Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    In the name of LOVE – 12

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » In the name of LOVE – 01
    Hadithi

    In the name of LOVE – 01

    Hamza NgondoBy Hamza NgondoSeptember 8, 2025Updated:September 10, 202552 Comments8 Mins Read3K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    “Jacob, nataka kuujua Msimamo wako kwangu. Utaniowa lini?” Aliuliza  Zaylisa, Nilishusha pumzi zangu. Nikageuka huku na kule kama Kuna Mtu alikua anatusikiliza pale Mgahawani. Nilikua nimevalia sare zangu za kazi  ya Uhudumu wa Mgahawa.  

    “Zaylisa, naomba univumilie Hadi Mama yangu apone. Unajua fika  anaumwa, Mimi Ndiyo tegemezi. Halafu isitoshe Mpenzi wangu kwasasa  kipato changu kipo chini unafikiria Wazazi wako watanielewa?”  Nilimuuliza, kiukweli nilikua napitia kipindi kigumu Cha kifedha 

    “Hadi lini Jacob?” aliniuliza huku akianza kutokwa na Machozi, macho  yake yalijaa Upendo sana lakini nilihisi Kuna jambo lililokua likimsumbua 

    “Mpenzi nivumilie tu, najua unavyojisikia lakini haiwezi kuchukua muda  mrefu nitakua nimejipata” Ghafla Zaylisa aliondoka akiwa anakimbia huku  akionekana kama analia, sikuweza kumsimamisha sababu ulikua ni muda  wa kazi na sikutaka Mtu yeyote ajuwe kinachoendelea. 

    Nilijaribu kumpigia simu lakini hakupokea, niliumia sana. Sikutaka kua  chanzo Cha Zaylisa kulia, mara zote alikua akinihimiza kwenda kwao  kujitambulisha lakini nilijawa na hofu. 

    Familia Yao ilikua na uwezo kifedha, Mimi nilikua masikini ninayeishi  kumlea Mama yangu mgonjwa. Basi nilishusha pumzi Kisha nikaendelea na  kazi huku nikiwa mnyonge sana.  

    *** 

    Usiku baada ya Muda wa kazi kwisha nilijiandaa kwa ajili ya kuondoka.  Lakini ghafla alikuja Mdogo Wangu Melisa, alikuja mbio kama Mtu  anayefukuzwa, alishindwa hata kuongea huku akisema. 

    “Kaka, Mamaaa!” 

    “Mama amefanya nini Melisa?” nilimuuliza huku mapigo ya Moyo Wangu  yakianza kwenda Mbio, hisia mbaya iliniingia. Nilihisi Kuna jambo lisilo la  kawaida lilikua limetokea, hisia mbaya iliendelea kunipanda. Haraka  nikamwambia rafiki yangu Sudi kua naelekea nyumbani.

    Tuliondoka mbio pale kuelekea Nyumbani, kutoka kazini kwangu Hadi  nyumbani siyo mbali sana. Tulipofika, nilihisi mwili Wangu ulikua  unaishiwa nguvu baada ya kumwona Mama akiwa ananing’inia kwenye  Kamba. Macho yalinitoka 

    “Mamaa‼” nilimwita, alikua ameshajinyonga chumbani kwake. Nilifanya  haraka kufungua nikiamini pengine nitaweza kuokoa uhai wake.  

    Basi nikaita Bajaji haraka, tukampeleka Mama Hospitali. Nilimtazama  Mdogo wangu akiwa analia, iliniuma sana, tumaini la Mama kua hai lilikua  dogo sana.  

    Tuliketi Sehemu ya kumsubiria daktari aliyeingia chumbani, nilimkumbatia  mdogo wangu Melisa, roho iliniuma sana. Zilipita dakika kumi na tano,  daktari alitoka Kisha alisimama mbele yetu 

    “Mnifuate” alisema yule Daktari, haraka tulimfuata kuelekea kwenye  chumba kimoja. Alitukaribisha vizuri sana huku akiachia tabasamu kana  kwamba alikua na habari njema ya kutuambia kuhusu Hali ya Mama yetu. 

    “Nyie ni Nani yake?” aliuliza. Tulitazamana Mimi na Melisa, tulihisi amani  ndani yetu.  

    “Watoto wake” nilijibu Kisha nilimwuliza 

    “Hali yake ipoje Dokta, ni mzima?” Daktari akabadilisha uso wake,  akaondoa tumaini mioyoni mwetu, sura yake ikaonesha kua Kuna asilimia sifuri ya Uhai wa Mama yetu.  

    “Poleni, amefariki” alisema.  

    “Mamaa!” aligumia Melisa, pale pale alipoteza fahamu. Tulianza  kuhangaika na Hali ya Melisa, akakimbizwa wodini haraka. Chozi lilikua  likinibubujika bila kukoma, hapakua na Mtu kando yangu wa kuhisi  maumivu yangu, Niliketi peke yangu nikiweweseka, sikujua nilishike lipi niliache lipi 

    Moyo Wangu uligawanyika, upande mmoja alikuwepo kwa Meliza na  Upande mwingine alikuwepo kwa Marehemu Mama yangu. Dunia ilikua  nzito, ilishuka kichwani kwangu 

    Chozi lilikua likinibubujika, siku yangu iliharibika dakika za jioni kabisa.  

    Nilijiinamia, nilikosa tumaini. Ghafla nilihisi kuguswa begani, nilishtuka.  Niliinua kichwa changu ili nimtazame aliyenishika

    Macho yangu yalikutana na sura ya Mwanamke mmoja, sikukumbuka kama  niliwahi kumwona popote katika Maisha yangu, sikumfahamu lakini sura  yake ilionesha kunitambua na kuguswa na ninayoyapitia. Nilifuta chozi  langu Kisha nilijiweka tayari kumsikiliza 

    “Pole..” sauti yake ya kwanza ilinifanya nizidi kudondosha chozi, alikua ni  Mtu wa kwanza kunitia moyo. Niliitikia kwa kichwa, mdomo Wangu ulikua  mzito, ulikua ukitetemeka tu. 

    “Naitwa Clara, sijui kama unanikumbuka” nilitikisa kichwa changu  kuashiria kua nilikua simkumbuki  

    “Usijali, kimetokea nini? Ulitoka mgahawani mbio, niliguswa sana. Hata  hivyo Mimi ni mteja uliyenihudumia kwenye meza namba 6” Niliitikia kwa  kichwa huku chozi likinibubujika, sikuweza kusema chochote zaidi ya kulia.  Akaniweka kifuani pake, alionesha kunijali sana. Nililia Hadi nililala  kifuani kwake, akaja kunishtua saa Sita Usiku 

    Melisa alikua amesharejesha fahamu, daktari alitupatia utaratibu wa jinsi  ya kuuchukua mwili wa Mama. Gharama zote za Hospitali akazilipa Clara 

    “Asante sana Clara” nilimshukuru, sijui ningetoa wapi pesa za matibabu ya  Melisa pamoja na gharama za kutoa Mwili wa Mama. 

    “Usijali, tutakua pamoja Hadi mwisho Jacob. Mungu alipanga iwe hivi”  alisema. Tukaurudisha mwili wa Mama nyumbani, tulipofika tulikuta  ndugu wengine wakiwa wamefika hapo, Mjomba Masawe alikua  amesimama Mlangoni Kisha akaniuliza swali 

    “Hukuona umuhimu wa kutupigia simu Hadi tumetaarifiwa na Majirani?”  alikua amekasirika, mara zote yeye ni mkorofi sana. 

    “Anko, ningewezaje? Nilikua nimechanganikiwa sana. Samahani” nilisema,  Clara aliniangalia kwa jicho lenye maswali mengi sana. Basi akatupisha  tukaingiza maiti ndani, taratibu na mipango ya mazishi ikaanza 

    Hakuna aliyenishirikisha kwa lolote, walikaa vikao vyao vya Siri na  kupanga taratibu zote. Sikujali sana sababu hata Mama alipokua hai  walikua ni Watu wenye Hila zao, hawakutaka sisi tuishi kwenye nyumba  Yao ya Urithi, walipigania kuiuza ila Mama ndiye aliyekua kizuizi chao. 

    Siku iliyofuata, mazishi ya Mama yalifanyika. Baadaye kikao Cha familia  kiliketi 

    Walikubaliana kwa Kauli Moja kua Mimi na Melisa tuondoke, wanauza  nyumba Yao. Hatukua na mahali pa kwenda. Nilimtia moyo Melisa, 

    tulikusanya Kila kilicho chetu, hatukujua tungeenda wapi, hatukujua  tungeishi vipi lakini tulijipa moyo kua Kila kitu kitakua sawa 

    Tulienda kwa Sudi maana ndiye Mtu pekee ambaye ningeweza kwenda  kwake na kutarajia msaada, ni rafiki pekee niliye naye. Sudi alitupokea  vizuri tu lakini palikua na kikwazo kimoja, tutawezaje kukaa wote watatu  chumba kimoja, Melisa ni Mwanamke angalau Angekua Mwanaume 

    “Kaka, tusaidie kwa siku kadhaa wakati Mimi nahangaika nijue nampeleka  wapi Melisa” nilimwambia Sudi, akamtazama Melisa Kisha akakubali.  

    Tulianza Maisha mapya nyumbani kwa Sudi, siku iliyofuata nilimtafuta  Zaylisa maana tokea ile siku hatukuwasiliana tena. Simu ya Zaylisa ilikua  haipatikani, ilianza kunipa Mashaka. Hapakuwahi kutokea siku Zaylisa  asipatikane kwa simu, nilijiuliza huwenda alikua amepata tatizo maana  sikumwona hata kwenye Mazishi ya Mama. 

    Tuliondoka na Sudi kuelekea kazini, nilifanya kazi Hadi mida ya Mchana.  Baadaye niliitwa na Bosi, nilitegemea kusikia akinipa pole lakini Hali ilikua  ya tofauti kabisa, alinieleza kua hawezi kuendelea na Mimi kwamba  amepata Mtu mwingine.  

    “Bosi, kwanini ni ghafla?”  

    “Jacob, siku zote Shilingi Ina pande mbili. Huu ni upande mwingine ambao  ulikua hauutazami” alisema, nilihema. Sikutegemea kabisa kama  ningeikosa kazi bila sababu ya Msingi tena ndani ya Siku chache tu za  Matatizo ya kufiwa na Mama yangu. 

    Miguu yangu ilikufa ganzi, mwili mzima ulikua ukiweweseka lakini maneno  ya Bosi yalikua kama msumali wa mwisho uliogongwa moyoni mwangu,  kilichoniumza zaidi ni Maisha tunayoishi 

    “Asante Bosi..” Nilisema, Kisha niligeuka na kuondoka zangu, sikuamini  kama nilikua nikiziacha Kuta nilizozizoea, Watu niliowazoea hata kelele na  usumbufu wa wateja ambao nilishauzoea.  

    Sudi alipoiona sura yangu alijua nilikua nimezongwa na mawazo, nilipoteza  Nuru. Niliona nimepoteza thamani juu ya uso wa Dunia, nilihisi uzito wa  Mzigo mwingine mzito nilioubeba 

    “Jacob…Mbona una huzuni?” aliniuliza Sudi, nilishusha pumzi huku  nikizuia chozi lisinitoke mbele yake. Nikajikaza Kiume lakini moyo Wangu  ulijenga ufa.

    “Moshi mweusi Sudi, nimepoteza tena Mimi” nilisema, ule Ujasiri ulianza  kuondoka niliangusha kilio mbele ya Sudi, chozi likinitiririka.  

    “Una maanisha nini?” 

    “Sina kazi tena, nimefukuzwa. Sijui nimeambukizwa mkosi gani Sudi, sijui  wengine wamemfanyia nini Mungu ambacho Mimi sifanyi” 

    “Shii! Bro, nenda nyumbani, tutaongea zaidi huko” alisema Sudi,  niliondoka kazini taratibu. Macho yangu yalikua yakiyatazama mazingira  ya Mgahawa kwa mara ya mwisho, nilitembea kama Mtu aliyepoteza Kila  kitu.  

    Nilipofika nyumbani kwa Sudi, nilimkuta Melisa akiwa ameketi kwenye  kochi dogo, aliponiona aligundua haraka sana kua siko sawa, alinifuata na  kunikumbatia. Sikusita kulia tena mbele yake, nilikosa ule Ujasiri wa  Kiume mbele yake 

    Tuliketi nikamsimulia kilichotokea, niliona jinsi hata moyo wake  ulivyosononeka 

    “Ulifanikiwa kumpata Wifi kwenye simu?” aliniuliza baada ya kumaliza  kumsimulia kuhusu kazi. Kiukweli Hadi muda huo simu ya Zaylisa ilikua  haipatikani, sikujua kama alipatwa na tatizo au aliamua kuzima simu yake,  kwa jinsi nilivyokua namfahamu isingelikua rahisi akae siku zote hizo bila  kuwasiliana na Mimi. 

    “Melisa, Usijali. Naenda kwao sasa hivi nikazijue mbivu na Mbichi. Usijali  Mdogo wangu, Kila kitu kitakua sawa. Nitampata pia nitapata kazi nzuri  itakayobadilisha Maisha yetu” nilisema, angalau nilifamfanya atabasamu  kidogo, nikamfuta chozi lake 

    “Vipi ulikula?” 

    “Ndiyo Kaka, nimebakiza kwa ajili Yako”  

    “Usijali, nikirudi nitakula sawa?” 

    “Sawa, unaenda sasa hivi eeeh?” 

    “Ndiyo, angalau nikimwona nitajisikia ahueni. Ubaki salama” nilisema  Kisha niliondoka.  

    ** 

    Nilipofika nyumbani kwao Zaylisa ilikua ni mishale ya jua la utosi lililokua  likikimbia haraka, jasho lilikua likinitoka maana nilitembea kwa umbali 

    mrefu. Nilishtuka kuona palikua na magari mengi, pia Watu walikua wengi.  Ilinifanya nijiulize maswali mengi yasiyo na Majibu 

    “Kuna nini? Itakua amepatwa na Tatizo gani, au labda amefiwa na Wazazi  wake, au…?” kabla hata sijamaliza kutafakari nilimwona Mtu mmoja akija  upande Wangu akitokea nyumbani kwao Zaylisa. Niliona ni Bora  nimuulize, nilimsimamisha Kisha nilimsalimia kwa sauti ya kiungwana  sana, baadaye nikamuuliza 

    “Samahani Kaka, pale Kuna nini mbona naona Kuna Watu wengi?”  akanitazama Kisha naye akageuka kuangalia tena kama vile hakutokea  huko, Kisha akaniuliza 

    “Wewe ni ngeni hapa mtaani?” nikajichekesha chekesha kidogo Kisha  nikamjibu 

    “Ndiyo, nilikua napita tu.” 

    “Kuna harusi” 

    “Harusi?” 

    “Ndiyo, vipi umeshtuka Mzee?” 

    “Nani anaolewa?” 

    “Mtoto wa Mwenye nyumba anaolewa, anaitwa Zaylisa” alisema Kisha  aliondoka zake, hakujua alikua ameupasua moyo Wangu kiasi gani, hakujua  alikua ameuunguza moyo Wangu kwa kiasi gani. Chozi la pole pole lilianza  kunitoka, nilihisi kuishiwa nguvu.

    Nini Kitaendelea? Usikose sehemu ya PILI

    JIUNGE NA KIJIWENI WHATSAPP CHANNEL Kwa Kugusa Hapa 

    Soma Riwaya Nyingine Za Kijiweni Kwa KUGUSA HAPA

    Wewe kama MFANYABIASHARA.. Kuna wakati unatamani kuwafikia watu wengi zaidi na hujui wapi pa kuanzia , USIJALI kwani hapa ndipo ambapo MTAA UNAONGEA na tuko tayari kukusaidia kuwafikia watu wengi kwa BEI YA OFA

    Njoo Utangaze Nasi Sasa Kwa Kutuambia Una TANGAZO Gani na unataka kutangaza kwa muda gani kwa kutuma ujumbe hapa WwhatsApp Kupitia Namba +255760871896 

    Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx Love xx 

    riwaya leo riwaya mpya riwaya za kusoma mtandaoni riwaya za mapenzi

    52 Comments

    1. Sheila2693 on September 8, 2025 7:17 pm

      https://shorturl.fm/AdLg6

      Reply
    2. Vivian1029 on September 8, 2025 7:54 pm

      https://shorturl.fm/uQzHP

      Reply
    3. Zhen on September 8, 2025 10:37 pm

      Naqubali

      Reply
      • Charles Ngozi on October 2, 2025 8:20 pm

        Nice story

        Reply
    4. Bingwa on September 8, 2025 11:10 pm

      🔥🔥😔

      Reply
    5. Celeste1151 on September 9, 2025 5:08 am

      https://shorturl.fm/ZSSyX

      Reply
    6. vzfwgrulvj on September 9, 2025 8:09 am

      wtmpejopseftlhugezzqkjgiyifqzi

      Reply
    7. 🔑 💰 Limited Offer: 1.25 BTC bonus waiting. Activate today → https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 🔑 on September 9, 2025 9:20 pm

      8iqutt

      Reply
    8. 📪 ACCOUNT NOTICE - Unauthorized transfer of 0.9 BTC. Stop? > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 📪 on September 10, 2025 11:02 am

      z4zfch

      Reply
    9. 🖲 🔐 Confirmation Pending: 1.4 Bitcoin transfer blocked. Resume here >> https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 🖲 on September 12, 2025 5:16 am

      2o8qso

      Reply
    10. 🔑 ❗ ATTENTION: You were sent 3.0 BTC! Tap to accept > https://graph.org/RECEIVE-BTC-07-23?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 🔑 on September 12, 2025 5:16 am

      xgvukk

      Reply
    11. 🔩 ⚠️ Notification: 0.3 BTC waiting for withdrawal. Proceed > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 🔩 on September 12, 2025 1:17 pm

      4wvxlk

      Reply
    12. 🔕 💲 Bitcoin Credit: 3.14 bitcoin detected. Withdraw here > https://graph.org/Get-your-BTC-09-04?hs=abf1b242921621c338c5ff3518b9c02a& 🔕 on September 13, 2025 11:24 pm

      xbb831

      Reply
    13. Eva3319 on September 16, 2025 7:18 am

      https://shorturl.fm/Ltiw2

      Reply
    14. Khloe4027 on September 18, 2025 8:00 pm

      https://shorturl.fm/ajnHR

      Reply
    15. Daisy2794 on September 18, 2025 10:09 pm

      https://shorturl.fm/c56ED

      Reply
    16. Edwin999 on September 23, 2025 3:53 am

      https://shorturl.fm/WHzbM

      Reply
    17. Ashraph on September 24, 2025 1:35 pm

      This story is good for all people

      Reply
    18. Aliyah3540 on September 24, 2025 7:28 pm

      https://shorturl.fm/Qd2Uz

      Reply
    19. Lauryn3236 on September 25, 2025 2:21 am

      https://shorturl.fm/yb4A5

      Reply
    20. Isla4067 on September 25, 2025 3:45 pm

      https://shorturl.fm/wofjV

      Reply
    21. Shawn3533 on September 27, 2025 12:51 pm

      https://shorturl.fm/hKFYp

      Reply
    22. Agnes286 on September 27, 2025 3:12 pm

      https://shorturl.fm/lNFVL

      Reply
    23. Chris2073 on September 27, 2025 5:17 pm

      https://shorturl.fm/GeILH

      Reply
    24. mindvault on October 15, 2025 2:19 pm

      **mindvault**

      mindvault is a premium cognitive support formula created for adults 45+. It’s thoughtfully designed to help maintain clear thinking

      Reply
    25. prostadine on October 21, 2025 11:23 pm

      **prostadine**

      prostadine is a next-generation prostate support formula designed to help maintain, restore, and enhance optimal male prostate performance.

      Reply
    26. sugarmute on October 23, 2025 7:12 am

      **sugarmute**

      sugarmute is a science-guided nutritional supplement created to help maintain balanced blood sugar while supporting steady energy and mental clarity.

      Reply
    27. glpro on October 23, 2025 11:02 pm

      **glpro**

      glpro is a natural dietary supplement designed to promote balanced blood sugar levels and curb sugar cravings.

      Reply
    28. zencortex on October 24, 2025 10:31 am

      **zencortex**

      zencortex contains only the natural ingredients that are effective in supporting incredible hearing naturally.

      Reply
    29. mitolyn on October 24, 2025 11:18 am

      **mitolyn**

      mitolyn a nature-inspired supplement crafted to elevate metabolic activity and support sustainable weight management.

      Reply
    30. yusleep on October 24, 2025 1:14 pm

      **yusleep**

      yusleep is a gentle, nano-enhanced nightly blend designed to help you drift off quickly, stay asleep longer, and wake feeling clear.

      Reply
    31. prodentim on October 24, 2025 1:39 pm

      **prodentim**

      prodentim an advanced probiotic formulation designed to support exceptional oral hygiene while fortifying teeth and gums.

      Reply
    32. synaptigen on October 24, 2025 2:02 pm

      **synaptigen**

      synaptigen is a next-generation brain support supplement that blends natural nootropics, adaptogens

      Reply
    33. vittaburn on October 24, 2025 2:30 pm

      **vittaburn**

      vittaburn is a liquid dietary supplement formulated to support healthy weight reduction by increasing metabolic rate, reducing hunger, and promoting fat loss.

      Reply
    34. nitric boost on October 24, 2025 3:17 pm

      **nitric boost**

      nitric boost is a dietary formula crafted to enhance vitality and promote overall well-being.

      Reply
    35. glucore on October 24, 2025 4:25 pm

      **glucore**

      glucore is a nutritional supplement that is given to patients daily to assist in maintaining healthy blood sugar and metabolic rates.

      Reply
    36. wildgut on October 24, 2025 5:02 pm

      **wildgut**

      wildgutis a precision-crafted nutritional blend designed to nurture your dog’s digestive tract.

      Reply
    37. pinealxt on October 25, 2025 12:06 pm

      **pinealxt**

      pinealxt is a revolutionary supplement that promotes proper pineal gland function and energy levels to support healthy body function.

      Reply
    38. energeia on October 25, 2025 1:22 pm

      **energeia**

      energeia is the first and only recipe that targets the root cause of stubborn belly fat and Deadly visceral fat.

      Reply
    39. boostaro on October 25, 2025 1:24 pm

      **boostaro**

      boostaro is a specially crafted dietary supplement for men who want to elevate their overall health and vitality.

      Reply
    40. prostabliss on October 25, 2025 2:49 pm

      **prostabliss**

      prostabliss is a carefully developed dietary formula aimed at nurturing prostate vitality and improving urinary comfort.

      Reply
    41. potent stream on October 26, 2025 12:05 am

      **potent stream**

      potent stream is engineered to promote prostate well-being by counteracting the residue that can build up from hard-water minerals within the urinary tract.

      Reply
    42. hepatoburn on October 26, 2025 8:41 am

      **hepatoburn**

      hepatoburn is a premium nutritional formula designed to enhance liver function, boost metabolism, and support natural fat breakdown.

      Reply
    43. breathe on October 26, 2025 11:40 am

      **breathe**

      breathe is a plant-powered tincture crafted to promote lung performance and enhance your breathing quality.

      Reply
    44. hepatoburn on October 26, 2025 3:25 pm

      **hepatoburn**

      hepatoburn is a potent, plant-based formula created to promote optimal liver performance and naturally stimulate fat-burning mechanisms.

      Reply
    45. cellufend on October 26, 2025 8:59 pm

      **cellufend**

      cellufend is a natural supplement developed to support balanced blood sugar levels through a blend of botanical extracts and essential nutrients.

      Reply
    46. prodentim on October 26, 2025 9:58 pm

      **prodentim**

      prodentim is a forward-thinking oral wellness blend crafted to nurture and maintain a balanced mouth microbiome.

      Reply
    47. neurogenica on October 27, 2025 12:19 am

      **neurogenica**

      neurogenica is a dietary supplement formulated to support nerve health and ease discomfort associated with neuropathy.

      Reply
    48. revitag on October 27, 2025 12:30 am

      **revitag**

      revitag is a daily skin-support formula created to promote a healthy complexion and visibly diminish the appearance of skin tags.

      Reply
    49. flowforce max on October 27, 2025 12:38 am

      **flowforce max**

      flowforce max delivers a forward-thinking, plant-focused way to support prostate health—while also helping maintain everyday energy, libido, and overall vitality.

      Reply
    50. sleep lean on October 27, 2025 10:17 pm

      **sleep lean**

      sleeplean is a US-trusted, naturally focused nighttime support formula that helps your body burn fat while you rest.

      Reply
    51. memory lift on October 29, 2025 3:50 am

      **memory lift**

      memory lift is an innovative dietary formula designed to naturally nurture brain wellness and sharpen cognitive performance.

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi October 1, 2025

    In the name of LOVE – 12

    Ilipoishia sehemu ya Kumi na moja ya In the name of LOVE Moyo Wangu na…

    In the name of LOVE – 11

    In the name of LOVE – 10

    In the name of LOVE – 09

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.