Close Menu
Kijiweni

    Subscribe to Updates

    Get the latest updates from Kijiweni.

    Za moto

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Wasiliana Nasi
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kijiweni
    • Home
    • CAF
    • Soka la Bongo
    • Ulaya
    • Chuo Cha Kubeti
    • Hadithi za Kijiweni
    • Forum
    Kijiweni
    You are at:Home » Barua Hii Ikufikie Barbara Gonzalenz
    Ligi Kuu | Soka la Bongo

    Barua Hii Ikufikie Barbara Gonzalenz

    MhaririBy MhaririFebruary 29, 20241 Comment2 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest Telegram LinkedIn Tumblr Email Reddit
    Barbara Gonzalenz
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest WhatsApp Email

    Kwako Barbara Gonzalenz,

    Natumai umzima wa afya kabisa na unaendelea na majukumu yako mengine kama kawaida Barbra lakini pia natumai unaendelea kuifuatili vyema klabu yako ya Simba ambayo bila shaka kamwe huwezi kuacha kuifuatilia.

    Mimi ni moja kati ya mtu ambaye si shabiki wa Simba lakini nilikua mpenzi wa namna ambavyo ulikua ukifanya majukumu yako katika klabu ya Simba kama Afisa Mtendaji mkuu wa klabu hii kubwa yenye historia kubwa ya soka katika nchi ya Tanzania lakini pia na Afrika Mashariki na kati.

    Naweza kusema ilikua ndio mara yangu ya kwanza kabisa kuona mtendaji mkubwa wa maamuzi ndani ya soka tena katika klabu kubwa akiwa ni mwanamke ni wazi kuwa aliekuamini na kukuweka pale alikuona ukiwa na ndoto kubwa ya kutaka mafanikio ya Simba na yalipatikana.

    Ni wazi nakumbuka maamuzi yako ya kishujaa pale inapotokea jambo ambalo linahitaji maamuzi lakini pia bila kusahau kuwafanya mashabiki kuwa na Imani zaidi na klabu yao bila kusahau kwenye kuhakikisha kuwa wanakua wanajitokeza katika kupambania klabu yao.

    Najua wapo ambao walikua hawakupendi kwa sababu zao wanazozijua wao kuanzia ndani ya timu mpaka nje ya timu lakini najua tupo ambao tunakupenda na tulikupenda lakini bado tunatamani kukuona ukirejea katika majukumu yako ya kila siku katika kupambania klabu ya Simba.

    Nikiri kuwa licha ya kwamba yupo mtendaji mkuu mwingine lakini bado naona kama Simba inahitaji uwepo wako ndani ya uongozi ili kuhakikisha kuwa itikadi ngumu na zenye manufaa kwa klabu ya Simba zinatekelezeka kwa haraka lakini pia na kuedelea kuipambania nembo ya simu.

    Wako katika ujenzi wa Taifa.

    Mwanamichezo

    SOMA ZAIDI: Fredy Anahitaji Msaikolojia, Ana Tatizo Hili Kubwa

     

     

    barbara gonzalenz

    1 Comment

    1. Pingback: Klabu Zilizowahi Kushinda Mataji Ya Ligi Kuu Tanzania Bara - Kijiweni

    Leave A Reply Cancel Reply

    Social Media Image
    Top Posts
    UEFA EURO 2024 Trophy

    Yote Unayopaswa Kufahamu Kuhusu UEFA EURO 2024 German

    May 30, 202425K Views
    Ligi Kuu

    Hii Vita Ya GAMONDI Na FADLU Inaichangamsha Vipi Ligi Kuu?

    October 3, 202417K Views

    Chama, Aziz Ki Na Pacome Watachezaje Yanga?

    June 27, 202414K Views

    Ratiba Ya Ligi Kuu Tanzania Bara (NBCPL) 2024/2025

    August 9, 202413K Views
    Don't Miss
    Hadithi June 9, 2025

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Tisa-09)

    Ilipoishia Return of Faudhia sehemu ya nane  “Safi” sauti ya pili nayo ilisema kutokea chumba…

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Nane-08)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Saba-07)

    Return Of Faudhia ( Sehemu Ya Sita-06)

    Stay In Touch
    • Facebook
    • X
    • Pinterest
    • Instagram
    • YouTube
    • Vimeo

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from Kijiweni.

    © 2025 Kijiweni. A Product of Jamii Media.
    • Home
    • Wasiliana Nasi

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.