Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » FIFA SERIES 2024 Ni Michuano Gani? Na Inafanyikaje?
    Africa | CAF

    FIFA SERIES 2024 Ni Michuano Gani? Na Inafanyikaje?

    MhaririBy MhaririMarch 13, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    FIFA SERIES 2024
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Watu wengi bila shaka watakua wanajiuliza maswali mengi kichwani mwao nah ii ni baada ya kutangazwa kwa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) ambacho kinakwenda kushiriki michuano ya FIFA Series nchini Azerbaijan.

    FIFA Series 2024 ni michuano mipya ya Shirikisho la soka duniani FIFA ambapo inahusisha mashindano ya timu kutoka mashirikisho tofautitofauti ya soka duniani ambapo hapa kutakua na michezo ya kirafiki kutoka mashirikisho tofauti ya kimabara.

    Makala ya kwanza kabisa ya michuano hii inahusisha mfuatano 5 ya michuano ambapo itafanyika katika nchi 4 tofauti ambazo zitakua mwenyeji wa michuano hiyo kuanzia mwezi wa 4 tarehe 18 mpaka tarehe 26.

    Michuano hii ilianza kutangazwa rasmi na FIFA kuanzia mwezi wa 12 mwaka 2022 ambapo ilipewa jina la “FIFA World Series” na baadae Rais wa FIFA Gianni Infantino akayatangaza rasmi kuanza kwake mwezi huu wa 3.

    TIMU ZITAKAZOSHIRIKI

    Series Team Confederation FIFA Rankings
    February 2024
    [5]
    Algeria  Algeria CAF 43
     Andorra UEFA 164
     Bolivia CONMEBOL 86
     South Africa CAF 58
    Azerbaijan  Azerbaijan UEFA 113
     Bulgaria UEFA 83
     Mongolia AFC 190
     Tanzania CAF 119
    Saudi Arabia A  Cambodia AFC 179
     Cape Verde CAF 65
     Equatorial Guinea CAF 79
     Guyana CONCACAF 157
    Saudi Arabia B  Bermuda CONCACAF 171
     Brunei AFC 194
     Guinea CAF 76
     Vanuatu OFC 170
    Sri Lanka  Bhutan AFC 184
     Central African Republic CAF 129
     Papua New Guinea OFC 165
     Sri Lanka AFC 204

    SOMA ZAIDI: Tuendelee Kuuamini Ukuta Wa Yerikho Simba SC?

    FIFA SERIES 2024 FIFA WORLD CUP 2026

    1 Comment

    1. Pingback: Yanga vs Geita Gold: Uchambuzi Kiufundi Na Pengo La AUCHO - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.