Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-02

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » FC Copenhagen vs Man City Tunasuka Hivi Mkeka
    Biriani la Ulaya

    FC Copenhagen vs Man City Tunasuka Hivi Mkeka

    MhaririBy MhaririFebruary 13, 2024No Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Fc Copenhagen vs Man City
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ni wazi sasa mechi za ligi ya mabingwa barani Ulaya zimerejea wakati FC Copenhagen anakutana na Man City na ndio muda kwa wale wenzangu na mimi wanaopenda kusuka mikeka na wanaopenda kuweka pesa nyingi kwenye mechi moja pekee kutazama takwimu tulizozipitia na kuziandaa kwa urahisi zaidi ili uweze kuusuka mkeka wako na ushinde.

    Kumbuka kuwa Man City anaingia katika mchezo huu kwa ajili ya harakati zake za kuutetea ubingwa huu ambao alichukua msimu uliopita nah ii ni hatua ya mtoano ambapo mchezo wa kwanza anaanzia ugenini.

    Katika ligi ya Denmark, Copenhagen wako nafasi ya 3 kwenye msimamo huku katika mechi zao 4 za mwisho za ligi wamepoteza mechi 2 pekee.

    TAKWIMU:

    • Copenhagen hawajawahi kumfunga Man City katika michezo yao 4 ya mwisho kukutana katika mashindano yote ambapo wamepoteza 2 na kupata sare michezo 2.
    • City hajawahi kushinda ugenini katika mashindano makubwa ya ulaya dhidi ya timu kutoka Denmark.
    • Hii ni mara ya pili kwa Copenhagen kuingia katika hatua ya mtoano ya ligi ya mabingwa ulaya kwani mara yao ya mwisho kufanya hivyo ilikua msimu wa mwaka 2010-11 ambapo walitolewa na Chelsea.
    • City anaingia katika mchezo huu akiwa na rekodi ya kushinda michezo 8 mflulizo katika michuano ya mabingwa Ulaya wakiwa ni klabu pekee kutoka ligi kuu ya Uingereza kufanya hivyo katika historia ya mashindano haya.

    TUNABETIJE?

    Baada ya kutazama takwimu bila shaka utakua unajiuliza katika mchezo huu sasa tunasuka vipi mkeka ili kuweza kushinda na kuibuka na kibunda cha mhindi? Utabiri wenyewe ni kama ufuatavyo:

    1. City Anashinda (Manchester City to win)
    2. Mechi kuwa na magoli zaidi ya 1 (Total Goals Over 1.5)
    3. City asifungwe bao hata 1 (Manchester City to keep a clean sheet – Yes)

    SOMA ZAIDI: Mkeka Wa Leo Wenye Odds Zaidi Ya 100

    fc copenhagen Man city uefa champions league
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi July 15, 2025

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-04

    Ilipoishia Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa) sehemu ya tatu Mke alipoisoma ile karatasi aligeuza macho kumtazama Mume…

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-03

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-02

    Nzena (Kijiji Kilicholaaniwa)-01

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.