Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Kaka Mkubwa
Ilipoishia “Sikuwa na maswali mengi kuwa chapati zinaenda kuliwa na Nani sababu hata ule Mchicha nilikua na uhakika kuwa unaliwa na Misukule niliyoiona Usiku. Nilihisi kukonda…
Ilipoishia “Shiii‼” Baba Mkwe akanipa ishara katili ya kunitaka nikae kimya vinginevyo kile kisu kingeingia mwilini mwangu. Kisha akachuchumaa na kuniambia “Leo utajuwa ni kwanini uliolewa…
Ilipoishia “Mh! Kwani yule Kijana yuko wapi sijamuona muda, yeye alikua anachukua Mchicha hadi wa Elfu Kumi” alisema yule Mama, sikuweza kujizuia ilibidi nicheke maana Mchicha…
Ilipoishia “Utamzoea, si unajuwa wazee wa zamani. Pengine hakutaka wewe ushike begi kwasababu zilizo kaa kitamaduni tu za Kizamani au kabila letu lakini ni mcheshi utamzoea…
Sijui kwako ndoa ina maana gani lakini kwangu Mimi ndoa ilinipotezea Muda wangu, iliniacha na Maumivu na kilema cha Maisha yangu. Sikuwahi kuwaza chochote kuhusu ndoa…
Ilipoishia Mbaga akajiweka sawa kwa ajili ya kujibu mapigo kutoka kwa Malaika, akabonyea kidogo na kukaa staili ya nyani Mzee anayetaka kurukia Tawi la Mti, kisha…
Ilipoishia “Umefikia wapi Sande!” Alihoji Mbaga baada ya kuwasha redio Call “Nakaribia ila nimeumia eneo la mbavu nilitereza wakati napanda juu ya Bomba, sasa nakaribia ulipo…
Ilipoishia “Inawezekana P55 anataka kuanza na Watu wa Usalama wa Taifa? Hapana, hata yeye alikuwa Mtu wa Usalama wa Taifa, hawezi kuuwa Familia yake, mna hakika…
Ilipoishia “Hayo ni majina ya Watu wa siri wa Mzee Dawson, Sande yupo hai, moja ya kaburi hapo linaweza kuwa kaburi la Zola, fukueni haraka sana.”…
Ilipoishia “Hizi ni risasi zilezile, chukueni maiti hizi na wengine fanyeni msako hapa haraka sana” Ilikuwa ni sauti ya mmoja wa Askari waliokuja pale kanisani, bado…