Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    ZAINABU ( 01)

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Barua Nzito Ya Shabiki Kwa Viongozi Wa Simba Kuhusu Inonga
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Barua Nzito Ya Shabiki Kwa Viongozi Wa Simba Kuhusu Inonga

    MhaririBy MhaririApril 17, 2024Updated:April 18, 202414 Comments2 Mins Read5K Views
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Inonga kutoka Simba
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Ndugu Mhariri leo naomba kuandika kuhusu jambo ambalo wengi hawalizungumzi haswa kuhusu beki wetu  Inonga.

    Nimefuatilia sana barua zako ambazo umekua ukizichapisha hapa Kijiweni na nimeona nishiriki kwa kuandika kuhusu jambo hili ambalo lipo ndani ya uongozi wa klabu yangu pendwa yenye mitaa yake ya Msimbazi.

    Kumekua na taarifa mbalimbali kuhusu maamuzi magumu ambayo viongozi wanafikiria kuyafanya katika kuhakikisha kuwa kunakua na maboresho ndani ya klabu ya Simba haswa katika nafasi ya uongozi pamoja na katika kikosi chetu yaani nikiamaanisha wachezaji na niseme tu kuwa katika yale maamuzi magumu ambayo viongozi wanapaswa kuyafanya wakati huu bila kufikiria mara mbili mbili ni pamoja na kumuuza Henock Inonga.

    Mhariri, sio kwamba namchukia beki huyu walaa ila tu ni kwa manufa yetu kwani nimemtazama katika mechi kadhaa ambazo amekua akicheza toka atoke katika michuano ya mataifa barani Afrika ambapo walishika nafasi ya 4.

    Inonga wa sasa hivi akiwa uwanjani sio yule wa misimu miwili ya nyuma, huioni seriousness yake wala kujutia makosa yanayojirudia rudia. Kuna namna kama moyo wake haupo tena kuipambania Simba na ni kama anafikiria kuondoka klabuni.

    Inawezekana yupo kimwili, lakini sio kiakili, hata uchezaji wake hajitumia kama zamani, mara nyingi anaonekana anatembea na hata hakabi kwa nguvu ile aliyokuja nayo Simba. Kwenye mitandao yake ya kijamii, Inonga ameweka emoji za kulia na kuaga huku akiandika ‘bye’ (kwa heri/kwa herini) bila kufafanua.

    Kwa taswira hiyo hakuna nafasi ya kumshawishi kubaki bali kumfungulia milango atafute changamoto mpya. Klabu itapoteza beki mkubwa, lakini itaingiza pesa ndefu ya kutafuta Inonga mwingine wa daraja la juu. Wapo wengi sokoni.

    Nakutakia majukumu mema na ahsante kwa kuisoma barua hii.

    SOMA ZAIDI: Barua Kwako Mo Dewji Rais Wa Heshima Simba Sc

    Inonga simba live simba vs yanga simba vs yanga
    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views
    Ligi Kuu ya NBC

    RATIBA YA LIGI KUU YA NBC MSIMU WA 2025/2026

    August 29, 202513K Views
    Don't Miss
    Hadithi March 23, 2026

    ZAINABU ( 01)

    NAITWA ZAINABU ALIYU! Hii ni Hadithi ya Maisha yangu…..!!  Mimi ni Mtoto wa kwanza kati…

    Mkeka Wa Leo Jumatatu 16/03/2026 Wa Magoli OVER 1.5

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (09)

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua

    Niliolewa Na Mtu Nisiyemjua SEASON 2 (08)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2026 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.