Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Kambi Ya Simba Zanzibar Itaongeza Kitu Kikosini
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Kambi Ya Simba Zanzibar Itaongeza Kitu Kikosini

    MhaririBy MhaririMarch 20, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    kambi ya simba zanzibar
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kikosi cha Simba SC kimeweka kambi yake Visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Al Ahly ambao ni mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika na niseme tu hii itaongeza kitu kikosini na itapunguza bughza za hapa na pale. Ukikitazama Kikosi unaona ile ari za wachezaji ni kubwa sana.

    Nitapongeza sana wazo la kuipeleka timu huko Visiwani, kushinda siyo kucheza hata kutuliza akili pia inaongeza chachu ya ushindi. Naiona Simba SC ikienda kufanya vizuri katika mchezo wake ule na Al Ahly.

    Hakuna hofu na tusiruhusu uoga wa aina yoyote ile kuelekea mechi hii, naamini viongozi wa Simba na wanachama wake wameshajua mwiba wa kumchoma mpinzani wake huyu, kwangu hua sina shaka na mnyama katika michezo ya namna hii.

    Silaha moja wapo ni kuona mashabiki wa Simba SC kama ilivyo kawaida yao kufurika pale kwa Mkapa, hilo kwao siyo la kuwaelekeza hua wanajua nini chakufanya ingawa mechi za hivi karibuni imekuwa ni tofauti kidogo.

    Siioni ile Uwanja kujaa full na kumfanya mpinzani aweweseke sijui imeletwa na nini lakini mchezo huo ujao linaenda kufanyiwa kazi na Viongozi wenyewe. Hakika Simba SC ni timu ya mfano.

    Nadhani ni wakati sasa wa kumuacha Benchikha aendelee kupambana na wachezaji lakini na mbinu za kuhakikisha wanamfunga AL AHLY katika mechi zote 2 na kufuzu hatua ya nusu fainali lakini sasa wanaohitajika kwa nguvu zaidi ni mashabiki ambao siku zote huwa ni moja ya wale ambao wanawapa nguvu wachezaji katika kupambana uwanjani.

    SOMA ZAIDI: Hii Ndio Mbavu Ya Kushoto Ya Azam Fc Yenye Balaa Zaidi

    kambi ya simba zanzibar simba sc
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.