share it with someone!

    Visit my site :: savastan0.tools

  8. Your style is really unique in comparison to other folks
    I have read stuff from. Thank you for posting when you’ve
    got the opportunity, Guess I will just bookmark this blog.

    Feel free to visit my homepage savastan

  9. Howdy I am so happy I found your weblog, I really found
    you by error, while I was searching on Bing for something else, Nonetheless
    I am here now and would just like to say cheers for a incredible post
    and a all round entertaining blog (I also love
    the theme/design), I don’t have time to go through it all at the moment but I have bookmarked it and also added in your RSS feeds, so when I have time I will be back to read much more,
    Please do keep up the great jo.

  10. Nice post. I was checking continuously this blog and I am impressed!
    Extremely useful information particularly the last part
    🙂 I care for such info a lot. I was looking for this certain information for a very long time.
    Thank you and best of luck.

    Here is my web-site – ultimateshop

  11. Great post. I used to be checking constantly this blog and
    I am impressed! Extremely helpful information specially the closing section :
    ) I take care of such information much. I was looking for this particular information for a
    very lengthy time. Thanks and best of luck.

    My page – ultimateshop

  12. Great post. I was checking constantly this blog and I’m impressed!
    Extremely helpful information specifically the last part 🙂 I care for such information a lot.
    I was seeking this certain information for a long time. Thank you and best of luck.

    My web-site: ultimateshop ru

  13. Good day! This is kind of off topic but I need some help from an established blog.
    Is it very difficult to set up your own blog?
    I’m not very techincal but I can figure things out
    pretty fast. I’m thinking about setting up
    my own but I’m not sure where to begin. Do you have any points or suggestions?
    Thank you

    My blog post … ultimateshop vc

  14. Hello there, I discovered your blog by the use of Google
    at the same time as searching for a similar subject,
    your website came up, it seems great. I have
    bookmarked it in my google bookmarks.
    Hi there, just become alert to your blog through Google,
    and found that it’s really informative. I’m
    gonna be careful for brussels. I’ll appreciate should you continue this in future.
    Lots of other people shall be benefited from
    your writing. Cheers!

    Here is my blog: findsome cc

  15. I blog often and I seriously thank you for your content. Your article has truly peaked my interest.
    I am going to bookmark your website and keep checking for new details about
    once per week. I subscribed to your RSS feed too.

    Visit my blog … findsome cc

  16. Hey there! This is my first comment here so I just
    wanted to give a quick shout out and say I truly enjoy
    reading through your articles. Can you suggest any other blogs/websites/forums that deal with the same topics?
    Thanks a ton!

    Feel free to visit my web blog … findsome.ru

  17. Call girls in Lahore Agency offer a wide selection of Hot Sexy VIP Call girls for incall service with free hotel rooms 24 7 come to Our Reliable & Trusted Call girls Agency, the best and most well-known Call girls in Lahore. We always offer 50% off our Escorts services. Cash Payment is Available. Our Call girls Escorts Agency are popular with people who enjoy having fun. They like beautiful partners and stay out all night.

  18. We have Hot Sexy call girls in Lahore You can find Models, TikTok Stars, TV actress, Housewife Lahore call girls. Our hot call girls in Lahore will make your sexual dreams come true. Our service is rated 5 stars for providing high-class real call girls at affordable prices. We offer genuine pictures and phone numbers, ensuring delivery to your location within 25 minutes, saving you both time and money.

  19. We have a wide range of High Class Lahore Call girls and Beautiful Real girl WhatsApp numbers with Photos available 24 7 to fulfill sexual desires.Our Best Call girls give sensual experiences to their customers. We always send real Cheap girls to treat our clients so that they feel safe. Our services will be fun for you, and our adult services will be easy for our customers and anyone who wants to join us. People love us because we offer the best Lahore Call girls Service at low prices, and our women do fun things for them.

  20. Are you looking for the satisfactory Call girls Service In Lahore? As one of the best agencies for call ladies in Lahore, we offer quite a number sexual services. thirstycallgirls.online is the most famous Call girls Agency in Lahore and Pakistan.Our ladies are to be had for in-name and out-call services. You can e book our girls at any time of the day on the excellent price.

  21. My coder is trying to persuade me to move to .net from PHP.
    I have always disliked the idea because of the costs.
    But he’s tryiong none the less. I’ve been using Movable-type on a number of websites for about a
    year and am concerned about switching to another platform.
    I have heard very good things about blogengine.net.
    Is there a way I can import all my wordpress content into it?
    Any kind of help would be really appreciated!

    my page: castrocvv

  22. After I initially commented I seem to have clicked the -Notify me when new comments are added- checkbox and now whenever a comment is
    added I receive four emails with the same comment. There has to be a means you are able to remove me from that service?
    Thanks a lot!

    Feel free to surf to my blog :: castrocvv

  23. Hey I know this is off topic but I was wondering if you knew of any
    widgets I could add to my blog that automatically
    tweet my newest twitter updates. I’ve been looking for a plug-in like this for
    quite some time and was hoping maybe you would have
    some experience with something like this. Please let me know if you run into anything.
    I truly enjoy reading your blog and I look forward to your new updates.

    Check out my web page :: just-kill

Leave A Reply

Exit mobile version