Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Mhariri
Hii leo klabu ya Yanga imezindua tawi jipya la mashabiki wa klabu hiyo lilopewa jina la YANGA EXPERIENCE MASAKI. Kwenye uzinduzi wa tawi hilo licha ya…
Karibu sana kutazama kile ambacho wahariri wa magazeti ya michezo leo tarehe 29-11-2023 wamekiandika katika kurasa za magazeti ya hapa nyumbani Tanzania.
Kocha Mkuu mpya Benchika ni sababu moja tu kati ya zile 10 za Simba Sports, Ni Kocha mkubwa ambaye ambaye amefanya makubwa sana ila Simba narudia…
Kocha mkuu mpya wa klabu ya Simba Abdelhak Benchikha ameelezea namna atakavyofanya kazi katika kikosi cha Simba ili kuhakikisha kuwa wekundu hao wa msimbazi wanapata mafanikio…
 
		
 
									 
					



