Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Cape Verde vs South Africa Ukibetia Hivi Ni Uhakika
    Odds za Moto

    Cape Verde vs South Africa Ukibetia Hivi Ni Uhakika

    MhaririBy MhaririFebruary 3, 20245 Comments2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Cape Verde vs Mali
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Hii itakua moja kati ya mechi yenye utamu mkubwa zaidi katika AFCON kutokana na kile ambacho Cape Verde wamekuja nacho katika mashindano ya msimu huu na kuwa moto wa kuotea mbali. Hapa wanatafuta moja kati ya nusu fainali yao ya kwanza kabisa katika historia ya soka katika nchi yao kwani kwa kufika hatua ya robo fainali ni mara yao ya pili kufanya hivyo tangu walivyofanya mwaka 2013.

    Kumbuka kuwa mara yao ya mwisho kukutana kati ya vigogo hawa South Africa alifungwa bao 2:1 na katika michuano hii wameonesha namna ambavyo wamejipanga zaidi kwa kuwa na wacezaji wengi vijana wanaojituma pia.

    Afrika Kusini wao wanaingia katika mchezo huu wakiwa na kiwango bora baada ya kumfunga Morocco bao 2:0 jambo ambalo linawapa nguvu zaidi ya kuingia katika mchezo huu.

    TAKWIMU:

    Mara ya mwisho kwa Bafana Bafana kuchukua ubingwa ilikua mwaka 1996 na ni moja kati ya timu ambayo nayo inapewa chapuo la kuwa mabingwa wa michuano ya mwaka huu.

    • Cape Verde wameshinda mara 2 na kusare mara moja na kupoteza pia mara moja katika michezo yao 5 ya mwisho dhidi ya Afrka Kusini.
    • Cape Verde wao wamefuzu mara 4 katika AFCON huku South Africa wakifuzu mara 11.
    • Katika mashindano yote Cape Verde wameshinda mabao 8 na kuruhusu mabao 5

    TUNABETIJE?

    1. South Africa anashinda mchezo huu
    2. Magoli zaidi ya 2 katika mchezo
    3. South Africa kuwa wa kwanza kushinda goli
    4. Cape Verde atashinda bao NDIO

    SOMA ZAIDI: Mali vs Ivory Coast tunabeti hivi

    afcon AFCON 2023 cape verde
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.