Subscribe to Updates
Get the latest updates from Kijiweni.
Author: Mhariri
Mambo vipi? Uko poa? Karibu tena kwenye mkeka wa leo Ijumaa kutoka Kijiweni ambao una odds zaidi ya 100. Hapa tumekuandalia mechi takribani 12 zikiwemo za…
Ukizungumzia klabu kubwa za mpira wa miguu zinazopatikana katika Ligi Kuu Tanzania bara huwezi kuacha kuwataja matajiri wa jiji la Dar Es Salaam kutoka Mbande hukooo…
Liverpool ni moja kati ya klabu kubwa inayopatikana katika ligi kuu ya Uingereza ambayo inapatikana katika jiji la Liverpool. Moja kati ya stori kubwa na ya…
Ukiuzungumzia mpira wa miguu Tanzania basi huwezi kuacha kulitaja Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Rais wake Wallace Karia ambaye anaingia katika orodha ya marais…
Kama utakua ni miongoni mwa wale ambao hutazama masoko mbalimbali katika ubashiri na ambazo huwa na odds za juu basi lazima utakua umekutana na soko hili…
Kila namna ana njia yake ya ubashiri ambayo huwa anaipenda katika kusuka mikeka yake akiwa na imani ya kushinda mkeka huo ingawa ni namna tu ya…
Wakati Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Said anamchukua Ibrahim Bacca kutoka katika klabu ya KMKM ya Zanzibar bila shaka hakuna aliyemuelewa anafanya nini na…
Baada ya hatua ya makundi kukamilika ni wazi sasa ile hatua ya 16 bora katika michuano ya mataifa barani Afrika (AFCON) inatarajiwa kuanza na yapo maswali…
Ni rasmi kuwa sasa Taifa Stars imeaga michuano ya mataifa barani Afrika baada ya kumaliza katika kundi wakiwa nafasi ya 4 na alama 2 pekee kwani…
Mambo vipi? Uko poa? Karibu tena kwenye mkeka wa leo Alhamis kutoka Kijiweni ambao una odds zaidi ya 30. Hapa tumekuandalia mechi takribani 7 zikiwemo za…