Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Crystal Palace vs Everton : Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka
    Odds za Moto

    Crystal Palace vs Everton : Ubashiri Na Vidokezo Vya Mkeka

    MhaririBy MhaririJanuary 4, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Crystal Palace vs Everton
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hatua ya 32 bora kombe la FA inaendelea hii leo nchini Uingereza ambapo Crystal Palace anamkaribisha Everton katika mchezo utakaopigwa katika Uwanja wa Selhurst Park katika jiji la London wenye uwezo wa kubeba takribani mashabiki elfu 25.

    Katika mechi 6 za mwisho za klabu ya Palace wameshinda magoli 8 huku wakishinda mechi 1 wakipata sare mechi 2 na kupoteza mechi 3 na katika mechi hizo 6 wameweza kupata magoli zaidi ya matatu katika mechi huku goli 1 katika mechi zote sita.

    Everton wao katika mechi za 6 za mwisho wamepoteza 3 wakipata sare mechi 1 na kushinda mechi 2 wakiwa na magoli 7 katika mechi zao 6 walizocheza.

    Timu hizi mbili zimekutana katika mechi 26 mpaka sasa na Palace wameshinda mechi 4 huku Everton akishinda mechi 11 na kukiwa na sare 11 hivyo Everton huwa mbabe kwa Palace.

    Katika mechi zilizowahi kuwakutanisha hawa ni kwamba haswa katika magoli Palace ana idadi ya magoli 27 huku Everton ana idadi ya magoli 39.

    VIDOKEZO VYA UBASHIRI

    Katika mechi 2 mfululizo wameweza kutoa sare maamuzi ni yako sasa utoe sare au yoyote ashinde.( 1x or x2 , 12, )

    Katika mechi 2 mfululizo hawajafungana yaani (BTTS No)

    Katika mechi 2 mfululizo Magoli yalikua chini ya 3 yaani (Under 2.5)

    Endelea kufuatilia dondoo na vidokezo vya ubashiri kwa kusoma hapa.

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.