Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kibu Kuna Muda Ni Lazima Kukubali Kufanya Maamuzi Magumu
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kibu Kuna Muda Ni Lazima Kukubali Kufanya Maamuzi Magumu

    Oscar EvodiusBy Oscar EvodiusMay 3, 2024Updated:May 3, 202420 Comments2 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Kibu Denis wa SIMBA
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kibu Denis Prosper ndio ajenda iliyopo mezani kwa sasa na Tanzania nzima ipo mezani kujadili mada hii! Kwanza sipo hapa kuzungumza kuhusu Takwimu za Mchezaji wala kuchagua upande wowote kuhusu hili bali nasimama hapa kwenye uhalisia

    Sidhani kila mmoja kama anajiuliza maswali haya ninayojiuliza Mimi!  Moja, Je ni kweli Thamani inayotajwa inafaa kusimama kwa Mchezaji husika? Je, hiyo pesa ambayo anahitaji ni sahihi Simba kuitoa kwa sasa? Tatu, Simba hawawezi kupata mchezaji mzuri kwa pesa hiyo? Nne, Kwanini Simba matukio ya hivi yananirudia sana? Simba wanahitaji kutoka wapi na kwenda wapi?

    Baada ya kumaliza kujibu maswali hayo nadhani umeanza kupata picha taratibu, binafsi sina upande wowote ila ukweli ni kwamba nyakati kama hizi Menejimenti nyingi za wachezaji ndio sehemu zao na wanajua namna ya kucheza nazo ukikaa vibaya utashindwa kwenda njia sahihi kwa wakati huo kutokana na msukumo uliopo nje

    Kinachofanywa ni mchezaji kupandishwa Thamani kwa Mchezaji ambapo mara nyingi Timu Pinzani, Waandishi wa habari na Vyombo vya habari na vingine hutumiwa kwa kiasi kikubwa sana kusukuma Thamani ya kitu husika kwa wakati huo hivyo usipokuwa makini utaacha njia yako na utatembea kwenye njia yao bila kujua

    Labda nitoe vitu vichache tu ambavyo vinafanya Thamani ya mchezaji kuwa kubwa ambapo vichache ni Umri wa mchezaji husika, kiwango chake kwa wakati huo na Thamani ya mkataba wake kwa sasa! Chukua hivyo vitu vichache kisha vitumie kwenye mada iliyopo mezani kuhusu Kibu Denis ndani ya Simba SC halafu chukua hapo juu vile vitu ambavyo nisema vinatumiwa kupandisha Thamani ya mchezaji

    Last! Kama unahitaji kupiga hatua kubwa kutoka ulipo basi kuna muda ni lazima kukubali kufanya maamuzi magumu ambayo yataendana na mipango yako kwa wakati husika, THAMANI DHIDI YA MABADILIKO 🇹🇿

    Let’s Go!!.

    SOMA ZAIDI: Simba SC Na Roho Ngumu Kwa Mtibwa Sugar Ligi Kuu

    kibu denis mkataba wa kibu simba
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.